RADDI KWA ABDALLAH HUMEID NA GENGE LAKE || Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 10,368

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 319
@mohamadmaulidngava1510
@mohamadmaulidngava1510 2 ай бұрын
Alhadulilah nipo na kufuatilia vizuri Mwanafunzi wako nakupenda kwaajili ya Allhwa Shekh wangu.
@bafaaabuu
@bafaaabuu 2 ай бұрын
Mashaallah shekh allah akuongoze kwenye njia iliyo nyooka na sisi pia tunakuelewa vizuri sana
@abdulwahabbakar8677
@abdulwahabbakar8677 2 ай бұрын
Hebu nyie mnasaemsifu huyu mtuambie hiyo tafsiri anayoiita ya masalafi imeandikwa na nani
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 2 ай бұрын
Majadida mbona watakoma hawawezi kujibu maswali maxito sana haya sheikh Allah akuhifadhi tuendelee kufaidika
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 2 ай бұрын
Maaashaallah Allah amhifadhi sheikh bachu
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Upo vizur sana sheikh bachu safisha Allah sw akuhifadh
@أبوياسر-ث8ح
@أبوياسر-ث8ح 2 ай бұрын
لله درك ياحكيم القوم بارك الله فيك وجزاك الله خيرا قد اشتشكل على العوام أمور كثيرة لأجل هؤلاء ❤
@ShaabaniRamadhani-i6i
@ShaabaniRamadhani-i6i 2 ай бұрын
Maashalaa barakanllahu fiiika yaa akhy
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 2 ай бұрын
Ahsante Bachoo nakukubali hoja zako ni vitabu tunaomba atakaye jibu naye atumie vitabu ili tupate elimu
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 Naam nimemuelewa sanna
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud tukiachana na dini ni kitu gani ambacho Allah ametutuma hapa duniani? Ina maana atakae shikamana na kazi ya Allah hana maana? Hivyo ndivyo umemaanisha?
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud wewe ulie soma vitabu 100 jibu maswali yangu ya msingi Alafu Kingine una aibika brother maana kila lugha ina kanuni zake ingefaa vizuri usome grammar kuliko kuongea broken English ya mtaa
@BuiKishkOnlineTv
@BuiKishkOnlineTv 2 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADHI KAKA❤
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
Muhammad Bachu ah nimekoseya ngoja nikupe heshma yako , shekh Abuu Ubaida Muhammad Nasour Bachu twasemahivi inatosha shekh maswali yako hayatojibika kitaqwa mpaka kitasimama kiyama labda yajibike kiushabiki lakini taqwa kutoka moyoni hapana shekh inatosha usiengeze mizigo ya maswali ilihali maswali ya kwanza hayajajibika, mtazamo kuna mashekh kwahaya unayoyasema wataanza kuuweka mbali ujadida na sisi tujiandae kuona mashekh hao wakitolewa ktk Sunna kama alivyotolewa shekh Abuu Muaawiya pamoja nawengine wengi ukiwemo na ww .
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 2 ай бұрын
Hawa watu wa makundi tushaawazoea na hali zao n makundi tu badala wakae wasomeshe watu waache uzushi
@Shamsudeen-h5o
@Shamsudeen-h5o 2 ай бұрын
Jazakallahu khyrañ umeongea vyema akhi
@nassorissa6008
@nassorissa6008 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1 sikilizaa videoa ya kwanzaa kaelezea hilo jadida limetoka wapi niwanazauoni katka vitabu vyaoo semaa nimesahau jina la kitbuu
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
Ajibiwe yy nani
@ShabaniAhmad-og5ki
@ShabaniAhmad-og5ki 2 ай бұрын
Wallahi nlikua nampenda sana abulfadhli lakin kumbe wamejitengenezea kikundi chao binafsi cha kisalafi ndo nimeelewa sheikh muhammad nakufatilia kwa makini sana nimetoka kwenye kikundi cha kijadida
@JibirilaSharif
@JibirilaSharif 2 ай бұрын
Wamejitoa wenyewe hao barahiyan na kundi lake katika salaf, Masalafi hawana kadi baba ya kumtoa mtu kwenye usalaf au kumuingiza. Allāh akuongozeni nyinyi mahizbi katika njia ya sawa manhaj salafi.
@Abuu-lr5bz
@Abuu-lr5bz 2 ай бұрын
Tutajie nguzo nne za uhizby kama wewe ni mkweli
@AbdullaahiCbdrxmn
@AbdullaahiCbdrxmn 2 ай бұрын
Sasa ushawatoa kwa kuwaita mahizbi...ama hujustukizii ndugu yangu
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Shusha nyundo kijana wallahy shekhe nasoro bachu al maruhum shekhe wetu nasoro bachu katuachia simba mwenye meno makali unawakusanya wote makhurafi wa kisufi na majadida mpk waungane mwaka huu wanyoshe kijana wananuna huku tembeza bakora hakki aijawahi anguka hata siku moja
@ibrasaid9256
@ibrasaid9256 2 ай бұрын
Kama huyu ndo simba unaemtegemea bhas tumuombe Allah atukunjulie ilmu maana unachukua ilmu kwa kijana asiejielewa
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@ibrasaid9256 hapa ni vitabu na hoja za wanazuoni ndo vya tumika so maneno yake njoo uttetee hiyo jihadi ili ulimwengu usituambie nyi mahzby jadida ilobainishwa hapo juu na mwanazuoni ili tubaiikiwe kuwa Hawa ni masalafi kweli so majadida kwa tabia hizo za kufukuza watu katika man hajji ya ahlsuna wal jamaa ndo shekhe kasema hawana bayana wanatowa towa watu ovyo tuuh! Man hajji ya ahlsuna mtu akifanya kosa Ana nasihiwa tuu madamu kosa lake halijaarifu misingi ya kuruani na sunnah shekhe Albani alisema ananasihiwa so kumtoa katika sunnah kama hajaarifu misingi ya wema waliotangulia unafunika baya lake kwa mema yake mengi alofanya lakini kwakuwa ninyi shk Abdu salamu kasema watu hawoo ni wajinga wa kufahamu ibara za wanazuoni na kujuwa vzr sheria ya Allah maneno yao hayazingatwi ni kama vumbi lipepealo angani
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@ibrasaid9256 simbaaa wa khurafi na majadida huyoo shusha nyundo
@HemedSerious
@HemedSerious 2 ай бұрын
Mwehu
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@HemedSerious nikweli ukiona mtu anatukana sindano imeingia sawa sawa
@Kajokashemmela-uu5vh
@Kajokashemmela-uu5vh 2 ай бұрын
Majadida wahovyo dunia nzima hakuna kama mafuta nagenge Lake Elimu yao digree moja kama yangu wanamkosoa Doctor Islam kwa chuki Bachu Allah kulinde unafundisha majadida wazee
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 ай бұрын
Bachu anampenda sana yule Mungu wake aliyevaa kanzu na viatu vya dhahabu kwa hiyo anamtetea kwa nguvu zote!! Imamu Suyut yupo sawa kwa kumtakasa Allah kwa kumuepusha na sifa za kiumbe.Tatizo Bachu uelewa wake ni mdogo sana.
@ulimwengu-giza
@ulimwengu-giza 2 ай бұрын
upo sawa kabisa naungana na wew
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Hakki itabainishwa hata madhalimu mkichukia hii ndo hakki simba wa Allah huyu kijana anawabuluza so masufi so majadida shusha nyundo kijana Allah atakunusuru usimuogope mtu
@ulimwengu-giza
@ulimwengu-giza 2 ай бұрын
@@AbdulIssa-o7e acha ushabiki kaa darasani usome dini ya Allah
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 2 ай бұрын
Kwani muislamu ukitolewa kwenye huo usalafy umekosa nini ?Au aliyekutoa anafanya kazi kwa niaba ya Mwenyezi Mungu?Ukiitwa hizby sijui khurafy yeye anajijua yuko hali gani?Tuacheni fikra zisizo msingi.Quran na Sunna zinatosha.
