Kupiga Miayo katikati ya maombi ni dalili ya shambulizi la kiroho kupitia mhuri wa moto•Mch.Katekela

  Рет қаралды 16,520

PROMOVER TV

PROMOVER TV

24 күн бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 58
@user-rv3ck4wb7t
@user-rv3ck4wb7t 16 күн бұрын
Barikiwa sana Mchungaji Katekela, mahubiri yako ni mema sana yanagusa maisha ya watu. Nimepokea maombi uliyoyaomba pamoja nasi. Bwana YESU ametenda.
@JenifaIzengo
@JenifaIzengo 18 күн бұрын
kwa mafundisho haya, mungu yu pamoja nasi hakika anatupenda, kakuleta tupate maarifa tusiangamie tena ktk jina la yesu kristo.
@phinescah7353
@phinescah7353 22 күн бұрын
Amen amen ,amiel kwa ufafanuzi wa leo wa undani nime soma mengi kuhusu huu mhuri ubarikiwe mtumishi
@princessprecious6995
@princessprecious6995 14 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu katakela
@user-cq8nd4ek8w
@user-cq8nd4ek8w 21 күн бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA YESU KRISTO! Yaan mafundisho Yako, yamenifunza sana
@user-hz3rb7vc1x
@user-hz3rb7vc1x 16 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu
@nursechunga4470
@nursechunga4470 18 күн бұрын
Yesu akutunze mtumishi wa Mungu, naimani kupitia somo hili na maombi haya nitakuja na ushuhuda🙏
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 22 күн бұрын
Mimi nikiomba napata miayo mfululizo nachukizwa sana na hali hii Yesu nakuomba uniponye
@CatherineDavid-bl1jc
@CatherineDavid-bl1jc 22 күн бұрын
Amen
@angelinamussa7521
@angelinamussa7521 4 күн бұрын
Amina nimepokea
@user-iw1yq3op8f
@user-iw1yq3op8f 20 күн бұрын
Be blessed more pastor amiel katekela nakupendea ivyo kwa mafundisho mazuri ya mungu nakuongea ukweli aki nabarikiwa sana na neno zuri la mungu
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 18 күн бұрын
Amina mubarikiwe zaidi nazaidi watumishi wa MUNGU
@CosterMachangu
@CosterMachangu 21 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
@GraceMollel-u3l
@GraceMollel-u3l 17 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nimejikuta siku hizi nikiwa naomba napiga miayo ikiambatana na machozi yaani mfano wako imejikuta imetoka kwangu
@user-os1sr3fy6q
@user-os1sr3fy6q 22 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w 22 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atulinde na mishale itokayo kwenye Giza.
@ShallothMatowo
@ShallothMatowo 3 күн бұрын
Mama mkwe aliniambia nitakufanya kitu ujute maisha yako yote.kisa kwanini naomba sana namharibia.fist bone wangu akafa .2bone kisukari wa miaka12uzazi umegoma .umri wangu umenitupa mkono
@GraphixDesgner
@GraphixDesgner 22 күн бұрын
Ahsante Sana mtumishi ubarokiwe,hata mm nasum buliwa kwenye. Eneo Hilo,
@MarakiPatrick
@MarakiPatrick 22 күн бұрын
Amen mtumishi wa mungu.
@lilianluhasi311
@lilianluhasi311 8 күн бұрын
Barikiwa
@janekhanjila3413
@janekhanjila3413 19 күн бұрын
Amen pastor,nasikia kutoka kitale , Kenya,ngombe yangu ilikufa kwa mafundo
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 16 күн бұрын
Mafundo ndio nini
@user-qc6ns8fx6q
@user-qc6ns8fx6q 19 күн бұрын
Asante Yesu napokea🎉
@ellenatilio5666
@ellenatilio5666 7 күн бұрын
Amen 🙌
@RUTHKCHIKIRA
@RUTHKCHIKIRA 19 күн бұрын
Amen mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na mafundisho haya NAMI nimefunguliwa nasikiliza kutoka Nairobi Kenya.
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u 16 күн бұрын
Ruth nakujua nini,,majina kama yakutokea taita tavete...au
@user-ud1bs8nt3e
@user-ud1bs8nt3e 22 күн бұрын
Ubarikiwe pastor
@EmmanuelyMafie
@EmmanuelyMafie 18 күн бұрын
