Polisi washika doria katika kituo cha feri Likoni

  Рет қаралды 64,479

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

4 жыл бұрын

Hatimaye mambo yamebadilika katika kivuko cha Likoni huku maafisa wa polisi wakishika doria kuhakikisha kuwa walioabiri feri wanatekeleza maagizo ya kutokaribiana . Hatua hiyo imepunguza msongamano kwenye feri huku idadi ya wanaoabiri kwa wakati mmoja ikipunguzwa.

Пікірлер: 68
@georgejindwa8135
@georgejindwa8135 4 жыл бұрын
Mm maoni yangu ya Kenya ferry rekebisheni hilo Jango la kuenda kwa ferry jengo bovu mabati yamezeeka hata juu la anguka aibu
@allyyussufshuwari4508
@allyyussufshuwari4508 4 жыл бұрын
Poleni sanna ndugu zangu Kenya
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 4 жыл бұрын
Hadi waleo hakuna bridge. Old skul
@zulachama1067
@zulachama1067 4 жыл бұрын
Sija hafiiki.haya pia bado swsws na mateso sijui sasa tufikirie corona au hali gani sasa.🙏🙏🙏🙏🙏
@leonidahayuma9528
@leonidahayuma9528 4 жыл бұрын
Nani ameona hayo mabati mzeee na watu wanalipa ushuru
@jullyotie89no77
@jullyotie89no77 4 жыл бұрын
imagine
@carolmuchiri9921
@carolmuchiri9921 4 жыл бұрын
Hapo ni Kweri Kaka Rhashidi, Nganga nganga za Mganga huwa Zina laza Mgonjwa kwa Tamaa, Nasi tukiwa huku Ugaibuni Twa Sema Watangazaji Wenye Sauti Zuli kama Yako, Na yenye Kumtoa Joka Pangoni, Hutu fanya Tusi Gatuke Kamwe Kwenye Runiga ya Citizen 👍🤗😁
@eunicewairimu5015
@eunicewairimu5015 4 жыл бұрын
MI ningekuwa hapo nikirudi nyumbani tu maisha ikiwa ngumu nirudi shags warai Corona inatesa huu msimu
@Utadowot
@Utadowot 4 жыл бұрын
So that governor hoho cannot replace those rusty iron sheets ama he's too busy travelling the world and shopping?
@Ladypeace12312
@Ladypeace12312 4 жыл бұрын
Fleur that's what is sad in kenya, people chose shitty people as leaders. Joho is a good example of a corrupt shitty idiot
@abouhafs2891
@abouhafs2891 4 жыл бұрын
Governor hoho ako county ipi?lol
@Utadowot
@Utadowot 4 жыл бұрын
@@abouhafs2891 mombatha kwa governor hoho
@abouhafs2891
@abouhafs2891 4 жыл бұрын
@@Utadowot kabadilishwa jina sasa?
@Utadowot
@Utadowot 4 жыл бұрын
@@abouhafs2891 jina la heshma kiasi chake
@coolkidabbas910
@coolkidabbas910 4 жыл бұрын
Mumetesa waswahili wetu aki😂
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 4 жыл бұрын
Piya wabara wengi sikuhizi wako mombasa
@nanimkenya1015
@nanimkenya1015 4 жыл бұрын
kumbe si bure watu kwanguka feri serikali jiushize mabati mzee sana.
@staceymayar4606
@staceymayar4606 4 жыл бұрын
I wish our people can be this ruly, Kenya would be a great country to live in. This is how ruly majuu is
@otiendenelson2584
@otiendenelson2584 4 жыл бұрын
Enyewe kulinda nchi si kazi rahisi
@damariam7497
@damariam7497 4 жыл бұрын
Ningekuwa mm ningevuka kwa kuogelea tu. Nigehota mashaka
@azizmatano6668
@azizmatano6668 4 жыл бұрын
Hii shida ililetwa na serekali yetu,,,bure kabisa ,,,,wengeli zuiya ndenge kutoingia inchini kabla ya vukevuke la corona kuingia hapa
@bejamataria7362
@bejamataria7362 4 жыл бұрын
mnyonge hana haki the poor citizens
@consolatawamatu4549
@consolatawamatu4549 4 жыл бұрын
Haki
@nanimkenya1015
@nanimkenya1015 4 жыл бұрын
tuaisimu mombasa kwani hata huku kuna mabati mzee kuliko kwetu basi, najifikiri ninashida kumbe bado. hicho nikibanda chakuuzia giteri au cha serikari?
@charlesrachier5444
@charlesrachier5444 4 жыл бұрын
Mabamba yameoza kfs bure kabisa serikali nayo ovyoo pambavu
@wilsonkidundu8969
@wilsonkidundu8969 4 жыл бұрын
Citizen mumechelesha matangazo yenu mlikuwa wapi asubuhi tumebanana sana upande wa likoni kuanzia saa 6am hadi saa 10asubuhi
@aminalibondo7507
@aminalibondo7507 4 жыл бұрын
Kheri inshaAllah
@veronekv3732
@veronekv3732 4 жыл бұрын
Kuchapa mtu haimanishi ugojwa haitauwa
@ayeshal4395
@ayeshal4395 4 жыл бұрын
Sana niumasikini ndo uko Kenya raisi eti yko hahaha
@shadrackouma1460
@shadrackouma1460 4 жыл бұрын
My own opinion is that Kenya is a revered country in the East Africa block we need to build a permanent bridge. Ferry is an old school method
@fauzishma8033
@fauzishma8033 4 жыл бұрын
Hapo watavukisha watu mpaka usiku
@mariesnjenga740
@mariesnjenga740 4 жыл бұрын
Ee
@mmukolo_MBA
@mmukolo_MBA 4 жыл бұрын
Waume wawe kando kwenye foleni.....vile vile wanawake wawe na foleni Yao.
@siasabora
@siasabora 4 жыл бұрын
kwa kifupi kaa nyumbani
@korshenomar7376
@korshenomar7376 4 жыл бұрын
Sawa
@theconfirmed6772
@theconfirmed6772 4 жыл бұрын
Ferry ifungwe kwa week mbili atlist...
@naomiwhite3832
@naomiwhite3832 4 жыл бұрын
Mtajua hamjui stay home otherwise mkileta Funjo mtanyooshwa curfew ain't a joke ata majuu tuko indoors
@abusaeed9037
@abusaeed9037 4 жыл бұрын
Naomi White uko wapi
@naomiwhite3832
@naomiwhite3832 4 жыл бұрын
@@abusaeed9037 Europe
@bratonwilliam7877
@bratonwilliam7877 4 жыл бұрын
Watakula nn wakikaa home
@naomiwhite3832
@naomiwhite3832 4 жыл бұрын
@@bratonwilliam7877 who cares? Niwajipange this da highest stupidity my fellow Kenyans have ata wakijaribu kuzuiliwa na njia zote they still have neg mind. If their prob is fud watoke wakatafute wakijuaga corona is hunting them
@nafisaabdalla2599
@nafisaabdalla2599 4 жыл бұрын
watoe tu taarifa kwamba watafunga ferry ili watu wajipange kubaki majumbani mwao watulie ndio huo mda wa saa moja utawapata makwao.
@nafisaabdalla2599
@nafisaabdalla2599 4 жыл бұрын
kwa maoni yangu mm ilkua nasema ili kuwaeka nyumbani watu kwa mda huo uliotolewa na rais uhuru bora wafunge izo ferry tu ndio watu watatulia nyumbani lkni ikiwa zitafanya kazi mda huo wakuwataka wakae nyumbani utawapata apo apo wakisubiria ferry kuja kuwabeba.
@tusomepamoja2519
@tusomepamoja2519 4 жыл бұрын
weka curfew mpaka mchana wacha kutukejeli
@assas9740
@assas9740 4 жыл бұрын
Watu wetu watakufa njaa kwa nyumba.
@assas9740
@assas9740 4 жыл бұрын
Mungu awasaidie.
@elnorahmjomba1311
@elnorahmjomba1311 4 жыл бұрын
Siku ile bridge itapatikana Mombasa itakua Raha jamani serekali fanyeni mpango basi
@leahndinda9314
@leahndinda9314 4 жыл бұрын
Imagine how they are treating this people like some shit they have to struggle yet they will wake up at dawn and vote for stupid leaders kuleni kiburi yenu the day people will learn the hard way that is when kenya will change
@MambaAfrica
@MambaAfrica 4 жыл бұрын
Serekali itengenezwe daraja.
@rashidsalim3801
@rashidsalim3801 4 жыл бұрын
Likoni ferry ni chafu mbovu yani aibu tupu kazi kuonwa watu tu
@moraaontiri4082
@moraaontiri4082 4 жыл бұрын
Hamna haja kuvaa mask kwa foreheads
@sarahjustice526
@sarahjustice526 4 жыл бұрын
Evil human for government.Who are those who say they were chosen by God!
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 жыл бұрын
Shida zote hizi niserekali yetu duni yani wanajua kbsa China wana corona then wanawaruhusu waingie Kenya bure kbsa
@abusaeed9037
@abusaeed9037 4 жыл бұрын
Shifaa Zawadi sio wakati wa kulaumiana sahi
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 жыл бұрын
Niwakati wa nini
@kingmrevil5279
@kingmrevil5279 4 жыл бұрын
Wachina wasiwaruhusu kuingie Kenya nawa ltaly
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 4 жыл бұрын
Eti walifungu juzi upumbavu mtupu mwafu najanga la corona muliingiza tayari mwafunga kazigani bure kabisa
@mohammadsalim7879
@mohammadsalim7879 4 жыл бұрын
Hiyo sio dawa wengie hawana mask
@bratonwilliam7877
@bratonwilliam7877 4 жыл бұрын
mohammad salim mask haisaidii chochote ,atakuwa anaivalia kila siku
@kennyjones539
@kennyjones539 4 жыл бұрын
Make a snake line
@juliusmuriungi1709
@juliusmuriungi1709 4 жыл бұрын
Matexo
@RashidRashid-nc8hq
@RashidRashid-nc8hq 4 жыл бұрын
Ujinga tu
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 157 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 33 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 56 МЛН
Who Is JD Vance? Why Trump Nominated Him for VP | WSJ
6:38
The Wall Street Journal
Рет қаралды 3 МЛН
How France Plunged Into Political Uncertainty
9:06
Bloomberg Originals
Рет қаралды 233 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 377 М.
Project 2025: The Radical Conservative Plan to Reshape America Under Trump | WSJ
11:17
The Amazing MYSTERIES of CATS in Islam
13:33
Virtuous Islam
Рет қаралды 352 М.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 157 МЛН