PIKIPIKI YA UMEME, UKICHAJI INAKUTOA DAR HADI BAGAMOYO, INAUZWA MILIONI 6.4, FAIDA ZAIDI YA 40%

  Рет қаралды 87,595

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Dunia inabadilika, sio tena pikipiki zinazotumia mafuta bali gumzo la sasa ni pikipiki zinazotumia nishati ya umeme, betri inachajiwa kisha pikipiki inaingia barabarani, haiwashwi kwa kiki wala haina kelele hata tone... Madereva bodaboda wamepewa na wapeleka hesabu ya $40 sawa na elfu 90 Tsh. kwa wiki.

Пікірлер: 167
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 жыл бұрын
Hizi piki piki Zanzibar zimeingia mda tu mpaka tushazisahau...Nyie munawaza mahindi tu🙈🙈
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 ай бұрын
😂😂😂 beigan kwa Zanzibar Mana mil 6 nipalefu
@erickbabu4404
@erickbabu4404 Ай бұрын
Izo n baiskel za Ku charge Zanzibar
@mangoing32montana76
@mangoing32montana76 2 жыл бұрын
Mueleze huyo musika alete hizo honda kenya 🇰🇪mombasa001
@shabanikamsawa181
@shabanikamsawa181 2 жыл бұрын
Ikopoa kwa shuguli za nyumbani na shuguli ndogo ndogo na cyo rafiki kwa maisha yetu ya Tanzania
@khalfanikimanta6663
@khalfanikimanta6663 2 жыл бұрын
Kwanini?
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Point
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Wanazijua kilo 3000 za Michele au wanazisikia 🤣🤣
@mambachagulaga7234
@mambachagulaga7234 2 жыл бұрын
Ziletwe Arusha, tumechoka na makelele ya toyo, zinapiga baruti.
@defxtro
@defxtro 2 жыл бұрын
Kabisa asee
@yunusrnb5227
@yunusrnb5227 2 жыл бұрын
Hivi Tanzania tuna Nini? Mbna tuna watu wanauwezo wa kutengeneza magari na vitu aina mbali mbali, sijui wale watu wanawachukuliaje😠😠😠
@richardchijana9665
@richardchijana9665 2 жыл бұрын
Wenzetu Wana mpaka kiwanda cha kutengeneza gari aina ya VW sisi tupotupo tu na ujinga wetu🙌
@no-reply31
@no-reply31 2 жыл бұрын
Sisi tuendelee kumsikiliza harmonize
@vincentvin211
@vincentvin211 2 жыл бұрын
Tunatengeneza Gari za NYUMBU
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
Sema na ujinga wako sio ujinga wetu
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
@@hisanmwakijungu10 😃😂kaziKujiua.nakuuana.kilasikuvilio.
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
@@hamidaala2832 😂😂😂😂🤣🤣
@kadala06
@kadala06 2 жыл бұрын
Vip kuhusu ajari maana hizo mnaeza kutana bila kujua coz tushazoea miungurumo ya pikipiki
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 жыл бұрын
Mbona ata boksa hazinaga sauti?
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Millard nakukubali bro na hii channel yako mko very smart aiseee!! Sio kama ile Channel inaitwa Mbengo cjui!!
@stevejeremiah4497
@stevejeremiah4497 2 жыл бұрын
Sisi tuko busy kupambana na ugaidi na magaidi. Yani tuko busy kupambana na Chadema kwanza wanaotaka kutunyanganya tonge mdomoni. Haki aliyeturoga Naye alirogwa
@isaacvtv547
@isaacvtv547 2 жыл бұрын
Ungelijuwa rwanda upinzani ukoje ndio ungelisema bro
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 жыл бұрын
yan daaaaah had nalia jmn, cc tunafkuzwa na hatujui wap tufanye biashara , na kila ck et kisiwa cha aman, sasa aman cjui inatsaidia kubun nn jmn ila tuwe wakwel nchi yetu cjajua kwann
@demycratia2567
@demycratia2567 2 жыл бұрын
Umenichejeshaaaa na chadema na ccm
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 2 жыл бұрын
Waoooooh safi sana watapiga ela sana bodaboda
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Pkpki Kali Ila kwa umeme wa bongo utalla njaa utasubiri umeme urudi kwa siku tatu dadeck watu tumechanganywa na chadema yetu na ugaidi
@AbdulAbdul-pr9qe
@AbdulAbdul-pr9qe 2 жыл бұрын
Nakukubali sana Ayo
@fredrickjoseph2907
@fredrickjoseph2907 2 жыл бұрын
Kwanini wasiwekee mfumo wa kufua umeme wake wakati inatembea,ili kuepuka muda wa lisaa linalopotea wakati wa kuchaji.
