Huo ndiyo ukweli Ukraine watakuja kujua kuwa walikuwa. Wanatumia kipindi watakapo kuja kushtuku kuwa nchii yao imekuwa jagwaa au masikini wakutupwaa
@atutweve4160Ай бұрын
Ungevamiwa kwako ungefanyaje? Kwa taarifa yako wakishinda kila kitu kitajengwa in a minute na huyo aliyeharibu atashtakiwa,,,, karibu ulimwengu wa kiongozi wa dunia jichanganye 😉
@sultanbakary4292Ай бұрын
@@atutweve4160bado upo kizan na kwann wavamiwe au NDio unatumia matako kufikria
@sultanbakary4292Ай бұрын
@@atutweve4160hiv Kuna mbwa Dunian anaweza kumfunga Putin amka utakojoa
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
@@atutweve4160 kumbe wakishinda haya wacha tuone na labda washindee njaa 🤣🤣🤣
@user-lv1ki7nn7tАй бұрын
Wewee shoga wa magharibi acha uchawa kwa marekani mbwa wewe ,Ukraine hawezi kushinda hiii vita acha kudanganywa na movie za akina Rambo hii Russia sio Libya mbwa wewe tulia kama ulivyo hauwezi nenda ukaolewe nao kabisa hao marekani wako
@gabapentin8070Ай бұрын
Master mind putin 🔥
@atutweve4160Ай бұрын
Siku utajua kua ni mkurupukaji tutakutana hapa 🤣
@salehkhalfan7345Ай бұрын
@@atutweve4160ww nawe
@sultanbakary4292Ай бұрын
@@atutweve4160Putin sio gadafi ndugu Wala Russia sio Libya hao ni namba nyingine
@gabapentin8070Ай бұрын
@@atutweve4160 kaa ivo ivo ukiisubiri siku mnajazwa upepo na Main stream media na ww unaona kama marekani ndo kila kitu yule silaa yake kubwa dollar subiri brics coin ianze famya kazi
@stevenlugojeremia2323Ай бұрын
@@atutweve4160jidanganye tu hivyo hivyo kuwa Mmarekani anaweza kumpiga Mrusi 😅
@shabanibussara8454Ай бұрын
Dah! Maneno ya kiutu kabisa haya...Huyu Jamaa ni MTU HASWAA. I'm now Pro- Russia
@chachamturi259Ай бұрын
Swaaaafi sanamwamba wape. Vidonge vyao
@aminaanab1071Ай бұрын
Mungu akue na wewe putin😊😊
@festohaule9716Ай бұрын
Ukreni anapaswa kujitetea kwa nguvu zote... Lakini maeneo mengi yanazidi kutekwa... Muungwana hukubari yaishe... Ukreni ikibari waishi kwa Amani!!!!!
@MAHAN-SMARTАй бұрын
Marekani na washirika wake ni wabaya kweli!
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Sanaaaa
@kingsniper9769Ай бұрын
❤ to prezo Joe
@ItzNketiahАй бұрын
Kwa kwel nimestahajabu sky new wameijadil hii interview lakin hawajaipost au kuiweka kweny media zao
@AmaniMathodАй бұрын
Uraaa
@msukumamnywamaziwa2785Ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@abuuabuu274Ай бұрын
Ni kwel marekani anaisaidia ukrain ili ampunguze nguvu urusi
@josephwilliam5813Ай бұрын
Kwaio ukraine iliwaita URUSI ndani ya ukraine ili iwapunguze nguvu? Stupidity idea
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
@@josephwilliam5813brother huwezi elewa huu mchezo Kama utakuwa upo kishabikii
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
@@josephwilliam5813fala mmoja wewe
@giftngailo5442Ай бұрын
Unafikiri Urus hana akili? Urus akili kubwa sana.
@MarcellySumaye-bv5lhАй бұрын
Kwani nani hana akili
@aediayumgo8546Ай бұрын
Tatizo la. Mateja kupewa uongozi Zelensik. Unga unampleka mbio
@minicooper9642Ай бұрын
Comedy mbwa yule
@MiriamAbdallahАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-lt1bi5nr1xАй бұрын
Akili kubwa PUTIN
@mwlpierreАй бұрын
Lakini Anayepata hasara ni wao Urusi na Ukraine maana Askari wa ndio wanakufa lakini Askari wa Marekani hawafi kwani hawapigani kwa hiyo ni hasara yao wenyewe
@josepheriah5977Ай бұрын
Vita bdoo kabsa
@Brunotarimo10Ай бұрын
Biden Ni awamu Yake ya mwisho Trump ndo rais mtarajiwa
@kassimbayuu5217Ай бұрын
Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
@@kassimbayuu5217kaa ukijua, Trump hawezi kusimamisha hii opareshen ya Russia nchini ukrein. Uwezo huo hana. Mwenye huo uwezo ni Putin mwenyewe.
@rumdeesonsoa1811Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6mPutin hana uwezo wa kumaliza vita endapo silaha za magharibi zitaendelea kutumwa Ukraine
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
@@rumdeesonsoa1811 bado vita haijaanza
@user-ki9wu6no3dАй бұрын
Guys Me niwaambie Tu,, Marekani Is the most powerful Country Coz Hiv Vita mpk mda wote huu ni sapoti ya Marekani so Marekani anaogopeka sana,Lakin pia urusi ipo Vizuri Sana Sema tu ni vile sheria za Kimataifa za ki Vita lakin all in all vita sio Nzuri kwa pande Zote..
@ce-08Ай бұрын
Wacha wauane tu wapigane washuke kiuchumi huenda Africa tutaamka hapo kutoka ucngizin tukaanza kuwauzia chakula
@abdallahMohamed-yc2xwАй бұрын
Kwahili hata goverment inatakiwa kuangalia watu kama hao
@EzekiaMyilaАй бұрын
Waache mda upo
@josepheriah5977Ай бұрын
Putin afe
@raymondmushi9019Ай бұрын
Huyu anakwenda kuimalizia urusi kusambaratika zaidi.ni heri angejikita kujenga uchumi wa urusi,kuliko kuendelea kushindana na USA,na washirika wake maana hata weza.
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Tulia wewe mbaka ukaona mtu ana jiamini amesha jipanga zamani kwani unafkiri tegemezi uyo kama ulivo wewe
@sultanbakary4292Ай бұрын
Unafkir Russia Kuna njaaa kama kwenu njombe kilaza ww
@MiriamAbdallahАй бұрын
@@sultanbakary4292sio ngombe ni Kilimanjaro Moshi hujaona jina😂😂😂😂😂
@uwimana6533Ай бұрын
Urusi nitaifa kubwa hata wajiunge 100 watapigwa na mrusi. marekani anatafuta sapoti kwakuogopa nguvu ya urusi nandiomana anawachimba mkwala mataifa yeyote yatakae mpa mrusi silaha .tusubiri kitakachofata ,marekani kajochanganya kuleta hiyi vita mrusi hakubali kushindwa wanasili ya ubishi kama wayahudi , muwasikie ivo mtawajua badae hawachezewagi mnavyo fikiria , nawazungu wamagharibi wanawaokopa , marekani yuko anawangiza kwenye chaka ilawenyewe hawataki vita , wanamjua mrusi nikicha , kwenye mapambano ya kivita 😢😢😢
@Annalisejg2urАй бұрын
@@MiriamAbdallah😂😂😂😂
@thehustlerafrica4368Ай бұрын
Mbona Putin anajitetea sana wakati anaendelea kupigana Ukraine
@Gulfnas1Ай бұрын
In shaa Allah, Putin utashinda!! Global south inakutegemea
@user-km1dm8et9xАй бұрын
Uyu mzee sio mda tutamsaau maana ameshachanganyikiwa
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Ай бұрын
We w ndo Umechanga nikiwa na maisha akili haiko sawa
@Isaac_The_GeniusАй бұрын
😂😂😂😂
@AdamuAdamugoАй бұрын
😂😂
@raymondmushi9019Ай бұрын
Mrusi anatapatapa,kuzipatia silaha nchi rafiki zake ili kuipiga USA,na washirika wake,huko ndiyo kutangaza vita kuu.kwa maana USA naye atafanya hivyohivyo.na hapo ndiyo unakuwa mwanzo wa kufyatua kitufe cha vita ya dunia.
@hassanpashuaАй бұрын
Hao USA wanaiyogopa Russia kama korona
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Tatizo ni MCHINA.
@sultanbakary4292Ай бұрын
Mbona USA ashafanya hivyo ila imebuma
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
@@sultanbakary4292 Mkuu ukimshinda urusi kijeshi jua uchumi wako uko hatarini sana, je utakubali china awe superpower mpya?
@hassanpashuaАй бұрын
USA hajawai shinda vita Vietnam alikimbia Somali akakimbia chanzo cha kuitengeza NATO ni uoga kuvamia nchi peke yake yuaogopa ,wadhani Russia ingekua nchi kama vile Belarus au Serbia wangkua wameingia kitambo lkn ni nn wanaogopa wote
@zenooernest18Ай бұрын
Putin fanya uwezavo ila huto shinda kamwe
@Annalisejg2urАй бұрын
Putin hawezi kuwashinda ukrani au marekani?
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Nyny mnampamba sana putini mlifanyaivyo hatakwa Ibrahim rais mwishowasku kirichokuja kutokea nimambotu yahahibu mliwasfukwel wajemi wakovizuli wanakraktu mwishowasku hanakuja kupata hajali nakaelikopta kaenzi zaukoron halafu wamebanana kama daradara za mbagara kahelikopta kamechaka hatatu matifa yadunia yatatu ayawezi kumpandisha raisiwake
@AyshuuAllyАй бұрын
😅😅😅😅jifunze kuandika kwanza alafu uwape watu lawama😅😅😅
@RASHIDMOHAMMEDIАй бұрын
Jifunze kusoma na kuandika alafu urudi tena na utoe lawama zako😂
@MujuniKamugishaАй бұрын
Putin hapambwi ,russia ni moto mwingine
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
@@RASHIDMOHAMMEDI uwezi kunipangia namna yakundika sjakulazmisha usome kahabaww
Tutaona nani mkali zamu hii, Russia ana silaha kali na mingi zaidi kushinda NATO na marekani. Afu kibaya zaidi, ana nuclear zenye nguvu kushinda Us marekani. Kitanuka tu. 🇷🇺
@modestwenceslaus9Ай бұрын
Kumbe ushindi wa Putin katika vita hii unategemea sana uchaguzi mkuu wa US😂😂 na wala siyo kwa uwezo wa Jeshi la Russia😂😂 Shame on you Putin😮😮😮
@sultanbakary4292Ай бұрын
Sasa mbona hao American mpaka sasa hawajashinda
@AjiaMohamed-rt5pbАй бұрын
Mpuuzi kweli ww putin anakalibia kuchukua ukrsin yote mbele ya nato huo uchaguxi ni wa nini
@atutweve4160Ай бұрын
YEYE NCHI YA UKRAINE INAMUHUSU NINI MRUSI? Yani simuelewi 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@MohamedAhmada-ie7keАй бұрын
Ukikua utajua
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Bado ww ni mtoto, endelea kukua afu utajua
@sultanbakary4292Ай бұрын
Kwa sababu ww ni kilaza pia bendera fata upepo Kuna watu wameamua nn uskilize na ww umekaza shingo
@EmanuelMandooАй бұрын
Chanzo huelewi
@atutweve4160Ай бұрын
@@sultanbakary4292 huoni nawewe bendera fata upepo mbona naskia mama kakopeshwa huko na katoa vitu hushadadii 🤣🤣🤣fatilia vitu vya kwenu ili siku usijekuwa kama leo 😉