Hahaha mwingira nani akuruhusu urudi huku kaaa huko😅😅😅
@deograsiasngailo487127 күн бұрын
Tumeshajua kua mmetumwa na CWT kuja kuharibu
@deograsiasngailo487127 күн бұрын
Kama mnakuja CHAKUHAWATA kwaajili ya uongozi bakini hukohuko C.W.T kwani kuna mtu aliwalazimisha kuhamia CHAKUHAWATA? Tanga mnatia aibu kubwa sana.
@user-re3zo7ie5e3 ай бұрын
Wizi wamitandao nimingi sana
@gracekagoma32314 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia. U b arikiwe. 🎉
@husseinally66994 ай бұрын
Mshukuru kwanza mwenyezi mungu kisha watu ndio wafuate haswa unapozungumzia Uhai We dada muogope Muungu wako Mwenyezimungu pekee ndio anayeokoa , binadamu wanafanya juhudi tu , hivyo pia wanapaswa kushukuliwa kwa juhud zao Ila wa kwanza kushukuliwa ni Mwenyezi mungu Usije ukaleta uchawa mpaka ukapitiliza