Tulio kuja mbio 🏃🏃🏃🏃 baada ya kusikia jina la harmonize tujuane please 🥺
@nasmasalimu9508 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@arakali8735 Жыл бұрын
Tupo😂
@MkutiNandaja-rz3nk Жыл бұрын
😅😅🎉
@akimbashirwa9371 Жыл бұрын
😂😂❤
@eliaspatiu2472 Жыл бұрын
Tupo kabsa
@cathbertkendrick68606 ай бұрын
6month ago ila tunao angalia interview saiz kusikia anatoka na Harmonize 👍🏽
@AmCool_6 ай бұрын
Mzee wa STAFF LIKE THAT 😂😂
@sophiemaseno64366 ай бұрын
Here because of Harmonize. From🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@kikombeselemani62786 ай бұрын
Ukweli najuwa, mwanamke wowote anadamu ya kinyaru( Rwanda) kwanza hela. Yangine yote baadaye . Kwakusema umumiliki ni kumpa hela,
@sheilacruz64586 ай бұрын
Mbona usitulete harmonize sasa kwa hii podcast
@user-wl4uy7qv7uАй бұрын
Huy dada mbaya jamn bora kajal
@ivannoah Жыл бұрын
The king of interview @👊
@JojoMomo-et4zv6 ай бұрын
Ommy usijisafishe mzee… Mwanaume hajaumbiwa mwanammke mmoja Nevaaaaaa,kama yupo huyo hana pesa
@davidibrahim91386 ай бұрын
Huyo ni mnyakyusa wala hana damu ya kinyarwanda, hata moja
@flinchclassic1531Ай бұрын
Kwaiyo harmo anapendwa juu ya pesa
@chainbre2756 ай бұрын
Sasa tuwache kusema o hamo kamuimba girlfriend wa dj wake kumbe poshy alisha mzimia harmonize kutambooo😂😂😂
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HELA NI NATURE KUIPENDA LAZIMA, AU YE ALIAMBIWA NA NANI, WENZIE HAWAPENDI HELA
@FernandShabani-er1cw3 ай бұрын
Nawafyata toka Congo DRC
@christophermhina6548 Жыл бұрын
Fire # The king of interview
@m___ck7996 ай бұрын
..and now their dating😊 Harmo&PoshQueen
@stevkaliona41076 ай бұрын
Mademu wa bongo rahaaaa sana hawana ndoto wanapenda maisha ya shortcut halafu yanawagharimu sana😂😂😂
@user-tf9gh8iu5s5 ай бұрын
Sio wot
@limbomambo97286 ай бұрын
Wapenda pesa kuliko maisha yako
@itzsnazzyjazzy472 Жыл бұрын
Half man half amazing the Lil ommy himself big up ma brother ❤
@lusubilomwandambo57573 ай бұрын
Kumbe mnyakyuu
@jforeign25411 ай бұрын
You got a new sub here 🎉 King
@faustinhommedetatnifasha96696 ай бұрын
Jina la #harmonize limechangia veuws kuwznyiiiingi saaana Nando video imekuwa nawatazamaji wengi kazidi in#2023 #Harmonize💪
@user-nb4gt2zf8d2 ай бұрын
Hatarii kabisa kazi ipo.
@user-qn1yq1pi7p6 ай бұрын
The lady is looking wow🤔
@wairimu9113 Жыл бұрын
Lil ommy my love,❤😊.. njoo nikudekeze😜
@Bob-kz2ql Жыл бұрын
Mamae walah tutafute mzigo yani HELA😂😂😂😂😂
@adkajisi45366 ай бұрын
Umeongea kwa hisia mkuu
@ShilalaShija6 ай бұрын
Posh queen, beautiful girl nakukubal san
@Chrisblaze-beats Жыл бұрын
HARMONIZE IS A BIG NAME.
