MENEJA DING'ANO AMCHEKA MSANII MPYA WA WCB {DVOICE} // HAWEZI KUFIKA POPOTE HUYU // TAZAMA HAPA...

  Рет қаралды 27,274

PTVTANZANIA online

PTVTANZANIA online

Күн бұрын

Пікірлер: 131
@pingumagongo1997
@pingumagongo1997 7 ай бұрын
😅😅mungu yu mwema😂😂 ding'ano for life🙌🙌
@chandiasamuel9292
@chandiasamuel9292 10 ай бұрын
Matatizo and single again the best songs ever big up Hamonize keep moving
@nestonmarko395
@nestonmarko395 11 ай бұрын
Mbona Uyu haeleweki meneger
@Never-drc_officiel.
@Never-drc_officiel. 11 ай бұрын
😂😂😂😂 Ding'ano na Ding'ano zake,...
@espoiraklonda8664
@espoiraklonda8664 11 ай бұрын
Una sema ukweli bro ulaya hakuna mtu ambaye anasikiliza singeli
@DaniBoeeTz
@DaniBoeeTz 11 ай бұрын
😅😅eti chakwacha kwachakwacha
@ISSACCECYTIN
@ISSACCECYTIN 11 ай бұрын
Hapama singeli ita vukaa alafu d vois ana badilikaa badilika d vois bongee la msniii mtakuja nambiaaa
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 11 ай бұрын
No senile on konde village
@EvaristeRadjabu
@EvaristeRadjabu 11 ай бұрын
Ding kaongeya kweli kabisa
@SululuZungu-kx8ws
@SululuZungu-kx8ws 11 ай бұрын
True story wapuuz xn wasf😂😂😂
@YohanaMusa-hy4gw
@YohanaMusa-hy4gw 11 ай бұрын
Wewe hauna akil kabixaaaa
@Jeymoh
@Jeymoh 11 ай бұрын
From Kenya dinghano motor Sana 😅
@DAMIABOY
@DAMIABOY 11 ай бұрын
PTV FOREVER 🙏 Hakuna kitu APO , mwana mziki wa singeli hastahili iyo labels 🙏🙏 natena hakuna Mtuu wakumu pimanisha Na harmonize APO
@ernestcharles4288
@ernestcharles4288 11 ай бұрын
Yeye ni msanii wa singeri anaimb hadi bongo fleva
@mrsinia3064
@mrsinia3064 11 ай бұрын
WCB itawachukua muda sana kumpata msanii geneus kama harmonize
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 11 ай бұрын
🥳🥳🙌🙌🙌😂😂
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 11 ай бұрын
Unaumwa wewe....chawa tuuu😁
@felista5107
@felista5107 10 ай бұрын
Kabisa na ndoomana Toka atoke Hamo mambo yameharibika kabisa kwao
@ElogbneyoBreezy-yz4vq
@ElogbneyoBreezy-yz4vq 11 ай бұрын
Kumbe Leber kubwa unajua
@Levymond
@Levymond 11 ай бұрын
Mdomomdomo tu akifanikiwa mnanyamaza
@albertoevaristo2643
@albertoevaristo2643 11 ай бұрын
Apa WCB ime tiya maji
@ramadhanimohamedi3935
@ramadhanimohamedi3935 11 ай бұрын
Chuki tu
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x 11 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Ptv napenda sana interview za uyu mwamba Mii namuelewa sana keep it kumhoji Dingano 🔥🔥
@awiloligola7674
@awiloligola7674 11 ай бұрын
😂😂😆
@happyvicent2837
@happyvicent2837 10 ай бұрын
Wivu huyooo diamond anaona mbali
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 11 ай бұрын
Ni kweli hata mimi nkikuta Nyumbani kwangu inapigwa singeli ntachapa watoto vbya sana.
@DaniBoeeTz
@DaniBoeeTz 11 ай бұрын
😂
@paulkifuku9730
@paulkifuku9730 11 ай бұрын
Atapotea kama lavalava
@j...876
@j...876 11 ай бұрын
VIP Angela , chid na kid, au Ibrah, bangi wewe chunga tu mu pumuwe vibaya😮😮
@silageorge1638
@silageorge1638 11 ай бұрын
Shenziii ngoja tu kidogo awe mkumbwa kushinda huyo ibrah
@MsodokiSokoine-k2x
@MsodokiSokoine-k2x 11 ай бұрын
Chuki tuu huyo pimbi hajui chochota kuhusu mziki d voice msaanii tuacheni matani
@edwinmeenda9171
@edwinmeenda9171 11 ай бұрын
💯💯
@OmarNgoa
@OmarNgoa 11 ай бұрын
Wampigia kelele mtu mwenye humfukii hata robo 😂nipeni likes nilale mie fyoko
@DiabTutty-ke9bs
@DiabTutty-ke9bs 11 ай бұрын
Acha roho mbaya kenge weeee
@barakamnai4184
@barakamnai4184 11 ай бұрын
Hata mimi kaka sipendi singeli
@GlamourMJ
@GlamourMJ 11 ай бұрын
😂😂😂nahc we unapenda me xielewagii ata wanaimbagaaa nn an full matuc
@legacyjini6651
@legacyjini6651 11 ай бұрын
Azingua wesiwakuzungumza ww
@Levinsky25
@Levinsky25 11 ай бұрын
Mob love from Kenya dingano
@thobiasbukali9008
@thobiasbukali9008 11 ай бұрын
Huyu ni manager kweli au chawa? Maana kama manager unatakiwa kujua vionjo mbalimbali kila aina ya mziki.
@Levinsky25
@Levinsky25 11 ай бұрын
This guy understands music💯
@deogratiaskatabwa5230
@deogratiaskatabwa5230 11 ай бұрын
Dinganoo Mwamba unatishaaa singeli inaishia bongo tu
@YohanaMusa-hy4gw
@YohanaMusa-hy4gw 11 ай бұрын
Utaxema xema wewe hauna akil kabixaaaa Yani
@BakaliKutafuta
@BakaliKutafuta 11 ай бұрын
Hapo mwambino amegawanya riziki Tu hamna kitu hata wakaungana
@ASALABOY
@ASALABOY 11 ай бұрын
Singeli ?? ET Wanadidang'aya kama Anabadilika Sasa uyo Msanii wao akibadilika anatuimbia Mataharabu . ET mwandishi mzuli wabongo wanapenda kupigia kelele vítu vibovu.
@Kinyonga-kinyonga
@Kinyonga-kinyonga 11 ай бұрын
Ukweli ata Mimi singeli jamani ipite ivi kwaza
@KingbabilonBabilon
@KingbabilonBabilon 11 ай бұрын
Hiyo ni jealous
@BarakaKanyamibwa-lo4gc
@BarakaKanyamibwa-lo4gc 11 ай бұрын
Kiukweli ule jamaa hamuna kitu labda wamusaini FOUNDER TZ.
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 11 ай бұрын
Mm nadhani d vois atabadili kutoka singel kuja bongo fever na amapiano....nyie pgeni ngenge tu😂😂😂
@BonfaceCharles-n8h
@BonfaceCharles-n8h 11 ай бұрын
Kwahiyo unasema hivyo huyo harmonize alivyokuwa hajatoka nani alikuwa anamjua halafu dogo anafanya mziki wowote wewe usicrem Labda mkamroge
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 11 ай бұрын
Muacheni diamond harmoze bado ana safari ndefu kufikia mondi alipo sasa na D VOICE ANA kipaji sana sana
@blandkubwatz4496
@blandkubwatz4496 11 ай бұрын
Motomoto
@happyvicent2837
@happyvicent2837 10 ай бұрын
Wewe mbona harmonize mbona kaimba sinqel hata mkumsema mondi ndio kwanza mnampaisha mnamzidishia kupanda chat mondi na mpenda mziki wake mpaka nainqia kabulini napenda sana
@LouisPadiri-im4xm
@LouisPadiri-im4xm 11 ай бұрын
Kondegang nyie subirieni tu ajekumfunika ibraa😂😂
@sandramutabazi8666
@sandramutabazi8666 11 ай бұрын
Fact kbs maneger❤
@benson23823
@benson23823 11 ай бұрын
Ana tisha wapi kwa roho mbaya aliyo nayo hanaga akili wewe una waza mtu mwene ana akili ana weza ongea ivo mbona walishindwa kumu saidiya huyo anjela acha
@abdalaauame3863
@abdalaauame3863 11 ай бұрын
Meneja digano sharrahut, onguera sana sana 👏👏👏👏
@KenedyMwaipaja-n8w
@KenedyMwaipaja-n8w 11 ай бұрын
😂😅ding'ano et anamtukana baba levo pua😂😂 wakati yeye mwenyewe dingano mpua huoo😂😂😂 ama kweli nyan haoni kundu lakeeee
@damianmcba9525
@damianmcba9525 11 ай бұрын
😂😂😂
@SalehSaleh-b6i
@SalehSaleh-b6i 11 ай бұрын
Ding'no facts 💫
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 11 ай бұрын
Dibango kidogo nitakukosoa Leo ww ni best yangu sana but singeli itauza Spain coz huko ndio mambo Yao ila mjomba D Voice na mjomba Swara wawekeze sana katika lugha ya singeli kama ni kiswahili kiwe na mafunzo ya Hali halisis ya maisha na pia wafanye mix ya lugha kingereza na kispanyola ili watu wa Dunia wapate kuelewa na midundo iwe babukubwa but kama ni Sengeli ya kibongo bongo haiendi mbali .pia mjomba kitondoro ampe pumzi D voice afanya ya kwake coz naona makolabo kibao hii itamvunjavunja ila wampe ukubwa kwanza kivyakevyake Kisha kolabo za wastani.Doh Swara kaingia Kwa Sengeli sasa hii noma
@OmarOmaramimoOmar
@OmarOmaramimoOmar 11 ай бұрын
Diamond amefeli
@Barnizeboy
@Barnizeboy 11 ай бұрын
🎉🎉
@AlbertJr-u8q
@AlbertJr-u8q 11 ай бұрын
Mond so mjinga kumsaini uyu msanii wa singeli... Kwasbu mond kaongeza mashabiki .. na uyu d voice atafka mbali sana mpka watu watashangaa kwasbu mwanzo ni mgumu ila najua atafanya tu surprise watu hawatoamini.
@cristianofabiao537
@cristianofabiao537 11 ай бұрын
😂 ❤ding'ano 🔥🔥🇲🇿
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 11 ай бұрын
WCB sjui imekuaje
@AlbertJr-u8q
@AlbertJr-u8q 11 ай бұрын
Mond ana target zake wala hana upinzani na upande wwote kwasbu kwa utajiri wake hana muda wa kushindana na mtu . Hata mkisema hamumpunguziii chochote.
@KingbabilonBabilon
@KingbabilonBabilon 11 ай бұрын
True
@peterongonga4242
@peterongonga4242 11 ай бұрын
Dingano nakufatilia nikiwa Nairobi ,huko sawa waoshe hawa mwabino
@denismigayi8513
@denismigayi8513 11 ай бұрын
Tembo Jeshiiii la mtu Moja
@bakarimnyubi2650
@bakarimnyubi2650 11 ай бұрын
Kwani mzee wa fact anasemaje nae AKA Mr Pimbi maana daah...🤣😃🤭
@JulianaMushi-nq3kc
@JulianaMushi-nq3kc 11 ай бұрын
Ila daimond kakurupuka sana mimi binfsi cjamwelew huyo dtalaka
@oj6595
@oj6595 11 ай бұрын
Sasa wewe uko na akili ku liko mkubwa fela na Salam sk peleka ushamba konde mlitengezewa saizi mna bwata kama mbwa koko
@VanderbickDiderick
@VanderbickDiderick 11 ай бұрын
Unajua Kama huwez kuwa mbunifu utaishia kuwashangaa wasafi ukwely anaujua ila anavunga
@cuiteaishah7226
@cuiteaishah7226 11 ай бұрын
Hiyo nguo alivyo vaa mondii inatoshaaa😅😅 jameeni
@JoelRichard-hj3bi
@JoelRichard-hj3bi 11 ай бұрын
Huyu ndio Dingano bwana Big up,waandishi wa mchongo.
@AshaMatola-hn2rd
@AshaMatola-hn2rd 11 ай бұрын
Sasa domo amevaa nn icho amekaa kama fidodido amechekesha umma jamani
@seyyidbouy876
@seyyidbouy876 11 ай бұрын
Kwenye hio album mm binafsi sijaona kitu. Na pia naona njia zile zile na melody za lavalava,zuchu na mbosso ukiacha haya mapiano yao. Pili sounds za wasafi siku hizi zina kelele nyingi sana na vinanda vya India😂😂😂😂😂😂😂 ptv fadhali naomba hii comment umuoneshe meneja ding'ano pz pz plz 🙏🙏🙏
@MkaliZuberi-rt3gb
@MkaliZuberi-rt3gb 11 ай бұрын
Nyie wabongo muwe na akili kwani ukiwa deleva wa gari kubwa ndo inamanisha uwezi kuendesha gari dogo wangap walikua wanaimba bongo fleva na wakaamia kweny taarabu na wakatoboa wengine hip hap wakaamia bongo fleva mfano fid q, isha mashauzi na wakatoboa . Ukijua kuimba mziki utaimba mziki wowote ule acheni kujifanya wajinga
@MkaliZuberi-rt3gb
@MkaliZuberi-rt3gb 11 ай бұрын
Anae jua anajua tu yule ametokea kwenye singeli ndio aimanishi kua yeye ndio anaujua singeli tu msanii mkali ni yule anayeimba aina yoyote ya mziki huyo ndio msanii mkubwa
@mayahemede4841
@mayahemede4841 11 ай бұрын
Meneja ni Noma sana
@erastocyprian3555
@erastocyprian3555 11 ай бұрын
Nice Dingano
@tomsijohni
@tomsijohni 11 ай бұрын
Apo ndo wandishi wanafeli sana wanashindwa kusema harmonize alishinda Tuzo alafu kuna watu hawajui Harmonize alishinda Tuzo ya nini wanashindwa kusema hivyo
@ChrissMrinah
@ChrissMrinah 11 ай бұрын
Af huyu jamaa bila diamond atalal njaa Mana hang mtu mwingine wakumsema,,
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 11 ай бұрын
Ndo alivotumwa na boss😅😅 akili ya kunguni kukaa mchagoni...yamekushindaaaa kaa kwa kutulia...Simbaaaa
@janetymatola6639
@janetymatola6639 11 ай бұрын
Daimond kachemka hapo ila anajuwa snschokifanya
@mushijohn6435
@mushijohn6435 11 ай бұрын
Naulizaa😂😂 Ni naani kamshaurii Diamond avaee Pensi jamani miguu miguu mbona ni aibuu avae Trouser tuu
@Tintaaahasirakirende
@Tintaaahasirakirende 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nilidhani nimeona peke yngu
@MrRich-h6d
@MrRich-h6d 11 ай бұрын
Chambua babu din'gano😂😂😂
@ErickYona-c5l
@ErickYona-c5l 11 ай бұрын
Wcb wamechemuka sanaas
@leonardchisutia8528
@leonardchisutia8528 11 ай бұрын
Hapa ukweli 😅😅
@aishaz1
@aishaz1 11 ай бұрын
Nilisema tu huyu mchawi lazima tu litamchoma yani unaonekana uko na wivu kupitiliza sasa Ibra amekwisha ata sikuiz asikiki.ogea y Ibra wachana n WCB weeee chawa mchovu
@ChrissMrinah
@ChrissMrinah 11 ай бұрын
Mpaka hapo ukae ukijua singeli ndio itakuwa sokon
@SadamSaleh-ki8uf
@SadamSaleh-ki8uf 11 ай бұрын
Hata zuchu mlisema hivyo hivyo saivi ndio homa ya jiji kwa kila kitu kwaiyo tulieni dawa iwaingie
@musamatsaki79
@musamatsaki79 11 ай бұрын
Wee unaumwa wallae😂😂Zuchu kafanya kitu gani toka aingie WCB😂😂
@GlamourMJ
@GlamourMJ 11 ай бұрын
😂😂😂aimbe singeli, mchiriku ata kwaya ndo kashatoboaa kwixhaaa iyooo kila m2 na bahat yak😏
@hmedoggftherljih199
@hmedoggftherljih199 11 ай бұрын
Meneja unajikuta TOP Quality, ila kupata ukubwani pia inachangia 😂
@ZipoOnline4289
@ZipoOnline4289 11 ай бұрын
Mwandishi unaongeaje hivyo wewe?
@BinRabbah-t5g
@BinRabbah-t5g 11 ай бұрын
Japo mm ni team wcb but Hawa wasanii wa singeli siwaelewi kabisa
@andrecarlos1024
@andrecarlos1024 11 ай бұрын
Dingano 👏👏👏👏💯
@benson23823
@benson23823 11 ай бұрын
Sasa yeye ali kuwa wapi ku msaidiya harmonize kabla haja pata number ya diamond ili amsaidiye acha wivu kaka sababu mume shindwa ku msaidiya anjela we umbwa hauna akili ata hausikiye haya kuweza kuongeya hayo mbona wasafi haikuongeleye wewe acha wivu umeshindwa wewe
@BAHATIKIBA-ul6wx
@BAHATIKIBA-ul6wx 11 ай бұрын
Ila Kwa Upande Mwengin Kam Wamekosey Kumsaini Msanii Wa Singeli
@hmedoggftherljih199
@hmedoggftherljih199 11 ай бұрын
Watu na kazi zao, usiwe mtabiri feki
@cuiteaishah7226
@cuiteaishah7226 11 ай бұрын
Ndioo
@paulsamwel900
@paulsamwel900 11 ай бұрын
Ulitaka wamsajili mama ako, kumaanisha nini
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 11 ай бұрын
@@hmedoggftherljih199 huyu mwanga tuuu....ndo wataskiza sasa😁😁
@aishaz1
@aishaz1 11 ай бұрын
Yani had machoz yanakutoka kisha umbea kama mwanamke kwani kinakuuma nini ??eti ?Ajela alitoa siri zenu ebu tulia uko wewe ndo uwez pata kitu uku duniani kwa hii wivu yako nyooo mzee baba mzigo wako sepa pita paleeeee uka lale.
@mashakamgonza
@mashakamgonza 11 ай бұрын
Kweli ata mm niliisikiliza nami nikaifuta chapu maana uwimbaji wake Kwa mbalii kama Omar kopa
@tomsijohni
@tomsijohni 11 ай бұрын
Mimi niliona siku walivyo mutambulisha niliona nikajiua huyu musanii mpya wa WCB ni bure sana singeli ni music wa East Africa peke yake
@acizazihalirwa7165
@acizazihalirwa7165 11 ай бұрын
Niliwaza mavicali ao lunya😢
@RamaNgari-b1d
@RamaNgari-b1d 11 ай бұрын
Mchawi ww ding'ano
@JulianaMushi-nq3kc
@JulianaMushi-nq3kc 11 ай бұрын
Kumbe dvoice ni mjukuu wa bikidude😅
@GlamourMJ
@GlamourMJ 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂daaaah! Ila ww em niachee kwanz an nmechekaa 😆😆😆
@Tintaaahasirakirende
@Tintaaahasirakirende 11 ай бұрын
Ni kweli 😂😂😂
@WasafiGroup
@WasafiGroup 11 ай бұрын
Nyanyi wakumponda D Voice,si nyinyi mpeleke mama zetu ama dada zenu wenye vikipaji wafike mbali. Maubwa nyinyi na Roho mbaya kila siku ila mko sahihi masikini kila siku kazi ni kuongelea waliomzidi
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 11 ай бұрын
Kumbe unajua kama WCB ni label kubwa kenge ww
@ikramzamando810
@ikramzamando810 11 ай бұрын
We dingano una chembechembe za ushoga
@ibbyikh1788
@ibbyikh1788 11 ай бұрын
Ding”ano mtoto wa Lindi chawa mi mtoto wa Lindi tukutuku stare mimba ILaLa DSM born Lindi grew up Ilala DSM, kichaa wa kujipakia I’m just kidding homie one love from states, what up Bc 100 shule ya msingi Ilala Boma Tz one love, kitovu changu kipo TZ, I love you all on my heart.
@Mr.issa1-o2c
@Mr.issa1-o2c 11 ай бұрын
Nakuaka nakukubali sana manager dingano
@kilungahamis1270
@kilungahamis1270 11 ай бұрын
Mnaiongelea lebel inayosajili wasanii halafu mnashindwa kuiongelea lebel inayofeli kukaa kukuza wasanii
@saidollarchain2895
@saidollarchain2895 11 ай бұрын
Diamond anatumia nguvu ya ushawishi lazima Nigeria wataimba sengel na huyo dvoice haimbi sengel pekee anaimba mpaka bongo mpka taarabu mpaka miduara sioni ubaya pia itanyanyua mziki wa sengel
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 28 МЛН
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 51 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,9 МЛН
diamond platinum kakubali alifanya na p diddy  ushenzi mbaya
4:01
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶 #gen
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 28 МЛН