Tabu kweli hawawatu niwengi sana mkuu unachosema nikweli kabisa
@givenjackson54492 жыл бұрын
Ulivyoanza kucheka nmecheka ad mwisho Mungu akubarik sana
@AngelMassawe-nz9sk6 күн бұрын
ndio ilivyo lakini tusichoke kutenda mema tutalipwa na Mungu na kama huna usilazimishe akichukia ipo siku ataelewa tu tusiwachukie tuwasamehe na kuwaombea hili nitatizo, mwl asante jambo hili latakiwa maandalizi ni jinsi gani tutatoka kwani haliko kwenye changamoto bali liko kwa tatizo tayari baadhi ya familia tena nyingi
@lahatimuga68362 жыл бұрын
Kuna ndugu mlezi mmoja ilibidi nimwambie Kwa ukali akae mbali na Mimi kwani Mimi sio mtoto wake ,Kila saa alikua anataka kunishauri mambo ya maisha yangu utadhani Mimi ni mtoto wake na japo nilikuambia ukweli lakini bado hasikii😂,ndugu mafao pia ninae yeye haajali hata akipiga simu unaumwa wanaombea Hela na ukimpa hasemi hata Asante ,halafu anakaa kidogo tu anarudi Tena na shida nyingine wakati yeye hajawahi kunisaidia lolote,ndugu WA kupenda kulaani pia ninae yeye tatizo lake analaani Kila ninachofanya
@joshuapallangyo48382 жыл бұрын
Dah aseee brother unajua kigusa maeneo muhimu Sana. Mungu azidi kukupa mawazo makubwa zaidi ili uzidi kuijenga jamii bora
@hassanovajunior69722 жыл бұрын
My brother Joel I love your laughter and lesson as well so interesting..I've Laughed too😆😆😆😆👍👍
@mikidadi73022 жыл бұрын
I’m so excited to see kaka Joel laughing big up kaka
@gloriousgal20012 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@gloryomary8481Ай бұрын
Na hao ndugu lawama ndio hubsdilika na kuwa watabiri mabaya nawajua hawa.
@daprince75452 жыл бұрын
Bro izo ndio changamoto ninazo pitia mpaka mda huu Ila nashkuru mungu.
@SKY-fk3fz2 жыл бұрын
Mie wangu wanataka we ufe kwa sababu ya manufaa yao, kuna dada yangu mkubwa alikuja kwangu mara ya kwanza anamimba akanikuta na mimi na mimba nikamkalia uzazi halo na mimi mjamzito, alipomaliza kujifungua akaniambia nnaringa akaniapiza mbele ya macho, akenda zake baada ya mwaka akawa tena mjamzito nikamwambia mama yangu mwambie mwanao asije kujifungulia kwangu mimi Milo ugenini uhaibuni sina mfanyakazi na na watoto wachanga mama yangu hakumwambiya akaja tena mjamzito
@NyundobinTwanga2 жыл бұрын
Ndugu mafao, ndugu lawama... wapo wengi miongoni mwa familia zetu, hata hapa Kenya! #NyundobinTwanga
@emmanuelmtinangi082 жыл бұрын
😂😂
@mohamedsuleiman72152 жыл бұрын
siyo kenya iyo sana haswa afrika.
@mathiasmbelenge27752 жыл бұрын
wengine wapo kotekote kwy ndugu mlezi na ndugu mafao na hata lawama unagusa sehemu nyeti sana bro, ni bonge la kero
@neemagerald31702 жыл бұрын
Yaani leo umenifurahisha
@KsaC7112 жыл бұрын
Asante mwalimu ndugu Lawama ananisumbua haswaaa Ila namwelezaga ukweli na uhalisi wa namna ya kitatua changamoto yake
@Raphaelngassa-od9mo7 ай бұрын
Mtumishi unacheka vizur
@SalumuSaid-vq2kp7 ай бұрын
hawa ndugu lawama hawa hatar sana yan hata kama unahela yamwisho wanaitaka .wanapoona hutow ujipange kwamaneno
@ahz69072 жыл бұрын
U never disappoint us...as usual 🙏 See u at the top👍
@husseingulam89812 ай бұрын
Ndugu mtihani hata ukiwajengea nyumba bado watakulaumu tu hata ukiwasomesha utapata tu lawama nimeamua kuwa peke yangu Ili niepushe lawama huu mwaka wa sita sasa sijatembelewa na ndugu hata mmoja na nimesomesha nimetoa mitaji kwa ndugu zangu
@user-my9hc6uf9l6 ай бұрын
Mi ninaye mwenye sifa mbili,ndugu mafao na wakati huohuo ni mtabiri mabaya. Ye anatamani niharibikiwe maana huwa siwezi kutatua changamoto zake.
@user-ro4dc5ob1t11 ай бұрын
Aina iyo ya mwisho me huwa nawafanya waisi kua me ninahali mbaya kiuchumi
@awamkhalid55712 жыл бұрын
Nilijua n familia yangu tu kumbe nichangamoto kwa wengi nmengundua baada ya kua m2 mzma kwamb tumeumbwa ktk mitazamo tofaut cha msingi kuwa bize na mambo yako
@jumaharuna98992 жыл бұрын
Acha ,yaan n shida ,usipompa anachotaka anakutangaza
@user-zl5mt6lk4n3 ай бұрын
mimi sasa hv ndo nmetoka hapo kwenye ndugu watabiri mabaya ndo nikaingia u tube nikarearch " Jins ya kufanya subra ndugu wakikuudhi" ndo zmekuja pmj na hii nikaskiliza.......Mimi nmemskuru Mungu tu basi nikauona moyo wangu una amani kwakuwa sijamkosea mtu
@alphanmatanza5148 Жыл бұрын
Ndugu bana na wakiona walichokitabiri hakiwi wanachekecheka wao wenyew kwa mawhich docta
@enockkamwela8178 ай бұрын
Nimependa kipindi cha leo, Mungu akubaliki sana
@361NEWS Жыл бұрын
Dah nmekutana nao aiseee
@user-re9cr7up1i5 ай бұрын
Bara la Africa limekwamia apa , Mungu akubariki sana kwa kuendelea kufungua fikra za wengi
@boazzclement472 жыл бұрын
Ninao wengi hao wa lawama Na mafao
@janeflorencesajjabi1545 Жыл бұрын
BARIKIWA Joel unatuelimisha Vema!Kucheka kwako inaonyesha jinsi gani unatufundisha kwa Furaha, Kuna kitu kikubwa MUNGU Ameweka ndani yako, Kitunze.
@salmazwallo87208 ай бұрын
Mm ninao aiseee mpkaa bc 2 natamani kujifunzaa ataa jinsii ya kuwakepaaa kwa kwelii
@plumbingtanzaniaplumber75703 ай бұрын
Bora asiyesomesha
@daniekasenga46782 жыл бұрын
Uko vizuri sana , Kicheko chako inaonesha una enjoy ufanyacho 🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏
@rollahngimbwa69789 ай бұрын
My brother shkran Sana kwa someone lako🙏🙏 , yamkini masomo yako yananiongezea maarifa Kila hiitwayo leo. Kaka balikiwa Sana 🙏 💯. Somo lako limenifanya natabasam 😊😊
Umetisha Sana kaka! Haitoshi umeenda mbali tukuyu na ileje much salute bro.. ila Sasa Najiuliza Hawa wenzetu waliotoq dislike Hadi 15.. au ndo ndugu tena jamaniiiii🤣🤣🤣
@joycemakarius85402 жыл бұрын
Mtumishi leo umeleta mpya ,hakika furaha ya Bwana ni nguvu yako,
@kingnkumbi58342 жыл бұрын
Kwenye kucheka cheka nd unezingua
@rishnaproducts96302 жыл бұрын
Aisee nimecheka Sana ....Asante kwa somo
@sadikiselemani15802 жыл бұрын
Ndug walezi na ndug mafao changamoto kubwa ni namna ya kwenda nao bila ya kukaathiri vbaya wew kwan hawa ni watu ambao walifanya makubwa kwako na huwa wanayachukulia yale waliyokufanyia wew ni ngao yao kwao ya wew kuwasikiliza wanachokueleza
@zubedayunus57452 жыл бұрын
Kwa kweli nahitaji NDUGU walezi
@bina2557 Жыл бұрын
Aisee Mimi ninao sanaa
@bennchunga0312 жыл бұрын
Aaaah Kwakweli namshukuru MUNGU kwaajil ya zawadi nzuri ambayo BWANA YESU ametupa kwa majira haya,,, Umeendelea kuwa baraka sana kwangu,,, Naendelea kujifunza zaidi na zaidi,, nafurahi sana GOD bless you 😂😂😂😂😊😊😊😊😊😊😊
@tusajigwedickson48782 жыл бұрын
dungu wa kukuombea mabaya wapo sana
@annazakaria13052 жыл бұрын
Mimi nina ndugu lawama,ni habari sana,ukimwambia huna hela,unaporomoshewa matusi kanakwamba yeye ni mzazi wako au alikusomesha wakati hakuchangia chochote kwenye maisha yako
@hilalmtangi52412 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii, imenogeshwa na Kicheki sio kila somo unatakiwa kuwa "Serious"
@azizakwileka16412 жыл бұрын
Yaani kaka unavyocheka umenifanya na mimi nicheke😀😀
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Hao wangu mie mtihani
@nyirendayaoneni69422 жыл бұрын
Nimefurahi kuona unacheka
@stellasoraya11382 жыл бұрын
Kwa kwellll kaka Joel nami nimechekaaaa sanaaaa na nimefurahiiii na hii ni kweliiii
@user-je5wy4bi4d10 ай бұрын
Daaah nimechekaaa sanaaa ulivyoanzaaa na kichekoo maaanaa hapgood ulipokea jumbe nyingi sanaaa na call nying pia ilaa hongeraa Sanaa na napenda kazi zako
@firdosoman31332 жыл бұрын
See you at the to kaka jeol 😄😄tunao aina zote hizo za ndugu uliowataja
@emmanuelkao69272 жыл бұрын
Mr Joel Nanauka I ama mm really enjoyed your learning God bless you broo✍️🤝🙏 Your Strength us
@kedricksiame61672 жыл бұрын
Oke imeekaa vyema
@emmanuelellymdagadzule28472 жыл бұрын
Hahahahahaaaa.... yaani umecheka hadi mimi nikafurahi
@albanfurela71952 жыл бұрын
ndugu Mafao na ndugu lawama Umenichekesha sana sana tunapambana nao ni shida kubwa kwangu aisee sijui nifanyeje
@priscathabiti3726 Жыл бұрын
ndugu lawama nina hishi nao kwa jiya moja tu! natumia Uwigi wa Kimya!! Siyowigi wakuogea naye, kama hakuna jambo lolote lamsigi, Hafa zari nikahe Kimya kwaza mpaka hata Jifuza kama Ni, mpeda Amani atabadilika, lawama nitabiya tu! Siyo, Kilema.
@joharikitundu2 жыл бұрын
Najifanya kama siwajuhi
@aderiderkihupi72402 жыл бұрын
NI HATARI SANA, KWENYE NDUGU LAWAMA-MM IMENITOKEA HIYO MPAKA NKAAMBIWA SIKUHIZ ANARINGA SANA HATA HATUMI HELA ANAHONGA TU.
@user-dm6gu5jr6s11 ай бұрын
Kaka Joel umenigusa kweli kuna baazi ya ndugu wamekuwa kero kbs
@dr.amos..ngailomd Жыл бұрын
Nimekutana na Ndugu mafao
@jumakapilima56742 жыл бұрын
Ukianza mambo haya ya kuchekacheka unaanza kuharibu,,,,,,kimsingi hujawahi kutuangusha katika mafundisho yako!!
@stanleyandrea51532 жыл бұрын
Kwa kwel Kuna mda lazima tukubali lawama kuliko fedheha... Ndugu wa kukulaumu kwanini humtumii Hera bila kujali nawewe una kipindi kigumu
@iddahravity93692 жыл бұрын
Wapo wamejaa Ila nawapotezea kimtindo
@muhsinkombo37362 жыл бұрын
Shukran , nimejifunza mengi kupitia vedio zako, ila hii umepitiliza furaha umejikumbusha mengi, M/MUNGU AKULIPE KILA LA KHERI.
@TheSalma19992 жыл бұрын
Asante kaka ni kweli kabisa asante
@lilianleonard81062 жыл бұрын
Daaah 😂😂😂🙌🙌🙌
@elishamagambo15122 жыл бұрын
Nmefurahi kuona kicheko cha Kaka Joel Nanauka...........
@thomasboso30812 жыл бұрын
Hao ndugu walezi wanaupendo mkubwa kwako
@barakaephraimu75032 жыл бұрын
Brother Joel hii video nzur sana the way ulvyo present nmefrahi sana kuona ukcheka kw furah kiasi hicho
@fatumahengo68492 жыл бұрын
Dah ilibidi nicheke na mimi maana hao ndugu wote hapo wapo kwenye family yangu😃😃😃😃
@aderiderkihupi72402 жыл бұрын
Mpaka umeshndwa kuelezea
@gracejonh40222 жыл бұрын
Mi mwenyewe imebid nicheke tu 😁😁😁😁😁😁😁
@selemanijuma546 Жыл бұрын
Hao wananisumbua sana kaka dah ushauri wako pls kaka.
@mohamedsuleiman72152 жыл бұрын
Hawa Walezi Na Malezi Haya SanaSana Yapo Huku Kwetu Afrika...Na Hususa Huku Tanganyika&visiwani.
@getrudandabita16512 жыл бұрын
Mbona unacheka joelll,,ndugu nishida mno😀
@upendomtui47322 жыл бұрын
Asante kaka Joel masomo yako yamenisaidia kwa asilia kubwa Sana.
@mwakalukwafredy37202 жыл бұрын
Umenifanya nami ni cheke kaka yangu hakika nimefurahishwa tu na hii video
@princessleonard64152 жыл бұрын
Leo nimejiskia furaha ya ajabu kuona ukitabasam kaka Joel. bonge la tabasam jaman.
@WilliamMihayo-iu7xp Жыл бұрын
Kaka uposawa hao ndungu mafao kwangu ndio changamoto
@lightmedia11682 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@hildahmathew78002 жыл бұрын
Mmmmhh...kweli yapo hay ktk familia na kam alikusaidia ndo kabisa ila unawez kufanya pale panapoezekan na kumuomb Mungu akuepushe n ila zao
@ablesilomba84022 жыл бұрын
Bro umefurahi Sana hao ndugu uko nao karibu sio kwa furaha hiyo
@mohamedimrutu66552 жыл бұрын
Watatu na wanne ndio ninao hawo
@jumabavuni28122 жыл бұрын
Hao wapo Tena wengi
@festoantony46732 жыл бұрын
Sawa asante, naomba nigawie furaha.
@daudiissa92562 жыл бұрын
Umewaza nin leo teacher. Nimecheka sasa ila nmejifunza nisiwe na kihelehele kwa ndugu
@mtewelet69412 жыл бұрын
NIMECHEKA KWELI
@alfredbyamungu88252 жыл бұрын
Nimependa sana Kaka 😂😂😂
@lizzydiy45902 жыл бұрын
Hii video imenipa raha sana 😁😁
@maliatabuerenesti66812 жыл бұрын
Ukweli mi nimekutana na ndugu lawama ukweli mi nilivyo fanya nilikuwa nawaambia wapambane zaidi na wasijifunzee kutowa lawama
@christinaonyango60852 жыл бұрын
Yaani mi nimekutana nao wote hao daa,nichangamoto
@samsonelishakifunyu81672 жыл бұрын
Joel unapoint nzuri ila kicheko kilitaka kuzidi unajua unaponya Roho za watu , ubarikiwe Sana Mtumishi
@giovanniotto46722 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@raheljohn66342 жыл бұрын
Dah umenifurahisha sana na kunielimisha sana kaka angu napenda sana kazi zako
@hermanmlekwa952 жыл бұрын
😄I'm having so much fun while learning leo, make more vids na mode hii kaka, see you at the TOP
@gloriousgal20012 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@happymwiliko11672 жыл бұрын
Waoooh kumbe you can laugh too aiseee nimependa sana hii video
@pendorose80562 жыл бұрын
Hao number 3 ni shidaaa nishakutana nao tena sanaa
@user-gy1lb9fo2b9 ай бұрын
Yaani nikiitaka kucheka naangalia hii safi sana
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Ndugu lawama. 😥😥Mtihani sana
@majaliwanassoro76232 жыл бұрын
Hujakosea niukweli mtupu
@hazibonplatformafrica96172 жыл бұрын
Najua kwanini unacheka.....kuna ndugu zako lazima wajikute kwenye aina ngumu😂😂