QURAN IMEANDIKWA, AMA IMESHUKA

  Рет қаралды 263

END TIME LOUDCRY TV 2

END TIME LOUDCRY TV 2

Күн бұрын

Пікірлер: 21
@OmaryMustapha-ho7bk
@OmaryMustapha-ho7bk 4 күн бұрын
Kiswahili kinakuchanganya na kuwa na kichwa kikubwa haimaanishi unaakili
@PaschalKiteaKitea
@PaschalKiteaKitea 13 күн бұрын
Mwalimu MUNGU akubaliki, endelea kufunua siri za shetani zlizofichika kwenye uisram
@trusted777
@trusted777 13 күн бұрын
@@PaschalKiteaKitea amen amen amen...tuzidi kuombea kazi ya Mungu iende mbele.
@yusuphhassan9619
@yusuphhassan9619 8 күн бұрын
Amani ya mwenyezi Mungu iwe kwenu, Quran imeshuka kutoka ubao wa lauhmahafuudh ikiwa imekamilika mpaka mbingu ya dunia ndo ikawa inashuka kidogo kidogo kwa mtume Muhammad akawa anawasomea hao waandishi wanaandika
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 күн бұрын
Anawasomea wakati hajui kusoma wala kuandikaa???
@OmaryMustapha-ho7bk
@OmaryMustapha-ho7bk 4 күн бұрын
Siokila anaejiita mwalim ni mwalim kweli huyu Bado ni mwanafunzi anahitaji kujifunza
@karimuabdala3234
@karimuabdala3234 3 күн бұрын
@@OmaryMustapha-ho7bk yaani ajui lolote anakurupuka na kuropoka ropoka tu
@husseinkiruta1712
@husseinkiruta1712 8 күн бұрын
Hujui kitu wewe
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 8 күн бұрын
Hukeli unauma sikuiz watu wanasoma msiishi kwa kukalili
@daudimichael7338
@daudimichael7338 8 күн бұрын
Anachosema ni kutoka kwenye vitabu vyenu, labda useme anayosema hayapo.
@khamisijumamkoka9106
@khamisijumamkoka9106 8 күн бұрын
AKILI NDOGO NI NYUMBA YA IBILISI. KUSHUKA NI UJUMBE SHIDA UNASOMA ELIMU NA CHUKI HUTAELEWA. MUNGU AKUSAIDIE
@daudimichael7338
@daudimichael7338 8 күн бұрын
Quran ni maneno ya Muhammad bhana, hakuna cha kushuka kutoka sijui wapi, huo ni Uongo tu.
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 10 күн бұрын
Majibu yako 2:97 quran inajibu
@daudimichael7338
@daudimichael7338 8 күн бұрын
Yaani ijitolee majibu yenyewe halafu tuamini? Sikia, Quran yenyewe hatuiamini. Tutaaminije aya iliyomo ndani yake?
@karimuabdala3234
@karimuabdala3234 8 күн бұрын
​@@daudimichael7338Wala aulazimishwi Qur'an sio bibilia mara kaiandika Paulo mara luka mara matayo aileweki 😅😅😅😅
@daudimichael7338
@daudimichael7338 8 күн бұрын
Aliyekuwa ni adui wa Jibril ndiyo aliyeiteremsha Quran. Kwakuwa inaaminika kuwa Allah ndiye aliyeteremsha Quran. Naomba nijue adui wa Jibril ni nani? Je, ni Allah?
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 күн бұрын
Uislamu ni mtihani sanaaa adui wa jublii ni SHETANI
@karimuabdala3234
@karimuabdala3234 8 күн бұрын
Sasa apo mbona umeshajijibu Qur'an imeshuka kwa Muhammad Muhammad ndio anawasomea wao waweka kumbu kumbu wewe aulazimishwi Qur'an imeteremshwa kwa mtume 😅😮😮😅😅😅
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 күн бұрын
Muhammad alikuwa hajui kusomaa
@karimuabdala3234
@karimuabdala3234 3 күн бұрын
@0badiaMwasongwe-rt1wr ni kweli taja nabii au mtume mmoja tu ambae alikua anajua kusoma
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 3 күн бұрын
@@karimuabdala3234 wotee akina musa walikuwa wanajua kusoma na kuandikaa ndomaana musa aliandika kwa mkono wake Torati vitabu vitano Daudi kwa mkono wake aliandika zaburi na wengine wengiiiii
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН
القارئ مختار الحاج - سورة التوبة - تلاوة خاشعة
1:22:46
قرآن كريم - Quran TV
Рет қаралды 236 М.
When Allah Guided the Children of Abu Lahab | The Firsts | Dr. Omar Suleiman
1:06:07