Posh Queen: Harmonize, Ananifanya nachangikiwa! Namuwaza! Napenda HELA, Nasafiri kila mwezi. Party 1

  Рет қаралды 259,067

LilOmmyTV

LilOmmyTV

Жыл бұрын

Пікірлер: 257
@SusannaTaji-os8jh
@SusannaTaji-os8jh Жыл бұрын
Tulio kuja mbio 🏃🏃🏃🏃 baada ya kusikia jina la harmonize tujuane please 🥺
@nasmasalimu9508
@nasmasalimu9508 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@arakali8735
@arakali8735 Жыл бұрын
Tupo😂
@MkutiNandaja-rz3nk
@MkutiNandaja-rz3nk Жыл бұрын
😅😅🎉
@akimbashirwa9371
@akimbashirwa9371 Жыл бұрын
😂😂❤
@eliaspatiu2472
@eliaspatiu2472 Жыл бұрын
Tupo kabsa
@cathbertkendrick6860
@cathbertkendrick6860 6 ай бұрын
6month ago ila tunao angalia interview saiz kusikia anatoka na Harmonize 👍🏽
@AmCool_
@AmCool_ 6 ай бұрын
Mzee wa STAFF LIKE THAT 😂😂
@sophiemaseno6436
@sophiemaseno6436 6 ай бұрын
Here because of Harmonize. From🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kikombeselemani6278
@kikombeselemani6278 6 ай бұрын
Ukweli najuwa, mwanamke wowote anadamu ya kinyaru( Rwanda) kwanza hela. Yangine yote baadaye . Kwakusema umumiliki ni kumpa hela,
@sheilacruz6458
@sheilacruz6458 6 ай бұрын
Mbona usitulete harmonize sasa kwa hii podcast
@user-wl4uy7qv7u
@user-wl4uy7qv7u Ай бұрын
Huy dada mbaya jamn bora kajal
@ivannoah
@ivannoah Жыл бұрын
The king of interview @👊
@JojoMomo-et4zv
@JojoMomo-et4zv 6 ай бұрын
Ommy usijisafishe mzee… Mwanaume hajaumbiwa mwanammke mmoja Nevaaaaaa,kama yupo huyo hana pesa
@davidibrahim9138
@davidibrahim9138 6 ай бұрын
Huyo ni mnyakyusa wala hana damu ya kinyarwanda, hata moja
@flinchclassic1531
@flinchclassic1531 Ай бұрын
Kwaiyo harmo anapendwa juu ya pesa
@chainbre275
@chainbre275 6 ай бұрын
Sasa tuwache kusema o hamo kamuimba girlfriend wa dj wake kumbe poshy alisha mzimia harmonize kutambooo😂😂😂
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HELA NI NATURE KUIPENDA LAZIMA, AU YE ALIAMBIWA NA NANI, WENZIE HAWAPENDI HELA
@FernandShabani-er1cw
@FernandShabani-er1cw 3 ай бұрын
Nawafyata toka Congo DRC
@christophermhina6548
@christophermhina6548 Жыл бұрын
Fire # The king of interview
@m___ck799
@m___ck799 6 ай бұрын
..and now their dating😊 Harmo&PoshQueen
@stevkaliona4107
@stevkaliona4107 6 ай бұрын
Mademu wa bongo rahaaaa sana hawana ndoto wanapenda maisha ya shortcut halafu yanawagharimu sana😂😂😂
@user-tf9gh8iu5s
@user-tf9gh8iu5s 5 ай бұрын
Sio wot
@limbomambo9728
@limbomambo9728 6 ай бұрын
Wapenda pesa kuliko maisha yako
@itzsnazzyjazzy472
@itzsnazzyjazzy472 Жыл бұрын
Half man half amazing the Lil ommy himself big up ma brother ❤
@lusubilomwandambo5757
@lusubilomwandambo5757 3 ай бұрын
Kumbe mnyakyuu
@jforeign254
@jforeign254 11 ай бұрын
You got a new sub here 🎉 King
@faustinhommedetatnifasha9669
@faustinhommedetatnifasha9669 6 ай бұрын
Jina la #harmonize limechangia veuws kuwznyiiiingi saaana Nando video imekuwa nawatazamaji wengi kazidi in#2023 #Harmonize💪
@user-nb4gt2zf8d
@user-nb4gt2zf8d 2 ай бұрын
Hatarii kabisa kazi ipo.
@user-qn1yq1pi7p
@user-qn1yq1pi7p 6 ай бұрын
The lady is looking wow🤔
@wairimu9113
@wairimu9113 Жыл бұрын
Lil ommy my love,❤😊.. njoo nikudekeze😜
@Bob-kz2ql
@Bob-kz2ql Жыл бұрын
Mamae walah tutafute mzigo yani HELA😂😂😂😂😂
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 ай бұрын
Umeongea kwa hisia mkuu
@ShilalaShija
@ShilalaShija 6 ай бұрын
Posh queen, beautiful girl nakukubal san
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats Жыл бұрын
HARMONIZE IS A BIG NAME.
@singanoabbas669
@singanoabbas669 6 ай бұрын
Siyo kweli mwanaume akipata hivo vyote utulivu lazima.... Me ni mwanaume nina ndoa zaid ya miaka 17.. Nimeona when niko form 6... Ila kuna jamaa yetu mmoja hivi ana respect ya kutosha kwa mkewe 7bu mkewe ana respect na yeye... Tulisha mtumia wasichana tofautitofauti wazuri,,hadi kumfungia ndani na mwanamke ila jamaa ni mstaarabu sn haja cheat... Kwa sababu hakosi chochote kwa mkewe... Hivo kifupi... Wapo wanaume wenzetu ambao wako SMATER THAN... Wewe unao cheatiwa ujue kuna tundu kwenye bati lako... 😂😂😂😂
@minzamariamcasmir189
@minzamariamcasmir189 5 ай бұрын
A man doesn’t cheat akiwa na discipline tu. Hizo zingine zote ni excuses. Kuna alot of steps to take kama kuna kitu unakosa kwa mkeo mpaka kufikia cheating ila wanaume wasio kua na nidham ndo wanakurupuka na kucheat because hawawezi kucontrol tamaa zao afu wanasingizia flaws za wake zao. Mbona hata nyie wanaume mna flaws but wake zenu hawacheat because of mapungufu. Wakicheat because hawana nidhamu and it’s a choice too
@kendricgeorge603
@kendricgeorge603 6 ай бұрын
Kwa akili ya kujiongeza huyu mwanamke for me hafai kuwa mke wangu kama mi ningekua harmonize, because mwanamke anayejisifia anatafutwa na wanaume wengi, anaona kwamba she is the only who deserves good treatment, yani sura nayoipata hapo ni kuwa she is selfish in love and also anahisi kudate na mtu ni kama anamsaidia tu since anatafutwa na watu wengi. For me personally she don't deserve to be a wife. Am sorry kama nakosea
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 6 ай бұрын
Don't be sorry bro! Speak your Mind .......ni kweli kabisa ulichosema
@geomangi6123
@geomangi6123 6 ай бұрын
true huyu ni malaya ka malaya wengine
@Mina.15
@Mina.15 6 ай бұрын
😂😂😂 na nimuongo
@The_Royaltourer2006
@The_Royaltourer2006 5 ай бұрын
Inatakiwa waanze na kulipa kodi
@ericasamwangwa6671
@ericasamwangwa6671 3 ай бұрын
Upo sahihi kabisa...Anaona kama ukiwa nae kama anakuhurumia
@JerinaNguto-vv1gt
@JerinaNguto-vv1gt 6 ай бұрын
Tunakupenda,sana
@charlesmasele8454
@charlesmasele8454 Жыл бұрын
Hiyo "poa baby" isisafiri sana maana #TAMBWEE sio pigo sake hizo.
@bestmilltz7071
@bestmilltz7071 5 ай бұрын
Wow, she has got an accent
@ngayaimkwe5175
@ngayaimkwe5175 Жыл бұрын
Mdangaji kama wengine
@alantonio855
@alantonio855 Жыл бұрын
Kaka Ommy unaendaga mjini ukimzungumzia Kondeboy...watu wengi walikuja kukuskia baada ya kuandika jina la Harmonize
@alexboidy-or4ti
@alexboidy-or4ti 6 ай бұрын
Really ideal bro ❤❤
@user-mv5iy9ih3b
@user-mv5iy9ih3b 5 ай бұрын
Omy, kitambo Sana nakubali kazi zako kila unako amia ila nikichukizwa Sana mambo ya makundi kushiliki uchochezi hii sio poa unauwezo mkubwa wa kufikili na kusikika wwe Kama wwe na sio mtu na mtu
@user-ok3dm2yh4j
@user-ok3dm2yh4j Жыл бұрын
Bring Anjella next.
@SuphianiSemunyu
@SuphianiSemunyu 6 ай бұрын
Hao wanaume wengine wanafata maji
@misalabandimanya2423
@misalabandimanya2423 Жыл бұрын
The king of interview
@successpatience7641
@successpatience7641 Жыл бұрын
Yaani utumwa wa lugha ni tatizo sana
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 6 ай бұрын
Kweli kabisa
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 4 ай бұрын
Na hautoisha
@DianaMatete
@DianaMatete 3 ай бұрын
Kweli kaka, yaani watu wanalazimisha lugha bhana
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 6 ай бұрын
We muuza k tu yani unaweka mambo hazarani kabisa
@hajiali8820
@hajiali8820 Жыл бұрын
Nimeingiya baada yakumsikia conde
@andersonkipkemoi2527
@andersonkipkemoi2527 6 ай бұрын
Dada anaota hela sana😅😂
@mashaurimasolwa2601
@mashaurimasolwa2601 5 ай бұрын
staff like that
@officialjorkeper5049
@officialjorkeper5049 Жыл бұрын
Lil ommy kula chuma hyo 📌
@gwidjiqshabani2082
@gwidjiqshabani2082 Жыл бұрын
HARMONIZE 🐘 NI KING OF BONGO FLEVA 🇹🇿 ATA BOSS WENU ANAJUWA. NDOMAANA HAMSHINDWI KUMTAJATAJAA👊👊 KONDE GANG HQ. TUPO NGANGARIII.🐘🐘
@subirajohn728
@subirajohn728 Жыл бұрын
King wa wapi tutolee Uchafu waki
@chrisk.efreestylerofficial149
@chrisk.efreestylerofficial149 Жыл бұрын
Tukulaumu wewe au bangi?
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Ache kujaza upepe mmakonde bado underground sana
@tabiangonyani3526
@tabiangonyani3526 4 ай бұрын
😂😂😂😂watu waoga Sana nilichogundua mashabiki wa konde hamjiamini kabsa Nacc tunawaambia mtasubir Sana Namba moja wetu hapa tz atabaki kuwa mmoja2😅😅😅
@somaliandnorway
@somaliandnorway Жыл бұрын
Always amazing lil omy
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Nice interview 🥰🥰
@majaissa
@majaissa Жыл бұрын
NATAKA KUMUOWA UYO DADA.SHIDA NI MUNYERWANDA
@user-kt2bi4pn6t
@user-kt2bi4pn6t 5 ай бұрын
yup weng san
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 Жыл бұрын
Posh uraho amakuru uri mwiza koko urumunyarwanda mama wawe nu mutusti niyo mpamvu uri mwiza
@Mondkingali
@Mondkingali Жыл бұрын
I’m here bcz of harmonize name
@magolla9209
@magolla9209 6 ай бұрын
Bro kama unafanya interview ili uwe mtam zaid tumia lugha moja kifup hh umefanya like like like like nyingi paka zinaboa aiseeeee shshshshshshsgshsjsjsgsjsgsjssgsjsgshsj blah blah blah
@FernandShabani-er1cw
@FernandShabani-er1cw 3 ай бұрын
Nafurahiya sana interview zenu
@IssahYasini
@IssahYasini 6 ай бұрын
Nah hatar sana mamb ya maokoto😂
@user-rr6zh5uf9y
@user-rr6zh5uf9y 6 ай бұрын
Ommy We miss @country WIZZY here
@ndally7864
@ndally7864 Жыл бұрын
Kuna siku nitasema 🙏
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Жыл бұрын
English sasa aaaam uuuuh ummm mhhh like like 😂😂😂😂 hapo anajiona mmarekani 😂
@user-ug3lu2km4c
@user-ug3lu2km4c 6 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka c waongee tu kiswahil tunajua wanajua
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kunogesha interview
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 4 ай бұрын
Yaani majanaume yanapenda kuheshimiwa,wakati hiyo heshima haiji bure
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 6 ай бұрын
Nimewahi kuona watu wanajidhalilisha lakini huyu binti amevunja records zote. Lugha anayotumia ya kujifanya mzungu , kujishauwa, kisha philosofia yake ya maisha kama kupenda fedha sana. Ati pesa ndiyo itakayofanya asicheat. 🙄 Ni vigumu kuona umuhimu wa kumsikiliza mtu kama huyu ila tu kujifunza kuwa baadhi ya watu hawana thamani yoyote bali vyombo tu🤮
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 5 ай бұрын
😂😂, kabisa na nyongeza ni kuwa watu wa aina hii hawana muono chanya wa mbele, ukiwa naye usitegemee atakushauri chochote cha maana zaid ya starehe tu
@maryannqueen7356
@maryannqueen7356 3 ай бұрын
Mimi Nikolai’s harmonize ametajwa, mbio ninayo kimbia sio ya umri wa miaka 50.. 😂Tembo world wide and age wide
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr Жыл бұрын
wanaume bado mna kazi endeleni kutafuta pesa 😂
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 ай бұрын
Kwa kweli
@subirajohn728
@subirajohn728 Жыл бұрын
Mond❤️❤️❤️
@hajiali8820
@hajiali8820 Жыл бұрын
Kumbe bila kuandika jina la harmo interview zenu aziwezi kwenda
@user-id8bu6lw8x
@user-id8bu6lw8x 6 ай бұрын
😅😅😅😅
@barakarobert1029
@barakarobert1029 Ай бұрын
Umefata hela kwa konde hakuna love pale unaigiza mbongo movie
@MarthaBura-or8fe
@MarthaBura-or8fe 2 ай бұрын
Ila hamornaz anatakiwa kuwa makini sana na Hawa wanawake
@shuckahboy4241
@shuckahboy4241 Жыл бұрын
Nime view hii interview after see the name of konde 4 real
@eddymudindi9166
@eddymudindi9166 Жыл бұрын
Same
@talents7934
@talents7934 6 ай бұрын
Hana ata kalio kama la Kajala😢😢😢😢ukimweka Pima Maji kuanzia Mgongoni hadi mguuni itasoma level
@annasolomon9855
@annasolomon9855 6 ай бұрын
Unaota ndoto za mchana ukiwa umekaa kwenye Kochi.. huyu dada anashepu nzuri sana kajala haingii hata robo.. acha kimcompea na kajala. Kajala mashalla lakini poshy umeumbika vizuri kubali ukatae 😊😊
@user-fd4dt9zo2g
@user-fd4dt9zo2g Жыл бұрын
Huyu mrembo nimempenda bure, very smart
@user-he9wf2uf7y
@user-he9wf2uf7y Жыл бұрын
sana🎉
@user-oi3pf6dj8t
@user-oi3pf6dj8t 5 ай бұрын
Namkubali kwel huyo jamaa
@cassianmkeko1514
@cassianmkeko1514 Жыл бұрын
Hiyo akili yenyewe ya kuajiliwa anayobasi ni kilaza no 1 show off tu Eti mdogo🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@spreadlove5300
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Are you a genius one 😮😮😮 negative azz
@odetharwaibale4963
@odetharwaibale4963 5 ай бұрын
Brabraaaa and staff like that 😅😅😅😅😅😅 dah mwandishi kiboko
@ellgodfather282
@ellgodfather282 6 ай бұрын
Brother interview mmetuibia MB
@Mina.15
@Mina.15 6 ай бұрын
Kachaa ndio nini 😂
@user-pe8wh5bw2h
@user-pe8wh5bw2h 2 ай бұрын
Umepend hel au jic alivyo
@ramak.9587
@ramak.9587 6 ай бұрын
Sasa to be honest uyu ni mtu angetulia kwa ndoa surely. Mtu amezoea mboro za kila aina haezi tulia na mwanaume mmoja
@user-om8ni4hg8m
@user-om8ni4hg8m 6 ай бұрын
Nilivyowaza tofauti , Kumbe keshapita , keshazaa ,alafu nimesikia alishadanga duh.... Unajua Nimechoka hoi. 😮
@ashaali7154
@ashaali7154 3 ай бұрын
Eti anapenda hela mmmh huyu ni zaidi ya Kajala danga la kimataifa hili
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Posh queen
@cosmascastory9193
@cosmascastory9193 Жыл бұрын
Mademu wa Kibongo makuma sana yani wanapenda kuchanganya lugha kwenye interview