Be blessed pastor
@upendokikwelele620
@upendokikwelele620 18 күн бұрын
Asante Mtumishi
@GraphixDesgner
@GraphixDesgner 22 күн бұрын
Napokea
@ayubumwalongo8267
@ayubumwalongo8267 22 күн бұрын
Mbarikiwe sana
@denisbongore3098
@denisbongore3098 22 күн бұрын
Mungu tusaidie
@GraphixDesgner
@GraphixDesgner 21 күн бұрын
Hata mimi nimefungwa nisaidie nitoke nimefungwa ni miaka kumi sasa nimelimitiwa ,kila nilichochuma
@CatherineDavid-bl1jc
@CatherineDavid-bl1jc 22 күн бұрын
Ibarikiwe mtumishi kwamaan mm kila nikiomba lazima miayo ijee na kuna wakati inaambatana na miayo na machozi
@user-hc4jv8uz5b
@user-hc4jv8uz5b 21 күн бұрын
Kweli kbxa hata mm
@user-ww7jr4vm5u
@user-ww7jr4vm5u 21 күн бұрын
Hata mimi kweli Mungu atusaidie sana katika jina la yesu🎉
@JacquelineAron
@JacquelineAron 11 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉​@@user-ww7jr4vm5u
@nancykimaru8
@nancykimaru8 Күн бұрын
Msafili plz tell mtumishi if he teaches hio mihuru,when we find tuko nayo, he should be given us solutions coz we can't all reach himcto pray for is,we are in kenya
@user-wz6md5bl3s
@user-wz6md5bl3s 22 күн бұрын
Ameeeeen
@AshilatAbas-qe4fh
@AshilatAbas-qe4fh 22 күн бұрын
Nimekuelewa baba
@user-os1sr3fy6q
@user-os1sr3fy6q 22 күн бұрын
Amina , hiyo nimeshuhudia kwenye shamba langu nililima miaka miwili nikaweka na mbolea na lilikuwa karibu ekari moja niliambulia kupata mahindi lita 10 miaka yote miwili yote.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 18 күн бұрын
lita 10 unapimaje??
@user-os1sr3fy6q
@user-os1sr3fy6q 6 күн бұрын
ndoo ya lita kumi unaifahamu ndo yalijaa humo tu.​@@trophywilson7211
@angelinamussa7521
@angelinamussa7521 4 күн бұрын
Naamini nimepokea na nimepona
@nancykimaru8
@nancykimaru8 Күн бұрын
I mean kow to pray to break it
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 20 күн бұрын
Lakini maombi ya nguvu za damu ya Yesu Christ inavunja hizo nguvu zoto za kichawi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 18 күн бұрын
ndiyooo
@SaraAbudalla
@SaraAbudalla 19 күн бұрын
Hello ❤❤❤❤❤❤
@UpendoChurch-u6c
@UpendoChurch-u6c 16 күн бұрын
Iko wapi Kwa maandiko
@DANIELMWAKABUTA
@DANIELMWAKABUTA 9 күн бұрын
Mtumishi uliwahi kuwa muslimu?
@trophywilson7211
@trophywilson7211 18 күн бұрын
Hauitwi Mrundi unaitwa Muundi
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 18 күн бұрын
Kwa lugha yako,ila wengine tunajua ni murundi.
@Frosita
@Frosita 22 күн бұрын
Mtumishi hii ibada unaifanyia wapi?
@NeemaSulle
@NeemaSulle 18 күн бұрын
Mch KATEKELA NAOMBA NAMBA YAKO NI MUHIMU SANA.
@neemamassame8183
@neemamassame8183 22 күн бұрын
Unapokuwa kwenye maombi ya vita halafu mtu anashikwa vichomi vikali mbavuni pande zote maana yake nini mchungaji?
@ChristineDama-wf3sd
@ChristineDama-wf3sd 22 күн бұрын
Amen
@user-os1sr3fy6q
@user-os1sr3fy6q 22 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema kwa watu wake hata mm leo niliyefuatilia kipindi hiki leo nimefunguliwa milele nilikuwa sielewi sasa nimepata ufumbuzi, hawata nipata tena kwa jina la Yesu.
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 20 күн бұрын
Amen
NJIA ANAZO ZITUMIA SHETANI KUTEKA NAFSI YA MTU |NABII ESTHER MASANJA
46:03
BADO KUNA USHINDI TV
Рет қаралды 8 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
SALA YA JIONI SAA 12 JIONI USIACHE KUOMBA HIVI - Apostle Johaness John
8:45
SHINING STAR HEAVENLY EMBASSY
Рет қаралды 4,8 М.
wasabato sio wakristo
19:22
THE POWER OF CHRIST MINISTRY
Рет қаралды 5 М.
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 210 М.