Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
@khadijajuma62712 күн бұрын
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
@user-rf3fg4xn4n2 күн бұрын
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
@JacksonFrancesКүн бұрын
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa, GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
@salummaulid62522 күн бұрын
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
@Sumaiyafisoo2 күн бұрын
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
@minazsaid24702 күн бұрын
Yanga Oyeee
@paraxedjoseph51742 күн бұрын
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
@ShabanPaschal2 күн бұрын
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
@user-np4om6hz4mКүн бұрын
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
@fredylucas24842 күн бұрын
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
@angelmisholy64782 күн бұрын
😂😂😂
@user-xy9nm3lx5xКүн бұрын
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
@Producerfadybeats2 күн бұрын
Akili kubwa🔥
@bennyteve3871Күн бұрын
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
@bakarimahenge2 күн бұрын
Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga
@JacksonFrancesКүн бұрын
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
@shalalishalali3101Күн бұрын
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
@AliMassude-qk7zlКүн бұрын
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
@mudyAlly-yv8qgКүн бұрын
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
@MWALIMUCHAKATVКүн бұрын
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
@user-em2sd9tm1nКүн бұрын
Wara mumetisha sana chama langu
@MgetabarakaBukori2 күн бұрын
Bila D 2 huwez elewaa😅😅
@LameckSichimata2 күн бұрын
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
@NelsonMatambo-ob5zmКүн бұрын
Yangaaaaa
@abdallahrashid28992 күн бұрын
Bado magazeti ya yanga😂
@jumashedafa2 күн бұрын
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
@mudyAlly-yv8qgКүн бұрын
yang rahaaaaaa❤❤
@JacksonFrancesКүн бұрын
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
@BarikiMlengu2 күн бұрын
Hii app haieleweki kabisa
@Ktz-kr1nk2 күн бұрын
Akili mingi 🎉🎉
@thomasmn27232 күн бұрын
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
@ignaskalembe4198Күн бұрын
Safi kabisaaaaaa
@rajabrwambow9660Күн бұрын
Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂
@petrochikawe1797Күн бұрын
Yanga raha san
@user-bq6iy1zb8hКүн бұрын
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
@FrenkEliaKafene2 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
@jacksonlyimo1491Күн бұрын
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
@GilbertRashid2 күн бұрын
Pamoja
@Sunshine02222 күн бұрын
😮
@salumchoma8731Күн бұрын
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
@user-yk7ff9ks6qКүн бұрын
Mbona halotel haikubal
@goodluckabdul73162 күн бұрын
Mbona inagoma
@law93king2 күн бұрын
😅😅
@shaibusaady2420Күн бұрын
Allaah Akbar
@ziadaidrisa16Күн бұрын
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
@JohnMagessa-nw3qsКүн бұрын
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
@jumashedafa2 күн бұрын
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
@user-po8hz7xw9j2 күн бұрын
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
@user-po8hz7xw9j2 күн бұрын
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@jumashedafaКүн бұрын
@@user-po8hz7xw9j Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
@rukiamtegoКүн бұрын
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@jumashedafaКүн бұрын
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
@user-yk7ff9ks6qКүн бұрын
Tuisapoti klabu yetu
@MonahMosafiri2 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛
@johannmaloda6027Күн бұрын
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
@CharlesNdaki-mb5ktКүн бұрын
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
@janiafaomaa51202 күн бұрын
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
@LimseyMassawe2 күн бұрын
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@PabloPembe-ne7oyКүн бұрын
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
@ellyelly9069Күн бұрын
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
@shaibujuma6618Күн бұрын
Hiii kubwa
@moiseszacariasmoisesmoisesКүн бұрын
sasa kama upo nnje ya nchi?
@kidawajuma95972 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
@davidobonyo7558Күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@veelmng7746Күн бұрын
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
@TunguIzengoКүн бұрын
Namna iyoo
@upendoomary1921Күн бұрын
Tayari unasubili habari
@Sumaiyafisoo2 күн бұрын
149.04#
@EmmanuelMulenga-bc7bjКүн бұрын
me nipo zambia nafanyaje
@fadhilisuleКүн бұрын
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
@fredylucas2484Күн бұрын
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
@odilomwakamela4889Күн бұрын
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@fredylucas2484Күн бұрын
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@fredylucas2484Күн бұрын
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
@lydiadaudi40767 сағат бұрын
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili