Kama unakubali series ya ploblem kuanzia mwanzo mbaka leo final tujuane kwa like zakutosha...😂😂😂❤❤❤❤
@YohanaLutta4 күн бұрын
❤❤
@mohamedlopa84104 күн бұрын
❤❤
@MariamMZIMBA-zf5ev4 күн бұрын
Nimejifunza mengi sana kupitia hii kwakweli Kazi nzuri History imemfanya ata mume wangu kutoka kwenye mawazo potofu Alikuwa anafkiria kutafuta utajiri wa aina huu na sasa kaacha kabisa kuwaza ayo mawazo kwakuona hali ya mkeo
@mohamedlopa84104 күн бұрын
@@MariamMZIMBA-zf5ev❤❤❤
@AbelFrancis-ww7cb3 күн бұрын
Kuna chakujifunza
@user-fw2jk3mx7g4 күн бұрын
Chado kazi nzuri sasa leo ndio mwisho wa mchezo sasa naomba like zenu zote za hanifa na huyo aliyekuwa anauguza hanifa wote nipeni ili nipate kusubiri tamthilia mpya
@AdijaRumonge4 күн бұрын
Wallah naombeni like zang Leo wakwanza sijawai kupata like🙏🙏🙏🙏
@luckylucky71534 күн бұрын
Kama tulianza pamoja hadi tamati pitisha like tukisonga chado ww ni mkali wao
@user-ul5jk5gr2d4 күн бұрын
❤❤❤ nwakubal nyote..kaz nzur sana, ila uyo ustadh hakuwajibka kwa chochot kile zaid kuboesh😅😅
@macatao4 күн бұрын
Tuna subili kazi nzuli nyengine Bado tupo macsho
@user-tc5le7sv7t4 күн бұрын
Atimae tumemaliza Salm Allahmdhulilah asanteni sana kazi ilikua moto moto mulipo nipo kutoka omani nasubiri zaidi ya hii kaka ❤❤
@user-qq2oc4bt3i4 күн бұрын
Kazi nzuri Sana... mwanang chado...ongereni nyote mlio shiriki Kwa kukamilisha kazi nzuri Na yenye mafunzo kwetu...by Mr okay 1time
@SusanJulius-cu8xp4vx4m4 күн бұрын
Shukran Kwa kazi nzuri na pia poleni Kwa changamoto ila mmenifunza kitu kubwa sana heri nipate hela Kwa jasho langu acha ning'ang'ane na waarabu wangu ni Kenya nipelekee ushindi
@SelemaniIddy-nc1nf4 күн бұрын
Chado master unajuwa kuingiza naomba move inayokuja igiza kama msela sawa
@AminaReylah4 күн бұрын
Duuuuh hongera chado kwa kaz nzuri
@azizakabago81083 күн бұрын
Kaz nzur san bro, naomba hyo nyimbo ya problem tafadhali
@zainaalmahlruqy58294 күн бұрын
Kazi nzuri sana lakini ombi langu kaka zetu wanaume muache kuvaa macheni shingoni NA mikononi sasa hatujui mwanamke ni nani ..... mjidhalilisha sana mwanaume RIJAL SHAKHSIA AWE MKAKAMAVU SIO KUJIREGEZA NA HAYO MACHENI YENU .....KWA KWELI HANIFA NINAKUPENDA NA KWELI UNAJUA KUEKTI NA NI MZURI SANA
@SittaMnhogolo-dw3os4 күн бұрын
Sikatai Mimi ni wa7 nipeni like zangu nife nazo
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY4 күн бұрын
Big up kazi nzuri sanaa pia nimependa tulikuwa atusubirii sanaaa yaan weka tuweke
@mejumaabaraza39894 күн бұрын
Hii film cjaiona na kosa lolote wallahy nzuri toka mwanzo mpaka hii finally big up nyote mlio shiriki
@ChanceMarie-Claire4 күн бұрын
Hongera saaana Mista Chado kwa kazi nzuri
@labunaabouna61224 күн бұрын
Hii nzuri sana.kuliko kwakweli mafunzo ya kutosha
@FarajiJackson4 күн бұрын
Nakubar mze baba
@user-ji6cp1ng8g3 күн бұрын
Ilitakiwa muonane na mkeo umuombe msamaha
@MkasyswallehsaidSwalleh3 күн бұрын
Hongereni kwa kz yko nzr mr chado....mungu awalinde hpo na penginepo inshallah ❤❤
@chiefnumborecords48194 күн бұрын
Anifa kiukwelibunajua sana mungu AKUBARIKI sana wewe na chado na wengine woote hongereni sana
@user-by6bg2fq6b4 күн бұрын
good job jamn 2nasubr kazi nyibgineee nzuuuri zaid ya hiii
@user-wv3du7ld2p4 күн бұрын
Safi Sana chado nimekuwa nanyi mwanzo adi mwisho licha ya kuwa Niko busy kwa kazi zangu ila huwa sichelewi kabisa, Asante Sana nimejifunza mengi Sana katika hii tamthilia thanks Sana,, Ila chado ombi langu ni siku moja nipate nafasi ya kufanya tamthilia moja pamoja nanyi ndashukuru Sana kwa kweli❤❤❤❤❤I'm from Kenya
@user-rs1pf1zi9d4 күн бұрын
Nilipenda umuombe msamaa anifa na muwe psmoja tena❤❤ nawapenda sana. Ngadara nimempenda yeye na jina lake... Baba mwenye nyuma❤❤ Ostazi❤❤
@RizikiZiki4 күн бұрын
Asante sana chado kwaujumbe mzito ulotupa kwakweli tuace tama kutaka utajiri kwaharaka tutafute kwajasho letu mungu akupe nguvu uzidi kutuelimisha isha Allah
@user-ly8tg7fc3w4 күн бұрын
kazi vizur sana tulikuwa pamoja ❤❤👌👌
@Kidawa-cn7rm4 күн бұрын
Jamani chado hongereni sana from mtegon to probrem umefanya vizuri mno, series Ina mafinzo mafinzo na ujumbe mzito katika jamiii
@ZakyaBakari3 күн бұрын
Walahii Leo mmenifuraisha kazi nzuri🥰🥰
@falmaliciousfoods46384 күн бұрын
Kazi nzuri sana zaid ya sana....big up guys...hongereni tamlithia nzuri sana yenye mafunzo makubwa ndani yake❤❤❤❤❤
@BienvenuAmisi-dl7oh4 күн бұрын
Ongera sana mr chado kwa kazi hii, kwakwel tumeweza kufatilia movie mzim mpak tumemaliza vizur, ongereni saan ,from USA
@nelsonandanyi4 күн бұрын
Khanifa Dee Queen nakupenda sana dadangu
@esterkimalio88464 күн бұрын
Kazi nzuri sana kaka CHADO
@ShadiaBashiru4 күн бұрын
Kazi nzuri kaka chado
@BoniphacyKapuga4 күн бұрын
Kazi nzuri hongereni
@hellenConstantine-gx7vy3 күн бұрын
Hongera sana. Inafunzo kubwa sana
@user-le8fq7vb3o2 күн бұрын
Chado unajua kuigiza sana mungu akubariki sana.probrem imenifundisha sanq
@KhamisiOmari-yo7jx4 күн бұрын
Chado seris imekua nzuri sana haijakua na makosa kabisa ila imetoa mafunzo watu kupunguza tamaa na kujipambania kiualali.
