MAJIBU KWA KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA JADIDA HASSAN WAZIRI || Muhammad Bachu

  Рет қаралды 14,560

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 413
@IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
@IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 6 ай бұрын
Wallahi Mimi ninavyo mpenda Muhammad Bachu kwa ajili ya Allah na usalafi, naomba Allah anijalie niwe kama yeye au kama sio Mimi angalau mtoto wangu au mwengine apatikane kama sheikh wetu Muhammad Bachu inshaAllah.
@azamomar9920
@azamomar9920 6 ай бұрын
Amiin
@yusufathman2478
@yusufathman2478 6 ай бұрын
Maa shaa allah kipenzi cha watu nakupenda kwa ajili ya Allah sheikh muhammad bachu. Ni mmi nwanafunzi wako
@musabahaliou-lo9xe
@musabahaliou-lo9xe 6 ай бұрын
Somo juu ya somo mashaallah akhy Muhammad, Allah akufanyie wepesi kwenye mambo yako.
@UmmuFaaruq
@UmmuFaaruq 6 ай бұрын
نسأل الله أن يهدي هذا الرجل الجاهل الذي لا يريد تعليم الناس بل يريد تضليلهم وإخراجهم من المنهج الحق الى الضلالات
@UmmuFaaruq
@UmmuFaaruq 6 ай бұрын
Unadai wamtetea abuu Muawiya haliyakuwa wewe nwenyewe wajua abuu Muawiya hayuko pamoja na wewe toka akiwa hai mpaka amekufa na ata Hilo walijuwa wewe
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
​@@UmmuFaaruqSASA ikiwa yeye alimkata unataka akataliwe na yeye Yani MTU akifanya ovu na ww ufanye ovu SASA huu ndio ujadida wenyewe
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
​@@UmmuFaaruqkapike huko mandazi. Acha shughuli zakiume
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
@@James_Jay_Jay Al akhii ww unashindwa kufahamu hakuna anaepinga usalafi tunatambuafika Kia usalafi ndio njia sahihi Bali kinachopinga ni hiki kikundi kilichojinasibisha na usalafi na wakawa hawaufuati ule usalafi wenyewe Yani wanapetuka mikapa Kwa kuwaita watu wa Sunna wenziwao kua mahizbi na majina mengine mengi ndio maana wakambiwa kua wamekuja na usalafi mpya Yani salafia jadida haukuepo Zama izo hiki ndicho kinacho pingwa.
@hashimabdulrahman4532
@hashimabdulrahman4532 6 ай бұрын
Shekh Bachu Ahsante sanaaaa Unatutoa Matongo kwakweli Allah akuzidishie elimu ww na sisi Inshaallah
@aishabiwott2413
@aishabiwott2413 6 ай бұрын
جزيت خيرا شيخنا الفاضل علي هذا التبيين ويجعل الله في ميزان حسناتك....
@IbnUmmar
@IbnUmmar 5 ай бұрын
Mashaallah Allah amuhufadhi shekh wetu wallah nimepata faida kubwa
@MariamUmande
@MariamUmande 6 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho Uyu mafuta aweze kujibu lolote mafuta ni kutowana kwenye sunaa to Sheikh Muhammad bacho endelea kurekebisha hawa masalafiya jadidah wakina mafuta na wenzake
@ayubumasudi8380
@ayubumasudi8380 6 ай бұрын
MaashALLAH❤ JazzakkALLahu khairat apa elimu tu ALLAH akuhifadhi sheikh wetu
@ThabitiRashidi-z1b
@ThabitiRashidi-z1b 6 ай бұрын
Wallahi shekhe na kuelewa vema Allah akuhifadhi
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 6 ай бұрын
Usalafi ni fitna
@saeedqaseem3172
@saeedqaseem3172 6 ай бұрын
Ukiiiacha Akili yako kuwa huru na kuwa ikhlas basi masalaf wanaotuhumiwa wanayo sababu yakukaa kujibu hizi hoja kwa ikhlas ili kuweka mambo sawasawa.. Allah atuongoze na atuhifadhi sote Amin
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
@@saeedqaseem3172 Majibu kwa M.bachu na timu yake kzbin.info/www/bejne/p6CqlKOGp5qBnK8si=0q3GglwKZ90zAy32 Kwa ziada ya majibu sauti na makala peruzi kwenye hiyo hiyo channel
@aishabiwott2413
@aishabiwott2413 6 ай бұрын
Mashaa Allah shukran jazakallahu kheiran wabarakallahu fiika...
@khamisoothman5294
@khamisoothman5294 6 ай бұрын
Jazak Allah khair
@mohammedhassan-o9s
@mohammedhassan-o9s 6 ай бұрын
Yaani hili ni somo kubwa saana , allah akuhifadhi na mambo haya hayataki ata ushabiki bali ni kufuat na kukubali lililo sawiyya.
@malelembaabdulrahim9107
@malelembaabdulrahim9107 6 ай бұрын
Jazakallah kheir Ahsante kwa elmu nzuri
@MusaHamisi-d2s
@MusaHamisi-d2s 6 ай бұрын
بارك الله فيك أخي الكريم
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 6 ай бұрын
mashaallah allah amzidishie elim sheikhe wetu kipenzi muhamadi bachu natumai mulizaji amejibiwa napia amesomeshwa
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
Kabla ya kumshajiisha hivi walijua neno analo tumia kila mara JADIDA JE wajua ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Lini walianza hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je unao ushahidi juu ya hilo? Twaomba kujua kwaajili ya elimu wala sio ubishani inshaa-allah
@sultansaidsalehe3805
@sultansaidsalehe3805 6 ай бұрын
​@@AbuuBakar1kamuulz shekh bakar abuu zayd swali lako hilo
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
​@@AbuuBakar1kafungue kitabu cha Abdul Rahman nasor Saad Al hadhu alal ijitimai kalimatul muslimiin au kafungue kitabu cha Ibni uthaimin sherhe ya hilyatu twalib ilmi utakuta majabu yote ya swali lako.