@singanoabbas6696 ай бұрын
Siyo kweli mwanaume akipata hivo vyote utulivu lazima.... Me ni mwanaume nina ndoa zaid ya miaka 17.. Nimeona when niko form 6... Ila kuna jamaa yetu mmoja hivi ana respect ya kutosha kwa mkewe 7bu mkewe ana respect na yeye... Tulisha mtumia wasichana tofautitofauti wazuri,,hadi kumfungia ndani na mwanamke ila jamaa ni mstaarabu sn haja cheat... Kwa sababu hakosi chochote kwa mkewe... Hivo kifupi... Wapo wanaume wenzetu ambao wako SMATER THAN... Wewe unao cheatiwa ujue kuna tundu kwenye bati lako... 😂😂😂😂
@minzamariamcasmir1895 ай бұрын
A man doesn’t cheat akiwa na discipline tu. Hizo zingine zote ni excuses. Kuna alot of steps to take kama kuna kitu unakosa kwa mkeo mpaka kufikia cheating ila wanaume wasio kua na nidham ndo wanakurupuka na kucheat because hawawezi kucontrol tamaa zao afu wanasingizia flaws za wake zao. Mbona hata nyie wanaume mna flaws but wake zenu hawacheat because of mapungufu. Wakicheat because hawana nidhamu and it’s a choice too
@kendricgeorge6036 ай бұрын
Kwa akili ya kujiongeza huyu mwanamke for me hafai kuwa mke wangu kama mi ningekua harmonize, because mwanamke anayejisifia anatafutwa na wanaume wengi, anaona kwamba she is the only who deserves good treatment, yani sura nayoipata hapo ni kuwa she is selfish in love and also anahisi kudate na mtu ni kama anamsaidia tu since anatafutwa na watu wengi. For me personally she don't deserve to be a wife. Am sorry kama nakosea
@blackwarrior-animations5936 ай бұрын
Don't be sorry bro! Speak your Mind .......ni kweli kabisa ulichosema
@geomangi61236 ай бұрын
true huyu ni malaya ka malaya wengine
@Mina.156 ай бұрын
😂😂😂 na nimuongo
@The_Royaltourer20065 ай бұрын
Inatakiwa waanze na kulipa kodi
@ericasamwangwa66713 ай бұрын
Upo sahihi kabisa...Anaona kama ukiwa nae kama anakuhurumia
@JerinaNguto-vv1gt6 ай бұрын
Tunakupenda,sana
@charlesmasele8454 Жыл бұрын
Hiyo "poa baby" isisafiri sana maana #TAMBWEE sio pigo sake hizo.
@bestmilltz70715 ай бұрын
Wow, she has got an accent
@ngayaimkwe5175 Жыл бұрын
Mdangaji kama wengine
@alantonio855 Жыл бұрын
Kaka Ommy unaendaga mjini ukimzungumzia Kondeboy...watu wengi walikuja kukuskia baada ya kuandika jina la Harmonize
@alexboidy-or4ti6 ай бұрын
Really ideal bro ❤❤
@user-mv5iy9ih3b5 ай бұрын
Omy, kitambo Sana nakubali kazi zako kila unako amia ila nikichukizwa Sana mambo ya makundi kushiliki uchochezi hii sio poa unauwezo mkubwa wa kufikili na kusikika wwe Kama wwe na sio mtu na mtu
@user-ok3dm2yh4j Жыл бұрын
Bring Anjella next.
@SuphianiSemunyu6 ай бұрын
Hao wanaume wengine wanafata maji
@misalabandimanya2423 Жыл бұрын
The king of interview
@successpatience7641 Жыл бұрын
Yaani utumwa wa lugha ni tatizo sana
@stamillusatila90846 ай бұрын
Kweli kabisa
@jaffjeff69124 ай бұрын
Na hautoisha
@DianaMatete3 ай бұрын
Kweli kaka, yaani watu wanalazimisha lugha bhana
@evansdecaprio81966 ай бұрын
We muuza k tu yani unaweka mambo hazarani kabisa
@hajiali8820 Жыл бұрын
Nimeingiya baada yakumsikia conde
@andersonkipkemoi25276 ай бұрын
Dada anaota hela sana😅😂
@mashaurimasolwa26015 ай бұрын
staff like that
@officialjorkeper5049 Жыл бұрын
Lil ommy kula chuma hyo 📌
@gwidjiqshabani2082 Жыл бұрын
HARMONIZE 🐘 NI KING OF BONGO FLEVA 🇹🇿 ATA BOSS WENU ANAJUWA. NDOMAANA HAMSHINDWI KUMTAJATAJAA👊👊 KONDE GANG HQ. TUPO NGANGARIII.🐘🐘
@subirajohn728 Жыл бұрын
King wa wapi tutolee Uchafu waki
@chrisk.efreestylerofficial149 Жыл бұрын
Tukulaumu wewe au bangi?