@hisanmwakijungu10
@hisanmwakijungu10 2 жыл бұрын
We mtu unaakili Sana ur genius,, Ata mimi nilitaka kuuliza ivyo ivyo
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 жыл бұрын
Kweli
@khadijajacob2214
@khadijajacob2214 2 жыл бұрын
Kweli kabisa na inawezekana kabisa,
@tumaaclassic9035
@tumaaclassic9035 2 жыл бұрын
Itafuaje umeme wake na haitumii mafuta au unataka atumie dainamo
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 2 жыл бұрын
Tengeneza yako
@frankkimaro1354
@frankkimaro1354 2 жыл бұрын
kilometers ni chache sana
@hassanamran3637
@hassanamran3637 2 жыл бұрын
Nyiee mtagombana na mabossi wanao miliki Sheri zaoo shaulieni
@lodrickemanuel2076
@lodrickemanuel2076 2 жыл бұрын
Hili waweze kufanya biashata vzr watengeneze pkpk yenye uwezo wa kukaa na chaji24hours hapo watanzania tutanunua sn
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp Ай бұрын
Kwan mafuta yanakaa 24hours
@mamylnkuzi8482
@mamylnkuzi8482 2 жыл бұрын
Kagame huyo ..MUNGU.IBALIKI AFRICA
@mussahancy6591
@mussahancy6591 2 жыл бұрын
Hiyo bei ni kwere
@mohdazad1696
@mohdazad1696 2 жыл бұрын
Milioni 6 mzee huku Zanzibar napata TOYOTA IST kali mze
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 2 жыл бұрын
Tanzania ni Nchi ambayo haivutii Wawekezaji kwa Sera zetu mbovu yaani Rwanda tumewazidi kila kitu sisi tuna madini mbalimbali,Bandari na vingine vingi.Lakini kwa Uwekezaji Rwanda wako juu mno na wanafanya maajabu.Hongereni Rwanda
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Hongera ruwanda siai Tanzania hats baskel hatutengezi
@gabrielmondu8957
@gabrielmondu8957 2 жыл бұрын
Una uhakika? Unazijua Linkall pikipiki? Wanaassemble dsm mzee
@alimakame9215
@alimakame9215 2 жыл бұрын
Sija kuelewa bad
@jayjay4313
@jayjay4313 2 жыл бұрын
Ufike Baga, ukutane na umeme mgao ndio ushakolea, manake ushakwama.
@drlembele2552
@drlembele2552 2 жыл бұрын
Milard tuache kidogo tuna mgao sisi 😂😂
@jitukorofi9517
@jitukorofi9517 4 ай бұрын
Yaani kila kilometers 75 uchaji betri lisaa limoja na nusu ndo uendelee na safari hii haiwezi kuwa piki piki za biashara
@johnmushi8739
@johnmushi8739 2 жыл бұрын
Wana kiwanda cha simu, gari pikipik, kwetu hata cha kuassemble baiskel cjui kama kipo
@mustaphareua2370
@mustaphareua2370 2 жыл бұрын
Oyooo
@appolonation
@appolonation 2 жыл бұрын
Mostly wlcm again kaka yeti!! Ayo
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 2 жыл бұрын
Sisi tunafukuzana na machinga n.a. kuvunja nyumba za watu.