@muhammadkhamis9396
@muhammadkhamis9396 6 ай бұрын
Maashaallah Shekhe kwa juhudi kubwa
@abuibra
@abuibra 6 ай бұрын
ALAIKUM SALAM WARAHMATULLAH WABARAKAT,SHAIKH VITABU VINGI SANA VIHIFADHI KWENYE KABATI ITAKUA BORA SHUKRAN.
@saidsalum523
@saidsalum523 6 ай бұрын
Kwakweli aliekua hamfahamu Muhammad Bachu atakua ama ana ufahamu mdogo au KAAMUA TU KUMPINGA BACHU BILA YA HAQQI
@sawtsalaf
@sawtsalaf 6 ай бұрын
Mashaallah Sheikh umeanza vizuri sana nikakuelewa lakini kile ambacho ulikikataa ww mwenyewe umekitumia. Ulikataa kuitwa mjinga ila baadae umelitumia neno hili kumuita mwenzako mjinga. Kingine hujatupa audio ya Qassim Mafuta kwamba amewatoa watu katika sunnah, ukawaunganisha Mahajawirah ukasema ni sawa na kina Mafuta ilihali Qassim Mafuta na wenzake kina Abdallah Humeid (Allah awahifadhi) wanawakemea kila kukicha. Huu si uadilifu kama ulivyosema mwanzoni.
@ShemsaUmmuFawzaan
@ShemsaUmmuFawzaan 6 ай бұрын
Assalaam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh.vp hali yako sheikh wetu Muhammad bachu.Allah akuhifadhi na akupe umri mrefu wenye amali njema sheikh wetu.Aamiin
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Allah akulipe kheir kwa kulibainisha kundi la majadida Lenye mrengo wa kuwatowa watu kwenye uislamu
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 6 ай бұрын
Usalafi ni fitna
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Ah! Wana mrengo wa kuwatoa watu kwenye uislamu!!! Watakuwa ni waislamu kweli hao? Au ni wanafiq waliojichomeka kwenye dini? Kama ni hivyo ni watu wabaya sana hao
@Dawah99
@Dawah99 6 ай бұрын
Mm namshangaa sana huyu bachu, yeye anamsimamo wa kuwaita maulamaa majadida na biwabidi’isha mashekhe wakubwa kama Shaykh Muqbil, Shaykh Rabee na Shaykh Muhammad Aman Jamee. Huyu usalafi haujui. Allah amuongoze
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Wewe wache upuuzi, lini umeskia amewabidiisha hao mashekh? Kama Huna akili vizuri katafute spitali kwanza utibiwe kisha ndio uje comment hapa.
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
​@@Najma_Mbarukkamuulize Muhammad bachu hivi Ni nini maana ya JADIDA? Ni nani hao JADIDA? Walianza lini hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Ushahidi uko wapi? Hapo ndipo utajua anaitikadi gani kuhusu hao masheikh kama sheikh raby na sheikh muqbil na wengineo
@Dawah99
@Dawah99 6 ай бұрын
@@Najma_Mbaruk mimi sitokujibu baada ya hii, mambo huyajui kaa kimya dada
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
Wapi bachuu kumbdiisha Shekh muqbel,Rabee nk​@@Dawah99
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 6 ай бұрын
​@@Najma_Mbarukukisema wameanzisha usafi fake au hizbi jadida uko si kuwabidiisha ewe jahik
@hatimabubakar1791
@hatimabubakar1791 6 ай бұрын
Jazaka Allah kheirah yaa shk
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 6 ай бұрын
MASHAA ALLAH Shukrn kwa eml sheikh
@abduswaburmuhammad6625
@abduswaburmuhammad6625 6 ай бұрын
Aslm alkm warahmatullah wabarakatuh sheikh bachu unajaribu kuwaeleza Hawa watu ukweli wao wanakuja Na Shari so sioni wakikufaham Ni Bora utufundishe Sisi wasio jua lolote tutakufaham wao darsa zao Ni kutoa watu katika uisalm Na ukuwaingiza wengine so Allah atuongoze sote amiin
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 6 ай бұрын
Kwel we kichwa sheikh muhamad bachu hoja umezivunja vzr sana
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 6 ай бұрын
Manshallah
@bafaaabuu
@bafaaabuu 6 ай бұрын
Mashaallah Allah akuongoze uzidi kutupa elimu naona huyo kaja kuchukua elimu na sio kutoa elimu juu ya maswali uliyo wauliza hawajajibu na wanaogopa kujibu wanatuma watu ili wakujue unategemea ponti zipi kabla hawajakujibu ili wasije kichwa kichwa kama umewaelewa huyo nikibaraka katumwa kwamba muulize hivi na hivi ilitujue ana nini anatemea yani ww unaegemea kwenye Pont zipi ili wasije wakaaibika kwa hoja zao kua zaifu juu yako hivyo kua makini unapo wajibu maswali yao wakati yako hawaja kujibu shekh bachu
@KijoJr-r1l
@KijoJr-r1l 6 ай бұрын
Ndugu zangu wa kisalmu tumefundishwa mambo dini tusi tiye maneno ya ovyo oyvo hii ni Dini mungu akujaliye herii muhammad bachu
@TheAmadoni
@TheAmadoni 2 ай бұрын
Ustadh Bachu me nakakubali sanaa ila ulipo sema MTU AWEZA KUA MLEVI , MZINIFU lakini bado akawa mtu wa Sunnah !!! 😢 how ?!! dakika ya 34:20
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 6 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@KashinnaKashinna
@KashinnaKashinna 6 ай бұрын
Asalamu alaykum warahamatulah wabarakaru alihamdulilah tunazidi kupata elimu,kwanza nawashangaa wanao comment kwa ushabiki,sisi sote ni waislamu,na kutofautiana kupo na kutaendelea kuwepo,ukiangalia tangu mwanzoni hadi sasa tofauti zipo na hazitaisha,mimi nimeelewa jambo moja hapa kwenye hizi mada,kuwa haifai kumtoa mtu kwenye dini kwakua mnatofautiana jambo flani,sasa wengi wetu ni wana sunna ila wana comment ushabiki na matusi,namuomba Allah atuongoe sote inshallah
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 6 ай бұрын
Nani katolewa ktk dini ndugu
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 6 ай бұрын
Wallah kuna mda nafurah sana kukusikilza yaani saivi watu watiana peponi na motoni kirahisi hivi kweli Dr Islam,Qassim Mafuta nk mtu anakwambia usisome kwao kirahis maana waonekana kabisa watu wa sunna mtihani Wallah
@shekhmansoor5421
@shekhmansoor5421 6 ай бұрын
Allah akuhifadhi akhui
@imranmrisho
@imranmrisho 6 ай бұрын
Anajijibu mwenyewe maskin ,,,
@MunahyaMubaraka
@MunahyaMubaraka 6 ай бұрын
A, alleykum allah atuongz inshallah endelea kutufunza maan ni mtihan huko tunapoelekea na vizaz vyetu vijavyo tunakupenda kwaajir ya ALLAH usichoke wala usikate tamaa na pia nna shida na no zako kam itawezekan inshallah
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 6 ай бұрын
Shukran ❤❤❤
@ashekhajabir2469
@ashekhajabir2469 6 ай бұрын
mashaallah
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 6 ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
51:19 hahaha لا إله إلا الله umeamua kuchezea dini والله
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Hahahaha!!! Anajifanya kugonganisha kauli za wagonjwa wenzake #mahajawira ili apate uchochoro wa kupisha #uhizbiyya na #ujinga wake!
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Tunamuuliza M.Bachu na waliomtuma na wanaomshabikia, Kwani nyinyi #maAnswari hamna hoja za #kuwajadidisha Masalafi? Hoja zenu zinatosha? Zinamashiko? Zileteni tuzione
@hassanmohamedlaizer569
@hassanmohamedlaizer569 6 ай бұрын
Jamani wanaosema tuchangie hii channel kwa ajili ya ubunifu zaidi naomba tu comment usipooze huu ujumbe tumshajiheshe sheikh letu aendelee kupambana...nani yuko tayari inshaallah
@MuhammadabedAbedi
@MuhammadabedAbedi 6 ай бұрын
Maashaaanllah
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Mimi pia naunga mkono. NA mimi nishaanza kutuma mchango wangu .❤ Nampenda sana huyu mtu wallahi❤
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 6 ай бұрын
Sahihi kabisa. Hakika huyu Bachu ndo anatuonyesha njia Sahihi. Kwa maana watu wengi walikuwa wanaogopa kusoma Usalafi Kwa sababu mafunzo yao mengi yanalenga kuwagawa Waislam hata kama wanajitahidi kufuata Sunna na kujiepusha na Bidaa.
@Abuunuwayra
@Abuunuwayra 6 ай бұрын
Mungu Mahifadhi Sheikh Bachu
@musabahaliou-lo9xe
@musabahaliou-lo9xe 6 ай бұрын
❤❤❤
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Utoto wa M.bachu haujifichi hata kidogo. Elimu si kubwabwaja sanaaa mitandaoni na kukaza macho.
@omarykibunta4950
@omarykibunta4950 6 ай бұрын
Assalam alaykum Hali yako shekh wangu Muhammad nassori bachu
@LuqumanOmar
@LuqumanOmar 5 ай бұрын
Duuu bachukumbe umepinda
@AbdallahAbdurahman-cj2qp
@AbdallahAbdurahman-cj2qp 6 ай бұрын
Shkh Muhammad nakupa Salam assalam alykum warahmtllh wabarakatu
@AbubakarAlly-th6op
@AbubakarAlly-th6op 6 ай бұрын
Kwakweli sheikh Qassimu mafuta, au Sheikh Mujjahid, au Sheikh Abdalla humeyd, au upande wakina Sheikh Abuu Haatim au sheikh Abuu usama khamis ame, au upande wa kina Sheikh Abuu muwawiyya, Hawa wote chanjo cha ugomvi wao umetokea kwa masheikh wakubwa kama Sheikh YAHYA ALHAJURY, na sheikh ALWASWABIY, na sheikh RABIY ALMADKHAR, na sheikh, MUHAMMAD IMAMU, kwakutofautiana kwao masheikh wakubwa tena wote wa sunna ndio nahuku kwetu yametokea hayo, kwahio masheikh hawa wakwetu wanashindwa kuelewana kwasababu wanaona watawakharifu masheikh zao haliyakua masheikh wote ni watu wasunna masalafiyun Kwakweli tuna mtihani mzito Allah atuongoze sisi na masheikh zetu wote hao wa sunna na masalafiyun
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 6 ай бұрын
Mashallah umesema vizur allah atuhifadhi na hizi fitina maana zinatokeya kama zilivyo tabiriwa ktk maandiko namuomba allah anipe salama duniyani na akhera
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Maa shaa Allah! Na huo ndio msimamo wa Abu Muawiya na Muhammad bachu wanapoanza kuwakusanya watu ili wawasikilize huanza na msimamo huu huu. Mambo yakienda mbele Alhamdulillah tunajua wanapoishia ni wapi.
@jamaldineali3228
@jamaldineali3228 6 ай бұрын
Wallahi sheikh nakupenda sana kwaajili ya Allah
@maadinaJuma
@maadinaJuma 6 ай бұрын
Allha akulinde na maadui wote
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
45:07 utamjuaje kama hastahiki hujajibu swali ujanja ujanja Tu
@umarumzamidu
@umarumzamidu 6 ай бұрын
Allah akuwekee wepesi ktk mambo yako
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
46:04 hapa swali bado linakudai uende ukatafute wanawachuoni wanasema ninan anayestahiki kubidiishwa?
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
41:51 hivi huyu anapata wapi ujasiri huyu ibnu uthaimin kamnukuu halafu akaleta kanjanja…ibn uthaimin hajataja imam amesema jitenge na jamaa zote
@salumtakao9828
@salumtakao9828 6 ай бұрын
Huyu aliejibu nadhan anjihisi ovyo saiv akisikia hii clip. Na halfu mkiulizwa maswali mjibu kwanza msianze kuuliz maswali yenu. Twambie kwaza abuu muawiyyah kakhalifu kipi mpk mumtoe hmna hojja juu ya hiloo ni chuki na ushabiki ndo umewaja yawa salafi jmni . Wabdilike tu
@rajabumbendenga5480
@rajabumbendenga5480 6 ай бұрын
Subiri dawa iwaingie mbona RUDUUD zinaendelea inshallah na mtakaa mjue kuwa huyo ibn bacho ni debe tupu..
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
shukran
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
17:51 M.bachu kaona tusi kuitwa MJINGA #jahili na kujifanya eti anabusara sana.! Wakati huo huo kwenye kichwa cha habari cha video yake kamuita Abul Abbas ni #kibaraka!!! Hilo kwake yeye na wapenzi wake kwao sio tusi!!! Allahul Musta'an
@seifsalum3018
@seifsalum3018 6 ай бұрын
Wengi wanaokoment ummu ni wale bendera wasiopenda kuisom dini na kaz yao ushabiki
@mohammedhassan-o9s
@mohammedhassan-o9s 6 ай бұрын
Assalamu alaykum Allah akulipe kheir akhy, Ww umeyajibu maswali wao mbona hawataki kujibu uliyouliza , hii inaonesha hasa hawa watu wamezidiwa. Tunaomba kwa allah awaongoze na atuongoze sis pia kwa wote.
@salumtakao9828
@salumtakao9828 6 ай бұрын
Mm pia nilishanga nilitmn tukabainishiw majibu ya mswal yalioulizwa ila chkuskitisha kumezuka maswal mapya 😂. Hawa jama hawako serious wamekamatw ndipo haswa hawachomoki Hawa. Wajibj maswal waliouluzwa kwamza hlfu km wan yao watajibiwa. Shekh qassim anamyindo huo huo na yeye ukimuliza swal ankuliza swali sasa hapo ndo Nini jmn ah wanzingua Hawa Hawa hoja
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me 6 ай бұрын
Dawat salaf ni nuru ya Allah na nuru ya Allah hawapewi mahizbi
@salumtakao9828
@salumtakao9828 6 ай бұрын
Si usalafi wa shekh qassim lkin. Naon mmekamatw ndipo hamjibu maswal manuliza maswali na bado mmejibiwa kielim zaidi . Mnaaaibika majadida . Toen hijja Kwan hmumuon bacho anvopekula vitabu ? Mjibubi basii km kaongea pumba ila mnashindwa
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​@@salumtakao9828ni usalafi wa barahiyani na m.bachu eee?
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​@@salumtakao9828 Kupekuwa vitabu si hoja, hoja ni anakielewa anachokisema? Hata masufi na mashia hupekua vitabu wateteapo upotofu wao. Tutoleeni ushamba na ulimbukeni wenu. Kinachotakiwa ni hoja, na m.bachu hakika hana hoja ana #Viroja tu.
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
mmebanwa haswa hapa
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
@@SonofJacol-t6h amekosea wapii sasa katika hoja zakee? au ndio cha kujibu hauna umebakia kuwa na muhahoo😅
@abusalmadangaadam708
@abusalmadangaadam708 6 ай бұрын
Muhammad bachu allah akulipe kwahakika wewe ni kiungo
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
Khilafu ambayo mtu anapewa udhuru ni ipi sasa sheykh BACHU…mbona huiraji ili kina Abu muawiyah nawao wapimwe kwa kipimo hicho hicho kilo wapima kina ibn Hajar
@musabahaliou-lo9xe
@musabahaliou-lo9xe 6 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AbdulwahidAli-md6re
@AbdulwahidAli-md6re 6 ай бұрын
Wambie waje Zanzibar wasome lugha ya kiswahili kwanza, halafu wajibu kwa ufasaha hayo maswali
@nasirdinmohammed8741
@nasirdinmohammed8741 6 ай бұрын
Kwani uyo Hassan wazir mtu WA wapi na anakaa wapi msiwe kama makondoo mnafuata Tu someni acheni ujinga
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
58:20 Muhammad bichwa ww ni #jaahil mada imekushinda unajifanya muda umekwisha. Hizo Athar za Salaf ulizowekewa ni kitanzi kwako. Unabakia kuuliza "shida iko wapi, shida iko wapi" huku ukikaza macho!!!. Mambo ya kielimu hayapelekwi hivyo huo ni #utoto
@Abuuabdillah259
@Abuuabdillah259 6 ай бұрын
Wewe ulishaanguka ili usimame rudi katika njia ya sawa
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 6 ай бұрын
Jibuni maswali Kwa dalili tupate elimu sio maneno tuu
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Kaanguka kwako tu, Lakini duni nzima inajua kama huyu mtu yupo imara pamoja na misuko suko yote anayopata
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
amekosea wapi katika hoja zakee hapo? au ndio mmebakia na muhahoo?🤣🤣
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
1:02:57 kwani Shekhe lako #HasaniAwadhi sio #Dai ni muislamu wa kawaida tu? Hivi unajua kweli unachokizungumza kweli au umeamua kuwapotezea watu muda?