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Ache kujaza upepe mmakonde bado underground sana
@tabiangonyani35264 ай бұрын
😂😂😂😂watu waoga Sana nilichogundua mashabiki wa konde hamjiamini kabsa Nacc tunawaambia mtasubir Sana Namba moja wetu hapa tz atabaki kuwa mmoja2😅😅😅
@somaliandnorway Жыл бұрын
Always amazing lil omy
@yousramutwale2463 Жыл бұрын
Nice interview 🥰🥰
@majaissa Жыл бұрын
NATAKA KUMUOWA UYO DADA.SHIDA NI MUNYERWANDA
@user-kt2bi4pn6t5 ай бұрын
yup weng san
@umsulaiman7468 Жыл бұрын
Posh uraho amakuru uri mwiza koko urumunyarwanda mama wawe nu mutusti niyo mpamvu uri mwiza
@Mondkingali Жыл бұрын
I’m here bcz of harmonize name
@magolla92096 ай бұрын
Bro kama unafanya interview ili uwe mtam zaid tumia lugha moja kifup hh umefanya like like like like nyingi paka zinaboa aiseeeee shshshshshshsgshsjsjsgsjsgsjssgsjsgshsj blah blah blah
@FernandShabani-er1cw3 ай бұрын
Nafurahiya sana interview zenu
@IssahYasini6 ай бұрын
Nah hatar sana mamb ya maokoto😂
@user-rr6zh5uf9y6 ай бұрын
Ommy We miss @country WIZZY here
@ndally7864 Жыл бұрын
Kuna siku nitasema 🙏
@homeandaway2811 Жыл бұрын
English sasa aaaam uuuuh ummm mhhh like like 😂😂😂😂 hapo anajiona mmarekani 😂
@user-ug3lu2km4c6 ай бұрын
😅😅😅😅nimecheka c waongee tu kiswahil tunajua wanajua
@user-xh7xf2ki3r2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 kunogesha interview
@ashakijaji58694 ай бұрын
Yaani majanaume yanapenda kuheshimiwa,wakati hiyo heshima haiji bure
@Mundi-oz7os6 ай бұрын
Nimewahi kuona watu wanajidhalilisha lakini huyu binti amevunja records zote. Lugha anayotumia ya kujifanya mzungu , kujishauwa, kisha philosofia yake ya maisha kama kupenda fedha sana. Ati pesa ndiyo itakayofanya asicheat. 🙄 Ni vigumu kuona umuhimu wa kumsikiliza mtu kama huyu ila tu kujifunza kuwa baadhi ya watu hawana thamani yoyote bali vyombo tu🤮
@ladislausngoyinde43845 ай бұрын
😂😂, kabisa na nyongeza ni kuwa watu wa aina hii hawana muono chanya wa mbele, ukiwa naye usitegemee atakushauri chochote cha maana zaid ya starehe tu
@maryannqueen73563 ай бұрын
Mimi Nikolai’s harmonize ametajwa, mbio ninayo kimbia sio ya umri wa miaka 50.. 😂Tembo world wide and age wide
@estermahenge-ks3dr Жыл бұрын
wanaume bado mna kazi endeleni kutafuta pesa 😂
@adkajisi45366 ай бұрын
Kwa kweli
@subirajohn728 Жыл бұрын
Mond❤️❤️❤️
@hajiali8820 Жыл бұрын
Kumbe bila kuandika jina la harmo interview zenu aziwezi kwenda
@user-id8bu6lw8x6 ай бұрын
😅😅😅😅
@barakarobert1029Ай бұрын
Umefata hela kwa konde hakuna love pale unaigiza mbongo movie
@MarthaBura-or8fe2 ай бұрын
Ila hamornaz anatakiwa kuwa makini sana na Hawa wanawake
@shuckahboy4241 Жыл бұрын
Nime view hii interview after see the name of konde 4 real
@eddymudindi9166 Жыл бұрын
Same
@talents79346 ай бұрын
Hana ata kalio kama la Kajala😢😢😢😢ukimweka Pima Maji kuanzia Mgongoni hadi mguuni itasoma level
@annasolomon98556 ай бұрын
Unaota ndoto za mchana ukiwa umekaa kwenye Kochi.. huyu dada anashepu nzuri sana kajala haingii hata robo.. acha kimcompea na kajala. Kajala mashalla lakini poshy umeumbika vizuri kubali ukatae 😊😊
@user-fd4dt9zo2g Жыл бұрын
Huyu mrembo nimempenda bure, very smart
@user-he9wf2uf7y Жыл бұрын
sana🎉
@user-oi3pf6dj8t5 ай бұрын
Namkubali kwel huyo jamaa
@cassianmkeko1514 Жыл бұрын
Hiyo akili yenyewe ya kuajiliwa anayobasi ni kilaza no 1 show off tu Eti mdogo🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@spreadlove5300 Жыл бұрын
Are you a genius one 😮😮😮 negative azz
@odetharwaibale49635 ай бұрын
Brabraaaa and staff like that 😅😅😅😅😅😅 dah mwandishi kiboko
@ellgodfather2826 ай бұрын
Brother interview mmetuibia MB
@Mina.156 ай бұрын
Kachaa ndio nini 😂
@user-pe8wh5bw2h2 ай бұрын
Umepend hel au jic alivyo
@ramak.95876 ай бұрын
Sasa to be honest uyu ni mtu angetulia kwa ndoa surely. Mtu amezoea mboro za kila aina haezi tulia na mwanaume mmoja
Eti anapenda hela mmmh huyu ni zaidi ya Kajala danga la kimataifa hili
@rizoibrahimovich605 Жыл бұрын
Posh queen
@cosmascastory9193 Жыл бұрын
Mademu wa Kibongo makuma sana yani wanapenda kuchanganya lugha kwenye interview
@hamisiissa86286 ай бұрын
Acha ushamba na ww ongea tuu
@adkajisi45366 ай бұрын
Nani alisema ukimbie shulee
@user-id8bu6lw8x6 ай бұрын
Yes they do bored
@kelvinstewart659511 ай бұрын
so money is the thing she cares most........kazi ipo
@ahz69076 ай бұрын
Amekuwa mkweli..😂
@EmanuelNicholaus-vn9gl6 ай бұрын
King 👑 of interviews
@salomemlagila57572 ай бұрын
Mnyakyusa mwenzangu
@user-vi9bu7xv6h4 ай бұрын
Etianapenda hela hamo ajipange
@Mohaa4309 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@vickynyakio73465 ай бұрын
Lilommy tuletee zuchu sasa kwa hayanaendelea tumsikie pia kwa yake
@Lanihsarumu4 ай бұрын
❤❤
@jawaheerjamal21125 ай бұрын
Chezea chuma cha doshi weye lazima uchanganyikiwe tu
@lusseraymond5449 Жыл бұрын
Enheee
@morevibesmedia.8480 Жыл бұрын
Anapenda pesa na hamo anapenda matako makubwa nampa pole hamo haangali shape anaangalia manyamanyama
@festonindi41402 ай бұрын
Fanya kitu kinachokupa raha usiwazie nan anasema nini,Dunia hii tunapitia tuh kama maisha ya kuku....
@startz24 Жыл бұрын
Baby tena mzee kukwamuwe apo
@sakinaomary72074 ай бұрын
yeye namba mbili sanchi anaanza
@homeandaway2811 Жыл бұрын
Mtoto wa mchungaji, hana akili kabisaaa
@badmanno.16506 ай бұрын
Kaa kaaida
@mariamalongo88035 ай бұрын
Sasa kama ana bwana yuko nje! Hamonize wavnini, si itakuwa anapoteza muda
@panzamarthinie99584 ай бұрын
😅😅😅😅😅 mimi apoo
@wardaridhwankassim4774 Жыл бұрын
Instaf laik zat😢😢 badilik omy baaana
@AsdDsa-fi5qk4 ай бұрын
Mwanamke mzr niyule mwenye kujistir
@awadhrajabu14036 ай бұрын
Mkiwa Mnawaoji Wenye Kusema Wao Ni Warembo Muwambie Wakijaga Kuojiwa Wasivae Nywere Bandia Wasipake Mekap Yani Waoge2 Na Kupaka Mafuta Tuwaone Vizuli Nasi Tanzania Tuone Kama Tuko Na Warembo Au Sanaa2 Ya Urembo Wawe Na Viungo Vyao Halisi Kuanzia Miguuni Mpaka Kichwani Jamani Ndio Urembo Halisi Nasio Kuvyaa Viungo Vya Shetani Muaite Warembo Acheni Kufuru