#PRESS

  Рет қаралды 34,160

Yanga TV

Yanga TV

3 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 89
@maestrokiss7245
@maestrokiss7245 2 күн бұрын
Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 2 күн бұрын
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
@user-rf3fg4xn4n
@user-rf3fg4xn4n 2 күн бұрын
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
@JacksonFrances
@JacksonFrances Күн бұрын
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa, GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
@salummaulid6252
@salummaulid6252 2 күн бұрын
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 күн бұрын
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
@minazsaid2470
@minazsaid2470 2 күн бұрын
Yanga Oyeee
@paraxedjoseph5174
@paraxedjoseph5174 2 күн бұрын
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
@ShabanPaschal
@ShabanPaschal 2 күн бұрын
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m Күн бұрын
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
@fredylucas2484
@fredylucas2484 2 күн бұрын
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
@angelmisholy6478
@angelmisholy6478 2 күн бұрын
😂😂😂
@user-xy9nm3lx5x
@user-xy9nm3lx5x Күн бұрын
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
@Producerfadybeats
@Producerfadybeats 2 күн бұрын
Akili kubwa🔥
@bennyteve3871
@bennyteve3871 Күн бұрын
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
@bakarimahenge
@bakarimahenge 2 күн бұрын
Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga
@JacksonFrances
@JacksonFrances Күн бұрын
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
@shalalishalali3101
@shalalishalali3101 Күн бұрын
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl Күн бұрын
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV Күн бұрын
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n Күн бұрын
Wara mumetisha sana chama langu
@MgetabarakaBukori
@MgetabarakaBukori 2 күн бұрын
Bila D 2 huwez elewaa😅😅
@LameckSichimata
@LameckSichimata 2 күн бұрын
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm Күн бұрын
Yangaaaaa
@abdallahrashid2899
@abdallahrashid2899 2 күн бұрын
Bado magazeti ya yanga😂
@jumashedafa
@jumashedafa 2 күн бұрын
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
@mudyAlly-yv8qg
@mudyAlly-yv8qg Күн бұрын
yang rahaaaaaa❤❤
@JacksonFrances
@JacksonFrances Күн бұрын
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
@BarikiMlengu
@BarikiMlengu 2 күн бұрын
Hii app haieleweki kabisa
@Ktz-kr1nk
@Ktz-kr1nk 2 күн бұрын
Akili mingi 🎉🎉
@thomasmn2723
@thomasmn2723 2 күн бұрын
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 күн бұрын
Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢
@FatumaShabani-mp9vt
@FatumaShabani-mp9vt 2 күн бұрын
​@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 2 күн бұрын
@@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 Күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
@IsayaTweve
@IsayaTweve 2 күн бұрын
Leo ni Dube tunampokea
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 күн бұрын
Tuchangie tim
@AliMassude-qk7zl
@AliMassude-qk7zl Күн бұрын
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
@ignaskalembe4198
@ignaskalembe4198 Күн бұрын
Safi kabisaaaaaa
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 Күн бұрын
Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂
@petrochikawe1797
@petrochikawe1797 Күн бұрын
Yanga raha san
@user-bq6iy1zb8h
@user-bq6iy1zb8h Күн бұрын
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
@FrenkEliaKafene
@FrenkEliaKafene 2 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
@jacksonlyimo1491
@jacksonlyimo1491 Күн бұрын
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
@GilbertRashid
@GilbertRashid 2 күн бұрын
Pamoja
@Sunshine0222
@Sunshine0222 2 күн бұрын
😮
@salumchoma8731
@salumchoma8731 Күн бұрын
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q Күн бұрын
Mbona halotel haikubal
@goodluckabdul7316
@goodluckabdul7316 2 күн бұрын
Mbona inagoma
@law93king
@law93king 2 күн бұрын
😅😅
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 Күн бұрын
Allaah Akbar
@ziadaidrisa16
@ziadaidrisa16 Күн бұрын
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
@JohnMagessa-nw3qs
@JohnMagessa-nw3qs Күн бұрын
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
@jumashedafa
@jumashedafa 2 күн бұрын
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 күн бұрын
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 күн бұрын
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@jumashedafa
@jumashedafa Күн бұрын
@@user-po8hz7xw9j Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
@rukiamtego
@rukiamtego Күн бұрын
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@jumashedafa
@jumashedafa Күн бұрын
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q Күн бұрын
Tuisapoti klabu yetu
@MonahMosafiri
@MonahMosafiri 2 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛
@johannmaloda6027
@johannmaloda6027 Күн бұрын
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
@CharlesNdaki-mb5kt
@CharlesNdaki-mb5kt Күн бұрын
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 2 күн бұрын
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
@LimseyMassawe
@LimseyMassawe 2 күн бұрын
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@PabloPembe-ne7oy
@PabloPembe-ne7oy Күн бұрын
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
@ellyelly9069
@ellyelly9069 Күн бұрын
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
@shaibujuma6618
@shaibujuma6618 Күн бұрын
Hiii kubwa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises Күн бұрын
sasa kama upo nnje ya nchi?
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
@davidobonyo7558
@davidobonyo7558 Күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@veelmng7746
@veelmng7746 Күн бұрын
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
@TunguIzengo
@TunguIzengo Күн бұрын
Namna iyoo
@upendoomary1921
@upendoomary1921 Күн бұрын
Tayari unasubili habari
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo 2 күн бұрын
149.04#
@EmmanuelMulenga-bc7bj
@EmmanuelMulenga-bc7bj Күн бұрын
me nipo zambia nafanyaje
@fadhilisule
@fadhilisule Күн бұрын
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
@user-ht5tc5yv5t
@user-ht5tc5yv5t 2 күн бұрын
App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢
@JofuJafet
@JofuJafet Күн бұрын
Ok
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Күн бұрын
Mwamba huyu hapa
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 2 күн бұрын
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Күн бұрын
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
@odilomwakamela4889
@odilomwakamela4889 Күн бұрын
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Күн бұрын
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@fredylucas2484
@fredylucas2484 Күн бұрын
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 7 сағат бұрын
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili
@MchanaLive
@MchanaLive 2 күн бұрын
tumekusoma kaka
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 469 М.
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,2 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /12/ #love
32:35
BabaJoan
Рет қаралды 60 М.
Веселое мма
0:45
Ицюань | Школа Оздоровления и Самопознания
Рет қаралды 277 М.
Insane Disrespect Moments 😡
0:31
Football Fancier
Рет қаралды 4,4 МЛН
Итоги 1/8 Евро-2024 | МЯЧ Подкаст
1:14:16
МЯЧ Shorts
Рет қаралды 199 М.