@AbiyolaSaidi-qe2ku
@AbiyolaSaidi-qe2ku 6 ай бұрын
Allh akibr allh akuongoz san man hun akir ya saw na maswal kam 4 ukijib nakup magar yang ma 3
@AbdurahmanBishariza-p9h
@AbdurahmanBishariza-p9h 6 ай бұрын
Unasema kwa uhakika?au ndo yale ya kumchaleji mtu ?Kama unauhakika maswali yako yapo kwenye msingi ya dini yetu uliza inshaallah
@ramadhansaid778
@ramadhansaid778 6 ай бұрын
Asie kuelewa Sheikh BACHU basi juwa yakuwa yeye ndio anakasoro
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
38:18 hapaa kajigonga gonja imam Nnawawiy kumbe amekhalifu aqidah ya salafiy? Nini sasa kili mbakiza wakati umetusomea maneno ya ibn Taymiyyah kuwa akikhaalifu aqidah ya salafi anatolewa katika sunnah??
@universitylink
@universitylink 6 ай бұрын
Sheikh Bachu wewe ulianza kutoa hojà ilikuwa wajibu hoja Kisha ndio wakuulize maswali lakini wamebadilishà meza sasa wewe ndio unajibu maswali yao
@abdallaali4260
@abdallaali4260 6 ай бұрын
Ukiskia kelele nyingi jua ngumi imeingia, mahizby wataka nusuru nafsi zao na wala si daawa
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 6 ай бұрын
Toeni majibu acheni ngonjera sisi tunataka faida uhizbiya wenyewe hujui ni nin hapo ulipo
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Hakuna anaenusuru nafsi yake hapo, kinachpingwa hapa ni tabia yenu mbovu ya kuvuka mipaka na kujiona MASALAFI ni pekeenu.
@abdallaali4260
@abdallaali4260 6 ай бұрын
@@saidimkwinzu9106 bali alama kubwa za mahizby n kumchukia sheikh rabii na sheikh amani aljaamii.....
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​@@Najma_Mbaruk Oh! Hivyo kumbe wao si masalafi peke yao tu nanyi pia ni masalafi wenzao!! Haya maneno ukiyatafakari kwa kina Wallahi utajicheka
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 6 ай бұрын
Hakuna hoja ya Al alkh abbul abbas iliojibiwa kiilmu ata moja ,,,tumeona kutafuta huruma kwingi tu ,,,,hoja zingine ameziruka ,,,lkn in shaa Allah mahizbiy mtabainishiwa haqq tu ivi punde .
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
Hhhhhhhhh kipofu Kwel ww taassub ishakuzonga
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 6 ай бұрын
@@abuumansour8479kipofu ni wewe unayedai umeona ilmu na Hali hamna,,,sikiliza kwa maakini tena utaona venye bachu maswali yamemshinda.
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
@@ABUUJAAFAR92 nyie maboya kwel yan Bach alianza kuuliza yeye maswal, uadilif ni kumjib maswal kisha ndo muuliz sasa nyie bana mnatabia ya kuruka maswal so maswal hamuwez kuayjib na kimakala uchwara hhhhhhhhh mim nakijib yan mpaka jina halijui anaitwa bachu sio bacho hhh
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 6 ай бұрын
@@abuumansour8479 si unaona sasa hata hufuatilii inaonekana ,,wadandia tu juu ,,,bachu amemtaja sheikh qaasim mafuta kwenye clip zake ,,,ambaye tayari alitoa hoja zake dhidi ya uhizbiy wa barahiyani na dr Islam,, hizo hoja za sheikh qaasim hazijajibiwa ,,bachu sasa angekuja akataja zile za qaasim mafuta azivunje kiilmu,,,lkn amejifanya hazijui akaja na zake ,,sasa ukisema bachu ametangulia kuuliza utakuwa humkweli
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 6 ай бұрын
@@abuumansour8479 sasa wewe subiri al akh abul abbas ,atakuja kumnyoosha huyu kijana wenu ,,kwahio subiri ,,,ikiwa hauko kishabiki utaelewa biidhnillahi
@yunus-or3ny
@yunus-or3ny 6 ай бұрын
ukiishi darul kufru marumbano hayaishi
@swalehemusakiluwa9405
@swalehemusakiluwa9405 6 ай бұрын
Unakataa lugha chafu wakati wewe kwenye kichwa cha habari tu ushamuita mtu kibaraka Kama lengo ni dini basi rekebika wewe kwanza
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
KIBARAKA NI MTUMISHI WA MTU, SASA TUSI VIPI APO, HUONI KAMA HAO WANATUMIKISHWA KUJA KULETA FUJO?
@azizayassin3623
@azizayassin3623 6 ай бұрын
Hyu anatafta views tu biashara iende hana abdu ya kuongea wla kujishusha hataki anajiona anajua yeye kila kitu angekuwa na elimu kama ya shekhe OTHOMAN MAALIMU cjui ingekuwaje othaman maalimu anajuwa kujishusha mno na bado anaitafta elimu watu wanamtukana yeye kimya misho wa cku wao wenyewe wanaenda kumuomba msamaha hyu sasa kuwafedhehesha watu na Kuwaita watu majina ya aibu fedheha ndio anajua
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
​@@azizayassin3623Wewe Huna ujualo tulia pembeni, huu uwanja wa watu wa sunna wewe unatutajia Othman Maallim!!! Huoni haya wewe? Hapa huyo Othmani hastahiki hata kutajwa, kama angekuwa na elimu asingekuwa mtu wa Bidaa
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 6 ай бұрын
​@@azizayassin3623 kwahilo ni uongo hatafiti views na umejuaje kama uthman Maalimu ana elimu kubwa kumshinda Muhammad bachu hata kama humkubali mtu ila kuwa muadilifu Allah akuongoze ww na mm
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
anae endesha hii channel sio yeye wala sio yeye anae upload videos
@AmourAmour-ux3nm
@AmourAmour-ux3nm 6 ай бұрын
Shida ndugu yangu wew hujulikan washika wapi kwanz nan aliyeanzisha kundi hilo la majadida
@wardinizuri
@wardinizuri 6 ай бұрын
Kaanzisha mwalimu nyerere😂😂😂
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Hahahaha😂 eti mwalimu nyerere
@HassanJamada-pf4jt
@HassanJamada-pf4jt 6 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/nYG6i4Otg6ppaJosi=2o6ywiNbAHgMXzfg SIKILIZENI HII MTAJUA KWA NINI SHEKH ABULFADHLI HAMJIBU MJINGA HUYU
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Acha porojo qassimu mafuta akiona kazidiwa hajibu hizbu wa pongwe salafiya jadida
@HassanJamada-pf4jt
@HassanJamada-pf4jt 6 ай бұрын
@@HassanHamad-rf9tq ungekuwa ni mtu wa elimu usingesema maneno kama hayo lakini Nina khofu kuwa wewe ni mtu anayejishughulisha na kusaka tonge tu hata yakitajwa mambo ya kielimu huna zaidi ya ushabiki, mtu wa elimu anakuwa anajua kuwa sio Kila mzungumzaji hujibiwa
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
Hizi hojja amekosea wapii?
@KhamisDaud-nz3rc
@KhamisDaud-nz3rc 6 ай бұрын
Anaetaka kujifunza atajifunza bi idhinillah bali yule alieshikilia ushabik ataruka patupu
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 6 ай бұрын
Nawaona majadida wanavyo ingiya nakutoka vikao kama vyote wanatafta uchochoro mdogotu wautumiye kumtukana mtu Allah awape kheri
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 6 ай бұрын
Unakiu kweli na Abulfadhli
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
😂😂😂Abul fadhwil anamuogopa japo anajifanya kashaakua mwamba hataki kumjibu Abul fadhwil kopo la choosing kweli
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Tena kiu kali sana, na akijaribu kuinua kidole tu, tunamuumbua😂
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​@@Najma_Mbaruk Na kweli m.bachu anaisubiri sana hiyo sauti angalau hata ya dk. 2 kutoka kwa Sh. Qasim atajwe tu asikie raha aanze kubwabwaja masaa kwa masaa. Bila shaka Islam anaelimu kumzidi m.bachu, basi twamuomba kwa hisani zake abainishe kwa uwazi (asifuge funge) kuhusu hao majadida na Masheikh zake angalau hata dk. 5 kisha ndio tunaelewana vizuri. Kiufupi ni hivi Masheikh zetu hawahangaiki na mikia wao wanapiga vichwa. Vichwa vitakaposimama tujulisheni
@abubakarshaban6118
@abubakarshaban6118 6 ай бұрын
Sio kila mtu anajibiwa tu... kzbin.info/www/bejne/nYG6i4Otg6ppaJosi=5mMP38BnehB2VHVp
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 6 ай бұрын
Na Shekh Nuhammad hajaandika makala, bali ameongea wazi mbele za watu. Majibu yaje hivihivi mubaasharatan
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
Majibu kwa M.Bachu na timu yake kzbin.info/www/bejne/p6CqlKOGp5qBnK8si=0q3GglwKZ90zAy32 Wasambazie na wengine
@abdulkarimurassaabdulkarim2477
@abdulkarimurassaabdulkarim2477 5 ай бұрын
Ugg
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 6 ай бұрын
Waislamu wenzangu uislamu haun madhehebu na qur ani imeshasema tusigawe uislam vikundi vikundi tusijikweze leo tunjiita majina tofauti tofauti muislam w kweli alishaelezwa n qur an n hadithi za mtume ay makundi makundi waanzilish wake ni wayahudi imkuw sas mt kuslim imkuwa shida pia waislam kw waislam kuombana maji tatizo kisa mtu ni salaf cijui sunni n makundi mengine kaeni mufkiri muipeleke din y uislam mbele mtu akiulizwa mtume alikuw kundi gani jibu hamna n mitume waliopita walikuw makundi gan majibu hamna ispokuwa walikuw waislam wa kweli.
@usrahismail3196
@usrahismail3196 6 ай бұрын
Tanzania mnatuongoza wakenya kwa makundi na malumbano
@RajabuBabu-c9y
@RajabuBabu-c9y 6 ай бұрын
Shekh twakupenda ila pambana na kina sabas ila kwa shekh kasm mafita unacho kitafuta utakipata utapigwa radi Moja tu
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Bas ndio tunasubiri ilo radii mojaa kwa huyo daruweshi Kasim mafuta
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 6 ай бұрын
​@@AbAlhuraastunamtaka shekhe lenu rais wa majadida tz ajibu nyi vifaranga hatutaki mana wafata mkbo hamjui kitu mnasetiwa kama maroboti usimsikilze fulani na ww humsikilizi atimae unapishana na hakki
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
@@AbdulIssa-o7e kijana vp mim npo mbaali na ujadida kbs Nashkuru san na hlo pote nimejipusha zaman san
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​​@@AbAlhuraasNa kweli m.bachu anaisubiri sana hiyo sauti angalau hata ya dk. 2 kutoka kwa Sh. Qasim atajwe tu asikie raha aanze kubwabwaja masaa kwa masaa. Bila shaka Islam anaelimu kumzidi m.bachu, basi twamuomba kwa hisani zake abainishe kwa uwazi (asifuge funge) kuhusu hao majadida na Masheikh zake angalau hata dk. 5 kisha ndio tunaelewana vizuri. Kiufupi ni hivi Masheikh zetu hawahangaiki na mikia wao wanapiga vichwa. Vichwa vitakaposimama tujulisheni
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
@@SonofJacol-t6h ukiwataja wengne huwpi cheo cha usheikh ,lakn bos mafuta unampa cheo au utakosa ubwabwa ,ukiwapa hao wengne cheo cha usheikh
@HajiHaji-r6n
@HajiHaji-r6n 6 ай бұрын
Wajikweza kweli sio uongo ndio maana ulishindwa kujibu suali La yule Sufi kwa kujikweza.
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 6 ай бұрын
tunataka rais wnu wa majadida sshk kasimu mafuta atutaki nyi vifaranga ambao hamjui kitu jibuni maswali kazi yenu kutukana t
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
​@@AbdulIssa-o7enaam vifaranga. Vina taaabu. Hivi
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂duuh. Hii midude akina qasimu mafuta sijui ipoje. Maswali yakijinga kweli harafu ikiulizwa. Haitaki kujibu 😂😂😂 duu. Itakua. Ina laana au
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 6 ай бұрын
@@abbaspaziaog2188 makombora mzito ya nyukla hyo shekhe yamewashinda na huoni wanataja nyusi za bachu hawana issue kichaka chao kimewashwa moto
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
@@AbdulIssa-o7e naam kabisaa Rais wao. Hizbii mafuta anajikuta. Yy ni mwamba hamjibu. Bachu. Kumbe. Hamuwezi. Anaogopa. Kuaibika😁😁majadidah
@AbdulfatahWanyamaAngachi
@AbdulfatahWanyamaAngachi 6 ай бұрын
Watafuta kiki😅😅😅😅😅
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
hoja hakuna kwako, ukaona bora uonekane na wewe umeandika comments🤣
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 6 ай бұрын
hivi hawa watu wanashida gani mbona nikitu simpo tyu mmeulizwa maswali jubuni sio kumtukana hatuwaelewi mnashida gani usimtukane mtu jibuni kwabusara tuwaone
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
Kuna maswali yaliulizwa tangu miaka 3 ilio pita mpaka leo hakuna majibu bali mnatuongezea tu kutatizika maswali kaulizwa sheikh Saalim barahiyyan Sheikh Ductur Islam Na wewe Muhammad bachu ila mpaka leo hakuna majibu Ni nini maana ya JADIDA? Ni nani hao JADIDA? Walianza lini hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Ushahidi uko wapi?
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 6 ай бұрын
​@@AbuuBakar1hiliswali lishajibiwa sana Akhii hata katika kitabu cha sheikh Salimu Barahiyan majibu yapo
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
Hawawezi kujibu hawa kazi yao nikusema. Hizbii 😂jaahil murankab baasi. Hawana. Lingine
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
@@abbaspaziaog2188 nakuhurumia sana
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
​@@AbuuBakar1Al akhii Ayo maswali yote sheikh Muhammad bachu kashalizungumza ila ww unaonekana haya mambo umeanza kufatilia juzi ila nitakutumia clip ya sheikh bachu usikilize kama unahitaji elimu pia nenda kafungue kitabu cha ibn uthaimin sherhe ya Arobaina nawawia au sherhe ya hilyatu twalib elmu
@SaidoOmar-g2b
@SaidoOmar-g2b Ай бұрын
Wanaziyoni wote hawo mabingwa wawakoseya adabu. Halafu wamtaja n'a uthaimin hâta ikiwa mjuzi. Nikina Nani umwatawo ww.
@abdallaali4260
@abdallaali4260 6 ай бұрын
Maneno ya sheikh abdallah humeid ama kweli😂 ukiona mtu kwa video yake kaweka vitabu mrundo n hafungui hata kimoja ni kuvuta taswira ya watu wamuone ana elimu😂😂
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Kaa Na ujinga wako , zama za sasa unachapwa kwa vitabu kwenye pdf tu, huoni njia anayotumia Muhammad bachu kuonyesha hoja zake kwenye screen? Nyinyi mbona hamufanyi hivyo? Wehu nyinyi.
@abdallaali4260
@abdallaali4260 6 ай бұрын
@@Najma_Mbaruk bila ya mavideo alhamdulillah tandika wtu wa bidaa mpka kueleweke siku zote haqqi itashinda batwil twamuomba Allah thabat juu ya kushikamana n manhaj salaf
@bacteria5184
@bacteria5184 6 ай бұрын
Sheikh uthaymeen MashaAllah alishawaona zamani kwa mbali hata kasema hilo kundi lina matatizo.lkn majajida wanaenda kama kondoo
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
Kabla ya kumshajiisha hivi walijua neno analo tumia kila mara JADIDA JE wajua ni nini maana ya JADIDA? Ni akina nani hao JADIDA? Lini walianza hao JADIDA? Nani kaanzisha huo UJADIDA? Je unao ushahidi juu ya hilo? Twaomba kujua kwaajili ya elimu wala sio ubishani inshaa-allah
@bacteria5184
@bacteria5184 6 ай бұрын
@@AbuuBakar1 majadida ni kundi linaloitwa salafy ilianzishwa na baadhi ya masheikh saudia.mtume saw hakutuachia kundi linaloitwa salafy,kundi linatoa waislamu na hata kukataa kwenda kuzika ndugu yao abu muawiya.
@AbuuBakar1
@AbuuBakar1 6 ай бұрын
@@bacteria5184 naomba kuwajua hao masheikh wa saudia walio anzisha hilo kundi
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
​@@bacteria5184fact
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
​@@AbuuBakar1kzbin.info/www/bejne/fWKneI2uiqiAiKssi=gv_CMFuSrORQc3bJ sikiliza hii upate majawabu yako
@sadru5710
@sadru5710 6 ай бұрын
kwani iyo fatwa ya ibnu uthaymee c ushajibiwa na Abul Abbaaa muhammad wa zanzibar na ukafedheheka?? mbona wew c muelewa?
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Mwambie aje ajibu sasa hivi basi😂😂 kama kipindi kile Sheikh alikatazwa na wazee asimjibu, mwache aje aone sasa kitakachomkuta
@AbubakarMuqaddam-f2r
@AbubakarMuqaddam-f2r 6 ай бұрын
MBONA HUKAI MSKITINI UKAWARUDI WAJIFUNGIA VYUMBANI KAA MSKITINI TUKUULIZE MASWALI NA SISI
@JumaAbeid-y5p
@JumaAbeid-y5p 6 ай бұрын
Nyinyi ambao mupo msikitini jibuni Yale maswali 6 mulioulizwa.
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
​@@JumaAbeid-y5p Majibu kwa M.bachu na timu yake kzbin.info/www/bejne/p6CqlKOGp5qBnK8si=0q3GglwKZ90zAy32
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
ndio hojja hii kweli?
@SonofJacol-t6h
@SonofJacol-t6h 6 ай бұрын
@@ibrahimjumaa538 Ni majibu kwa m.bachu je, umesikiliza?
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
50:08 sasa hapaa ndio umefanya nini wewe kweli umekulia mtaa wa venezuela
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
unajua kabisaa katika nafsi yako ni ni Muhammad amejibu.. lakini kibrii tuu.. suali, je ni wapi amekosea katika hojja zake zote hapa? usifuate itikadi pasi na hakki...
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 6 ай бұрын
Ukisikiliza kwa umakini maswali oloulizwa hakuyajibu bali Amewafanyia watu talbiis kaulizwa misingi gani iliyowekwa na ulamaa inayo kujulisha kuwa wamechupa mipaka kubiisha? Yeye kasoma maelezo ya ibn uthaimiin alipokuwa anazitaja sifa za kikundi cha salaf kwamba kinabiisha watu wasiositahiq, Ibn uthaimiin hakuitaja misingi wanayotumia watuhawa ili tukiiona misingi hiyo anaitumia mtu teseme kachupa mipaka!!! Kimsingi swali halijajibiwa.
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Wewe ndio wale صم بكم عمي فهم لا يعقلون😂😂
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 6 ай бұрын
@@Najma_Mbaruk Haya niambie uziwi na upofu nilonao juu ya hili kisha nitajie wewe misingi ambayo ameitaja ibn Uthaymeen ya wale wanaobiisha watu pasi na haq zaidi ya kueleza sifa zao tu nasio misingi kama alivyowa hadaa bachu.
@salehrashid-fx9rq
@salehrashid-fx9rq 6 ай бұрын
Sheikh Muhammad, hao unaojadiliana nao ni zero brain, hamna kitu vichani mwao. Hata ukiwafuatilia ni failures. Hata mazungumzo yao ni pumba na kupotezeana muda. Nakushauri andaa mada za dini uje utufundishe. Hao achana nao
@uledihassan6065
@uledihassan6065 6 ай бұрын
Hawa majadida wana lugha chafu sana
@BizimanaYahya-y4o
@BizimanaYahya-y4o 6 ай бұрын
Wallah ukijibu haya maswali nilioyaona ndasema WWE nimwacuoni
@yassinsaid-b7v
@yassinsaid-b7v 6 ай бұрын
assalam aleikum huyo bwana kauliza maswali lakini majawabu yako ndio yamenipa somo kubwa zaidi ya maswali ..na pia umetupa taswira nyengne ya fatwa za maulamaa na maana halisia kuliko ukiziskia kutoka kwa midomo wanagueza maana Allah akupe umri mrefu wenye amali njema uzidi kutunufaisha na uwe ni sababu ya mimi pamoja na wengne wengi kuifahamu quran na sunnah namna salaf walivyoitekeleza Allah akujaze kula la kheri .. nategea hio chapa ya 2
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
amiin amiin
@abuubakarmohd7532
@abuubakarmohd7532 6 ай бұрын
1:04 umetamka ujinga
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 5 ай бұрын
Huyu kaw mwiba kwa kundi la kasim mafuta na humeid
@MussaYasini
@MussaYasini 6 ай бұрын
Majadidaaa doh mstak niamin kua mashekh wakisalaf mmeshindwa kumjibu huyu kijana hoja zake!!!!😅😅
@twaliburajibi856
@twaliburajibi856 6 ай бұрын
Wanamdharau na sio wanashindwa. Mtu anayetaka umaarufu hajibiwi na masheikh inakuwa km vile unampa umaarufu. Huyu ni You-Tuber anayetafuta kutrend ndio maana anatumia muda mwingi huku.
@MussaYasini
@MussaYasini 6 ай бұрын
@@twaliburajibi856 sion kama hio yaweza kua7b yawao kuto kumjibu mana mashekh wakisalaf hawawez kuona mtu anapotosha tena anae skilizwa na watu weng kama huyo kisha wakamuacha kumrudi ila sema2 wameshindwa kumjibu kutokana na hoja zilivyo madhububut
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
​@twaliburajibi856 Jiangalie vizuri wewe, mbona kasim mafuta anawajibu kina Abu iddi? Pia mbona hajamjibu Abu muawiya, au na yeye alikua anatafuta umaarufu? Sema ukweli Sheikh wenu akiona pahala ni pazito haingii. Bachu ni maarafu wala hana haja ya kuutafuta, angalia channel yake kisha angalieni hizo channel zenu zipoje, utajua nani maarufu. Na kwa sasa Bachu ni maarufu kuliko hata huyo kasim mafuta
@MussaYasini
@MussaYasini 6 ай бұрын
@@Najma_Mbaruk sahihi kabisa usemacho al akhy
@abuunajat1164
@abuunajat1164 6 ай бұрын
Huyu network imeyumba
RADDI KWA ABDALLAH HUMEID NA GENGE LAKE || Muhammad Bachu.
47:58
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
🔥RADDI FUPI KWA KASUKU WA KIZANZIBARI (MUHAMAD BACHU)
11:05
ATtwabary online
Рет қаралды 3,4 М.
KIFO || Muhammad Bachu.
44:50
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 6 М.
Muhammad Bachu||MANENO MABAYA YA QASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID
52:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 101 М.
Sheikh Nassor BACHU - TAQWA
3:01:03
shining noor
Рет қаралды 116 М.
BACHU AMVAA SHEIKH OTHMAN MAALIM TUHUMA ZA UZUSHI VIGAWANYO VYA TAWHID
26:32
KWANINI ABU MUAWIYA SIO SALAFIY |RADDI KWA QASSIM MAFUTA | Muhammad Bachu.
1:04:43