@hamisiissa8628
@hamisiissa8628 6 ай бұрын
Acha ushamba na ww ongea tuu
@adkajisi4536
@adkajisi4536 6 ай бұрын
Nani alisema ukimbie shulee
@user-id8bu6lw8x
@user-id8bu6lw8x 6 ай бұрын
Yes they do bored
@kelvinstewart6595
@kelvinstewart6595 11 ай бұрын
so money is the thing she cares most........kazi ipo
@ahz6907
@ahz6907 6 ай бұрын
Amekuwa mkweli..😂
@EmanuelNicholaus-vn9gl
@EmanuelNicholaus-vn9gl 6 ай бұрын
King 👑 of interviews
@salomemlagila5757
@salomemlagila5757 2 ай бұрын
Mnyakyusa mwenzangu
@user-vi9bu7xv6h
@user-vi9bu7xv6h 4 ай бұрын
Etianapenda hela hamo ajipange
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@vickynyakio7346
@vickynyakio7346 5 ай бұрын
Lilommy tuletee zuchu sasa kwa hayanaendelea tumsikie pia kwa yake
@Lanihsarumu
@Lanihsarumu 4 ай бұрын
❤❤
@jawaheerjamal2112
@jawaheerjamal2112 5 ай бұрын
Chezea chuma cha doshi weye lazima uchanganyikiwe tu
@lusseraymond5449
@lusseraymond5449 Жыл бұрын
Enheee
@morevibesmedia.8480
@morevibesmedia.8480 Жыл бұрын
Anapenda pesa na hamo anapenda matako makubwa nampa pole hamo haangali shape anaangalia manyamanyama
@festonindi4140
@festonindi4140 2 ай бұрын
Fanya kitu kinachokupa raha usiwazie nan anasema nini,Dunia hii tunapitia tuh kama maisha ya kuku....
@startz24
@startz24 Жыл бұрын
Baby tena mzee kukwamuwe apo
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 4 ай бұрын
yeye namba mbili sanchi anaanza
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Жыл бұрын
Mtoto wa mchungaji, hana akili kabisaaa
@badmanno.1650
@badmanno.1650 6 ай бұрын
Kaa kaaida
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 5 ай бұрын
Sasa kama ana bwana yuko nje! Hamonize wavnini, si itakuwa anapoteza muda
@panzamarthinie9958
@panzamarthinie9958 4 ай бұрын
😅😅😅😅😅 mimi apoo
@wardaridhwankassim4774
@wardaridhwankassim4774 Жыл бұрын
Instaf laik zat😢😢 badilik omy baaana
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 4 ай бұрын
Mwanamke mzr niyule mwenye kujistir
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 6 ай бұрын
Mkiwa Mnawaoji Wenye Kusema Wao Ni Warembo Muwambie Wakijaga Kuojiwa Wasivae Nywere Bandia Wasipake Mekap Yani Waoge2 Na Kupaka Mafuta Tuwaone Vizuli Nasi Tanzania Tuone Kama Tuko Na Warembo Au Sanaa2 Ya Urembo Wawe Na Viungo Vyao Halisi Kuanzia Miguuni Mpaka Kichwani Jamani Ndio Urembo Halisi Nasio Kuvyaa Viungo Vya Shetani Muaite Warembo Acheni Kufuru
@eliachaula6542
@eliachaula6542 4 ай бұрын
Fyuuuuuuuu kwan mpaka ujisifie lil ommy
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 54 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 12 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 21 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
"NAPENDA MWANAUME MWENYE HELA, KAMA HUNA HELA BASI" - POSH QUEEN
3:33
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 9 МЛН
Приятного аппетита 🤣
0:15
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 9 МЛН
Этот парень написал картину... 😎
0:29
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 6 МЛН
Choices for your loved ones❤️
0:15
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 11 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 9 МЛН