@gerrymimi9387
@gerrymimi9387 2 жыл бұрын
Nyingi sana India na Vietnam hizi
@zawadjose5440
@zawadjose5440 2 жыл бұрын
Hizi sawa kabisa
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Safi sana wizi wapikipiki utapungua hapo ziletwe nahuku tanzania nwanza
@martinabel3896
@martinabel3896 2 жыл бұрын
Akina nape wanapinga umeme wa rufiji sasa hz pkpk na mgao huu unaokuja si itakuwa shida!!
@williamemily9412
@williamemily9412 5 ай бұрын
Naipataje
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 25 күн бұрын
Pikipiki za umeme hazina nguvu kwenye maji ndio haziwe zi kabsa
@babaluxe8626
@babaluxe8626 2 жыл бұрын
Nchi sawa na mkoa wa dodoma ila tz akina nape wanataka umeme usiendelee, u jinga wa tz ni hatari sana
@danieltungira3837
@danieltungira3837 2 жыл бұрын
Wakina nape ndo wanapinga vitu kama hydro solution power of energy ili tuwe na industry kama hiz Tz hasira sana
@itwaaky75
@itwaaky75 2 жыл бұрын
Sawa 👏
@renatustinsimile5410
@renatustinsimile5410 2 жыл бұрын
Yes
@djdbway604
@djdbway604 2 жыл бұрын
Mi naona wange weka na mota ikiwa inatembea iwe inaichaji hio betri Kama pik pik za mafuta Ina chaji betri wafanye Ivo ndo itkuwa poa San
@jofreysinchenje1995
@jofreysinchenje1995 2 жыл бұрын
Great
@tonnymichael9494
@tonnymichael9494 2 жыл бұрын
Kwa nn wasitengeneze pikipiki inayojichaji yenyewe najua inawezekana
@erickmbuya8373
@erickmbuya8373 2 жыл бұрын
Kwa technologia ya sasa bado
@KaskasTHEfinderCLIP
@KaskasTHEfinderCLIP 2 жыл бұрын
Sio kwa umeme wa bongo
@saifabdullah3578
@saifabdullah3578 2 жыл бұрын
Mm Niko zanzibar nahitaji hiyo pikipiki naweza kupata
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 2 жыл бұрын
Rwanda apana chezea kabisa, sisi Tz tumebaki na siasa na porojo tu, mmmmhh haya bhana
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Wabongo wavuja jasho hazitufai
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
Sasa pikipiki haipigi kelele si ndio chanzo cha kugonga watu wengi barabarani, maana mlio wa chombo cha moto humsaidia mpita njia kuongeza umakini.
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 2 жыл бұрын
Honi ipo
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
@@yahyamajidyahyahilalal-har8762 kwa hiyo pikipiki muda wote inatakiwa kupiga honi?
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Hawa majirani zetu wa Rwanda hadi magari wanatengeneza c tumebaki tunawasikiliza kina Mwijaku, Juma Lokole na kina Manalla kila siku wanaongea upumbavu tu!!
@eliaslazaro2809
@eliaslazaro2809 2 жыл бұрын
Pamoja naakina nape wakpnga mirad ya Jpm
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
@@eliaslazaro2809 hii nchi nzito sana
@tumaaclassic9035
@tumaaclassic9035 2 жыл бұрын
Sio Rwanda ni mwekezaji tuu
@mbogofrank1154
@mbogofrank1154 2 жыл бұрын
@@tumaaclassic9035 kwahiyo as tunafer wap kupata wawekezwj Kama hao??? Wawekezaj wqnaangalia siasa zilizo Bora sio watu kupewna makesi ya ugaid utafikir tupo jehanam mambo gan hayo
@chalesichisanza1891
@chalesichisanza1891 2 жыл бұрын
Pikipiki nzur lkn kukulaza polini dakika sifuri maaana usafr wak hauna uhakika
@hamadirashidi4969
@hamadirashidi4969 Ай бұрын
Bei gan
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 2 жыл бұрын
Kampuni ya Tesla imeingia rwanda
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 2 жыл бұрын
75km ikiwa na abiria au ikiwa na dereva? Charging hours ni nyingi sana kwa biashara ya bodaboda... Nataman kujua heat management/discharging rate ya hizi battery ipoje kwakua technology ya betri hapa ni ya muhimu.. pia mota inayotumika ku power matairi na ipoje? Power rating ya betri na mota ni kitu cha muhimu kuweza kujua ili kuweza kuoanisha muda betri itadumu na charge.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Mawazo mazuri
@mudymudy3132
@mudymudy3132 2 жыл бұрын
Iyo tank ni ya nini?