@nelsonandanyi4 күн бұрын
Kali kuu noma 2024 East Africa
@WilliamMokili-u5f4 күн бұрын
Chado tumejifunza mengi sana mungu akubariki
@rastarocko4 күн бұрын
Movie kali sana kiukweli mmefanya vizuri sana 🔥🔥🔥
@YeriKahindi4 күн бұрын
Kazi nzuri saana wana movers mumecheza kama nyinyi nimeipenda saana,, japo sp 21 iliboa kidgo baada ya shem yake chado kuingilia kati... Big up saana
@rizikichantal-wi2jw4 күн бұрын
Ungekutana namkeo ndo ifike mwisho lakini hongereni sana kazi zuri
@justineshirietso19524 күн бұрын
Kazi mzuri sana,tunategea filamu ngine sasa
@SamuelAloo-qv3kg4 күн бұрын
Chado master, wewe ni master kweli kweli
@AsliCell-sg4wt4 күн бұрын
mashallah nzuri sana
@freddywizzyTz2554 күн бұрын
Pole anifa na shekhe kwa majeraha
@ButoyiRukiya4 күн бұрын
Chado sikuwahi kucelewa hata second kwakufatiliya problem hakika uko vizuri Kaka. inamafunzo saaana
@user-dh2rv2rf9c4 күн бұрын
Good message thank you am Joram black from Nairobi Kenya ❤❤❤❤❤ one love
@user-pv5sy7wu7s4 күн бұрын
Chado master chafu hatli USA GASTER.KANZIZENU MZULI SANA NAKUBALI SANA WAPI HANIFA DADA ANGU UNAJUWA SANA NAKUFTILIA MDAMLEFU TANGU UPO MKOJAN GANG .YANI YA AUJAWAHI KUWALIBU .YANI TAMSILIA UKIKOSA WEWWE APO BASI NAIYONA MBAYA .KWENYE TAMSILIA USIKOSE DADA ANGU UKIWA HAUPO HATA SIANGALII ❤BLESS .CHADO MSHINE
@shidashida60604 күн бұрын
Shukran sana,nijifunza kitu pia,mnaweza sana na problem ni story ya uhakika inaendanae na maisha ya sasa yalijaa ushetan.
@user-od5xf1dp5yt4 күн бұрын
Leo mimi ni wakwanza nipe hata like moja
@ClaireGeorge-iw8xi4 күн бұрын
Kazi nzuri Mr chado much love from kenya 🇰🇪 plzz nmependezwa na iyo wimbo wa problem plzz nataka kuidownload naipata vipi
@sweetbabymwangi83734 күн бұрын
Yaani gadaya alimzaba Hanifa kofi la kiukweli nilikuwa najuwa ni camera trick. Anyway hongereni kwa kazi nzuri. Movie hii ina mafunzo tele. Tusiwe watu wa tamaa na kutaka utajiri wa kirahisirahisi na wa haraka. Tutoe jasho na tutie bidii tutapata utajiri. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Kidawa-cn7rm4 күн бұрын
Mimi nimejifunza vitu viwili vikubwa, kwanza hakuna Raha ya maisha wakati familia yako inatesela, pili ni upendo wa dhati chado kwa mke wake, wadau natumaini yumejifunza kitu hapa, Mr chado tunaomba kazi nyingine bomba bila kuchelewa
@DamarisDammie4 күн бұрын
Nimechelewa lkn n xawa finali Sasa good job chado 👍 tunategea kitu kipya kabisa nimeipenda hii
@user-vz9cm1xy5g4 күн бұрын
Pongezi sana Chado master
@user-wm9xn9iy4s3 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@peterfujokalogi78214 күн бұрын
Leo nimewahi like
@user-qq2oc4bt3i3 күн бұрын
Chado Masterrr baba umeuaaa mamboo mazuriii nyinginee inatoka liiiniii baba
@HunchoQuavo-di4os4 күн бұрын
Unajuwa sana brother 🎉🎉
@MonaaOm4 күн бұрын
Kaka Chado congratulations kwa kazi yenyu ❤❤❤
@user-jx4rx6jy6y4 күн бұрын
Asante sana nimejifunza kitu tuko pamoja mtuletee ingine tena nawapenda wote ❤❤
@user-qq4zr3sk2g4 күн бұрын
Umaridadi huficha umaskini mwanangu Manyunga😂😂😂hongereni kazi ni 🔥🔥🔥🔥washiriki wameitendea haki 👏👏👏♥️
@luchoally69183 күн бұрын
Anaitwa Manyonga pia mcheki kwa youtube yake andika Manyo lee
@jamesmutali43564 күн бұрын
hapa mm nmesoma kitu kimoja heri maskini mwenye amani kuliko tajiri mwenye husuni na mashaka
@ShamsaGao-nn1ge4 күн бұрын
Nasisi 2nakushuru kwa kitu kizur🙏🙏TEAM CHADO🎉
@user-rh7hk4il2m4 күн бұрын
Ngadai angeli kuuwa kumbe anifa polesana tunashukuru saana nawapenda tunawasubiri tena from American Texas
@Bestudio-24 күн бұрын
Kazi Kazi inaisha na utamu wake
@Mamajaula4 күн бұрын
Anifa na kukubali sana minimsha bikiwa tunaomba mtowe namba mbili❤❤❤❤🥰
@Sadiq-lu8xs4 күн бұрын
Fresh mwisho ndo hua wengi wanajisau bt fresh mwisho umeisha vizuri
@user-zs1it4dr5k4 күн бұрын
Hongeleni sana muvi mzuli sana
@bishopsamuelmburuofficial.11454 күн бұрын
Tunamshukuru pia na tumejifunza mengi tamaa bele mauti nyuma ....sasa twakuomba uishikanishe iwe moja kubwa yani iwe moja tafadhali
@user-sd6gi1nb8w3 күн бұрын
Imeenda vizur sana hio🎉🎉🎉❤❤❤❤
@MariyamMaslahi4 күн бұрын
Kazi nzuri bro pia hongereni kwawote mlo shiriki mpe hayy da hanifa
@fundimudy63254 күн бұрын
Mmetisha sana
@nicholausadam55704 күн бұрын
KAZI nzuri Sana aisee mmeweza jitahidi Sana tunakuunga mkono Sana sana
@GaudenciaMadirisha3 күн бұрын
Picha inafunzo sana hii🙏🙏🙏🙏
@GERMAINSungurs4 күн бұрын
Hongela sana bro
@hamisishehe72354 күн бұрын
Big up bro chado am from 🇰🇪watching you from 🇰🇼
@user-rl5zb1jc9k4 күн бұрын
Kweli tamaa n mbaya
@HusnaIsmail-pq6yf4 күн бұрын
Umetisha kaka
@SCSI523X4 күн бұрын
From Oman kazi nzuri wote mnajitahidi Mshikamane siku zote kuelimisha jamii.
@DaudiEmanuel-yv3jt4 күн бұрын
Huyu manyonga n Nan mbn sijawaig kumwona kabla
@AlexNdumia4 күн бұрын
Nakubali filamu ya chado
@TantineZuzu3 күн бұрын
Nimekubari sana iyi series ❤❤🇧🇮🇧🇮
@OmanOmani-el2os4 күн бұрын
Ndoimeisha
@francksylvester78444 күн бұрын
Wa kwanza na mimi naombeni koment zeni
@falmaliciousfoods46384 күн бұрын
Tunasubiri kitu kipya na kizuri 🎉🎉🎉
@user-rl5zb1jc9k4 күн бұрын
Nawakubali sana team chado
@AdijaRumonge4 күн бұрын
Asant sana chado master kwakazi nzur kabisa mung akubarikiii❤❤❤
@rggghc4 күн бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉
@abdulazizitwalib58594 күн бұрын
Hatimae tumemaliza salama
@MatokeoEmmanuel4 күн бұрын
Kazi nzur sana
@OmarShevo4 күн бұрын
Life is all about problem 😅 nakubali chado master
@user-pg6jr7kp2w4 күн бұрын
Chado apewe mauwa yke🎉🎉🎉🎉🎉❤
@IbrahMligo-fu3om4 күн бұрын
Chado wew ni noma
@user-on8cb8qq9o4 күн бұрын
Good job ❤❤ mr chado we really appreciate your work 😊