Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu. Anahutupia wananchi na kuwasikilia.
Пікірлер: 257
@nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын
Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona
@kaystyle614 Жыл бұрын
Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace
@petermillanzi9604 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@susananyasani65264 жыл бұрын
Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine
@festokibiki89614 жыл бұрын
Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe
@neemantandu58524 жыл бұрын
Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs
@florajohn19274 жыл бұрын
Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.
@bernaddimosso91214 жыл бұрын
Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,
@esterkimario11264 жыл бұрын
huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi
@JustusMwania10 ай бұрын
Born a leader dead a leader RIP mzee .
@brownmwangome78164 жыл бұрын
Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.
@omarumwanjali46144 жыл бұрын
Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.
@festokibiki89614 жыл бұрын
Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote
@priscameshack62884 жыл бұрын
Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu
@barakafesto30554 жыл бұрын
Ahsante sana jembe letu
@hermankinyaiya9256 Жыл бұрын
Jamanii,INANIUMASANA
@johnpeter4048 ай бұрын
Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌
@Nikolasmatabaro-fl5ez6 ай бұрын
bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩🔬😅🇺🇬❤
@frankoiputa81818 ай бұрын
The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️
@jafarimkova91734 жыл бұрын
Umetixha we babalao
@ziadasalim14594 жыл бұрын
Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .
@fatmas73384 жыл бұрын
Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo
@mkemiamagege84774 жыл бұрын
Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.
@jeanmubemba12044 жыл бұрын
mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius
@esterkimario11264 жыл бұрын
ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge
@kebo21554 жыл бұрын
Ukweli mtupu.. 🇹🇿
@nemuelombasa88104 жыл бұрын
Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.
@mohamedkikale72414 жыл бұрын
Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako
@kelvinmwambandile27834 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi
@sameermilo24924 жыл бұрын
Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja
@samsonmakombe96367 ай бұрын
Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.
@faustinemavere14504 жыл бұрын
Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu
@rasnews17034 жыл бұрын
I am a kenyan and I love magufuli and his leadership
@ommyakili5524 жыл бұрын
😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu
@isaacnyongeza167 Жыл бұрын
Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president
@stanleymsenga91184 жыл бұрын
Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze
@maikopaulmaiko19004 жыл бұрын
Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana
@annakulanga54154 жыл бұрын
Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭
@ramadhanihussein39184 жыл бұрын
Ahsante sana mzee baba
@jacobphilemon63944 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
Am frm kampala watching these videos
@dullyyesu90364 жыл бұрын
rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari
@RioIpo4 жыл бұрын
Ihiiiiii
@fedelinamahenge66494 жыл бұрын
pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm
@dennisjuma3940 Жыл бұрын
Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli
@nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын
JPM rais wa watu na watanzania
@mangegervas96514 жыл бұрын
Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo
@nurusimbeye5624 жыл бұрын
Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa
@maryoswad70224 жыл бұрын
Hmmmm barikiwa sanaaaaa
@zakkaumeme98294 жыл бұрын
magufuli we noma walah
@hamidjuma61094 жыл бұрын
Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda
@usembiphonedar56328 ай бұрын
Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.
@aisharamdan83587 ай бұрын
Sana mungu atalipa
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge
@niokoemahenge43124 жыл бұрын
Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena
@ommyakili5524 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye
@selemaniathumani9855 Жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema pepon amen
@DamianNdege-gh3tj8 ай бұрын
Mungu akupumzishe mahari pema peponi
@evelyinipaja12024 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.
@nehemiaisakwisa86044 жыл бұрын
Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self
@gracebruno26444 жыл бұрын
Nakupenda mnoo baba wa haki
@maikopaulmaiko19004 жыл бұрын
Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa
@raphaellyela29104 жыл бұрын
AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME
@hermankinyaiya9256 Жыл бұрын
Yaaah
@peternjoroge92097 ай бұрын
Pombe is the best president in the world.
@eliudkimari-wt5cl7 ай бұрын
I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho
@fredkyara32784 жыл бұрын
Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.
@user-sp4jr4vw6t2 ай бұрын
Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.
@patrickmuchiri74804 жыл бұрын
Reaching to the poor good. God bless you.
@christophermganga52164 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana
@johnsentamu43538 ай бұрын
NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME ) MATH and l0ve.
@natashamwikali3413 Жыл бұрын
Continue resting well Rais magufuli
@KabazoMumba8 ай бұрын
Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace
@ziadasalim14594 жыл бұрын
Duh huyu rais mbinguni moja kwa moja
@eischerschwederm78764 жыл бұрын
Magufuli ana kazi
@joearm55514 жыл бұрын
Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!
@joharikhatibu27 Жыл бұрын
Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you
@josephmbugua2580 Жыл бұрын
We lost great leader😭😭😭😭
@emmanuelturuka85284 жыл бұрын
Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍
@emmanuelmashishanga5057 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......
@mkemiamagege84774 жыл бұрын
Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.
@raymondmsuya71274 жыл бұрын
Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo
@athumanidona4944 Жыл бұрын
Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu
@samsonmakombe96367 ай бұрын
Your man power are coming back. R.I.P
@sweetbertmalimi15674 жыл бұрын
MZEE JPM NI MTU WA WATU..
@amosidaniel1830 Жыл бұрын
Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli
@JumanneSalisali9 ай бұрын
Huyu ndo rais
@Vincentsyona-bj6qj5 ай бұрын
True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..
@karimmveyange280 Жыл бұрын
Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI
@patrickmuchiri74804 жыл бұрын
God is able ..grow Tanzania.
@yassinmmone6806 Жыл бұрын
A
@benjaminonpiano3044 жыл бұрын
Amina
@Dennis-qg3qr Жыл бұрын
Alikuwa kiboko yao Hayati JPM
@ziadasalim14594 жыл бұрын
Mh raisi ebu nenda kapunzike kidogo hata ulale jamani wiki nzima umeshughulika na msiba una usingizi umechoka ebu nenda kapetiwe na mamaaa
@ommyakili5524 жыл бұрын
Ile ipo haiondoki ataikuta tu😂😂😂😂😂😂😂 tamu ile yake bhana
@samsonmakombe96367 ай бұрын
Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.
@saidaamir4462 Жыл бұрын
Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass
@patrickmuchiri74804 жыл бұрын
Good job.
@gbbuku47144 жыл бұрын
ninachokiona magufuli ni mwanaume mmoja tanzania ambae hata usiposaidia kupiga kampeni mwanaume anamaliza peke yake
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
R.I.P Mr president .We miss u
@odaxkasita82644 жыл бұрын
president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..
@samsonmakombe96367 ай бұрын
Aksante baba, RIP
@allyhamisi2639 Жыл бұрын
Huyu ndio rais Allah amuhifadhi
@emmanuelturuka85284 жыл бұрын
👌
@castokasekenya4674 жыл бұрын
Magufuli baba lao
@polycapnyongesa2466 Жыл бұрын
Continue resting in power Magufuli
@selinaabwenje1729 Жыл бұрын
Yyyuh ZZQ
@EnockSimiyu-rk2iq Жыл бұрын
Citizen
@EnockSimiyu-rk2iq Жыл бұрын
Citizen
@samsonhamery3809 Жыл бұрын
Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!