@donaldmwenera4852
@donaldmwenera4852 2 жыл бұрын
Tumevamiwa na kupigwa hela ya hatari kwa pikipiki moja m 6 tusubiri wachina kutakuwa na uafadhali wa bei mimi mpaka saa hii najiuliza sipati jibu bidhaa nyingi zikitengenezwa Africa bei mara mbili ya yule anae agiza nje
@ndilanajunior
@ndilanajunior 2 жыл бұрын
I iko poa sana
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 ай бұрын
Iyo pesa inatosha kununua gar
@isacktemba289
@isacktemba289 2 жыл бұрын
Technology ni njema sana ila ufahamu wa wanaotuongoza sasa
@officialvoicediamoAlikibajoent
@officialvoicediamoAlikibajoent 2 жыл бұрын
Kwaiyo ikiishachaji inakuweje sasa
@chibunews5642
@chibunews5642 2 жыл бұрын
Kwa wapora mikoba na cm fulsa hiyoo
@ayoubpapiy4712
@ayoubpapiy4712 2 жыл бұрын
Jee? Itahitaji uwe na driving license kwa mtu atakae drive?
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Watu wana tengeneza magari VW pikipiki lakini sisi tuna komaa na ujinga wa machinga, ugaidi 😂😂 na huku tuna shida ya maji/umeme
@wemaselemani9140
@wemaselemani9140 2 жыл бұрын
Unachokiona MA kujifunza ndicho utacho kifafanya mauwaji ya kikatili ubakakaji na mengi mabaya
@wemaselemani9140
@wemaselemani9140 2 жыл бұрын
Najiuliza Hizo bet iri ,na mwendo wanaotembea wa netu wa kifo chair ikiisha gafra sipati picha
@getaride-tanzaniacarpoolin7508
@getaride-tanzaniacarpoolin7508 2 жыл бұрын
Tanzania hazipo kweli hizi? Hebu fanyeni utafiti hapo Dar au BBC Swahili
@josephatchande2471
@josephatchande2471 2 жыл бұрын
Wajanja nao ili ulete rejesho la mkopo lazma ukachaj kone vituo vyao iko pw sana
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Duh rwanda wametuacha mbali sie uku tz kazi tuna viwanda vya fitina na kulumbana na wanasiasa tu
@amrimwingwa994
@amrimwingwa994 2 жыл бұрын
Walete Bongo Huku itawasaidia wengi sanaaaaa
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 2 жыл бұрын
Richard de unafikiri kujenga nchi unaijenga kwa kupiga vidole? Hao wanaojenga magari walichukua miaka ngapi kabla ? mjinga wewe kawambie wafuasi wa chadema
@jonaselisha1100
@jonaselisha1100 2 жыл бұрын
Mbona Arusha zipo nyingi sana
@noelchiwangadirectormac6597
@noelchiwangadirectormac6597 2 жыл бұрын
Nilitaka kushangaa sana kwamba ni Tanzania 😃😃😃
@lukaskanawematz6650
@lukaskanawematz6650 2 жыл бұрын
iko poa
@hashimmawazo5503
@hashimmawazo5503 2 жыл бұрын
Duuh, mzigo mkubwa dolla 40 kwa week
@djmeza411a58
@djmeza411a58 2 жыл бұрын
Sasa uku usa ata baskeri inatumia charger pikipiki ndio usiseme
@khalidsoso898
@khalidsoso898 2 жыл бұрын
Sasa mzee mm mruguru wa matombo naipatajee
@suzystive4288
@suzystive4288 2 жыл бұрын
sisi tutabaki kushuhudia kila siku kwa wenzetu na kuangalia nani kafanya nini na yupo wapi ni huzuni kwa kweli
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 2 жыл бұрын
Siku nyingine ukirudi Kigali nisalimie basi Ayo
@imanimfugale5270
@imanimfugale5270 2 жыл бұрын
Waje huku bongo
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 2 жыл бұрын
Chaji yake ikoje wakati wa kuchaji au unatumia USB?
