RAIS DKT JOHN P.MAGUFULI AKIZINDUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA ENEO LA MJI WA SERIKALI - MTUMBA DODOMA
Пікірлер: 28
@samjoseph39544 жыл бұрын
Kama umeona wakat rais anatoa moja inaingia mbili na anashusha kuitafuta free gonga like twende sawa
@wanderaothumani49194 жыл бұрын
nchi hii tajiri ni kauli inayobadilisha sana fikra sio mambo ya nchi yetu maskini
@Pendomabula4 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania na Rais wetu mpe afya njema na maono mazuri.
@edwardgwaspika49434 жыл бұрын
Very good choir! Hongereni vijana wetu wa JKT mko super!
@joycenaveen27854 жыл бұрын
Da mzee magufuri umeteuliwa na kukubaliwa na mungu
@sweetletmushi14104 жыл бұрын
Hongera Rais wetu
@mussajuma17364 жыл бұрын
Hongera rais wetu tunakupenda xanaa ila tunaomba vyombo vya usalama muwe makini xanaa maana hawa wapinzani razima wanaajenda ya kutaka kumuuwa raisi wetu ndio maana wanatudanganyia kwao kutuaminisha eti dodoma kunawatu waxio julikana wapate kwa kujifichia kuweni makini ni maono two ila xijui.tunakuombea rais wetu atakae jaribu two afe yeye.
@alistidesgregory98604 жыл бұрын
More likes kwa uzalendo wa rais wetu, viva tz viva
@makambakoonlinetv79714 жыл бұрын
MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MBARIKI RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI ATUONGOZE TUFIKIE UCHUMI WA KATI.
@ziadasadiki81964 жыл бұрын
UTUMWA wa NCHI NYERERE AMEUKOMESHA😂😂😂❤MAGUFULI Simamia Hilo Achana na Vibaraka wa MABEBERU. Twende Mbele Magufuli Twende Baba. Tupo Nyuma Yako Usiogope.