Mtumishi wa MUNGU IPM, Hongera sana kwa neno lako na umejua sana kuelezea hii ni biashara ya watu. Asiyejua haya yote, atafute na asome kitabu cha aliyefanya mamboo hayo ya kuuza mafuta,maji,vitanbaa, udongo, hela za mapepo , n.k anaitwa Makhado Ramabulana, na kitabu chake kinaitwa Church Mafia. Soma utaelewa ni kitabu kizuri.
@augenmagabila30814 күн бұрын
Kitabu kipo Mtandaoni yaani soft copy bure.
@obedimunguachiza84344 күн бұрын
Mbarikiwa Mwakipesile, hata mwisho ataeleweka kwa,njia yakumbinga uovu. Big up Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
@BlessedAnne-fh6lk4 күн бұрын
Asifiwe Yesu Prophet..Mungu akubariki Sana Kwa kusema ukweli..hayo nimeoyaona Mimi..unasema ukweli mtubu.🎉
@justinemisigaro14713 күн бұрын
Hapo IPM nakuunga mkono kabisa Mungu akulinde na kukujaza ujasiri zaidi damu ya Yesu kristo ikufunike
@FelisterMunissy4 күн бұрын
Ubarikiwe sana sana kwa kuliona hilo hawa watu wanatumia nguvu za giza mwish wanaua watu mungu akupe maisha marefu sana
@user-bp5pq9to9eКүн бұрын
Uko sahihi, MUNGU akulinde Amina
@grationgabriel4904Күн бұрын
I appreciate your research is alright IPM, may God defend you always, and go ahead.
@rajabukiza48516 күн бұрын
Aiseee asant mtumishii umenifungua macho kuhusu kafaraa asnte saana❤
@user-pg9dv9vo8p4 күн бұрын
Fact kabisa Leo umeongea ukweli
@alwatanalgilgilan-y30782 күн бұрын
Hongera kiongozi kwenye uislamu pia yupo tapeli mmoja aitwa Dokta S
@nanubob19693 күн бұрын
kweli nimevutiwa na mazungumzo yako! Ninatamani sana uwe mwokovu genuine! Ubarikiwe!!!
@FlorensiaMkombozi-et1ts4 күн бұрын
Nakuombea Mungu akulinde Mungu akusimamie na Mungu akupe ngu ya neno lake takatifu
@stanleynyakunga5926Күн бұрын
Barikiwa sana IPM
@NicholausSaid4 сағат бұрын
Safi sana wewe ni Mtu wa Mungu Mungu akulinde Pastor
@armansabbor-ui3jb2 күн бұрын
Baba mungu akubariki sana ni ukweli mtupu❤
@johnsonkategela4795 күн бұрын
Daah brother umeongea facts ambazo wanufaika zitawauma sana! Watu wamepigwa na vitu vizito mpaka wanakuwa mazuzu Kwa kuamini vitu badala ya Mungu. Yaani huo mchanha ungewasaidia Israel na Palestina waache kuuwana. Asante Kwa upelmbuzi yakinifu
@alexandermilanzi98604 күн бұрын
Hakuna cha dear brother yy mwenyewe mpigie tu!..... Ameshauza mafuta huyu tena yeye 5000-10000 kama sijakosea nimesahau tu gharama lakini
@SanyuMoses-vp3dw6 күн бұрын
God bless you it's true brother
@Hamisi-uz9cj2 күн бұрын
Wewe kalia wivu sisi tunaendelea kupiga mafanikio yetu kupitia upako wetu arise and shine kazi iendelee
@joshuatituslusinde1260Күн бұрын
Umepotea kwasababu hujui maandiko
@joshuatituslusinde1260Күн бұрын
Mwapotea kwasababu hamjui maandiko
@LilyWeitz15 сағат бұрын
Wivu Tu 😅
@upendofredrick89885 сағат бұрын
Asante mtumishi,mwenye masikio haambiwi sikia
@Jacksonswai6854 күн бұрын
Mungu atusaidie mwisho watimia yan binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
@agnesspaul18663 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤apo niko nacwewe Ubarikiwe mnooo
@mtumishiraymond20013 күн бұрын
Amina, Umeongea ukweli na umefunguwa watu macho
@user-mz7pv3uo9y10 сағат бұрын
Nime barikiwa Sana usiche kusema kweli lpm mungu Yuko nawe
@JoshuaMolen-oc3viКүн бұрын
ipm nakukubali San mungu akubalik lakn loho inaniuma San make nakupigia San SMU unisaidie lakin hopokei SMU yang
@JUBRANBULAYHl-yb4ke3 күн бұрын
Die twee lesers wat onthou word, maar die wat nie geglo het in trots en spiesjies, hoeveel mense is voor hulle Hulle is 'n gevolg van hulle, en hulle het gesê: Hulle loop en wees geduldig met jou afleiding Ons het nie gehoor nie dit in die hiernamaals Dit is niks anders as 'n versinsel nie. Die Boodskap is uit ons midde gestuur Voor hulle was die mense van Noag en Aad Farao, die man met stokke, en die mense van Lot, en die metgeselle van Mekka reg Aqaba al -Masabar oor wat hulle sê en onthou ons dienaars, dit is dieselfde Die een wat 'n muddhur het Moenie bang wees vir die twee opsommings nie, ons wil hê ons moet dit doen, so ek sal onder ons wees met die waarheid Soetheid van die bose, ons het jou 'n opvolger in die land gemaak. Diegene wat deur die pad van God mislei word, het 'n ernstige pyniging van wat hulle vergeet het op die dag van die rekenskap. , of ons sal maak Die wat veilig is, doen die geregtigheid in die land in die land Wat is die aanbidder, want hy is 'n wyk Met die sluier, het hulle geantwoord op my, so hy het geslaag
@bishopmmbando5305 күн бұрын
Wewe unakosoa makosa na wew unafanya makosa makubwa zaidi.Unawaambia wafanye kazi ya Kuuza pombe,sigara na vilevi ili kupata Pesa. Kama umeamua KUNYOOKA,NYOOOKA NA NENO LA MUNGU SIO MAWAZO YAKO
@AfricaQueen4 күн бұрын
🤣😂🤣Tutawatumbua Na moto unawasubiri anayosema ni kweli 🤝
@CathelineMagawa3 күн бұрын
Uko vizuri mno Mungu azidi kukupa busara na hekima
@user-cy4xf1eu3q5 күн бұрын
Kivuli cha Agano la kale ...kiliwakilisha watu kutoa kafara za wanyama ...ila kwa kufa kwake Yesu sisi sote tumesamehewa
@zaidiissa37145 күн бұрын
Endeleatu kufanya zambi na uzidijuamini umesamehewa utajua hauajua lakini siku yamwisho utasaga meno
@Shalom20185 күн бұрын
Ni kweli kwenye Agano jipya Yesu alikufa pale msalabani na damu yake imetukombo tena inafanya kazi mpaka sasa,hatuhitajiki kutumia tena damu za wanyama,tuanaweza kutumia damu ya Yesu Kristo kwa kuitamka,hayo mambo ya kafara ya kuchunja wanyama na watu yapo kwa shetani.
@farajis3dtech3065 күн бұрын
Fanya zambi ukijua umesamehewa maana ya kila mtu na msalaba wake naona huijui jichanganye ukifanya zambi utajua baadae
@MrMwadila5 күн бұрын
Waebrania 10:1-4”Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao. 2 Kama ndivyo, je! Dhabihu hazingekoma kutolewa; kwa maana waabuduo, wakiisha kusafishwa mara moja, wasingejiona tena kuwa na dhambi? 3 Lakini katika dhabihu hizo liko kumbukumbu la dhambi kila mwaka. 4 Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.”
@AfricaQueen4 күн бұрын
@@farajis3dtech306wacha asime ukweli 🫵🏾
@user-im7vi2yf2d5 күн бұрын
Nilikuwa nakuchukia Sana ipm, kutokana na yale uliyokuwa unayasuport, na binafsi niliona kitu kikubwa kwako lakini mpaka Sasa ukibadilisha tu kidogo, ntakapokuja dar, ntakuja kusalia kanisan kwako.
@FrankBororo-dk1fv5 күн бұрын
Penye mzoga ndipo wakutanikapo ndege waitwao tai,brother. Ni kweli watu wanainuka kiuchumi baada ya upako na ndomana wanaweza kuhudhuria mara zote hizo na kutoa sadaka hizo mara zote hizo. Umati mnaouona kwa watumishi hao maisha yao yamebadilika na ndomana wanakua na uwezo wa kutoa kila wakati. Hawajaaminishwa,wanaona matokeo ndomana wanaendelea kwenda. Inashangaza kuona mtumishi wa Mungu anapoona miujiza anasema ni nguvu za giza! Hii tafsiri yake ni kwamba wanaamini shetani ndo mwenye miujiza mikubwa na sio Mungu. Mungu wao ana mipaka na matendo ya miujiza. Watu wameinuka kiuchumi sana na wao wenyewe ni mashahidi ndomana anaweza hata kutoa 50,000 kila wiki na alikua hata 2,000 hawezi kutoa. Watu wanakwenda ili kazi zao zifunguliwe na sio hawafanyi kazi,huo ni upotoshaji.
@edwinmbunda67092 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho, wengi ni choka Mbaya
@JUBRANBULAYHl-yb4ke3 күн бұрын
Ubushakashatsi hamwe nisoko hamwe nabasaza Ntamuntu numwe, nyuma yawe, uri ghos, bityo tuzagororerwa guhumurizwa numuyaga Aho mubuntu bwanjye, Mana yanjye, nyereka ibitangaza byubushobozi bwawe, imbaraga, gukandamizwa , n'igitugu, yewe Mana Mana Mana, yewe Yahi Yaqiyam, Banyakubahwa Cyubahiro kandi benshi, ibi ni, kandi kubakuru b'ikuzimu, barasenze, bityo bazabe bamwe. Reka rero baryohe, ubushyuhe n'umwijima. Mana, hagarika abarenganya, abanyagitugu, n'abagome. Uyu muhengeri uraza hamwe nawe. Binjiye mu muriro , Nyagasani w'isi, kubera ubuhemu bwacu muri Palesitine, Gaza, Rafah, no mu bihugu byose bya Palesitine Bati: "Mwami wacu," watugejejeho ibi, byongera umubabaro we, kandi wikubye kabiri mu muriro baravuze bati: "Ikibazo ni iki kuri twe ko tutabona abagabo?" Twakundaga kubatekereza mu bantu babi gutongana hagati yabantu. Vuga uti: "Ndi umuburo gusa, kandi nta yindi mana ibaho uretse Allah, Umwe, Isumbabyose," mu ijuru no ku isi ndetse n'ibiri hagati yabo Oh, Nyirububasha, Kubabarira Mana, Amen, Mwami w'isi.☝☝🤲🤲☝☝
@PAULMNYANYI4 күн бұрын
Ubarikiwe mchungaji ni heri useme ukweli ili wanadamu tupate kupona na jehanam ,Mungu atakulinda kwa ukweli wako ,hutazurika na chochote.
@BennyCrisanto5 күн бұрын
Apo sawa ipm .👏👏👏👏
@ShaurijulienMaranduraКүн бұрын
Mungu Akulinde mtu wa mungu
@victorngimbwa55586 күн бұрын
Hujafanya utafiti ,Mungu akusaidie.waliofanikiwa Ni wengi mno.Na nani alikwambia wanaotoa mafuta wanawambia watu wasifanye KAZI.Jifunze bila Hila utajua Nini kinaendelea .Petro alipovua usiku kucha asipate samaki,shida ilikuwa Nini, na kwanini alipoambiwa na Yesu atupe nyavu alipata samaki wengi mpaka akaita watu kumsaidia.Yapo mambo mengi yanayozuia watu kufanikiwa licha ya kufanya KAZI kwa bidii.Mwombe Mungu atakufungua macho.asilimia kubwa ya wanaofanya KAZI kwa bidii ndio hafanikiwi wanapata mlo TU
@Petitejollie5 күн бұрын
Endelea kubeba mafuta kwenye pochi kuna siku utatajirika 😂😂😂
@vicentamandus61494 күн бұрын
Yesu mwenyewe alimkuta petro akiwa anafanya kazi😂
@saidiathuman-og6bc5 күн бұрын
Nikweli lakini hata wew hauna imani kabiza aloo sikukubali kabisa
Ukweli siku zote haupingani na Uongo. Huo ni ukweli.
@gracekagoma3231Күн бұрын
Karibuni.ndugu kaaga dunia baada ya kutoka kwa Mwamposa na mafuta yake😢😢
@user-jc8vt7ct9t21 сағат бұрын
Imani kitu mbaya sana kwa wale wenye uwezo mdogo wa kufikiri
@Barakadieudone-q8y21 сағат бұрын
ubarikiwe sana muchungaji siowengi wanaothubutu kuongea ukweli kamawewe (deo kosimas)
@LenardAmani-bc3sl2 күн бұрын
Ao wote wanao Pinga mafuta na maji ni maajanti Wa shetani.
@abuhassan95525 күн бұрын
SIWEWE PIA JAMBAZI TU ULIUZA MAFUTA YA GOLD WAJINUNULIA MAGARI YA KIFAHARI WEWE NA BIBI YAKO
@lucaslupaso58244 күн бұрын
Amesahau
@paschalpaul38624 күн бұрын
@@lucaslupaso5824 alikuwa anafanya tafiti na hivyo amejiridhisha, na hivyo uwezi kuelewa jambo bila kwenda field, uwezi elewa uchawi bila kwenda kwa mchawi
@user-id1cg8ik1d3 күн бұрын
@lucas😂😂😂😂😂😂😂😂lupaso5824
@mwajabukalage78243 күн бұрын
Twendeni Kwa mwamposa udongo bule, maji buku tu na upako kama wooote
@AnthonyRuben-fi7cc2 күн бұрын
Wewe mwenyewe muhuni nyie wote NI mbiz kasolo langi
@nsiamasawe45785 күн бұрын
Keki, chumvi, mafuta, maji na kitambaa ni biashara ya kichawi. Serikali inafahamu na imekaa kimya matapeli wanawaua watu kwa kuwaambia wasitumie dawa za hospitali wameponywa. Yatima wameongezeka kwa ajili ya vibaka waliyojificha kwenye dini.
@moseshaule5863 күн бұрын
Unaposema biashara ya kichawi hapo umedanganya. Ulishasikia mchawi gani anatumia sabuni na mafuta na maji ya upako.
@nantaembanusurupia56742 күн бұрын
Wee ni uchawi tu hapo hamna kitu😮@@moseshaule586
@user-pt6sr6fb9z2 күн бұрын
Bora mwamposa wangu anauza buku mafuta maji buku kwakwel hapo atuna shaka nae
@SimonFire-ms2be4 күн бұрын
Waoooooooo Asante Sana Mtumishi
@user-cf9sk4us6u6 күн бұрын
Umesema ukweli Mungu akulinde.
@wanguwangu345 күн бұрын
Uko sahihi IPM
@BENEDICTMwangaКүн бұрын
Mafuta yanakusaidia kuondoa vipingamizi kwenye maisha yako my be uchawi nguvu za Giza amefungwa Kila anacho Fanya afanikiwi kwahio mafuta yanamsaidia anacho kifanya afanikiwe
@amanimanase8799Күн бұрын
Mchungaji nimekupenda sana
@MordAlly-ng8jj4 күн бұрын
Huu ndio ukweli, ni wakati sasa serikali kubadilisha sheria kuanza kutoza kodi kwa wezi wa aina hii.
@AfricaQueen4 күн бұрын
🤝🤝🤝
@jumarajabngereza671314 сағат бұрын
👍🙏. Maashaallah
@FrancisMliga-pp7cp6 күн бұрын
Sema me ulinipiga lakimbili Mtumishi na hivo mbona na wewe huwa unauza kichupa Cha Asali kidogooo unasema hiyo Asali umeionbea ina Nguvu flani ya Mafanikio hicho kichupa Cha Asali unauza elf kumi
@rebecayenda67805 күн бұрын
😂kafulia kaanza kujisahaulisha
@harmonylogisticszimbabweli3294Күн бұрын
Afanye kazi ya mungu wake sio kukosoa wenzio. Kila mtu anaufunuo wake.
@user-gc1ez1yv4k2 күн бұрын
Makanisa yamekuwa silaha ya kuwaumiza wananchi.Inakuwaje mtu anakusanya 800M.Lkn hata Kodi halipi,uwizi huo
@reginaaloyce40553 күн бұрын
Hujui unaloseka kaka tafuta kazi nyingine ya kufanya, Yan hapo bado Mpaka useme😅😅
@fredrickkaaya62872 күн бұрын
Mtumishi hakuna mtume au nabii mwenye uwezo wa kuuzia watu Kwa maelfu vifaa vya kiroho kama unavyodanganya watu. Sikatai Kwamba Kuna wanaoigiza upako na wanajipatia pesa lakini si Kwa kiwango kikubwa kivile. Pia elewa Kwamba Kila nabii au mtume wa kweli lazima awe na ufunuo wake aliopewa na Mungu. Wewe ni vizuri ukashughulika na mambo yako uliyotumwa na Mungu wako. Sijui wewe ni mtumishi gani unayetumia usembe?
@user-gt4rp4bo8y2 сағат бұрын
Mungu atusaidie sana ww mwenyewe hueleweki unasema tuuze sigara ktk biashara zetu je ni sawa?
@BlessedAnne-fh6lk4 күн бұрын
Makanisa yametushida paka tunakaa Kwa nyumba zetu..unanishidwa umwamini Nani??
@MkuuKuuКүн бұрын
Mchungaji anaye hubiri kwa kunukuu vifungu vya quarani. Atutajie mstari kwenye Agano Jipya mtume aliye abudu kwa kutoa kafara ya wanyama. Na huyo reporter wa mchongo hana swali la msingi bali la kusupport ujinga!
@gracekagoma3231Күн бұрын
Huwezi kuwatajiri kwa mafuta ya upako au maji ya upako😮😮
@estamarodaofficialtz52332 күн бұрын
barikiwa sana baba shetani anatutenda kwaakili mungu atutetee
@BENEDICTMwangaКүн бұрын
Ipm mbona wewe unauza maji na mafuta unaonana na watu kwa pesa broo au umeacha umemrudia mungu kaka
@eliviraedward94664 күн бұрын
Kafala ilishia msalabani IPM Yesu alipokufa na kumwaga damu hiyo yote ilikuwa ni kielelezo tosha kwa kuacha kafala za wanyama.
@enockmarwa76353 күн бұрын
Una uhakika? imeandikwa kitabu gan sura ipi?
@alfredizabdieli6226Күн бұрын
Acha unamfki mtumish wapo wenye matatzo mengi na sio wote wanataka utajr
@gracekagoma3231Күн бұрын
Utajiri zaidi ya serikali Mwamposa 😢Waumini wake na hasa masikini 😢😢wanasikitisha.Serikali ifuatilie.Rwakatale alikuwa hivyohivyo.Watanzania amkeni. Mimi ninamkubali huyo ndugu sana.Mwamposa stop stealing from poor people😢😢
@stefanomasolwa89792 күн бұрын
Prophet IPM ubarikiwe sana kwa ukweli wako nafwatiliya kabisaa pia Na mimi nimewahi kununuwa shule ya Tanzania kwenye kanisa ya SUNGUYE na Mafuta ya upako sijaona hata kitu kufanyikiwa hahahaha Mungu tusamehee kweli
@user-yc7dk4vy7v3 күн бұрын
Facts bro I appreciate you.
@JUBRANBULAYHl-yb4ke3 күн бұрын
Ondersoek met die mark en die bejaardes Niemand van my nie, na jou, jy is die spoke, so ons sal beloon word vir die troos van die wind Waar in my genade, my God, wys my die wonders van u vermoë, krag, onderdrukking , en tirannie, o God O God, O Yahi Yaqiyam, liewe Eerbewyse en die meeste, dit is, en vir diegene wat die oudstes van die Hel is, het hulle gebid, sodat hulle dieselfde sal wees, so laat hulle dit proe, die hitte en duisternis O God, stop die onderdrukkers, die tiranne. Hierdie golf kom saam met hulle , O Heer van die wêrelde, vir ons verraad in Palestina, Gaza, Rafah, en al die Palestynse lande hulle het gesê: "Wat is die saak met ons dat ons nie mense sien nie?" rusie tussen mense Vuur Sê: "Ek is net 'n waarskuwer, en daar is geen god behalwe Allah, die Een, die Allerhoogste," in die hemele en die aarde en alles wat tussen hulle is O, die Magtige, die Vergewensgesinde God, Amen, Here van die wêrelde.☝☝🤲🤲☝☝
@Brunotarimo106 күн бұрын
Tunashukuru kwa somo Suri mtumishi
@EstaDaffi-wg5cr4 күн бұрын
Wivu tu wa idadi ya wafuasi wa hao manabii wanawatu wengi sana.japo mimi simwamini hata moja ila nawewe kinachokutesavni mafanikio yako
@emmanuelmanga34786 күн бұрын
Vinavyo patikana kwa miujiza vinapotea kimiujiza,vilivyo patikana kwa upepo wa kisurisuri vita potea hivyohivyo
@joshuatituslusinde1260Күн бұрын
Nakupa kongole Prophet
@VenerandaKundi-ph4hgКүн бұрын
Kweli kabisa watu wamechanganyiwa kwa sasa hawamtafuti mungu
@judithmasele94512 күн бұрын
Ni vizuri ungesimamia kwenye wito wako kuliko kubeza huduma za wengine
@Habarizacongo17 сағат бұрын
Ulikuwa unauza mafuta before. Labda Kama umetubu....
@GelardSanga5 күн бұрын
Wewe ni machine
@aderanderwa76233 күн бұрын
YESU KRISTO ATUSAIDIE NA WEWE SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKAMA SIKU NYINGINE MTANDAO UNAKATA YESU KRISTO UTUREHEMU MAANA WAJINGA NDIO WALIWAO
@bridgetphiri56632 күн бұрын
Amen 🙏 it true 💯 you have to work hard 🙏🙏
@hermanfrank672717 сағат бұрын
Wow,ukweli utabaki na uongo ni wa muda mfupi
@innosentimugarula86255 күн бұрын
Wewe umetoa hoja nzuri sana Ila hakuna binadamu asiekosea umekosea kumlinganisha yesu na babu
@KaburuKimath-eu5nf3 күн бұрын
Wajinga hawaishagi Tena wasomi ndo wengi kwenye mafuta
@user-me5qu5kw4u6 күн бұрын
Jpm hilo la hosp ni kweli ss arusha tumejenga selian arusha na atutibiwi ni pesa kwenda mbele
@stephanSandika4 күн бұрын
Haiseeeeee mtihani unaweza Kuta anaacha kwenda kanisani
@MarcheloNdale-lj2ziКүн бұрын
Imani ni lbada ya mtu binafsi moyoni sio physical calculation but spiritual
@ManoniKanumbu3 күн бұрын
Mathayo 5:34_36 "lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu; wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala kwa Yerusalemu, kwa maana ndio mji wa Mfalme mkuu. Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi"
@shukranjulius95262 күн бұрын
Aisee Mungu akubariki sana
@nicodemshello1634 күн бұрын
Binadam akili ziko tofauti ndio maana hata kwenye mtihani Kuna wa kwanza na WA mwisho
@gracesamson36753 күн бұрын
Funzo Zuri sanaa wa kuelewa aelewe wasioelewa Mungu awape ufahamu waelewe
@braysonshayo526611 сағат бұрын
Baba nipo klm nikija dar naja kukuona upo vizur mnoo now i believe u
@Nerialulambo4 күн бұрын
Sasa na maji ya dhahabu ni mma.na yeye ndio walewale tu.hubilini injili ya kweli watu wamjue Mungu wa kweli sio mimaji yenu ukaona utokelezee kivyako ukaita maji ya dhahabu
@nikusamwel34344 күн бұрын
Duh hongera mtumishi
@robertrobert94704 күн бұрын
AMENI KUBWA KAKA
@nsiamasawe45785 күн бұрын
Maji na mafuta ni biashara za watu.
@SimonLiwawa-ux5cq22 сағат бұрын
Uzaonga sana mtumba
@user-jc8vt7ct9t21 сағат бұрын
Good
@bilid4128Күн бұрын
😂😂😂😂 hapo kwenye unyayo wa yesu 🙌🙌🙌
@SimonFire-ms2be4 күн бұрын
🙏🙏🙏👏👏👏
@phiriminalyimo31193 күн бұрын
Mimi namuunga mkono asilimia mia moja 💯👍
@YusterBahati3 күн бұрын
Umeongea ukweli mtupu aisee..Mungu atupe kulijua neno lake lisilogoshiwa
@user-sw7tf1ob1b3 күн бұрын
Waache wanunue mujiza unakuja Kwa imani
@michaelabrshamsaidimu3672 күн бұрын
Ndyo maana kila siku natamani serikali izinduke iende huko ikachukue Kodi yake iendeleze nchi