Asante mtumishi kwa ushuhuda kunawengi wanataka kukosoa watumishi kwa mitizamo Yao na sio maandiko na neno halijaka za mapambo soma ezekieli16:6-13 mwanamke hapa amefananishwa na huo mji mwanamke huyu Mungu amempamba kwa mapambo na vikuku je Mungu nidhalimu mpaka afananishe kazi zake na uovu nakutia moyo mtumishi Roho mtakatifu yeye atakufundisha kila lisilo sahihi na neno linamajibu ya maswali yetu yote
@obadiambilinyi278 күн бұрын
Dada Zizi Hilo la kufunika kichwa na kusitiri mwili nakushauri ulichukue na liwe sehemu ya maisha yako, najua Yesu bado anakutengeneza, inawezekana swali la mwandishi limekuja ili likuponye zaidi. Nenda kajifunze biblia zaidi kuhusu mavazi na mapambo, chukua fundisho Hilo liwe sehemu ya huduma yako. Jiepushe na ukristo wa kizungu ambao umepotoka
@PHILIPOMUGOA8 күн бұрын
Dada Bado Yesu anakutakasa endelea kusoma neno kwa bidii
@winnifridangahyoma91277 күн бұрын
BARIKIWA PIA MTUMISHI KWA USHUHUDA HUU AMBAO BINAFSI NIMEJIFUNZA MENGI.
@shadrachkamyori99116 күн бұрын
Suala la mapambo, litakuwa mitihani mkubwa kwa mtume. Kumbukeni mtume ana asili ya ubishi. Hakika kadri atavokutana na changanyamoto ndivo anastuka. Mtume Zizi piga chini mapambo, kiremba na mengineyo. Huo ni umalkia toka kuzimu. Nimependa Audax anavohoji maswali. Hongera sana Audax. Maswali ya maana kwa ujasiri mkubwa kabisa. Lakini pia lazima ijulikane kwamba ukiwa ndani ya Kristo mengine unayahesabu kama mavi. Hata kama ndani ya Kristo kuna uhuru haina maana kwa ni holela kiasi hicho. Unakuwa mtumwa katika Kristo kwa mujibu wa maandiko ya mtume Paulo.
@rerisamba4 күн бұрын
Pengine anauruka ushuhuda wa Aston Mbaya
@stanleyguthia77716 күн бұрын
Dada yetu mtumishi wa Mungu, wachana na mapambo ya kidunia.
@rerisamba4 күн бұрын
Hope atasoma comments manake washirika wahapa
@stanleyguthia77716 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, namini Mungu ataendelea kukufunza zaidi kuhusu mapambo na kutii neno la Mungu
@pirminmatumizi54648 күн бұрын
Esther Masanja anashuhudia kwamba Bwana Yesu Kristo alimwonesha na kumhakikishia kuwa wanawake wanaojipamba kamwe hawawezi kuingia Mbinguni. Sikilizeni watumishi wa Mungu wa AJ, angalieni sana Mnachanganya watu juu ya Mungu. Kwa kauli na mitazamo yenu ni kama Mungu hana msimamo, kwamba, ni Mungu anayejipinga mwenyewe, kwamba, humpatia huyu maagizo haya, na, yule maagizo tofauti. Anyway, tuendelee kumsihi Mungu aliye hai atufunulie juu ya mapenzi yake.
@NellyDeborah778 күн бұрын
@@pirminmatumizi5464 umesema kweli ,ushuuda ya kweli ni ule umesimama KWA NENO.niseme ester Ako sawa maana ni NENO na Mungu huangalia NENO alitimize.kwa hiyo ukitaka kujua mjumbe WA MUNGU shuuda zake hukaa KWA NENO Bali sio inje ya NENO. KWA huyu dada yetu ushuuda WA MAISHA yake ni kweli na umeonyesha ukuu WA MUNGU.pale amefika pa utumishi HAPO ndio nihisi kuwa amechanganyika na sauti nyingine huenda ,sababu Mungu aliye kataza KWA NENO mwanamke kuwa mchungaji,askofu na Mtume hawezi jichanganya na kumpoteza mtumishi wake .huyu dada nikama aliconfusi maelekezo ya sauti.yamkini Mungu alitaka ajenge makanisa akiwapa wanaume kama WACHUNGAJI na yy awe mwinjilist na pia anaweza kuwa nabii maana Mungu amemwonyesha mengi KWA ndoto.kwa hivyio anyenyekee na kikabithi makanisa KWA WACHUNGAJI wanaume na yy awe mwinjilist na akisupport UDUMA za Mungu KWA fedha.
@josephmusagasa8 күн бұрын
Leta vifungu vya kuruhusu kuvaa mapambo. Maneno matupu hayafai na vigezo vya Mungu havijawahi kubadilika. Pole sana mtumishi. Shetani hujifanya malaika wa Nuru hivyo inatupasa kuwa makini.
@shadrachkamyori99116 күн бұрын
Kuokoka ni vipengele. Nadhani atabadirika hatua kwa hatua kadri ya miongozo na imani inavoimarika. Hayo ni mapungufu katika makuzi ya imani ya kumjua Bwana. Ni kweli ameitwa na Mungu lakini bado Mtume Zizi anaimarishwa......
@josephmusagasa5 күн бұрын
@@shadrachkamyori9911 vema kabisa
@rerisamba4 күн бұрын
Halafu upo ushuhuda wA Mahi mahiyu huko kenya mwaka jana April mafuriko yalio tokea yakabeba familia moja mama katika kua nje ya mwili alikutana na Yesu naakamuuliza nini hiko kichwani alikua ako na wig
@afredmwatate81288 күн бұрын
....hicho kitu unacho kisikia ndio sauti ya Mungu dada, kwa kifupi funika kichwa
Audax ambia huyo dada kuwa Mungu awezinenda kunyume na NENO lake maana alisema kuwa analiangalia NENO lake apate kulitimiza.shetani amemweka mtegoni sana.
@GladysVyagusa8 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Audax kwa huduma njema .
@paskaliJohn-r5g8 күн бұрын
kingine mungu hakucaguwa wanawake mahari popote wawe makuhani ukianzia agano lak ale hata agano jipia yesu hakuwacaguwa wawe mitume au wacungaji harafu mapambo kwamba eti wakiva wach ce ni x wew tu ku amua
@RehemaMtono8 күн бұрын
Dada MUNGU anakupenda sana ila kazi ya uaskofu niya wanaume au ushemasi MUNGU habadiliki niyuleyule jana leo hata milele badili mfumo wa kiuhuduma
@emmanuelsunday83258 күн бұрын
Yaani wewe umekoma na hayo maneno yako uliyo danganywa
@RehemaMtono8 күн бұрын
@@emmanuelsunday8325 nimedanganywa na wewe
@NellyDeborah778 күн бұрын
Dada Mungu anaongea nawe kwa Neno kila siku lakini unampuuza
@josephmutemi74947 күн бұрын
Dada Sheria ya Mungu ni moja kwa watu wote, kumbali Sheria ya Mungu
@MaryMichaelMaryMichael-i7o7 күн бұрын
Blessd kaka jacktan na Audax na promover tv ❤na madam mtumishi wa MUNGU aliye hai❤
@adenhyera48208 күн бұрын
Hayaaa dada ila kuna tafakari na maswali bado mengi katika utamishi wako na ushuhuda wako!
@rerisamba4 күн бұрын
Wanaitwa washirika wa promover TV waa usiwachezee yani waliokoka kweli yani ukiletwa hapa kwa hii platfom jipange sawa sawa
@emmanuelngunyale36398 күн бұрын
Mungu ananjia nyingi za kumsemesha mtu sio mpaka usikie sauti neno la Mungu ni sauti ya Mungu so pata muda zaidi wa kujifunza biblia maana ndo kipimo na muongozo wa imani yetu
@josephmusagasa8 күн бұрын
Mungu anagawa neno kwa kila ampendaye au amtakaye. Si lazima kila kitu uambiwe wewe. So,unapaswa kujifunza kutoka kwa watu wengine pia,si lazima uwe wewe tu.
@NellyDeborah778 күн бұрын
Umesema kweli ndungu lakini Mungu huongea KUPITIA NENO lake na ni KWA NENO lake amekataza mapambo na kufunika kichwa.kwa hiyo huyu mama asome NENO na atende Kila NENO linasema
@josephmusagasa8 күн бұрын
@@NellyDeborah77 very true. Neno lipo wazi. Tusome neno na tulielewe. Hatupaswi kusema maneno Bali kuwe na reference ya neno
@NellyDeborah778 күн бұрын
@@josephmusagasa Amen
@Neema-m6s7 күн бұрын
Mmmmmh hiyo umependeza inabidi uchunguze hizo sauti unayoisikia ukute sio ya Mungu lkn kwa mapambo Roho mtakatifu aingilie kati . Mm naamini huyu dada Roho mtakatifu atamtengeneza tu hata mm binafsi urembo niliupenda lkn namshukuru Yesu baada ya kuacha .
@stanleyguthia77716 күн бұрын
Kweli
@Jweru807 күн бұрын
Thank you for your testimonies.
@MaryMichaelMaryMichael-i7o7 күн бұрын
Blessd kaka jacktan na Audax na promover tv ❤the power of testimony
@RehemaMtono8 күн бұрын
Mapambo nidhambi narudia tena kujiremba nidhambiiii
@rerisamba4 күн бұрын
Nakagoma basi
@RehemaMtono4 күн бұрын
@@rerisamba anzisha wewe
@yvonnewitandaye18738 күн бұрын
Someni neno la Mungu vizuli; Mungu hakukataza mwanamuke kuwa muchungaji awu kuhubiri lile neno lili ambiwa watu ambao walikuwa wanaenda kinyume na neno la Mungu • Ayo yakuambiya watu imeandikwa mwanamuke asihubiri yametoka kwa shetani s;shetani ana ogopa mwanamuke anajuwa mwanamuke nihatari sana wakianza kuwa wanahubiri wata munyanganya watu ambao ameshaga wateka siku nyingi sana •
@NellyDeborah778 күн бұрын
Shida na wanawake tuna kiburi sana hata tuelezewe ukweli hatutaki kuskia.dada soma NENO la Mungu sana maana Mungu anaongea KUPITIA NENO lake sana na KWA wingi ,Kila siku
@rerisamba4 күн бұрын
Wanawake wengi wamegeuka kupitia hii promover TV mimi pia ni mmoja wao ukiona mtu anapinga ni Roho iko nyuma yake
@HappynessmafuruMafuru8 күн бұрын
Amina dada mungu akutete e
@gracej96487 күн бұрын
Mungu alikuja kuokoa, na wote waliompokea kwa Imani wanafanyikanwatoto wa Mungu, Na sio wanaofunga vilemba, au sijui wasiovaa vidani au nini. Bali wale wanaomuamini, ndio huokoka.
@ivonaevarista46546 күн бұрын
Kwani Imani n hewa au matendo,acha wokovu wakizungu weweee nakupotosha
@gracej96487 күн бұрын
Audax, sisi wote ni wasikilizaji, usitubague kwa mambo ya vilemba na mavazi. Tafadhali wokovu unahitaji kutufikia sisi wote.
@ezralazaro62308 күн бұрын
Naomba ufafanuzi hayo mahusiano baada kuokoka ulifunga ndoa naye? Mbona unatuchanganya kuwa na mahusiano badala ya kuwa na ndoa.?
@paskaliJohn-r5g8 күн бұрын
mungu awabariki wafanyakazi wote wa promova ubarikiw eric pamoja na jakitani ・ sasa huyo mama kuna mahari sijamuelema kwamba warikutana na yesu akiwa ndotni eti akamwita akamusalimia akakataa kumusalimia mutangazaji hapo ww kama una roho wa mungu na yesu alivyo mwama kweli anaweze asiitikie kwanza neno lake mwenyew amesema niite na mi nitakuitikia
@Joyceisaka8 күн бұрын
Mh simuamini mtu ila namuamini Mungu na bibliaa alie sema tusijipambene ni Mungu nitafata ya Mungu
@Damaris.favoured8 күн бұрын
Romans 8;28 Mambo yote yatendeka kwa wema kwa wanaompenda Mungu.
Hujatusimulia kuuhusu ndoaa yake ya Kwanzaa kabisaa
@amishambar34188 күн бұрын
Amen amen YESU ni BWANA
@HellenDana3 күн бұрын
Mimi ni msabath ktka Kenya na tunavaa kilemba tena cheupe, hata Biblia inasema dada!! tuishi kulingana na neno.
@RubenMtuwaMungu-bz8ee8 күн бұрын
Suala siyo fulani alionyeshwa issue biblia inasemaje kuhusu mapambo nk. Tutahukumiwa kwa neno la Bwana na siyo shuhuda ya mtu. Ushuhuda kazi yake kubwa ni kuimarisha imani ya watakatifu na kujifunza mbinu mbalimbali ili kukabiliana na changamoto tunazopitia kama waamini.
@chedielnyirenda96647 күн бұрын
Dada, usichanganye matumizi ya akili na matumizi ya uongozi wa Roho! Muulize Atakujibu tu! Hatupaswi kuchanganya mambo!
@janethmwihumbo12898 күн бұрын
Abarikiwe Mtumishi huyo,Mbarikiwe watangazaji,macamera man wote sifa na utukufu ni zako Kristo
@saramss72628 күн бұрын
UBARIKIWE mtumishi sana mjoli wa KRISTO
@elishafakutunga25504 күн бұрын
Anahitaji kuombewa kwanza huyu maana yawezekena huyo niwala wanaotafuta sadaka tu hataushuhuda waka imekuwa kama hisitoria ambayo haiwezi kutujenga kiloho amina
Dada soma ufunuo sura ya 2:18-29 alafu muhurize Mungu kwenye maombi yako nini mahana yake
@hezekiamhapa73958 күн бұрын
Nilikuwa nimeanza kukuamini ila sasa nina mashaka makubwa sana kwa sababu hata shetani ana kawaida ya kuchanganya ukweli na uongo na kama uliwahi kuwa mwadventista na ulisoma vizuri biblia vizuri na leo una kanisa lako nina mashaka shetani hajakuacha ila alikuacha kwenye uganga ila akaona akupeleke kwenye dini ambako shetani atakukamata vizuri bila kumtambua. Mungu ni yeye yule jana leo na hata milele huwa habadiliki. Hapo hutumiwi na Mungu ila unatumiwa na shetani. Maana swala la mapambo ni yeye Mungu ndio alisema msijipambe sasa huyo anakuambia ujipambe si Mungu.
@godfreyhiza10758 күн бұрын
Laiti tungeona upendo wa YESU na kumkumbatia ingekuwa baraka sana!!! Tusijipe mizigo ...Mathayo 11:28 ...Mara vilemba, mara vyeo!!! Mara jinsia...etc...
@GladysVyagusa8 күн бұрын
Mtumishi kubali uachane na mapambo ni dhambi au India magotini umwombe Mungu juu ya hili.
@ivonaevarista46546 күн бұрын
Promover tv asanteni kwa ushuhuda mzuri,ila huyu mtumishi jmn Mungu amsaidie ata ukiangalia account yake mmmhmm udunia unaupenda ila Mungu amsaidie tu.
@ev.walterkalenga97836 күн бұрын
Hapo kwa mapambo, I don't agree cos hapa Kenya na nduniani kote MUNGU amejifunulia wengi na 99.99 per cent wanaongea the same.MUNGU ANAPELEKA WENGI HELL SABABU YA MAPAMBO
@EZRA-b1c8 күн бұрын
AMEN
@natujwamziray77498 күн бұрын
Tunaomba maandiko tafadhali. Ushuhuda ni mzuri ila tunamaswali mengi sana
@lucywilson58754 күн бұрын
Nimesikiliza vizuri ushuhuda huu, ila Dada bado anaudunia, Biblia imeweka wazi kuhusu mapambo na katazo la mwanamke kuwa KICHWA 1Thimotheo 2:9 -15 Achilia mbali ndoa alizofunga maana ndoa kwa Mungu ni moja na ile yakwanza ujanani mwako huwa haifutiki
@shadrachkamyori99116 күн бұрын
Wakati unamuota Jumbe. Jumbe hakuwa mbali. Mlikuwa naye hapo hapo ndani nyumbani kwako. Hiyo ndoto haikuwa kitu cha kufikirika. Ilikuwa ni kitu halisi. Lakini wewe uliona katika ndoto. Yule hakuwa Abdallah ilikuwa Jumbe. Jumbe alivaa sura ya Abdallah ndivo shetani anavotenda kazi.
@Godchoice1008 күн бұрын
Tunaomba link ya KZbin account ya apostle Zita, mbarikiwe
@levinajoseph27808 күн бұрын
❤
@saramss72628 күн бұрын
Erick Audax Be BLESED huyo dada kapotea Mwanamkee UTAKIWI KUWA MCHUNGAJII WALA ASKOFUU
@Joyceisaka8 күн бұрын
Mimi nimefatilia sana ushundi wako ila swala la kumuita huyu mlie acha mae mme wako mh. Sio vizur
@RodahAdonice-dz4sm8 күн бұрын
1 Wakorintho 11:5 [5]Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
@Joyceisaka8 күн бұрын
Neno lipo wazi ila kuna mtu alisema atajiremba hata mtu atoke mbingun amuambie hataamini
@natujwamziray77498 күн бұрын
Hizo ndoa mbona nyingi. Ni za madhabahuni au kuchukuana
@pirminmatumizi54648 күн бұрын
Why continue entertaining nickname Zizi?
@natujwamziray77498 күн бұрын
Mtangazaji plse someni comment zetu na dd azione
@ezralazaro62308 күн бұрын
Naomba ufafanuzi ya mahusiano na yule aliyefariki je ulifunga ndoa naye? Yalikuwa mahusiano gani kwa muda wa mwaka.
@annkim26908 күн бұрын
Ooh sasa Esther Masanja ameingilia wapi hapa mbona huyu mama anawauma hivi ama ni vile anaongeaga na Yesu mbona hamtaji Aston Mbaya
@annissdaprincess38466 күн бұрын
MUNGU wambinguni amsaidiye watu wake
@josephmusagasa8 күн бұрын
Leta kifungu cha Biblia kinacho kuruhusu kuwa askofu. Achana na hadithi za ki historia. Kabidhi tu hiyo nafasi ujivue ugomvi kwa Mungu kwani maandiko yanasema; hakuna neno hata moja litapita hata ukamilifu wa dahari
@annkim26908 күн бұрын
Kuna mwanaume anaitwa Wamayo alitoa ushuhuda last year kwa davista media anasema vile jini alivaa sura yake na kuchafua mtaa mzima kwa kutembea na binti za watu na wake za watu
@natujwamziray77497 күн бұрын
Unaonaje lile Neno ulilosikia ukiwa hospital lilikuokoa. Kwa nini Neno la Mungu ulipunguze. Wasabato sio biblia. Yakini yetu ni biblia
@RehemaMtono8 күн бұрын
Huyu dada anahuduma ya unabii
@saramss72628 күн бұрын
Uweziiiii ukawa askofu acha kupingana na Neno
@W.j_nfm8 күн бұрын
Someni wagalatia mtapata majibu kwa swali la wanawake kuwa askofu.
@AgnessMpanduka-l5g8 күн бұрын
Swala la kuto kuvaa mapambo sio tiketi ya kukufikisha mbinguni. Kuna mapambo ambayo ukiyatumia hata wewe ulie jipamba unajistukia hapo lazima ujue hilo ni tatizo hapo uko kwenye kujitongozesha ili watu waanguke Kiroho watenda dhambi,lakini umejipamba ili upendeze kawaida na roho yako iko kwa Yesu hapo hakuna tatizo watu wasikariri. Unaacha mapambo lakini una roho mbaya inakusaidia nini?
@ezralazaro62308 күн бұрын
Promover tunaomba msianze kuyumba, kabla ya kufanya interview jiridhishe na ushuhuda kama ni wa kweli.
@borntosucceed68777 күн бұрын
Wewe nae watu hubadilika katika mwendo aliyoeleza mazito unaanza kuilamu Promover Tv
@stanleyguthia77716 күн бұрын
Ushuhuda wake ni mzuri sana, ni vile tu ako na udhaifu kama mwanadamu wa kawaida
@ezralazaro62306 күн бұрын
@@stanleyguthia7771 sawa nimekuelewa
@mackfasonmoshi46295 күн бұрын
@@borntosucceed6877 Kweli itabakia kuwa Kweli tuuu. Huyu Dada Apstl Z.. kaeleza mengi mengi mno kuhusu maisha yake kabla na baada ya kuokoka.. Promover hawayumbi ng'ooo.. Tuendelee kumwombea Mtumishi Apostle Z M...
@BornusNgailo-n8b8 күн бұрын
Ninaomba namba zako tuweze kusaidiana ili tuingie Mbinguni,kuna niliyojifunza yamenisaidia na pia kuna mambo unatakiwa usaidiwe kuna kusudi la Mungu katika ushuhuda wako kwetu na kwako pia siwezi kuandika humu ila kwa hekima ya Mwenyezi Mungu siwezi kuandika humu nahitaji kuongea na wewe
@RehemaMtono8 күн бұрын
Kujenga makanisa haimaanishi uwe askofu dada huo ndo ukweli
@EmmyJerremiah3 күн бұрын
JAMAN KUJIPAMBA NI DHAMBI .sio kila kitu MUNGU atasema na ww sikiliza wengine na usome biblia yako maana huenda ukaona ni sauti ya MUNGU kumbe ni sauti ya adui .....take care 😮
@gervaskazinza35638 күн бұрын
Ninyi promover mnamapokeo yenu kutoka kwa ester masanja, ambayo ni maono ya uongo Kwanini kujadili mavaz mambo ya mwilini badala ya kujadili okovu
@annkim26908 күн бұрын
Mbona usiseme Aston Mbaya ama hujawahii usikia ushuhuda wake
@HappyPaul-nj9ri8 күн бұрын
Esta ni mwongo
@emmanuelngunyale36398 күн бұрын
mapambo ni dhambi kasome biblia vizuri kuanzia agano la kale mpaka jipya kaanze na kutoka 33:1_6 kuja mithali 6:25-27 kuja yeremia 4:30 kuja isaya 3:16-24 kuja hosea 2:13 yani vipo vingiiii
@annkim26907 күн бұрын
@@HappyPaul-nj9riMimi naogopa jehanam kweli sasa siwezi tusi MTU kua ni muongo coz imeandikwa tutatoa hesabu Kwa kila neno tulinenalo
@stanleyguthia77716 күн бұрын
@@annkim2690 Mungu akubariki
@mercykariithi79198 күн бұрын
Mabambo sio thambi huyu dada anasema ukweli
@hezekiamhapa73958 күн бұрын
Endelea kujipamba alafu utaona Mungu si kigeugeu
@mariahyera37378 күн бұрын
Endelea kujidanganya.
@stanleyguthia77716 күн бұрын
Endelea na mapambo ya jezebel ukifa ndio utajua ni dhambi
@tamarali83258 күн бұрын
Ukiniulza nitasema wewe ni nabii
@mercykariithi79198 күн бұрын
We must test the Spirit first hata ukileta ujumbe lazima we test the spirit hata huu ushuhuda lazima we test her Spirit why are you udaxs why are you insisting inataka zizi asivae mabambo
@borntosucceed68777 күн бұрын
Swali la mtangazaji kauliza anaamini nini katika kutokujiremba elewa swali