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@mzeerajab9154 lengo kutahadharisha watu na hilo kundi baya lenye fikra mbovu liliojificha kwa wema waliotangulia kwa jina la usalafi iinje kindani ovyo kabisaa kumtoa mtu kwenye manhajji bila dalili za msingi ni kumdhulumu ahlsuna wa kweli hawatoanii katika manhajji kindezi hivyo mtu anaweza fanya kosa Ana nasihiwa ikiwa kosa lake haliarifu kuruani na sunnah huyu bado mwenzetu na kosa lake linafunikwa na mema yake alifanya ndo msingi wa ahlsuna wal jamaa kwa ufahamu wa salafy swaleh
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 ай бұрын
may allah fill you and us with good.
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@KhalfanMassoud soma dini yako brother achana na ushabiki
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 Thanks. Ila kama umenielewa hapo naona hapana ushabiki wowote ety. Ila nikuambie "Nakutakia Siku njema".
@AbuuAbdillahonlinetv12
@AbuuAbdillahonlinetv12 2 ай бұрын
Weee si ushajibiwa na sheikh abul abbas hassa wazir allah amhifadh
@Imranosman-n9h
@Imranosman-n9h 2 ай бұрын
Iko wapi hio vid ama link akhi
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 2 ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh naam kipenzichetu tulijua hawatojibu nahaomaswali niyakielim Halafu elimuyao nindogooo kwaio usitegemei kujbiwa kikubwatu tumishawabaini iwekwenye mitandao au iwemisikitinikwao wanapoona unafatilia dawazao wanaanza kukuonesha ubaa wamashekhe wasiowataka nakutukataza kuingia kwenyemisiti yamashekhe wasiwowataka nandomana tuliwambia kuanziamwanzo wakiendelea kuvuruga watabaki uchi kielim naaibu itawapata kwaio walivokaakimiya kwahaamaswali waendelee kukaakimiya hivyo hivyo nawakiendelea kukaakimiya umati Muhammad swalallah walaih wasalam utanusulika nasharizao
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@izmamuizmamu6521
@izmamuizmamu6521 2 ай бұрын
بارك الله فيك
@hamisiprinsi5240
@hamisiprinsi5240 2 ай бұрын
بارك الله فيك يا إبن باجو
@MariamUmande
@MariamUmande 2 ай бұрын
Hawa masalafiya jadidah wakina mafuta wana tabia ya kiyahawariji
@osmansuleiman6236
@osmansuleiman6236 2 ай бұрын
يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ ٱتَّقُواْ ٱللَّهَ حَقَّ تُقَاتِهِۦ وَلَا تَمُوتُنَّ إِلَّا وَأَنتُم مُّسۡلِمُونَ Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu kama ipasavyo kumcha; wala msife ila nanyi ni Waislamu. -Surah Aal-E-Imran, Ayah 102 Sioni muito wa Allah kwa waja wake kufungamana nao mpaka kuwafikia yakini(kifo) isipokuwa ni kuwa waislam ama hayo mengine ya usalafi na vituko vingine ni vile leo tu maduati wameacha Kuwaiti watu katika uislam na kuwapeleka katika vijikundi vyao mwisho wa siku kila mmoja kujiona yupo sahihi na ndio mmiliki wa pepo na moto, enyi maduati mcheni Allah ukwel wa kumcha uislam unahitajia mambo mengi ya msingi kuhakikisha unaenda mbele na sio kuulaza ummah kwa mambo yenu yasiyo na vichwa wala miguu
@masoudmohammed4258
@masoudmohammed4258 2 ай бұрын
Allah Amuhufadhi Sheikh wetu Abdhallah Humeid.
@geniustechnologytz
@geniustechnologytz 2 ай бұрын
Aamiin.....
@abuubanyai8344
@abuubanyai8344 2 ай бұрын
Amiin
@allywaziry6419
@allywaziry6419 2 ай бұрын
Kumfananisha Al imam suyutwi na barahiyani daah 😅😅
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 2 ай бұрын
Hu bwana bachu ame kwishiwa! Ajifanya ana eliiiiiimu eti amkosowa Al imamu Alssuyutwi achekesha saaana
@wafaumelikolinji7151
@wafaumelikolinji7151 2 ай бұрын
mjibu kwadall ili tupate faida zaidi
@allywaziry6419
@allywaziry6419 2 ай бұрын
@@wafaumelikolinji7151 dalili nzito kwa mjinga ni kumnyamazia..
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@wafaumelikolinji7151 kama elimu huna hata hiyo dalili haitakufaa
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
Unafaham kiswahili lengo ni makosa hapo jee hayo makosa ya Al imaam suyuuywti kna yoyote kati ya hoa aliwataja kuwa kayafanya
@AbuujureyjKhaniy
@AbuujureyjKhaniy 2 ай бұрын
Wallah kwa ambaye nimfatiliaj mzuri wa darsa hizi na akaweka jazba na umimi pemben Anafaidika mnoo kwayule mtafutaji wa elimu na hakiii kwahaya anayo yaelez ndugu yetu hapo hamna lake bali ni ananukuu tuu......Shekh endelea kutupa elimu kisha chaguo nilamtu mwenyewe wapi abaki na ashikie Allah akulipe khery
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@lovepipy4811
@lovepipy4811 2 ай бұрын
Yani Bachu kabla ya kumfanyia difa'i Barahiyan kwanza ilikuwa awasaidie yale maswali aliyoshindwa kujibu katika yale maswali alioulizwa na AbdulFadhl na moja likahusishwa na yeye direct.. Na yote yalikuwa maswali ya kielimu. Hapa simaanishi Swali la Kuwa KULIPA LINI PESA ZA Al akhy Wa MOSH alizo dhulumu. Nakusudia naswali alioulizwa yeye
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Dalili ya mtu kuishiwa hiyooo na mwambieni mafuta wenu amuombe msamaha shekhe barahyan kwa dhulma alimfanyia kabla hajafa maana mahakama ya Allah haina rushwa kabisa haki kwa haki ulimdhulumu mwenzio naww utadhulumiwa mumemtuhumu mwislamu mwenzako kumchafua mitandaoni mwizi kaiba hela subuhanallah et dawa salafia salafia walikuwa tabia chafu kama zenu hizo kuwatukana watu na kuwadhalilisha kwa kivuli cha usalafi i tafuteni pa kujificha kichaka kimewaka moto saivi 😂😂😂
@ShabanHassan-td3lx
@ShabanHassan-td3lx 2 ай бұрын
34:59 Km kwli,kula pesa za watu kw njia ya dhulma, inakutoa kwnye manhajh, mbna nyny majadidah, hamjamto Abuu Rajab, alipo tangza kuacha dawah na maaswia yalio zihirika kwake, naomb jb tafadhl.
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
Wanatamami wakule nyama hawakupndi heee
@jumanneissa8226
@jumanneissa8226 2 ай бұрын
Hizbi anailiza maswali😂😂
@JumaAbdulmaalik
@JumaAbdulmaalik 2 ай бұрын
kijana unatabu ww allah akuzidishie elimu iliuache hizi tabu ulizokuanazo.
@mussasalafiy
@mussasalafiy 2 ай бұрын
Baada kuisha makala zitafuatia sauti za raddi kwa Muhammad Bachu ان شاء الله
@Imranosman-n9h
@Imranosman-n9h 2 ай бұрын
Zipo wapi akhi makala, Allah akubariki
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Pongwe mjanja kweli eti adai yeye sio ma'asum nakosea kama wanavo kosea wengine leo hii salafi huyuuu akiri hivi kijana wetu tembeza mboko hivo hivo najuwa nia yako iko vyema Allah akuhifadhi sana
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
Sasa si n kweli au wataka aseme kama wanvosema mshekhe wenu kua hwakosei
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Mulikuwa wapi tangu hapo mpaka dogo awatie kidole cha masikio eti leo hii awakanya watu wake pongwe ajitizame uzuri sana sisi tunamchora tu na huyo dogo Allah amuhifadhi sana kuna kama hao muko nao humo humo baadae tuje kuwachapa pale mlipo wachapia mashekhe wetu 😅😅😅😅 kijana wetu tembeza mboko hivo hivo mpaka wasema viliomo miyoni mwao 😂😂😂😂😂😂​@@AbubakarMuqaddam-f2r
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Mulikuja visiwani mwetu mukijidai mmekuja na hakki tukaawamini kumbe hamna jipya zaidi ya kuzijafua jitihada za mashekhe wetu Allah akbari pongwe Allah awaongoze Allahumma amini
@mengihashimu1081
@mengihashimu1081 2 ай бұрын
Fanya utafiti hiyo audio yalini alaf useme?
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Hizbu mafuta hawez kujibu haya maswali na hivyo ndo desturi yake akibanwa na hoja huwa Ana nyamaza kimya
@mohamedmohamed-zx3ff
@mohamedmohamed-zx3ff 2 ай бұрын
Tuendeleee tu na RADDI tu na wala mivua hainyeshi balaaaa hizi mashekhe wa sasa
@HassanJamada-pf4jt
@HassanJamada-pf4jt 2 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/nYG6i4Otg6ppaJosi=2o6ywiNbAHgMXzfg HII NDIO SABABU YA MUHAMMAD KUTOJIBIWA HATA AKIONGEA MPK AKAKATIKA ULIMI
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Bachu ayo maswali hayawez kujibiwa kwa ustadi mazito sana labda watajibu kwa matakwa yao sio kwa usahihi lakin inavutakiwa ngumu hawez kujibu kabisa
@abuubakarmohd7532
@abuubakarmohd7532 2 ай бұрын
Wewe muhammad bacho unajitia ujingani hizi tazkiya huzioni au unachuki zako tu kzbin.info00WT5fYCEbU?si=DdHj1cw9v3doT9-W
@CoComelod123
@CoComelod123 2 ай бұрын
Ustadh masalafi hawapost picha zao Wala video kwa sababu nimakosa. Mbona wao kupost picha za masheikh wanaowapinga kwao wakiwapost inakuwa ni sawa. Au u salafi ni manhajj ya nifaq na kuchagua aya watakavyowao
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Majadida ni akina nani? Nani kaanzisha? Ushahidi uko wapi? Haya maswali yameulizwa tangu 2022 mpaka leo hakuna majibu sheikh Muhammad bachu tusaidie kujibu hatuelewi
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 2 ай бұрын
Hatoweza
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Pongwe mjanja kweli eti adai yeye sio ma'asum nakosea kama wanavo kosea wengine leo hii salafi huyuuu akiri hivi kijana wetu tembeza mboko hivo hivo najuwa nia yako iko vyema Allah akuhifadhi sana
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
​@@محسنأبوالخير-ر3ج😂😂😂 wameanza kunyooka amaa nimesoma vibaya comments yako
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@محسنأبوالخير-ر3ج Muhammad bachu kila siku ataja neno SALAFIYA JADIDA nauliza nakuuliza wewe unae saport je wajua ni akina nani majadida? Kikundi chao kimeanza lini? Mwanzilishi wao ni yupi? Kisha ushahidi uko wapi? Hayo ni mambo ya kujiuliza kwa mwenye akili na sio ushabiki tu!
@lovepipy4811
@lovepipy4811 2 ай бұрын
​Wakikujibu hili swali njoo uniihisbishe 😂​@@AbuuBakar1
@abuubakarmohd7532
@abuubakarmohd7532 2 ай бұрын
Radd kwa bachoo kzbin.infoUgkxwHCJj3pG_RZg_LekfggREoJAeAaaYfBe?si=N8bjwb8BLZLNSGsu
@akidazaid663
@akidazaid663 2 ай бұрын
Haya ndio maelezo ya Imam Al Twabariy Imam wa Kisalafi katika aya hiyo. ثم اختلف في صفة إتيان الرب تبارك وتعالى الذي ذكره في قوله: " هل ينظرون إلا أن يأتيهم الله ". فقال بعضهم: لا صفة لذلك غير الذي وصَف به نفسه عز وجل من المجيء والإتيان والنـزول، وغيرُ جائز تكلُّف القول في ذلك لأحد إلا بخبر من الله جل جلاله، أو من رسول مرسل. فأما القول في صفات الله وأسمائه، فغيرُ جائز لأحد من جهة الاستخراج إلا بما ذكرنا. وقال آخرون: إتيانه عز وجل، نظيرُ ما يعرف من مجيء الجائي من موضع إلى موضع، وانتقاله من مكان إلى مكان. وقال آخرون: معنى قوله: " هل ينظرون إلا أن يأتيهم الله "، يعني به: هل ينظرون إلا أن يأتيهم أمرُ الله، كما يقال: " قد خشينا أن يأتينا بنو أمية "، يراد به: حُكمهم. وقال آخرون: بل معنى ذلك: هل ينظرون إلا أن يأتيهم ثوابه وحسابه وعذابه، كما قال عز وجل: بَلْ مَكْرُ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ [سبأ: 33] وكما يقالُ: " قطع الوالي اللص أو ضربه "، وإنما قطعه أعوانُه.
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
Kuongezea huyu humeid hajui kusoma kiarabu anakosea kila mara.
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
@@Alakhyasirabuammar ssa mtu kama hujui kusoma kuna ubaya tukitanabahisha umma?alaf utamwona eti yye pia anaradi wasomi.hii dunia tutaona mengi
@IssaSimbilla-hw9ev
@IssaSimbilla-hw9ev 2 ай бұрын
Kasuku wa Zanzibar 😂
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
TULETEE MANENO YA ABULFADHLI YAKUMTOA ABUU MUAWIYA KWENYE USALAFI
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Kuna shekh apo kenya kasoma yemen miez sita 6 Basi majadida wanamuona kama ulamaa Eti kwa sababu ana sauti nzur
@abusihaa6396
@abusihaa6396 2 ай бұрын
Je unaushahidi ya kua kasoma miezi 6? Twaomba ufafanuzi wa maneno yako
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 2 ай бұрын
Ndiooo yuuppoo Allah kamfadhilisha kwa sautiii maashaalahiu lakin mushkilatuhum ka ghayrihim
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 2 ай бұрын
​@@abusihaa6396wewe tu hujuii ulizia hakwenda ywmen miwnzi sitaa
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 2 ай бұрын
Hiyo ni ijtihad yake imam suyutw......na mm ktk ilo namuunga mkono ni amri yake
@HemedSerious
@HemedSerious 2 ай бұрын
Sawa kabisa,
@RahimaSalim-b4q
@RahimaSalim-b4q 2 ай бұрын
Sheikh Muhammad naomba nikuulize, Surat Fajr amefasiri Imam Suyutwi katika Jalaalein? Kukosea kutowajua maimam na kazi zao ni kosa kubwa sana. Aliefasiri Surat Fajr SIO IMAM SUYUTWI.
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 2 ай бұрын
MBONA HAYO MAELEZO YANAWARUDIA WENYEWE MAHIZB NA MAJADIDE........!??
@JumaAbdulmaalik
@JumaAbdulmaalik 2 ай бұрын
kijana unatabu ww allah akuzidishie elimu iliuache hizi tabu ulizokuanazo. hapo unachotafuta2 nikutajwa na abulfadhwli nautasubili sana.
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
umeufungua moyo wke ukaona kuwa yeye anafanya iliatajwe na bose wenu ,?hivi sas majadia mumekuwa munauwezo wa kuangalia mpka moyoni munajua kuwa huyu anafanya ili Atajwe, kake Uislamu hauna Ubosi, wala hauna Udaruweshi
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 ай бұрын
Ukweli nikwamba Masalafy hawana ikhlaaswi ktk da'wah ndiomana makosa yao wana yaona kwa uwazi lkn hawawezi kusema kua nikweli hapa tume kosea na mashekhe zetu pia wamekosea, na kwahivyo tuna tubia kwa Allaah Azza Wajalla kuanzia leo tabia hii tunaachana nayo.
@IssaSimbilla-hw9ev
@IssaSimbilla-hw9ev 2 ай бұрын
Hutojibiwa sababu ni mjinga mpuuzi😂
@JailaniRamadhan-it3kp
@JailaniRamadhan-it3kp 2 ай бұрын
Uwahab ni kansa. Kwenye uislam njooni kwenye haqq ya ahlul bait a s
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 ай бұрын
We Abuu masufi wenyewe ni washirikina nani kila mmoja ana shirki yake nani atasubutu kumkataza mwengie. Sisi masalafi ndo tuko sawa na ndo tuarekeishana hivi
@hamisiabeid8613
@hamisiabeid8613 2 ай бұрын
Ndugu acha kykufurisha watu
@faisalkhalef6171
@faisalkhalef6171 2 ай бұрын
huna book shelf? au ndio unatuonyesha Kama upon Nondo?
@mubarakiddy-ll5qs
@mubarakiddy-ll5qs 2 ай бұрын
Ilaa we jamaa😅
@AhishakiyeSahnun-by2yi
@AhishakiyeSahnun-by2yi 2 ай бұрын
Kwa nini imam malik alikatataza kutaja hadith kuhusu mikono ya allah na muundi na akazidhoofisha soma kitab al jami' cha ibn abi zayd al qayrawan
@RahimaSalim-b4q
@RahimaSalim-b4q 2 ай бұрын
Sheikh Muhammad mi naomba nikuulize suali moja tu, Hichi kitabu cha Jalaalein umesomeshwa na sheikh gani? Yaani ni ipi sanad yako ya Jalaalein?
@minaziparasu9074
@minaziparasu9074 2 ай бұрын
Tanbihi kwenye hayo mudawowote muislamu anaweza kua kaaffiri kwahio tahadhari inatakiwa tunapocheza na Akiida
@juanmadata5212
@juanmadata5212 2 ай бұрын
Hana haki ya kuuliza kwa kua tayar kashachagua upande hao anawataja ndo watu wake haina haja ya kumjibu
@abdulwahabbakar8677
@abdulwahabbakar8677 2 ай бұрын
Huyu mara nyengine anapenda sifa
@NoorAli-vj4gn
@NoorAli-vj4gn 2 ай бұрын
Subhanallah hivi wadai kujua niyaa za watu
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
لسان الحال اقوي من لسان المقال
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
Tumeamrishwa tumhukumu mtu kwa dhahiri yake
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 2 ай бұрын
Kwaiyo dhahir yake anasifa uyo
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
Badala ya kumjibu sas unadai kuwa anasifa ,Hivi sas Majadida Mumepewa uwezo Wa Kuona yle ylioko nyoyoni Na kujua kuwa hyu anafnya sifa hapa
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 2 ай бұрын
Wewe bachu wasema mtu asiweke taawili lakini masalafi wakiweka taawili huwa ni sawa
@AbuuAnuwar-ip7dr
@AbuuAnuwar-ip7dr 2 ай бұрын
Mtajuwana wenyewe mnaojidai mpk kwenye haki katika kila Jambo, maana sisi kama masufi hatunaugomvi namtu kilammoja anahangaika naibada zake binafsi na anawaza kuhusu yeye namola wake, ila nyie mlioongoka endeleeni mabishano ivoivo nakutoana katika usahihi mkidhani kuwa ndo tabia njema yawema walotangulia
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Ni sawa nyie si kama mashia tu
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 2 ай бұрын
Masufi hawawezi jadiliana nakuwekena sana maana kila mmoja anawazatu kuwa niwapi atapata mchele nahitma ,kwaufupi wanawazatu kula
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
@@yunusramadhan2546 sahihi🤣
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Masufi hawawezi jadiliana sabu wao kila kitu ni sawa kwao hivi ushakuta msikiti wa masufi shekhe anazungumzia bidaa hata siku moja subutu utasemaje wakati ww ndo muosha unalala nazo na kuamka nazo 😂😂😂😂
@mwanaidiconstantine
@mwanaidiconstantine 2 ай бұрын
Waislam mnatia Aibu jamani sina hakika kama mtume SAW ndivyo alivyoendesha hii dini ivi siku izi tumekua kama washangliaji mpira tunachagua timu ya kushangilia 😅😅
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 2 ай бұрын
Hoja zako zajibika kirahisi sana
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
Jibu basi wasaidie masheikh zko labda wao hawaangalii yutube
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 2 ай бұрын
@@AbAlhuraas Siokila hizby akizungumza hujibiwa
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
@@ashrafhashim2116 sio kila swaafiqa akizungumza huzingatiwa
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kuna shekhe moja kenya amemsema hyu baba kuwa anafundisha baby class sasa ndio nimeamini sasa amri ya mungu na yeye mwenyewe mungu tofauti ni nini kijana lugha ya kiarabu watalaamu wanasema iko na tafsi nyingi mno kuliko lugha zozote zile dunia 😂😂😂
@masoudmohammed4258
@masoudmohammed4258 2 ай бұрын
Huyu bachu hizbi hajielewi. Sheikh wetu Abdhallah Humeid anafundisha Elmu lkn yeye huyu ni kuzunguza upuuzi Tu hafundishi watu Elmu
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Pongwe mjanja kweli eti adai yeye sio ma'asum nakosea kama wanavo kosea wengine leo hii salafi huyuuu akiri hivi kijana wetu tembeza mboko hivo hivo najuwa nia yako iko vyema Allah akuhifadhi sana
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 2 ай бұрын
Kwam bachu hafundiah elim
@subulus_salaam2023
@subulus_salaam2023 2 ай бұрын
​@@محسنأبوالخير-ر3ج Sheikh kassim Mafuta aliyasema yale toka zamani wala hakusema baada ya bachu kuzungumza fuatilia mambo usipelekwe na hamasa
@mengihashimu1081
@mengihashimu1081 2 ай бұрын
​@@محسنأبوالخير-ر3جFanya utafiti kabla ujazungumza hiyo audio yalini?
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
weye jadida ebu kaa utulie
@ismailally1866
@ismailally1866 2 ай бұрын
Ushasema mwanawazuoni hao uliowataja ni wanawazuoni? Mwanawachuoni akikosea hulipwa mara moja akipatia hulipwa mara2 haya vipi hao uliowataja?
@IbnuAlly-wm8il
@IbnuAlly-wm8il 2 ай бұрын
Haki haiangalii hivyo
@CoComelod123
@CoComelod123 2 ай бұрын
Humedi miaka yote alikuwa akiswali idi na wapiga matwari. Masalafi wakiswali idi show ground humedi huwa yuwasubiri idi yake siku ya pili, kwa madai chf kadhi nikiongozi lakini mbona yeye awahalifu masalifi wenzake kwa Siri bila umma kujua kama wanaswali idi mbili tofauti. Waeke wazi kiekeweke au ni nifak chini ya maji kati yao
@dawud6065
@dawud6065 2 ай бұрын
Akhy haya ni masaail ya kifiqh kwa maana hii, ukifuata mwezi wa kimataifa uko sawa vile vile kufuata mwezi mwandamo wa nchi yako uko sawa. Kwa hili hakuna mvutano wowote ule.
@CoComelod123
@CoComelod123 2 ай бұрын
Ikhtilaf lakini kama kiongozi wa masalafi ni lazma msimamo uwe mmoja, kwanini wafuasi waswali mawahabi na kiongozi aswali na makhurafi. Hapo Kuna tatizo kubwa lakupotezana. Kama yeye ameona makhurafi wako sawa mbona asifanye dawa masalafi wenzake pia wawafwate makhurafi kama kwe kweli Kuna ikhlas na umoja
@masoudmohammed4258
@masoudmohammed4258 2 ай бұрын
@@CoComelod123 wewe hujui waongea nini kasome kwanza. Lau kama ni kosa hilo ingekuwa kina Muhammad bachu washamraddi sheikh Abdhallah Humeid kitambo Sana. Ila umeona wamenyamaza wanajuwa sio kosa hilo . Sasa pima akili yako wewe mjinga
@IssaSimbilla-hw9ev
@IssaSimbilla-hw9ev 2 ай бұрын
Sasa maimam hujui wana daraja gn😂 iliuwalinganishe na barahiyani 😅😅
@saeedqaseem3172
@saeedqaseem3172 2 ай бұрын
Wewe hujaelewa hata alichoongea huyu.msikilize vizuri ushabiki weka pembeni kuwa na ikhlas ktk kuskiliza.... Yeye katoa mfananisho wa makosa.....
@isihakaabdul1134
@isihakaabdul1134 2 ай бұрын
Hy tuambie wewe wana daraja ipi ? Acha wazimu unacheka hovyo kwenye mambo ya msingi
@abuubakarmohd7532
@abuubakarmohd7532 2 ай бұрын
🔥 الصواعق المحرقة لشبهات محمد باشو وفقه الله تعالى...التائه عن الحق 🔥 🔰 *MAQALA NAMBA MBILI..* ❇️ Anauliza Bwana Mdogo Bacho Swali la kwanza akisema ... "Tunaomba mikhalafa aliyo kuwa nayo Abuu muawiya yaliyo mtowa katika usalafi ? Tunamuuliza Abul Fadhil [Qasim Mafuta] Kosa lake Abuu Muawiya ni lipii? Je amekhalifu Quran, Amekhalifu sunnah, Au amekhalifu ijmaa,? Kwasababu sisi tunafahamu mtu akikhalifu Quran tunamtowa, Akikhalifu sunnah tunamtoa, Akikhalifu ijmaa ya ahali sunnah tunamtoa, 📘Jawabu, kwanza kabisa nisahihishe ufahamu wako mdogo, wa kwamba nyinyi mwafahamu mtu akikhalifu Qur'an mnamtoa au akikhalifu sunnah mnamtoa au amekhalifu ijmaa ya ahali sunnah mnamtoa kwenye usalafi, maneno haya hayako kwenye msingi sahihi wa kielimu kwasababu mtu anaweza akaikhalifu Quran kwamfano akanywa pombe allah atulinde au sunniy ikatokea amekurubia uzinifu au kazini au kusikiliza mziki bila shaka amekhalifu Quran. je mta mtoa kwenye manhajj mtu huyo ? Kama ni ndiyo basi huo ndiyo ukhawariji baridi. Mtu anaweza kukhalifu sunnah kama vile sunniy kuvaa (isbali) kwa maana akaburuza nguo yake au sunniy akamgusa mwanamke ambaye si halali kwake bila shaka atakuwa amekhalifu sunnah, je mtamtowa kwenye usalafi? Kama ndyo basi huo ni ufahamu finyu unaohitaji kusahihishwa na uongeaji wako unaonesha wazi wewe ni mjinga kwasababu maneno yako hayajajengeka kwenye misingi ya kielimu. 👉Na kuhusu ijmaa ya ahsunnah ikiwa mtu atakhalifu ijmaa kwenye masaili ya kimatendo kwenye fiqhi mtamtoa kwenye usalafi !? Kama ndiyo basi masalafi wengi mtakuwa mmewatoa kwenye usalafi wengine maulamaa 👉Ama kama una maana atakae khalifu ijmaa ya ahalisunnah kwa maana misingi na mambo ya iitikadi na misimamo [misingi ya dawa] waliyo kubaliana hilo ni sawa lakini hulijui pia hili ndo nikakuulizwa swali hapo awali, Kiufupi kaa chini usome kijana ili ulelekee kwenye njia ya salafi na da'wa yao, wala usidai tu na kutamani kuwa kama wao hali yakua haumo. 🔵Jambo la pili 👇👇👇 Sisi tumemuhukumu Abuu Muawiya kuwa si salafiy kwasababu ameuvunja msingi katika misngi ya da'wat salafiyah waliyo kubaliana salaf kuwa atake uvunja huo au mwengine hatokuwa katika wao ( yaani katika watu wa sunnah) Nao ni msingi wa kukaa mbali na watu wa bidaa mahizbi na kuto kuwatetea 👇👇 وكذا قال شيخ الإسلام أبو عثمان الصابوني في كتابه عقيدة السلف أصحاب الحديث [ص (٩٩ - ١٠٠-١٠٦) ، حيث قال: (ويتجانبون أهل البدع والضلالات، ويعادون أصحاب الأهواء والجهالات، ويبغضون أهل البدع الذين أحدثوا في الدين ما ليس منه، ولا يحبونهم ولا يصحبونهم، ولا يسمعون كلامهم ولا يجالسونهم، ولا يجادلونهم في الدين ولا يناظرونهم،) قال الإمام إبن بطة العكبري في الابانة[ ومن السنة مجانبة كل من اعتقد شيئاً مما ذكرناه [أي: من البدع]، وهجرانه، والمقت له، وهجران من والاه، ونصره، وذب عنه، وصاحبه، وإن كان الفاعل لذلك يظهر السنّة] وقال أبو داود السجستاني: قلت لأبي عبد الله أحمد بن حنبل: أرى رجلاً من أهـل البيت مع رجل من أهل البدع، أترك كلامه؟ قال: لا، أو تُعْلِمه أن الذي رأيته معه صاحب بدعة، فإن ترك كلامه وإلا فألحقه به، قال ابن مسعود: المرء بخدنه"طبقات الحنابلة" وقال الإمام البربهاري: وإذا رأيت الرجل جالساً مع رجل من أهل الأهواء فحذّره وعرّفه، فإن جلس معه بعد ما علم فاتقه؛ فإنه صاحب هوى. [شرح السنة (ص: 121)] Amesema Al Imamul Al Barbahariyu "ukimuona mtu amekaa na mtu wa wabidaa ( mzuzushi) mtahadharishe na umtambulishe kama atakaa naye baada ya elimu na kujua basi muepuke hakika huyo ni mtu wakufuata hawaa za nafsi yake ..." وقد سئل سماحة الشيخ عبد العزيز بن باز في شرحه لكتاب: "فضل الإسلام"، ما نصّه: الذي يثني على أهل البدع ويمدحهم، هل يأخذ حكمهم؟ فأجاب- عفا الله عنه -: " نعم ما فيه شكٌّ، من أثنى عليهم ومـدحهم هو داعٍ لهم، يدعو لهم، هذا من دعاتهم، نسأل الله العافيـة". 🔥Na aliulizwa shekh Ibn Baazi Allah marehemu je, Anaye wasifu watu wa bidaa atachukua hukmu yao ?🌎 Akajibu "ndiyo hapana shaka atakae wasifu huyu analingania kwenda kwao..." 💦*Na Abuu Muawiya imethibi kwake kumnusuru Muhammadil Imam ambaye tayari maulamaa wa sunnah wamembidiisha kwa uhizbiya wake kwa hoja,pia Akiwa hami akina Abdul qawiy wa Arusha na cheni ya Akina Barahiyani kama Doctor Islam, Wa Kenya ambao wanashirikiana na watu wa bidaa Mfano Barahiyaani (KICHWA CHA MAHIZBI TANZANIA) n.k*💦 يقول شيخ الإسلام بن تيميّة فيمن يوالي الاتحادية وهي قاعدة عامة في جميع أهل البدع: " ويجب عقوبـة كل من انتسـب إليهم، أو ذب عنهم، أو أثنى عليهم أو عظم كتبهم، أو عرف بمساندتهم ومعاونتهـم، أو كره الكلام فيهم، أو أخذ يعتذر لهم بأن هذا الكلام لا يدرى ما هـو، أو من قال إنه صنف هذا الكتاب، وأمثال هذه المعاذير، التي لا يقولها إلا جاهل، أو منافق؛ بل تجب عقوبة كل من عرف حالهم، ولم يعاون على القيام عليهم، فإن القيام على هؤلاء من أعظم الواجبات؛ لأنهم أفسدوا العقول والأديان، على خلق من المشايخ والعلماء، والملوك والأمراء، وهم يسعون في الأرض فساداً، ويصدون عن سبيل الله. " [مجموع الفتاوى ( 2/132 )] Anasema Sheikhul Islam Ibn Taymiyyah kuhusu watu wa bidaa [ittihadiyah] na huu ni msingi enevu kwa watu wa bidaa wote, 🚦"Na ni wajibu kumuadhibu kila atakae jinasibisha na wao au akawatetea au akawasifu, au akatukuza vitabu vyao au akajulikana kusaidiana nao au akachukia wao kisemwa au akawa anawapa udhuru ya kwamba haya maneno hajui ni yapi,....Bali ni wajibu kumuadhibu kila atakae fahamu hali zao na hajatoa mchango wa kusimama dhidi yao hakika kusimama dhidi ya hawa ni katika mambo ya wajibu zaidi...."🚨 *Inaendelea....* MWANDISHI; *ABUL ABBAAS HASSAN BIN WAZIRI SOLOKA ALLAH AMUHIFADHI*
@usrahismail3196
@usrahismail3196 Ай бұрын
Mimi kile naomba ni mpagwe,kila shk na kundi lake,list iwekwe,siku hizi ni rudduwd tuuuu,twachoka
@abdulwahidmohamedali4474
@abdulwahidmohamedali4474 2 ай бұрын
Jamaa ametefta sana kujibiwa na sheikh Qassim na Abdalah, na kunyamaziwa na masheikh kunamkera kweli, ana lazima na ulishaambiwa wewe ni mujarrad صعلوك
@محسنأبوالخير-ر3ج
@محسنأبوالخير-ر3ج 2 ай бұрын
Hatuna shida na majibu yao maana pakujibu hawana hata kidogo ndio maana pongwe kasema tupo katika sisi massalaf tunaukosea usalafi😂😂😂😂😂😂😂 ياسلام ياسلام
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 ай бұрын
Halafu inakuwaje kumkosoa dr hazaran wakaat kisheria umpelekea barua usimkosoe hiv kama anahoja zake uskiliz muwaiyah aliwambia tukutane tuweke bayana wamekata na mim darsa hiyo nlikuwepo bohar alisema ndu zangu tuwekane bayana kamw ninwmakosa nitatarajai kama nyinyi ndomna makosa mtarajai
@MohdAliHaji
@MohdAliHaji 2 ай бұрын
Ww tunakufahamu ni hizb sawa sio sheikh abuu mua'awiya Allah amrehemu na amsamehe makosa yake na sukumbuki ya kuwa ametolewa kweny usalafy Bali nikadhia zilizo jitokeza baina yao kuhusu kadhia ya sh Muhammad immam Sasa sijui ww kijana unazungumza nn kweny hili maana tukasema unatetea hubu tuwambie vipi abuu mua'awiya alikuwa akimkububali BARAHIYANI kwaiyo atakuwa naye ni jadida au nani ewe Muhammad
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Huyu kijana elimu hana na ufahamu mdogo alafu atafuta kiki kwa masheikh zetu walezi Anauliza maswali ya kitoto tu ambayo anaweza kuyajibu mwanafunzi wa marhala ya ibtidaiyyah
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1ndo mujibu sasa si ya kitoto teteni hoja mleteni na shekhe wenu mafuta anakuambia et mimi so masuhumin kumbe saivi anajuwa hilo et kwenye huu usalafi wapo watu wanao haribu jibuni ya kitoto unaongelea michochoroni na tunataka hoja za wanazuoni na vitabu so mihemko ya kijadida ndo kesy ya uhzby unayo ww unampa mwengine maana kwa maelezo ya wanavyuoni tunaona wanaliahadharisha kundi lenu so Hawa tuuu hata utheemeny alisema watu ambao wanafanya usalafi mfumo wa chama maalumu wanamuingiza wamtakae wanamtoa wamtakae watu hawooo so masalafii kitu hamuipendi hii fatuwa mnamtajaga shekhe utheiminy basi tuu lakini mnachukizwa kweli na fatuwa yake tena kasema eidha wamepotea baadhi ya sehemu au wamepotea kabisa 😂😂😂 au nae hizby kwakuwa kawasema hamna usalafi kitu kutukana watu kufukuza watu katika sunnah ndo mnachojuwa ninyi na kutosalimia watu sijui mnatowa wapi hilo
@hassanmohamedlaizer569
@hassanmohamedlaizer569 2 ай бұрын
Sio kwamba sheikh bachu hafamu hizo hukmu...hayo maswali sio marahisi kama unavyo fikiria ...kwasababu kinacho angaliwa udhuru anayopewa mwanachuoni kwa mwanafunzi ni aghlabu zaidi
@ExcitedCricketHelmet-wr4sq
@ExcitedCricketHelmet-wr4sq 2 ай бұрын
Ww bichwa umefanya juhudi gni kushinda wanavyofanya akina humeid mafuta na wengineyo ww unauzito wa kufahamu bado kabisa hujafahamu manhaj salafi
@dawud6065
@dawud6065 2 ай бұрын
Acha kubadili mada. Hakuongelewi Juhudi hapa bali uharibifu ulipo kwenye Manhaj kupelekea watu kutuhumiana uhizby bila hujjah na daleel zenye mshiko.
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
​@@dawud6065Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@dawud6065
@dawud6065 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1 Jawabu unalotaka ni kwa kujibu swali hili ambalo moja kwa moja utajipatia majibu mwenyewe. Alim huyu Bakr Abu Zayd kutumia Istilahat hii " hizby jadid" amekusudia nini na amemkusudia nani na lipi lilompelekea kutumia Istilahat hii "Hizby jadid"?
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1soma kitabu cha ibnu Barjaas utajua hayo
@ismailally1866
@ismailally1866 2 ай бұрын
Allah akuongoze ilmu chache ndo madhara yake elewa misingi ya salafiyyah, ww hujaelewa maana ya salafiyyah
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Hata mas'ala ya ahkaam hajui kisha aitwa sheikh!! Kuna mas'ala ya kutoa hukmu kwa mtu maalum na kitu maalum na kuna masharti ya kumhukumu mtu maalum ila huyu bwana mambo hayo mambo mawili Imma awe jaahil Au ajua lakini kakusudia kupoteza
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 2 ай бұрын
Hizbu salaf ndo maneno yenu ya mipasho jibuni acheni maneno ya mipasho
@ismailally1866
@ismailally1866 2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 bila kupepesa macho huyo ni jaahil ukisikia tu maneno anayozungumza utalibaini hilo...Kwa hakika manhaj salaf ipo wazi njia nyeupee saaa ukisikia mifano anayotoa ndo utajua hakuna kitu
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@ismailally1866 watu wengi sana hua hawafuatilii dini yao bali ushabiki tu unawasumbua wallah Allah awaongoze pamoja na sisi
@hassanmohamedlaizer569
@hassanmohamedlaizer569 2 ай бұрын
​@@AbuuBakar1ndo tuna taka mtuelimishe sasa ...sio kupiga mboyoyo hapo...haya maswali sio marahisi unavyo fikiria sio kwamba bachu hajui unachoongea nadhani hata sheikh qassim anafahamu ndio maana ankuwa mzito
@AbulqassimAshirazy-yd7th
@AbulqassimAshirazy-yd7th 2 ай бұрын
Usishobokee masalafy. Kama unahitaji elimu eleza kwanza nini Maana ya jadida, Nani majadia, walianza lini, na Nani kaanzisha?. Msiwazuge awo awamu wenu na kuwafundisha manhaji ya kudandia dandia.
@isihakaabdul1134
@isihakaabdul1134 2 ай бұрын
Wewe hoja huna zaidi matusi si mnawapelekeaga wakubwa zenu mkisikia challenge na hili wapelekee wakubwa zenu wajibu hya sio wewe.
@AbulqassimAshirazy-yd7th
@AbulqassimAshirazy-yd7th 2 ай бұрын
@@isihakaabdul1134 yey ameshindwa kujibu ayo maswali na pindi akijibu utadhihirika uongo wao wa wazi
@tztanzania2262
@tztanzania2262 2 ай бұрын
Maswali mepes sana kwa sheikh abulfadhwl
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Ndo tunasubiri Abulfadhwil ayajibu Kwa vitabu na Kwa manhaji salafi Kwa sabb Mimi ni mmoja wa anayetaka faida na hua nawapenda wote Abulfadhwil na Muhammad bacho
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 2 ай бұрын
Kajibu lipi mpaka saaa Abulfaaadhi
@abdulwahabbakar8677
@abdulwahabbakar8677 2 ай бұрын
Hii tafsiri anayosema masalafi ni wangapi imeandikwa na watu wangapi mbona anafungafunga funga aseme tafsri ni ya nani?
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 2 ай бұрын
Kwa iyo unaungna na Suyutwi ama
@SuolFat
@SuolFat 2 ай бұрын
Uwahabi ni ushenzi
@hamidaawadh9024
@hamidaawadh9024 2 ай бұрын
Kumbe
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Ww ndo mshenzi hata ujui hilo neno wahabi wavamia vamia tuu jina kuna washenzi kama sufi wanakula hadi makohozi ya mashekhe wao et anachukuwa baraka nani mshenzi apo na yule shekhe wenu alodanganya watu zanzbr et yeye anaona na mtume anampa mkono anatoka katika kaburi lake anamsalimia kisha anarudi tena kaburini ni akili au utumwa huuoo
@Abuu-lr5bz
@Abuu-lr5bz 2 ай бұрын
Uwahabi nini nini maana mola wetu anaitwa wahabi sasa umekusudia nini
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@Abuu-lr5bz wew masufi utawaweza Hawa wanabuni buni tuuh analoona sawa hilo hilo washazoea kuzusha zusha
@Answarimohamed9534
@Answarimohamed9534 2 ай бұрын
Ungekaa ukasoma ungejua shda yako
@saidMahinde
@saidMahinde 2 ай бұрын
iv mwanachuoni akikosea kutoa fatawa nin anacho lipwa kwa Allah na wewe bachu ukikosea kutoa fatawa ip ukumu yako kwa Allah.bachu toa jib ili tufananishe udhulu wa mwanachuni na udhulu wa awo unao watetea
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Simba wa Allah huyu anawabuluza makhurafi na wote walopinda katika hakki
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Wallah akhy umesema kweli kabisa kuna namna ya kutoa hukmu kwa mwanachuoni na hukmu kwa daai na hukmu kwa twalibul ilm na hukmu kwa awwaam Sasa mambo madogo sana bachu yampiga chenga alafu aitwa sheikh!
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Wallah akhy umesema kweli kabisa kuna namna ya kutoa hukmu kwa mwanachuoni na hukmu kwa daai na hukmu kwa twalibul ilm na hukmu kwa awwaam Sasa mambo madogo sana bachu yampiga chenga alafu aitwa sheikh? Hatari sana
@saidMahinde
@saidMahinde 2 ай бұрын
ndoma sheikh Abul fadhil anasema kuwa hawa mahizb awana adabu dhid ya wanazuoni wakiongozwa na mzee wa barahiyan Allah amuongize
@saidMahinde
@saidMahinde 2 ай бұрын
Allah akuoneahe Haq na akuwezeshe kuifata hujuw unachokisema wewe
@answarmohamed4564
@answarmohamed4564 2 ай бұрын
Watu wakuleta tafarruq mwafarikishana wenyewe kwa wenyewe
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Naam ukisimama katika hakki lazima ulete tafruku hata mtume aliambiwa analeta tafaruku kisa dawa ya Allah ndo ilivyo hakki haipendwi na wengi lazima utukanwe usemwe vibaya ni sunnah ya mtume hiyo yalimkuta hayoo
@answarmohamed4564
@answarmohamed4564 2 ай бұрын
@@AbdulIssa-o7e 😂😂😂haya ya kutukanana na kuvunjiana heshima ndio mwayafananisha na Yale aliokuja mayo mtumi?Mtumi hakumkata MTU awe muislamu asiwe muislamu Leo mawahhabi hamuwakati watu wa twariqa mkisema ni watu wa bidaa,mkaharamisha mpaka kuwasalimia?😂😂mwasema ni haqqi...mtumi hakuleta tafarruq kabsaaaaa usimsingizie mtumi kwa mkafananisha blah blah zenu na da'wah ya mtumi,
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
@@answarmohamed4564 mtume akuwataka watu sabu uislamu ulikuwa wakati ule kitu kimoja kuna uislamu na wanafiki na makafiri lakini leo kuna makundi mengi yapo katika dhwalala upotevu hatuwakufurishi twarika ni wenzetu ugomvi wetu upo hapa hamtaki kuacha bidaah na kumzushia mtume rafu tunawaambia muache hilo so zuri akufanya mtume hata mkibainishiwa aya na hathi mnaweza kukubali lakini mnasema sawa mtume akufanya sasa kuna ubaya gani, aahaa ubaya upo sabu kumzulia mtume ni kumfanya mjinga kuwa dini akufundisha au hakufikisha baadhi ya mambo wakati Allah anasema dini imekamilika hakuna nyongeza sisi ugomvi wetu mwingine mnawaakumbatia mashia wale ni makafiri wanamtukana mama yetu aysha kuwa mzinifu atakwenda motoni wanawatukana maswahaba wanasema makafiri, wanaituhumu kuruani wanamtuhumu mtume wetu kuwa zakari yake itangia motoni kwavile aliishi na wanawake wawili aysha na afsa sasa ni waislamu wale wamekufuru sasa mnapowakaribisha madui wa mtume kwenye hadhara za maulidi ni kumkosea mtume
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 ай бұрын
Bachu elimu yake ni ndogo sana, anashindwa kuelewa Kuna Aya zinaitwa mutashabiha, Sasa bachu anatafsiri Aya za Quran neno Kwa neno, bila kujua kilicholengwa ni nini.Anasoma qurani kama gazeti wakati Hana ufahamu wa kutafsiri
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 2 ай бұрын
msaidie sheikhe wako kujibu basi acha porojo na ushabiki weka hofu moyoni usije ukajidhulum nasfi yako
@saidMahinde
@saidMahinde 2 ай бұрын
nani asaidiwa na kwalipi la kusaidiwa hapo? iv hao mashekh wakisafaf unawajua au unaropoka2 iv wakusaidiwa mafuta au humeyd!!!
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 ай бұрын
​@@abdurashidinasorodinitafuta elimu utadanganywa sana.utaambiwa Mungu anakaa,utaambiwa Mungu ana miguu,utaambiwa Mungu anavaa kanzu na viatu.hawa wahabi na akina bachu watawadanganya sana
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
​@@ashachitemo7816jitu jahli ujui bado unajifanya unajuwa tafuta kikao tufundishe kupitia vitabu kama bachu yani Allah akimpoteza mtu huwezi muongoza nimeamini mcho wanayo lakini hawaoni msikio wanayo lakini hwaskii sbu Allah kapiga mihuri kwenye mioyo yao ndo kama ww
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 2 ай бұрын
Wajna hivi ipo sehemu katika vitabu vya hao salaf ipo sehemu waliposema tauhiid ina vigawanyo vitatu ,
@Abuu-lr5bz
@Abuu-lr5bz 2 ай бұрын
Kwa upungufu wa elimu yako jua kwamba hata kwenye vitabu vya ashaa ira tauhiid imegawanywa katika sherehe tatu soma acha ujinga na ushabiki
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 2 ай бұрын
@@Abuu-lr5bz acha mikwara wewe .umeongea lipi la maana ktk coment zako mweupe tu wewe
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 2 ай бұрын
@@Abuu-lr5bz wewe umejaza elimu???
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
Hawa salafy uchwara wa ssa hivi nikama kondoo na kuiga sauti ya ma ulema unadhn wanaelimu kumbe hata nahwu waadhih hawajui.nakutoana katika dini walahi mtihani
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
Umemuelewa sheikh Muhammad bachu? Kama umemuelewa naomba utuambie Je Ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Ni lini walizuka hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je uko na ushahidi? Haya maswali kaulizwa bacho miaka 3 ilio pita mpaka leo hajajibu tusaidie akhy kama umemuelewa twaomba majibu
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
@@AbuuBakar1 inaonekana hukusikiliza hadi mwisho ndugu yangu salafy
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
Ujadida ni usalafy wa kisasa wa kutoana katika dini na akasoma vitabu vya ulama uliowahusia waache hio manhaj.ulianzishwa saudia.miaka ya 90.umenifamu pimbi
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 2 ай бұрын
@@bacteria5184 umeanza mwaka 90 ndani ya Saudia Je nani kaanzisha? Unao ushahidi?
@bacteria5184
@bacteria5184 2 ай бұрын
Ssa kama unapinga leta hoja yako
@Mbarkakombo
@Mbarkakombo 2 ай бұрын
hawa wote niwapumbavu maana wewe bachu ukisha mtetea uyo allah atamuingiza peponi ?
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 2 ай бұрын
Huyo Mafuta na genge lake wana mihemko tu ila na wewe Muhammad ungesoma kwanza kwasababu nakuona wewe bado sana😂😂. As suyuutw ni mwanachuoni, akipatia ana ujira mara mbili na akikosea ana ujira mara moja. Pili haijulikani kama Assuyuutwi alibainikiwa na makosa yake, na Allaah anasema وما كُنّا معذّبيْن حتی نبعَث رسولا. Tatu: assuyuutw pamoja na kuwa ni mwenye kupiga baadhi ya sifaaat lakini kuna sifaat anazithibitisha ambazo Ahlu sunnah wanazithibitisha.
@hassanmohamedlaizer569
@hassanmohamedlaizer569 2 ай бұрын
Hujajibu maswali alo uliza
@Nuru_ya_sunnah.official
@Nuru_ya_sunnah.official 2 ай бұрын
maneno yako hayana tofaut na maneno aliyo ambiwa mtume kipindi analingania na akiwa mdogo kwamba " wewe Muhammad mtoto mdogo tumekuzaa wenyewe huwez kutufumdisha " wewe muhammad ni majnuun " kwa hiyo hatushangaii, unataka bachu asome kipi? na sisemi kua asisome je hicho anachosema sio elimu?? au ni maneno yake?? au weae una umimi tu ndo unakusumbua??
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 2 ай бұрын
@@Nuru_ya_sunnah.official mtu mwenye elimu akimskiliza Muhammad anajuwa kabisa huyo bado anaitaji kusoma. Mwambieni Imam suyuutw yupo katika موانع za kubidiishwa na hilo ni jambo ambalo wanazuoni wa zama zetu wameliekea تعليق nzuri tu... sasa arudi kwenye كلام za ulamaa kuhusiana na Assuyuutw pamoja na wengine kama النووي na ابن حجر ambao waliteleza katika baadhi ya mawaaqif za Swifaat. Ndiomana nasema Muhammad asome kwanza kisha afanye بحْث kabla hajazungumzia kadhia yoyote inayo fungamana na Manhaj huswuswan katika kulinganisha Kati ya makosa ya assuyutw na makosa Abu muawiyah hapo kachemsha. Au labda atakuwa hajajuwa موانع التبيد والتفسيق والتكفير
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 ай бұрын
ukweli bachu huijui njia ya masalafi,?njia uliyopo wewe na kundi lako la akina barahiyani,abu hamza,hiyo ni njia ya mahizbi!!
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Lete andiko kama linalosema hivyo na sisi tuwaletee nukuu za wanazuoni tujue nani kaambiwa hizbi jadida kati ya sisi na ninyi tutawaletea hoja za wanazuoni mbalimbali waliowabainisha na kutahadharisha umma wa ahlsunna na hili kundi lililovaa usalafi nje ndani mbwa mwitu maelezo hata ya shekhe utheymeen kataja dalili zenu na kuwa hao ni kikundi kama vikundi vingine vilivyochupa mipaka ikhwan muslim jamat tabligh, sallafiyyu wanao ufanya usalafi mfumo wa chama wanamtoa wamtakae wana mbidaisha wamtakae bila bayana hawooo so masalafii kitu shekhe kasema kweli haoo si masalafi kitu
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 2 ай бұрын
Kesy umepewa ww na wanazuoni ya uhzby unawatupiwa wengine mzigo wako huwo nyi bado mpo katika makundi ya bidaa japo shekhe utheemeny Allah amrehemu alisema japo wao wapo karibu na hakki ila tabia zao hazina tofauti na makundi mengine kutupa mipaka eitha wamepotea baadhi ya sehemu au wakawa wamepotea kabisa kumbe hata upo uko hujui shekhe kawazungumzaje
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 2 ай бұрын
JADIDE vs HIZBIA
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
= Sufi au unaonaje
@ABUUBAAZNYUNGU
@ABUUBAAZNYUNGU 2 ай бұрын
HUWEZI KUJIBIWA...!!! You are just wasting your energy
@salumsimai614
@salumsimai614 2 ай бұрын
HAWAWEZ..KUJIBU KWASABABU..JAMBO..WALILOFANYA..WAMEKOSEA NA HAWATAKI KUSEMA..KAMA..WAMEKOSEA....DAH ABUU MUAWIYYAH ALLAH AMREHEM.ETY...HAKUA..SALAF HEH
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 2 ай бұрын
Kutokujibu kwao ndio hakki inabainika, na watu wanafaidika
@shekhmansoor5421
@shekhmansoor5421 2 ай бұрын
Lakini ujumbe unawafikia tafsiri ya kunyamaza wamekubali makosa
@Abuunuwayra
@Abuunuwayra 2 ай бұрын
Siku zote Haki Ikidhihir Baatwili hujitenga...Ndio Dalili Za kushindwa hizo
@NassirAliy
@NassirAliy 2 ай бұрын
Ww Sasa ndio mpumbavu wa Hali ya juuu kabisa
@abuubakarmohd7532
@abuubakarmohd7532 2 ай бұрын
Radd kwa bachoo kzbin.infoUgkxx0GWvdZ8T9gYvTbNbayJp8qg1wLrOQoP?si=avTIIja7Fl4FNNAm
#masufi RADDI KWA KHURAFI MPEVU OSTADH KUSOMA | | Muhammad Bachu.
38:02
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
RADDI KWA MTOTO WA BIEDH MUONGO WA MAMBRUI || Muhammad Bachu.
45:06
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 14 М.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 81 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 2,7 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 15 МЛН
MAJIBU KWA KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA JADIDA HASSAN WAZIRI || Muhammad Bachu
1:06:29
MAKOSA YA ABU HASHIM NA ABDALLAH HUMEID KWENYE LUGHA || Muhammad Bachu.
1:03:58
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 72 М.
٣١- شرح متن الورقات في أصول الفقه|| فضيلة الشيخ د إسلم محمد سالم|| برنامج تأصيل العلم
53:16
KWANINI ABU MUAWIYA SIO SALAFIY |RADDI KWA QASSIM MAFUTA | Muhammad Bachu.
1:04:43
#MAJADIDA RADDI YA KUMFUNZA ADABU ABU RUDUUD || Muhammad Bachu || 4/9/2024.
59:47
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 62 М.
RADDI KWA WANAOTAKA KUBORESHA MAULIDI BILA DALILI || Muhammad Bachu.
40:58
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 7 М.
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 81 МЛН