Kwa kweli ht mimi nilipopata habari ya mcba. Nilimuwaza saana Mzee Senga. Pole sana Senga. Tunamuomba ALLAH amsamehe madhambi yake na ampeleke peponi. Kwakweli tumeskitika saana. Nafatilia kutoka Oman.😭😭😭💔💔💔
@mussa-ei4np3 күн бұрын
Pole senga kwa kumpoteza rafiki kipenzi Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe Amen
@AminaAfrican3 күн бұрын
Mungu aiweke roho yake mahali pema pepon amina
@wilfredmgolla739714 сағат бұрын
Poleee sanaa wafiwa,,,,hoteli watu wanalalagaa comed kazi yakee!!
@mswakisaid23203 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza namsikia Senga anaongea kwa uzuri/utulivu sana nje ya maigizo. Hongera kwa ujumbe mzito. Msiba ni wetu. Kikubwa ni kumuombea msamaha pale alipopetuka Mungu amsamehe.
@imanimwandosya3702 күн бұрын
Pole sana Senga, pia MUNGU azidi kukuongezea upendo zaid ya apo.
@OmanBahla-i5g2 күн бұрын
MAneno ya senga yako kamili kwa mwenye akili atafuata na mwenye mihemko atapata hasara heshima ndio muhimili wa mwanaadam jiheshimu uheshimiwe
@mwanaidikingazi42223 күн бұрын
MUNGU amlaze mahala pema peponi 😢😢
@LucasWerema-y7c2 күн бұрын
Pole sana senga nafamilia ya malehemu pembe kwa ujumla
@tonyaron119417 сағат бұрын
Dah! Pole xn Senga mwamba kaondoka
@BestaKondowe2 күн бұрын
Pole sana Senga kwani mlikua maswahiba sana na pembe
@jimjam-xg7rv3 күн бұрын
INNA LILLAH WAINAA ILAYHI RAJIUN
@DaruMcv3 күн бұрын
Wasanii wanaubinafsi roho mbaya,...Pembe sio mwili wake wakuletwa na kenta
@mohamedhaji22003 күн бұрын
Waislam ndii wanavibebana
@mohamedhaji22003 күн бұрын
Huu ndio urafiki wa dhati,
@kwayaviwawaparokiayabashne92813 күн бұрын
Poleni Sana MUNGU Ailaze mahalipema Peponi
@KhadijaMasoud-m6u2 күн бұрын
Poleni sana mungu amsamehe zambi zake amuondoshee na azabu za kabri
@SamwelGeorge-hf8qv3 күн бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi 😭😭🙏
@Danieli-k6z2 күн бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu pema pepon
@BonyLiony15 сағат бұрын
Mh! Kama utani vile wiki iliyo PTA walikuwa wanataniana masuala ya kifo iviivi kwenye interview ya pa1 leo ametuacha kweli dah! Inaumiza sana mungu amraze mahara pema peponi....
@MBENEdesignshomefinishing3 күн бұрын
Pole sana mzee wangu
@JumaNyoni-ob6ul2 күн бұрын
Poleni sana
@mzuzukhan13263 күн бұрын
Pole sana senga
@Asantemkumbwa3 күн бұрын
MUNGU amlaze mahala pema polen sana kwa wote
@LoveTeacher-j7v2 күн бұрын
Mzee senga pole kuondokewa na marehemu pembe
@sautiisiyosemaКүн бұрын
Pole senga du
@BenardetaPaulo3 күн бұрын
Polenisana jamani😢😢😂😂
@RobertMshemba2 күн бұрын
Mungu amlalaze maali alipo pachagua akiwa dunian
@rashidsaid60153 күн бұрын
Allahummaghfir lahu warhamhu
@JumaAtonga-r8p2 күн бұрын
3:10 3:11 3:13
@visitDar20113 күн бұрын
Senga akili nyingi sana anajibu 150% 😊
@JohnathanMottoka2 күн бұрын
Polen sana mi moja ya shabiki yake
@KhadijaMasoud-m6u2 күн бұрын
Hilo Senga umeongea kila Mchezo matusi tu kuna muda umekaa kwenu na watu wazima unao waheshimu unabaki kuangaliya chini kisha unainuka taratibu ni matusi tu michezo ya ss hv lazima watukane