POLISI walipeleka kwa DPP jalada la AFANDE Fatma Kigondo, wakili aliyemfungulia kesi afunguka

  Рет қаралды 17,986

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 78
@johngerald4677
@johngerald4677 2 ай бұрын
Nguvu ya uma hongeren sana wtz na vyombo vya habar
@p.kasongot979
@p.kasongot979 2 ай бұрын
Jamani Jamani 😢😢😢😢😢😢 R.I.P MTOTO MZURI ❤❤😭😭😭💔💔
@Aishatheboss117
@Aishatheboss117 2 ай бұрын
Sawa sawa kabisa akamatwe kabisa maana atajione yeye mshindi🙏🙏🙏🙏
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
Mtaumbuka tu sasa watu wameanza kuerimika mambo ya kufumbafumba yatakuisha tu pia nawashukulu wandishi wa habali ❤❤❤❤kwa kufichua uozo wa selekali
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Huoni huko ndo rahisi hii kesi huyo Afande mtuhumiwa kushinda? Mfano DPP akisema Hana Nia na kuendelea na uchunguzi je?
@ericmufasa
@ericmufasa 2 ай бұрын
Na wewe elimika acha kajifunze tofauti ya L na R
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
@@ericmufasa 🤣🤣 ulivyo jua lr maisha yakoje kwako mazuri au
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s 2 ай бұрын
Ndio maaana Lile limama alikuwa anamtetea😂😂duh walitaka kulindana.mungu sio mjomba wao
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 ай бұрын
Sky waendekeaje..Allah azidi kukupa shifaa msalimie sana bby sky
@josephatSwai
@josephatSwai 2 ай бұрын
Asante sanaa
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 2 ай бұрын
Lisura libaya Kama moyo wake mchafu fisi huyu
@majidkhalfan
@majidkhalfan 2 ай бұрын
Suraa mbayaaa
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 ай бұрын
Vibaya mno😂
@SummymaddyMaddy
@SummymaddyMaddy 2 ай бұрын
Jitu Zima ovyoo kwenda kumuharibia maisha yake yle Binti mdogo
@tatutatu1570
@tatutatu1570 2 ай бұрын
Kaz mzuri
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 2 ай бұрын
Duh
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 ай бұрын
Yan wanaume mnatuogopesha jamani kama ndo mnatuua hivyo dah Tanzania hiyo amani iko wapi na ulinzi uko wapi?? na hawa waganga kumamake wafe wote na mijitu mijinga inaenda kuua watu kisa mganga kasema ili niwe tajiri maisha yenyewe mafupi haya mnahadaika bure na dunia hii vyote mtaviacha hivyo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 ай бұрын
Mbona askar mwenyewe ana shepu kama chupa ya chai😂
@roman2270
@roman2270 2 ай бұрын
Hili life kila hatua dua.
@foka255
@foka255 2 ай бұрын
Umeona Eeeh
@jisrainomwa4015
@jisrainomwa4015 2 ай бұрын
Aya Sasa mh
@amdanihamada2017
@amdanihamada2017 2 ай бұрын
Madhara ya kutembea na waume za watu
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 2 ай бұрын
Kazi nzuri jeshi la polisi pia poleni wafiwa Ila mnajitahd kuwaminya vizuri watuhumiwa but endelezeni juhudi Zaid ili kuweza kuokoa maish ya wanachi kabla kupelekea kifo Kama huyo dada WA dar wamepripot mapema ila Hali ya 24 hrs inawezekan mngeokoa Hongera msemaji❤
@safiaothman5175
@safiaothman5175 2 ай бұрын
Kwani dada wa Yombo amefariki?
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 ай бұрын
Sky hili stori ikimalizika ifanyie 360’ documentary
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 ай бұрын
Sasa nimeanza kuwapenda tanzania 🇹🇿 police
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Wafute leseni za uganga. Uganga ni uchawi kwa nini tunauendekeza? Kama hatumuamini Mungu?
@overplantv21
@overplantv21 2 ай бұрын
Safi saana sns good news watejaji ni wengi mno siku hizi
@aishabakari8040
@aishabakari8040 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢 lailaha ila Allah
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 2 ай бұрын
Kama Anamiliki magenge ya wahalifu ndani na nje ya jeshi.Basi ni mtu hatari mno
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz Ай бұрын
afisana inatakiwa kufanya kazi tunachotaka masikali mfanye kazi nzuli.kamahivyo ndipo tutaelewana viluli sana mjitahidi nawakina soka waludi sawa pongezi kwenu
@emmanuelmasatu
@emmanuelmasatu 2 ай бұрын
Hiii Tanzania hii. Yaani mtu huja mkosea lolote lakini anakufanyia unyama kama huu bila kujali lolote. MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE.
@seltricking26
@seltricking26 2 ай бұрын
Kumbe sasa TZ 🇹🇿 is not safe
@Tee_love
@Tee_love 2 ай бұрын
It's safe . If it couldn't be safe the people who committed the crime case could be rooming free , committing other crimes . Please do pray for the safety of the world 🙏
@seltricking26
@seltricking26 2 ай бұрын
@@Tee_love kidnapping people like that shouldn’t even happen, just in one month I think so two people got kidnapped and those are the ones you see on the news…
@Tee_love
@Tee_love 2 ай бұрын
@@seltricking26 every country has its challenges you can't prevent what people are doing . We should all be thank ful at least they are giving us good new they are been captured . Imagine this look at Israel and Pakistan bombs every where people are running screaming for there safety if Tanzania could be like that do u think people could live . Instead of complaining we should at least be grateful that God . We still have a place to eat and stay despite all the crimes people committed, and pray that the government continues in trying to keep the country in order
@mwanas2
@mwanas2 2 ай бұрын
Mmmhh hawa waganga wanatuchanganya sana jmni Mungu atuondoshee imani mbovu.sasa utajiri na sehemu za siri inahusu nini kumuua mtu khaaaaa jmni dunia hii🙌
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 2 ай бұрын
Ni hatari
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 2 ай бұрын
Aende jera maisha kenge huyo nae aone uchungu wanaopitia waliowafunga jera bila hatia mbwa kenge huyo
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 ай бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 ай бұрын
Kwanini hawa kukata sehem zao za siri ndo wampelekee huyo mganga tz siku hizi kuna matukio yana tisha haki
@EdwinJohn-vo8uf
@EdwinJohn-vo8uf 2 ай бұрын
Yani huyu mama kwanza apewe azabu apewe azabu ya kupigwa viboko akiwa yupo uchi wa mbuzi 😢😢😢😢😢😢😢
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 2 ай бұрын
Tena iwe bora yambuz mana ana manyoa
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Anasura mbaya kumaamakeee roho kwa staili hiyo razima mumeo achepuke sura mbovu hivyoooo
@wadantz123
@wadantz123 2 ай бұрын
Mumewe alishakufa yule mchepuko tena afisa uhamiaji
@gloriadaniel3827
@gloriadaniel3827 2 ай бұрын
Du watu mnajua mambo mengi.
@mwanas2
@mwanas2 2 ай бұрын
😅😅😅
@doreenmsafari2945
@doreenmsafari2945 2 ай бұрын
😂😂😂 jamani 🤣🤣🤣🙌
@issazalala4907
@issazalala4907 2 ай бұрын
Nilipo maliza secondary nikataka ingia police lakini mama yangu Ali nigomea hakutaka kusikia neno police daaah
@mariej6962
@mariej6962 2 ай бұрын
Nilijua tu atakuwa anafanya kazi Dodoma, ndo maana yule RPC alileta yale maelezo yenye utata kuhusu victim wa tukio. It makes all sense now.
@Fatima1234-wl1nu
@Fatima1234-wl1nu 2 ай бұрын
Jamani hili si lishangazi kabisa hata ana aibu nae hapakuliwe kisamvu 😏
@mariusmashelle4528
@mariusmashelle4528 2 ай бұрын
Agosti 2024 💔😢🙌
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 2 ай бұрын
Kumbe nae mchepuko
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
Wanaizungusha zungusha tu wanajua baada ya miezi sita tu Wananchi wanasahau linazuka lingine, yote yanafanyika kuwahadaa Wananchi, Huyo Kamishna Fatma itakuwa sio mara yake ya kwanza maana ingekuwa mara yake ya kwanza Mungu angemsitiri, Afande ana Jina Zuri la mtoto wa Mtume lakini matendo yake hata ibilisi anaogopa, wafanye wafanyavyo Ila Kwa dhulma hizi sisi tutakuwa na kibaru , Hawa jamaa hufanya maunyama mazito Kwa Siri, Askari anaweza hata akuwekee bunduki ya mchongo ili uonekane Jambazi, wengi wao Mungu amewapiga muhuri na kuwa sahaukisha viapo ili akawachome vizuri, na hii sio Tanzania tu Dunia nzima yaani kazi yao kama Ina laana wanajiona Ni miungu watu, hata mataifa yalio endelea hasa Marekani Polisi Ni Wanyama saana wachache ndio huwa na hofu ya Mungu, ikifikia level ya Kamishna huwa wanalindana saana , yaani tukio hilo lingefanyika na askari mwenye cheo kidogo zamana washamtoa sadaka
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Mkuu Marekani na nchi za ulaya zote polisi wanafanya kazi vyema vyema na vyema sana, wenzetu Wana tume za kuchunguza matendo ya polisi kila mwaka na inakuwa inashirikisha wawakilishi wa wanachi,wanasheria na wawakilishi wa wafanyakazi.Wenzetu wamestaarabika sana ila huku Afrika hususani nchi zenye Mifumo ya kijamaa ambapo watu wachache hupewa nguvu ya kuamua hatima na hitima ya mtu au nchi ndo Kuna shida.Vyombo vya usalama vipp radhi vifanye Mambo maovu au mabaya kwa faida ya hao watu wachache, all in all sitoshangaa hii kesi kuzimwa maana kwenda kwa DPP sio kana kwamba ndo Kuna nguvu la hasha mfano DPP akisema Hana Nia ya kuendelea na kesi je?, mfano Kama zile tuhuma zilizokuwa zinamkabili mheshimiwa Fulani hivi waziri aliyetumbuliwa?.Tukio la mkuu wa Mkoa anayetuhumiwa kulawiti je linasikika?, hayo ni baadhi ya matukio makubwa ambayo yamezimwa zimwa tu kiaina au yatazimwa kiaina.Ujamaa ni mzuri sana kwenye kuishi social life ila ni hatari sana kwenye kuendesha Mifumo na sheria za nchi.
@wadantz123
@wadantz123 2 ай бұрын
We kigondo weee 😂😂😂zamu yako yaja na ww
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Ulünzi wa ndan Tz Hatusikii matıkıo ya watu kupotea nchi za wenzetu na wakat populatıon n kubwa kuluko Tz , Jesh letu badoo sana mafunzo ya Zıada are needed
@JofreyMsigwa-ok7hv
@JofreyMsigwa-ok7hv 2 ай бұрын
Afande umenyooka vzuri na taarfa yako tunashukulu hawo wahukumiwe mapema sana naogopa tena kusikia watu wanazikwa wakiwa hai inaumiza mno
@summanelson5523
@summanelson5523 2 ай бұрын
Polisi ilikuwa wapi? Mpaka Kisabo afungue kesi!
@salumjawadu1520
@salumjawadu1520 2 ай бұрын
Asee Dunia imebadrika hiii, Yan unauwa mtu kma kuku Jmn
@paulojohn-bh2vz
@paulojohn-bh2vz 2 ай бұрын
Na kama ni huyo jmn mbn kama yule binty ni mjukuu wake kabisa ss Kwa umri huo jmn wivu wa nn duh
@EdwinJambo
@EdwinJambo 2 ай бұрын
SNS naomba munijuze endapo nina taarifa ama ninajua tukio lolote la kiharifu kabla ya vyombo vya usalama kujua ila kwa sababu za kimakusudi sikutoa taarifa kwa vyombo husika je endapo vyombo vya usalama vikanibaini kuwa sikuwapa taarifa kuna kifungu chochote cha sheria kitakacho nihukumu. ?
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 ай бұрын
Afisa wa Polisi
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 ай бұрын
Mtihan nae aende jela akalawitiwe apate kunya kama bata 😢😢😢😢mpuuz mmoja
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@wadantz123
@wadantz123 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂khaa ww
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 2 ай бұрын
.
@ndorobo205
@ndorobo205 2 ай бұрын
Patamu
@hipolitenestar9207
@hipolitenestar9207 2 ай бұрын
Kimya kingi kinamshindo mkubwa, ifahamile tu bosi wa watumishi wote wa selekali ni wanannchi hakuna zaidi ya hapo, wengine wote ni watumishi wa wanannchi... Kwahiyo kila anaekalia ofisi za uma aelewe kua mwanannchi hata mmoja akipotea au kupoteza uhai kiholela jambo hilo lazima selekali ilitolee ufafanuzi wa uhakika na kwawakati, hayo ni maoni huru kama mtanzania , kazi iendelee
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x 2 ай бұрын
Tanzania sasa hivi imeisha amani kabisa serikal ingefanya anae uwa nayeye auwawe anae baka au kutuma watu wabake mtu mwingine adhabu yake jela miaka 30 ndo nich ingetulia
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 2 ай бұрын
Kumanina demokrasia ungekuwa nchi za kiarabu wangekuwa wamesha katwa vichwa kenge hao
@mariej6962
@mariej6962 2 ай бұрын
Hii nchi tunahitaji maombi ya jumla. Tufunge na kuomba kwa muda wa siku kadhaa kutuliza hii hali.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Haki haihitaji Maombi aisee.Ukitegemea Maombi yaje yakupe haki yako utasubiri mpaka kaburini aisee.Iga mfano wa nchi za watu ambao hudai haki zao, na je hudai kwa maombi au hudai kwa namna gani(jibu unalo).
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 2 ай бұрын
Washatakiwa webgine wooote wamekiri kasoro Afisa polisi ndo hajakiri kama kausika au laa. Mbona maelezo yake hatujayaelewa
@subiramwaka9792
@subiramwaka9792 2 ай бұрын
Sasa inaanza kuleta mwanga tunalifwatilia tupo sambamba kabisa.
@cosmasMartin-n3u
@cosmasMartin-n3u 2 ай бұрын
du
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 11 МЛН
ROSÉ & Bruno Mars - APT. (Official Music Video)
02:54
ROSÉ
Рет қаралды 188 МЛН
I tricked MrBeast into giving me his channel
00:58
Jesser
Рет қаралды 23 МЛН
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 11 МЛН