Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊
@khadijajuma62714 күн бұрын
😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu
@user-rf3fg4xn4n4 күн бұрын
Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan
@salummaulid62524 күн бұрын
Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉
@ShabanPaschal4 күн бұрын
Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱
@JacksonFrances4 күн бұрын
Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa, GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "
@minazsaid24704 күн бұрын
Yanga Oyeee
@JacksonFrances4 күн бұрын
😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "
@paraxedjoseph51744 күн бұрын
Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia
@bennyteve38714 күн бұрын
Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu
@user-np4om6hz4m4 күн бұрын
Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤
@Producerfadybeats4 күн бұрын
Akili kubwa🔥
@user-xy9nm3lx5x4 күн бұрын
Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.
@shalalishalali31014 күн бұрын
Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii
@fredylucas24844 күн бұрын
huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa
@angelmisholy64784 күн бұрын
😂😂😂
@MWALIMUCHAKATV4 күн бұрын
Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu
@LameckSichimata4 күн бұрын
Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂
@thomasmn27234 күн бұрын
Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?
Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo
@AliMassude-qk7zl4 күн бұрын
Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz
@Ktz-kr1nk4 күн бұрын
Akili mingi 🎉🎉
@IsayaTweve4 күн бұрын
Leo ni Dube tunampokea
@shaibusaady24203 күн бұрын
Allaah Akbar
@mudyAlly-yv8qg4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa
@NelsonMatambo-ob5zm4 күн бұрын
Yangaaaaa
@ntanilanjema044 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
@BarikiMlengu4 күн бұрын
Hii app haieleweki kabisa
@jacksonlyimo14914 күн бұрын
Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah
@user-em2sd9tm1n4 күн бұрын
Wara mumetisha sana chama langu
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
Tuchangie tim
@user-bq6iy1zb8h4 күн бұрын
Jee watu wa u s a watalipa vip bro
@mudyAlly-yv8qg4 күн бұрын
yang rahaaaaaa❤❤
@GilbertRashid4 күн бұрын
Pamoja
@JacksonFrances4 күн бұрын
Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...
Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali
@ignaskalembe41984 күн бұрын
Safi kabisaaaaaa
@FrenkEliaKafene4 күн бұрын
Wananchiiiiiiiiiiiiiii
@MonahMosafiri4 күн бұрын
💛💚💛💚💛💚💛
@JofuJafet4 күн бұрын
Ok
@johannmaloda60274 күн бұрын
Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅
@CharlesNdaki-mb5kt4 күн бұрын
Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku
@user-yk7ff9ks6q4 күн бұрын
Mbona halotel haikubal
@petrochikawe17974 күн бұрын
Yanga raha san
@AliMassude-qk7zl4 күн бұрын
Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.
@shaibujuma66184 күн бұрын
Hiii kubwa
@JohnMagessa-nw3qs4 күн бұрын
Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý
@kidawajuma95974 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉
@moiseszacariasmoisesmoises3 күн бұрын
sasa kama upo nnje ya nchi?
@veelmng77464 күн бұрын
Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania
@upendoomary19214 күн бұрын
Tayari unasubili habari
@Sumaiyafisoo4 күн бұрын
149.04#
@EmmanuelMulenga-bc7bj4 күн бұрын
me nipo zambia nafanyaje
@jumashedafa4 күн бұрын
Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema
@user-po8hz7xw9j4 күн бұрын
Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha
@user-po8hz7xw9j4 күн бұрын
Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga
@jumashedafa4 күн бұрын
@@user-po8hz7xw9j Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar
@rukiamtego4 күн бұрын
Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo
@jumashedafa4 күн бұрын
@@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar
@TunguIzengo4 күн бұрын
Namna iyoo
@janiafaomaa51204 күн бұрын
huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida
@LimseyMassawe4 күн бұрын
Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏
@PabloPembe-ne7oy4 күн бұрын
Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅
@ellyelly90694 күн бұрын
Wee nawe ndim uko marekan ya buza
@ziadaidrisa164 күн бұрын
Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu
@davidobonyo75584 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@amaniomar17554 күн бұрын
Mwamba huyu hapa
@MchanaLive4 күн бұрын
tumekusoma kaka
@fadhilisule4 күн бұрын
eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea
@odilomwakamela48894 күн бұрын
Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?
@fredylucas24844 күн бұрын
Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂
@odilomwakamela48894 күн бұрын
Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??
@fredylucas24844 күн бұрын
@@odilomwakamela4889 kitambulisho
@fredylucas24844 күн бұрын
@@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000
@lydiadaudi40763 күн бұрын
We uko Tanzania au nchi gani? Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili