PROFESA KITILA MKUMBO ATAJA KORONA ILIVYOTIKISA UCHUMI LAKINI TANZANIA INAENDELEA KUPIGA HATUA ...

  Рет қаралды 51

Balagumu Media

Balagumu Media

Күн бұрын

Waziri wa Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amesema licha ya kupitia kipindi kigumu cha Ugonjwa wa Korona (Covid 19), lakini uchumi wa nchi umeendelea kuwa imara na pato la mtu mmoja mmoja linazidi kupanda.
Profesa Mkumbo ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma leo April 17,2024 wakati akizungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari kuhusu miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Waziri huyo amesema katika kipindi cha mapambano dhidi ya Korona, uchumi wa nchi ulishuka hadi chini ya asilimia mbili kabla ya kuanza kupanda ambapo kwa sasa umefikia asilimia 5.2 jambo linalotia matumaini makubwa.

Пікірлер
Tazama Prof Kitila alivyoshusha NONDO hadi akapewa dakika 14 aongee
13:33
Mwananchi Digital
Рет қаралды 10 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 46 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 59 МЛН
The Strongest Militia in the Middle East
13:49
Johnny Harris
Рет қаралды 1,1 МЛН
USA B2 BOMBER RAID IN YEMEN: MESSAGE FOR IRAN?
15:02
ATE CHUET
Рет қаралды 358 М.
NYALANDU, SIWEZI KURUDI CCM | MAPAMBANO YANAENDELEA
6:02
Mwananchi Digital
Рет қаралды 57 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН