Afilie mbali dhulma anavyo tesa nchi za watu 😢was kua na hatia
@BigZhumbeАй бұрын
Hao unaohisi wanateswa ndio wanawaomba Wamarekani wapeleke majeshi yao kwao kwa ulinzi
@NdovuDentalClinic_Ай бұрын
Angekuwa Raisi WA bongo BBC sasa 😂😂
@debbymwaka4048Ай бұрын
Sio bongo angekua wa African ingekua ni shida
@missp1814Ай бұрын
yaan BBC wanakera,ni vile viongozi wa Africa wanawaogopa ila wale watu ni waongo na wachochezi balaa
@nasibugunda7927Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Gody360Ай бұрын
Mapema sana washa anza kumpondaaaa
@TrinaRoman345Ай бұрын
Simpatii picha trump anavyochekelea huko aliko utazani Rick Ross akipiga kilevi afu acheze dance😂😂😂😂
@abuusufian6506Ай бұрын
Mpuuzi mmoja 😅😅
@TrinaRoman345Ай бұрын
@@abuusufian6506 Bata wahed nimewaza pakubwa ujue🤣🤣🤣🤣🤣👍
@ngendakumanajeanmarrie7490Ай бұрын
Huu mzee amechapa😂aache kung'ang'ania kiti umli wake haumruhusu😂
@pauldotto7868Ай бұрын
Ukweli tunaweza kuingia vitani na mtu mwenye ungonjwa mkubwa. Maamuzi ya raisi wa marekani ana upungufu wa akili. Namwimba PUTIN. Amvjmilie mwezake ni mgonjwa''
@MashaMbwanaАй бұрын
😂😂
@pauldotto7868Ай бұрын
Natamani Raisi wa russia. Aendelee hivihivi .asitumie siraha za moto... Kwa maana mshindani wake ni mgonjwa na ahajitambui tafadhali
@emmadora7848Ай бұрын
Unafikiri Marekani ni kama mataifa yetu sisi huku? Wenzetu system zao za uongozi ziko vyema sana rais sio Kila kitu kwao kama sisi
@user-xl9so6jg1eАй бұрын
Hiyo marekani ni shughuli nyingne huyo rais Hana mamlaka makubwa sana kwa hapo marekani usije ukafikilia hvo Yan ingekuwa ni hvo mbona Putin angeshafanya anayotaka mda tu..... Narudia tena hiyo ni marekani syo tatzo 😂😂😂
@aminmohammed4249Ай бұрын
Dua hizo zinafanya kazi…na atajinyea sana tu😂
@emmadora7848Ай бұрын
Si zifanye kazi Gaza, Sudan, Nigeria , Pakistan nk? Au zinachagua pa kufanya kazi?
@SamwelSospeter-lz9fmАй бұрын
Duuuuuh
@bindatalent6972Ай бұрын
@@emmadora7848😅😅 asee una akili sana hata kwenye maisha yako ya kawaida
Alikufa kitambo na Last month alikuwa na rais ruto?
@theafricanprincevivecongo8632Ай бұрын
@@agwalubifaridah7079 😂😂😂 we aupo dunia hii
@HaikaFredrickАй бұрын
Akili za kimasikini hizo
@shukurumsebaloliАй бұрын
@@HaikaFredrick Tuambie sasa wewe mwenye akili zakitajiri
@JamesMtewa-ro1dhАй бұрын
hahahaaaaaa hujafa huja umbika
@RagnarSnow-oq3ntАй бұрын
Kama Ulitazama na kuielewa vizuri series ya WESTWORLD basi huna shaka huyu ni HOST 😅😅📌
@Gody360Ай бұрын
Aseeee
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Hatari ila taifa kubwa ilo kitaileweka
@MsAggie5Ай бұрын
Amekaa kama robot 😂😂😂
@wadantz123Ай бұрын
😂😂😂😂jmn
@YayouselimАй бұрын
Kaishaa😂😂😂😂
@habibaramadhani-xv2edАй бұрын
Pole Kiongozi Rais Baiden-Unaweza kuahilisha Matukio,Hadi utakapina Uko Vizuri.Matatizo humpata Binaadam yeyote.Sina Uhakika na Umri unaweza kusoma Mazingira sio Lazima usimame.Ongea Kwa Mtandao Bado Mawazo Yako yanahitajika.Tumuombe Manani Akufanyie wepesi .Amiina.
@pastorgodwinchengula7848Ай бұрын
Mbona mh Mkapa akiwa na miaka 83 alikuwa fiti sana tofauti na huyu Raisi wa USA.
@duhuzebosco6207Ай бұрын
Atoke
@saumbliz8983Ай бұрын
Na bado
@DeusPaschal-g5qАй бұрын
Tofauti kubwa miaka 4 mingi!
@HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын
Angekuwa ni Rais kutoka Africa wangeongea sana..
@husseinkonz5192Ай бұрын
Hana tofaut na robot za bongo
@OmaryMwachaАй бұрын
Wewe unamacho makali sana
@malickabbas8271Ай бұрын
Afe kabisa huyo shetani
@hassangaddafi2347Ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@MrA24GАй бұрын
Biden angepumzika kwanza kihistoria nyuma alipata tatzo la afya.Kapitia Mapito magumu maishani mkewe wa kwanza na mtoto walifariki kwa ajali jambo lililomtikisa sanaaa.Isitoshe kawa senator miaka mingi sanaaa mpk akawa makamu wa raisi.Vyema democrats wangemchagua raisi mpyaa.
@stiveerasto1683Ай бұрын
Kama huyu ndio atakuwa mgombea wa marekani basi Trump ushindi kwake ni asubuhi.
@faidhamyovela179Ай бұрын
Hawezi gombea
@Expl0rer.Ай бұрын
Na bado. 😂 . Atajuta kuzaliwa huyu.
@OmaryMwachaАй бұрын
Analaana zadunia
@tanzaleo8670Ай бұрын
MK ALTRA AT WORK THIS IS DARK WORLD MISSION
@user-hj4bc5uh2xАй бұрын
Huyu mungu. Amuweke amdhalilishe mpaka wengine wapateibra kupitiayeye
@OmaryMwachaАй бұрын
Aamin
@MHDFURNITURE-jn2rxАй бұрын
afe tu mdhenzi huyo mzee ananyonga watoto parestn
@user-oh4vg6rm9s29 күн бұрын
huyo ni IA jiongezeni sio mtu
@yahayaannu3663Ай бұрын
Kuna mwingine huko Nigeria nae anaaguka kila wakt anasinzia kwny mikutano 😅😅😅
@abdulmruke2246Ай бұрын
Wallah yule wa nigeria umri wake ni zaidi ya mwinyo nilicheka😂😂😂😂
@paulinewangila-cs6ysАй бұрын
@@abdulmruke2246nimejizuia nisicheke ilaaa😂
@babuwajinaommy725Ай бұрын
Dam za watoto wa Gaza zina watafuna 😂😂
@MassoudSalimАй бұрын
Mwamba alitokwa na mavi
@piterasifa3757Ай бұрын
Atakua hana marinda huyu mzee 😂😂😂
@JafariHamisi-gu4efАй бұрын
Si aachie madaraka?
@mosesgodfrey4143Ай бұрын
Mm
@abdull_hafidhАй бұрын
Kwann wanachagua Maraisi wazee sana wakat wapo vijana wengi wenye uwezo huo
@esterkimath1214Ай бұрын
Huyo atakua ROBOT au Reptile waliona tunaenda kuumbuka 😅😅😅
@sarahrashidi9558Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@jeanmusamba8448Ай бұрын
hahaha tumbo limevurga watu bwana hahha
@salehkhalfan7345Ай бұрын
Mwenetu anatarajiw kugombea tena raundi ijayo miaka mi4 mbele
@sponsor7882Ай бұрын
Angejiuzulu
@evancetilya167Ай бұрын
Daah kachoka san
@Gody360Ай бұрын
Au robot!
@SaraphinaKidoti-qe7giАй бұрын
Rip 😅😅
@ChurchofecclesiaАй бұрын
Wamekuwa cloned nyie ndo hamuelewi huyo sio original
@aminatanzanya7475Ай бұрын
😂😂😂😂 Kawa Roboti
@frankmare1708Ай бұрын
Saving Private Ryan,ndio story ya hiyo beach ilitengenezwa hapo
@user-yn7mt4mh8nАй бұрын
Hiyo ni robot
@susans4490Ай бұрын
Wacha kudanganya watu mtangazaji eti uhuru wa marekani, na kama alikuwa hazijui hizo nyimbo acheze nn
@shaibukhamis863Ай бұрын
Nasikiag hy mtu mdori yan 😅😅😅
@ngadumbishi1405Ай бұрын
Kweli uchawi hauna nchi 😂😂
@user-cq2lt6ho5wАй бұрын
Waarabu walishasoma Alibadri, na hiyo ikishik hakuna Dr anaetibu😂😂😂
@Kulwakisansa-zk5ygАй бұрын
Ili life tu mm silipendi ili li babu
@callywillison8685Ай бұрын
Mungu ampe shifaa
@user-tq4lx9si1nАй бұрын
Hahanze kwanza kumpa babahako
@OmaryMwachaАй бұрын
Umefeli sana wewe Mungu ua amuongozi mtu zwalim kamayeye kaa ukijuawewe
@mangofish9079Ай бұрын
Huyu kaekwa kwa sababu ni takwa la elites na cia na hata huo uchaguzi uliomuweka hapo ktk urais hakushinda kweli huyu.
@silviasaleh4667Ай бұрын
Donald Trump was a wrestler player
@lastborn7810Ай бұрын
Afe tu firauni part 2 huyo
@josephsamwel6511Ай бұрын
Hyo ni clone
@xaixaiobrigado4846Ай бұрын
Na ya hapa mwetu yaonesheni. C na sasha alipatwa na mdharuba huko (K)akakinbizwa uarabuni!
@thelaoban6236Ай бұрын
Mzee alikula kiporo!
@faidhamyovela179Ай бұрын
Nae mzee apumzikeee atakufa anatembea
@user-wk4rc6cb4iАй бұрын
Atakuwa amejinyea
@MamaLio475Ай бұрын
❤ Trump ❤
@harrishussein6992Ай бұрын
Anashida trump
@Phina01Ай бұрын
Ni bonge la racist mbaguzi balaa asikwambie mtu
@philiplugalia3724Ай бұрын
Huyu mzee amechanganyikiwa aende nyumbani aache kutuma silaha huko Israel kuua wapalestina
@madamedna123Ай бұрын
Kinachoeasaidia wamarekani Iraqis kwao ni taasisi siyo ‘one Man Show’ , na mihimili mingine ya Dola ni I mara sana, ndiyo maana serikali ina oparate ingawa Rais ni dhaifu. Ila kwa kweli Biden ameshachoka.
@pascalmanyama2304Ай бұрын
Hawa jamaa huwa wanatucheka sisi waafrika,vp nao mbona wana kiongozi mzee hivi?,sasa Biden na Paul Biya wana tofauti gani?
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Apumzike hahahahahaha kiti kimejificha
@Bahati47Ай бұрын
Unafikiri dam za watu ni nzuri?
@lilianjeremia1024Ай бұрын
Hasigombee mwakani jmn ila je Trump ndo atapita jmn😢
@FahmiNassorАй бұрын
Hawezi kuzuia mavi tako lipo wazi
@nasibugunda7927Ай бұрын
Anaumwa
@levygasper7438Ай бұрын
Huuuu Biden atakuja kuanguka staining 😂
@andrewkissava9184Ай бұрын
Hata mseme biden mi nne 4 tena na msimsemee afya yake yuko fiti ninyi ndo wagonjwa
@OmaryMwachaАй бұрын
Sio mi4 ataiwe400 ila waachane nasisi wasijafe watujua sana
@BigZhumbeАй бұрын
DT yuko fiti kabisa mzee Joe uzee ushaamtawala.
@madownloadionlinetv759Ай бұрын
They send robot to their voyage than real human UK and america they spend
@DR.SAIFILLAH.5363Ай бұрын
AU HUYU JAMAA NI ROBOT 😂
@novatv3970Ай бұрын
interval ya miaka minne ya uzeeni ni kubwa kama miaka nane mzee
@omarybakunda2554Ай бұрын
Muuaji huyo
@kwisa4899Ай бұрын
Huyu mzee awezi kumaliza huu mwaka
@madownloadionlinetv759Ай бұрын
Robot biden😂😂😂
@humbimusisa-db1tgАй бұрын
Robot Hilo 😂 Biden halisi washamsahau wenyewe 😅
@FADYANALOLAАй бұрын
Let’s me go nursing home,
@johnmalembo6464Ай бұрын
Damu za watu zinamsumbua
@mohammedmfamau43Ай бұрын
Kwani kiti cha urais wa marekani c anacho?ss apo anatafuta chengine kisichoonekana?mh.ata bado wewe unasubiriwa uko kusikojulikana .
@MumewanguАй бұрын
Huyu baiden amewekwa tu kama robot
@ChurchofecclesiaАй бұрын
Biden original kashauliwa huyo ni cloned ndo maana vituko vingi
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Ameva pumper
@Brunotarimo10Ай бұрын
Trump ndo rais ajae Wa marekani
@rumdeesonsoa1811Ай бұрын
Trump ndio mbaya zaidi kuliko Biden
@Brunotarimo10Ай бұрын
Ubaya wake upi. Icho chama cha Biden kinapochukua madaraka Dunia inakua Na fita
@rumdeesonsoa1811Ай бұрын
@@Brunotarimo10 Trump ni mbaguzi anaejionesha wazi wazi
@africanmandetraveler2847Ай бұрын
Huyu faza amechoka asije akabonyeza kitufe chekundu aangamize dunia kwa Nuclear.