@amrimwingwa994
@amrimwingwa994 2 жыл бұрын
Ayo to the World
@gimarigijoshua7417
@gimarigijoshua7417 2 жыл бұрын
Je tutaipataje kwa bongo huku
@khamiskhatib6113
@khamiskhatib6113 2 жыл бұрын
Nahitaji namba za mawasiliano niwatafute
@DM_15
@DM_15 2 жыл бұрын
Tanzania tunakwama wapi
@abuumaisarah6595
@abuumaisarah6595 2 жыл бұрын
Duh!
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 жыл бұрын
Shi ngap bei yake
@Morowood
@Morowood 2 жыл бұрын
Kuna tusi linasikika kwenye tangazo ,"Acha usenge " edit plz
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
🤔 Nunuwa basi UJe kutupa ajira
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 2 жыл бұрын
Bei shs ngapi?
@geofreysadok4823
@geofreysadok4823 2 жыл бұрын
Naichukua hii
@hassanmohamedi7585
@hassanmohamedi7585 2 жыл бұрын
Tatzo Betri inachukua kilomita chache inakata chaji sasa mwendo wakutoka Dar mpaka Bagamoyo imeisha chaji alafu ukifka uichaji tena na inachukua muda kuchaji
@nellywizz9631
@nellywizz9631 2 жыл бұрын
Wangetengeneza namna ya kuchaji apo apo kwa mfumo wa hyo hyo piki pik
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 2 жыл бұрын
Gharama nikubwa sana
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Eeh huyu kajulia wapi kiswahili na yuko Rwanda
@SHommymusic1
@SHommymusic1 2 жыл бұрын
DAR HADI BAGAMOYO maana yake nini maana BUNJU ni Dar . ( BUNJU B 🙄🙄)
@amosdamian7308
@amosdamian7308 2 жыл бұрын
Sisi niwatali ndotunajua hiko kuliko kukaa tukajenga inchi
@elite_nat8731
@elite_nat8731 2 жыл бұрын
Tz figisu nyingi
@aishaomari944
@aishaomari944 2 жыл бұрын
M 6 mbona nyingi xn
@bekajah6082
@bekajah6082 2 жыл бұрын
Tanzania lini zinakuja jmn???
@silajimtema9891
@silajimtema9891 2 жыл бұрын
Nikiitaji naipataje
@alisaidi9734
@alisaidi9734 2 жыл бұрын
Zinauzwa sh.ngapi?
@emmanuelshilinde5869
@emmanuelshilinde5869 2 жыл бұрын
Inapatikana Bongo kwa sasa je na ni bei gan?
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 2 жыл бұрын
Bongo mbona hazipo?
@jobmusic4027
@jobmusic4027 2 жыл бұрын
Mbona naona kama kuna tank la mafuta hapo,inatumia pia petrol au?
@alawiali3475
@alawiali3475 2 жыл бұрын
Sio tank la mafuta hilo, unalo liona hapo ndio betri yenyewe hio.
@fintaniferx9535
@fintaniferx9535 2 жыл бұрын
Sisi tunakalia siasa tu
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
🔴LIVE: KAIZER CHIEFS VS YANGA LIVE TOYOTA CUP
WORLD NEWS MEDIA
Рет қаралды 553
Roam - Leading the charge in electrifying Africa!
3:54
Honda xlr250 Baja md22
2:31
Nippon Techno
Рет қаралды 41 М.
Miliki Pikipiki Used Kwa Bei Nafuu
1:08
Habari Za Kitaa
Рет қаралды 1,4 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН