Matatizo and single again the best songs ever big up Hamonize keep moving
@nestonmarko39511 ай бұрын
Mbona Uyu haeleweki meneger
@Never-drc_officiel.11 ай бұрын
😂😂😂😂 Ding'ano na Ding'ano zake,...
@espoiraklonda866411 ай бұрын
Una sema ukweli bro ulaya hakuna mtu ambaye anasikiliza singeli
@DaniBoeeTz11 ай бұрын
😅😅eti chakwacha kwachakwacha
@ISSACCECYTIN11 ай бұрын
Hapama singeli ita vukaa alafu d vois ana badilikaa badilika d vois bongee la msniii mtakuja nambiaaa
@Farajahelene2303111 ай бұрын
No senile on konde village
@EvaristeRadjabu11 ай бұрын
Ding kaongeya kweli kabisa
@SululuZungu-kx8ws11 ай бұрын
True story wapuuz xn wasf😂😂😂
@YohanaMusa-hy4gw11 ай бұрын
Wewe hauna akil kabixaaaa
@Jeymoh11 ай бұрын
From Kenya dinghano motor Sana 😅
@DAMIABOY11 ай бұрын
PTV FOREVER 🙏 Hakuna kitu APO , mwana mziki wa singeli hastahili iyo labels 🙏🙏 natena hakuna Mtuu wakumu pimanisha Na harmonize APO
@ernestcharles428811 ай бұрын
Yeye ni msanii wa singeri anaimb hadi bongo fleva
@mrsinia306411 ай бұрын
WCB itawachukua muda sana kumpata msanii geneus kama harmonize
@michelinemapendo665211 ай бұрын
🥳🥳🙌🙌🙌😂😂
@mamboshepea888811 ай бұрын
Unaumwa wewe....chawa tuuu😁
@felista510710 ай бұрын
Kabisa na ndoomana Toka atoke Hamo mambo yameharibika kabisa kwao
@ElogbneyoBreezy-yz4vq11 ай бұрын
Kumbe Leber kubwa unajua
@Levymond11 ай бұрын
Mdomomdomo tu akifanikiwa mnanyamaza
@albertoevaristo264311 ай бұрын
Apa WCB ime tiya maji
@ramadhanimohamedi393511 ай бұрын
Chuki tu
@LaughKey-f8x11 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ptv napenda sana interview za uyu mwamba Mii namuelewa sana keep it kumhoji Dingano 🔥🔥
@awiloligola767411 ай бұрын
😂😂😆
@happyvicent283710 ай бұрын
Wivu huyooo diamond anaona mbali
@nicholauskilosa533611 ай бұрын
Ni kweli hata mimi nkikuta Nyumbani kwangu inapigwa singeli ntachapa watoto vbya sana.
@DaniBoeeTz11 ай бұрын
😂
@paulkifuku973011 ай бұрын
Atapotea kama lavalava
@j...87611 ай бұрын
VIP Angela , chid na kid, au Ibrah, bangi wewe chunga tu mu pumuwe vibaya😮😮
@silageorge163811 ай бұрын
Shenziii ngoja tu kidogo awe mkumbwa kushinda huyo ibrah
@MsodokiSokoine-k2x11 ай бұрын
Chuki tuu huyo pimbi hajui chochota kuhusu mziki d voice msaanii tuacheni matani
@edwinmeenda917111 ай бұрын
💯💯
@OmarNgoa11 ай бұрын
Wampigia kelele mtu mwenye humfukii hata robo 😂nipeni likes nilale mie fyoko
@DiabTutty-ke9bs11 ай бұрын
Acha roho mbaya kenge weeee
@barakamnai418411 ай бұрын
Hata mimi kaka sipendi singeli
@GlamourMJ11 ай бұрын
😂😂😂nahc we unapenda me xielewagii ata wanaimbagaaa nn an full matuc
@legacyjini665111 ай бұрын
Azingua wesiwakuzungumza ww
@Levinsky2511 ай бұрын
Mob love from Kenya dingano
@thobiasbukali900811 ай бұрын
Huyu ni manager kweli au chawa? Maana kama manager unatakiwa kujua vionjo mbalimbali kila aina ya mziki.
@Levinsky2511 ай бұрын
This guy understands music💯
@deogratiaskatabwa523011 ай бұрын
Dinganoo Mwamba unatishaaa singeli inaishia bongo tu
@YohanaMusa-hy4gw11 ай бұрын
Utaxema xema wewe hauna akil kabixaaaa Yani
@BakaliKutafuta11 ай бұрын
Hapo mwambino amegawanya riziki Tu hamna kitu hata wakaungana
@ASALABOY11 ай бұрын
Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.
@Kinyonga-kinyonga11 ай бұрын
Ukweli ata Mimi singeli jamani ipite ivi kwaza
@KingbabilonBabilon11 ай бұрын
Hiyo ni jealous
@BarakaKanyamibwa-lo4gc11 ай бұрын
Kiukweli ule jamaa hamuna kitu labda wamusaini FOUNDER TZ.
@hanifahkhamiss848511 ай бұрын
Mm nadhani d vois atabadili kutoka singel kuja bongo fever na amapiano....nyie pgeni ngenge tu😂😂😂
@BonfaceCharles-n8h11 ай бұрын
Kwahiyo unasema hivyo huyo harmonize alivyokuwa hajatoka nani alikuwa anamjua halafu dogo anafanya mziki wowote wewe usicrem Labda mkamroge
@mashramadhani198911 ай бұрын
Muacheni diamond harmoze bado ana safari ndefu kufikia mondi alipo sasa na D VOICE ANA kipaji sana sana
@blandkubwatz449611 ай бұрын
Motomoto
@happyvicent283710 ай бұрын
Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana
@LouisPadiri-im4xm11 ай бұрын
Kondegang nyie subirieni tu ajekumfunika ibraa😂😂
@sandramutabazi866611 ай бұрын
Fact kbs maneger❤
@benson2382311 ай бұрын
Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha
@abdalaauame386311 ай бұрын
Meneja digano sharrahut, onguera sana sana 👏👏👏👏
@KenedyMwaipaja-n8w11 ай бұрын
😂😅ding'ano et anamtukana baba levo pua😂😂 wakati yeye mwenyewe dingano mpua huoo😂😂😂 ama kweli nyan haoni kundu lakeeee
@damianmcba952511 ай бұрын
😂😂😂
@SalehSaleh-b6i11 ай бұрын
Ding'no facts 💫
@MohammedMohammed-uo5sk11 ай бұрын
Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma
@OmarOmaramimoOmar11 ай бұрын
Diamond amefeli
@Barnizeboy11 ай бұрын
🎉🎉
@AlbertJr-u8q11 ай бұрын
Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.
@cristianofabiao53711 ай бұрын
😂 ❤ding'ano 🔥🔥🇲🇿
@shaabanramadhan677011 ай бұрын
WCB sjui imekuaje
@AlbertJr-u8q11 ай бұрын
Mond ana target zake wala hana upinzani na upande wwote kwasbu kwa utajiri wake hana muda wa kushindana na mtu . Hata mkisema hamumpunguziii chochote.
@KingbabilonBabilon11 ай бұрын
True
@peterongonga424211 ай бұрын
Dingano nakufatilia nikiwa Nairobi ,huko sawa waoshe hawa mwabino
@denismigayi851311 ай бұрын
Tembo Jeshiiii la mtu Moja
@bakarimnyubi265011 ай бұрын
Kwani mzee wa fact anasemaje nae AKA Mr Pimbi maana daah...🤣😃🤭
@JulianaMushi-nq3kc11 ай бұрын
Ila daimond kakurupuka sana mimi binfsi cjamwelew huyo dtalaka
@oj659511 ай бұрын
Sasa wewe uko na akili ku liko mkubwa fela na Salam sk peleka ushamba konde mlitengezewa saizi mna bwata kama mbwa koko
@VanderbickDiderick11 ай бұрын
Unajua Kama huwez kuwa mbunifu utaishia kuwashangaa wasafi ukwely anaujua ila anavunga
@cuiteaishah722611 ай бұрын
Hiyo nguo alivyo vaa mondii inatoshaaa😅😅 jameeni
@JoelRichard-hj3bi11 ай бұрын
Huyu ndio Dingano bwana Big up,waandishi wa mchongo.
@AshaMatola-hn2rd11 ай бұрын
Sasa domo amevaa nn icho amekaa kama fidodido amechekesha umma jamani
@seyyidbouy87611 ай бұрын
Kwenye hio album mm binafsi sijaona kitu. Na pia naona njia zile zile na melody za lavalava,zuchu na mbosso ukiacha haya mapiano yao. Pili sounds za wasafi siku hizi zina kelele nyingi sana na vinanda vya India😂😂😂😂😂😂😂 ptv fadhali naomba hii comment umuoneshe meneja ding'ano pz pz plz 🙏🙏🙏
@MkaliZuberi-rt3gb11 ай бұрын
Nyie wabongo muwe na akili kwani ukiwa deleva wa gari kubwa ndo inamanisha uwezi kuendesha gari dogo wangap walikua wanaimba bongo fleva na wakaamia kweny taarabu na wakatoboa wengine hip hap wakaamia bongo fleva mfano fid q, isha mashauzi na wakatoboa . Ukijua kuimba mziki utaimba mziki wowote ule acheni kujifanya wajinga
@MkaliZuberi-rt3gb11 ай бұрын
Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa
@mayahemede484111 ай бұрын
Meneja ni Noma sana
@erastocyprian355511 ай бұрын
Nice Dingano
@tomsijohni11 ай бұрын
Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo
@ChrissMrinah11 ай бұрын
Af huyu jamaa bila diamond atalal njaa Mana hang mtu mwingine wakumsema,,
@mamboshepea888811 ай бұрын
Ndo alivotumwa na boss😅😅 akili ya kunguni kukaa mchagoni...yamekushindaaaa kaa kwa kutulia...Simbaaaa
@janetymatola663911 ай бұрын
Daimond kachemka hapo ila anajuwa snschokifanya
@mushijohn643511 ай бұрын
Naulizaa😂😂 Ni naani kamshaurii Diamond avaee Pensi jamani miguu miguu mbona ni aibuu avae Trouser tuu
@Tintaaahasirakirende11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nilidhani nimeona peke yngu
@MrRich-h6d11 ай бұрын
Chambua babu din'gano😂😂😂
@ErickYona-c5l11 ай бұрын
Wcb wamechemuka sanaas
@leonardchisutia852811 ай бұрын
Hapa ukweli 😅😅
@aishaz111 ай бұрын
Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu
@ChrissMrinah11 ай бұрын
Mpaka hapo ukae ukijua singeli ndio itakuwa sokon
@SadamSaleh-ki8uf11 ай бұрын
Hata zuchu mlisema hivyo hivyo saivi ndio homa ya jiji kwa kila kitu kwaiyo tulieni dawa iwaingie
@musamatsaki7911 ай бұрын
Wee unaumwa wallae😂😂Zuchu kafanya kitu gani toka aingie WCB😂😂
@GlamourMJ11 ай бұрын
😂😂😂aimbe singeli, mchiriku ata kwaya ndo kashatoboaa kwixhaaa iyooo kila m2 na bahat yak😏
@hmedoggftherljih19911 ай бұрын
Meneja unajikuta TOP Quality, ila kupata ukubwani pia inachangia 😂
@ZipoOnline428911 ай бұрын
Mwandishi unaongeaje hivyo wewe?
@BinRabbah-t5g11 ай бұрын
Japo mm ni team wcb but Hawa wasanii wa singeli siwaelewi kabisa
@andrecarlos102411 ай бұрын
Dingano 👏👏👏👏💯
@benson2382311 ай бұрын
Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe
@BAHATIKIBA-ul6wx11 ай бұрын
Ila Kwa Upande Mwengin Kam Wamekosey Kumsaini Msanii Wa Singeli
Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.
@mashakamgonza11 ай бұрын
Kweli ata mm niliisikiliza nami nikaifuta chapu maana uwimbaji wake Kwa mbalii kama Omar kopa
@tomsijohni11 ай бұрын
Mimi niliona siku walivyo mutambulisha niliona nikajiua huyu musanii mpya wa WCB ni bure sana singeli ni music wa East Africa peke yake
@acizazihalirwa716511 ай бұрын
Niliwaza mavicali ao lunya😢
@RamaNgari-b1d11 ай бұрын
Mchawi ww ding'ano
@JulianaMushi-nq3kc11 ай бұрын
Kumbe dvoice ni mjukuu wa bikidude😅
@GlamourMJ11 ай бұрын
😂😂😂😂😂daaaah! Ila ww em niachee kwanz an nmechekaa 😆😆😆
@Tintaaahasirakirende11 ай бұрын
Ni kweli 😂😂😂
@WasafiGroup11 ай бұрын
Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali. Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi
@agwalubifaridah707911 ай бұрын
Kumbe unajua kama WCB ni label kubwa kenge ww
@ikramzamando81011 ай бұрын
We dingano una chembechembe za ushoga
@ibbyikh178811 ай бұрын
Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.
Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel