LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

  Рет қаралды 505,250

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

4 жыл бұрын

Rais Dkt. John P. Magufuli arejea Dar Es Salaam baada ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Mhe. Benjamin W. Mkapa; Rais mstaafu wa awamu ya Tatu.
Anahutupia wananchi na kuwasikilia.

Пікірлер: 257
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 жыл бұрын
Style yako ya uongozi John pombe Magufuli nimewahi isoma kwenye biblia kipindi cha sulemani yaan Mungu ametuona
@kaystyle614
@kaystyle614 Жыл бұрын
Notokea Kenya but kwakweli nlikua nampenda Sana magufuli..I miss him, jamaa alikua mtenda kazi na haki kwa wotee..may His soul rest in peace
@petermillanzi960
@petermillanzi960 4 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha marefu na nguvu ya kuendelea kuijenga Tanzania yetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 жыл бұрын
Super Mheshimia Dkt Magufuli unasikiliza kero za Wananchi kwa uamifu na kwa uhaki asante Mungu akulinde akupe Afya katika miaka mingine
@festokibiki8961
@festokibiki8961 4 жыл бұрын
Watanzania tumshukuru mungu kwa hili jembe
@neemantandu5852
@neemantandu5852 4 жыл бұрын
Hongera Rais wetu kwa kutatua migogoro papo kwa papo,mungu aendelee kukutunzs
@florajohn1927
@florajohn1927 4 жыл бұрын
Uko vizuri baba na kwa kutetea wanyonge,nasi tunakuomba uwangazie watu wa mafao ndani ya mfuko wetu wa jamii ppf tunapata shida tunachukua mda na mambo mengi mengi,tusaidie na tulipwe madai yetu.
@bernaddimosso9121
@bernaddimosso9121 4 жыл бұрын
Hongera muheshimiwa kwa ,kaz saf unazozifanya.hakika mungu akulinde na kukuongoza vyema katika kaz zako,
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 жыл бұрын
huyu rais jaman mungu mjalie maisha marefu aish mpaka miaka 200 kwel ni mungu katupa nampenda tangia akiwa wazir wa ardhi
@JustusMwania
@JustusMwania 10 ай бұрын
Born a leader dead a leader RIP mzee .
@brownmwangome7816
@brownmwangome7816 4 жыл бұрын
Raisi Wa wanyonge,nani awezaye haya,isipo JPM apewe kura zote.
@omarumwanjali4614
@omarumwanjali4614 4 жыл бұрын
Hongera Sana Rais, kwa kweli wewe ni kiongozi Na.moja nakupongeza na Kila mmoja ana-appreciate na kazi yako Kila nyanja.
@festokibiki8961
@festokibiki8961 4 жыл бұрын
Huyu sio rais huyu ni mtetezi wa wote
@priscameshack6288
@priscameshack6288 4 жыл бұрын
Natamani uongoze hii nchi milele aiseee Mungu akutunzeee Raisi wangu
@barakafesto3055
@barakafesto3055 4 жыл бұрын
Ahsante sana jembe letu
@hermankinyaiya9256
@hermankinyaiya9256 Жыл бұрын
Jamanii,INANIUMASANA
@johnpeter404
@johnpeter404 8 ай бұрын
Our father is in good hands with god😉😉😉😌😌
@Nikolasmatabaro-fl5ez
@Nikolasmatabaro-fl5ez 6 ай бұрын
bazaar |is ❤.. 😮😮ablm❤ze 2:11 👩‍🔬😅🇺🇬❤
@frankoiputa8181
@frankoiputa8181 8 ай бұрын
The best president Africans have ever had may good God keep his soul in internal 💪🏾♥️
@jafarimkova9173
@jafarimkova9173 4 жыл бұрын
Umetixha we babalao
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 жыл бұрын
Hivi huyu raisi kazaliwa na mwanamke au kashushwa kutoka minguni ? Maana yupo tofauti na hawa binaadam wengine kama wanyama .
@fatmas7338
@fatmas7338 4 жыл бұрын
Ziada fanya kustaghafiru kwanza unakosea ukisema hivyo
@mkemiamagege8477
@mkemiamagege8477 4 жыл бұрын
Mhe. Rais anavyojieleza kwa data ni zaidi ya Mtafutakazi na anastaili kupewa kazi. Gonga like.
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 4 жыл бұрын
mimi hapa nampenda sana jpm He is so genius
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 жыл бұрын
ila rais wangu me nakupenda mno ungepumzika kwanza baba maana tangia msiba umeenza hujapumzika baba pata muda wa kupumzika baba wa wanyonge
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
Ukweli mtupu.. 🇹🇿
@nemuelombasa8810
@nemuelombasa8810 4 жыл бұрын
Rais maghufuli, unastaili uje hapa kwetu kenya unyoroshe wabunge wetu.
@mohamedkikale7241
@mohamedkikale7241 4 жыл бұрын
Dah jpm Allah aendelee kukupa afya na khekma katika utendaji wako
@kelvinmwambandile2783
@kelvinmwambandile2783 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akutunze Mh raisi
@sameermilo2492
@sameermilo2492 4 жыл бұрын
Safi Sana Raisi 💯💪🏼 Tuko pamoja
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 7 ай бұрын
Hongera mama Samia, rais wetu mpendwa kumrudisha Komorefi Makonda kwenye uringo.
@faustinemavere1450
@faustinemavere1450 4 жыл бұрын
Mweeee yale mengine yatakuwa yametoa macho kodo wakimwangalia mwamme akiunguruma na wananchi wake kwa upendo magu Mungu akulinde kila utokako na uingiapo baba damu ya Yesu ikufunike pole na msiba pia pole na safari ndefu
@rasnews1703
@rasnews1703 4 жыл бұрын
I am a kenyan and I love magufuli and his leadership
@ommyakili552
@ommyakili552 4 жыл бұрын
😭😭😭 Kuna viongozi hapa Tz mafala hasa wabunge na madiwani mafala sana yani wanapewa mamlaka lakini wanalala hovyo tu
@isaacnyongeza167
@isaacnyongeza167 Жыл бұрын
Your the only president in Africa who cares common mwanainchi.. Rest in peace John Pombe Magufuli.... Tanzania mlipoteza sana...sisi hapa Kenya tulimaliza kura but hakuna maendeleo tumeeka mbele masuala ya vyeo sasa hivi tunashughulikia kutoa term limit ya president
@stanleymsenga9118
@stanleymsenga9118 4 жыл бұрын
Hongera sana mh rais kwa juhudi zako mungu akutunze
@maikopaulmaiko1900
@maikopaulmaiko1900 4 жыл бұрын
Malaika anamwambia mh kua huyu Mama hadanganyi😁😁😁kwl huyu n malaika anaeishi dunian Kwa kuonekana
@annakulanga5415
@annakulanga5415 4 жыл бұрын
Maikopaul Maiko😂😂😂😂😂😂😂😂😲😂😚😂😂🤭🤭🤭
@ramadhanihussein3918
@ramadhanihussein3918 4 жыл бұрын
Ahsante sana mzee baba
@jacobphilemon6394
@jacobphilemon6394 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kwa kutetea wanyonge
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
Am frm kampala watching these videos
@dullyyesu9036
@dullyyesu9036 4 жыл бұрын
rais ananifrahisha pale anapo sema pesa kama imeliwa kuna kakicheko fran hiv kicheko cha tahazari
@RioIpo
@RioIpo 4 жыл бұрын
Ihiiiiii
@fedelinamahenge6649
@fedelinamahenge6649 4 жыл бұрын
pole baba yangu mwenye hekima ya sulemani mungu akulinde rais
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
If Africa had leaders like the late j p m we would have been in the first world countries rip jpm
@dennisjuma3940
@dennisjuma3940 Жыл бұрын
Am also akenyan but I was alover of magufuli ,we cant get like this ,rip magufuli
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 жыл бұрын
JPM rais wa watu na watanzania
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Kweli kabisa huyu ndo tumtakayo
@nurusimbeye562
@nurusimbeye562 4 жыл бұрын
Abarikiwe mwnanamke aliyekuzaa
@maryoswad7022
@maryoswad7022 4 жыл бұрын
Hmmmm barikiwa sanaaaaa
@zakkaumeme9829
@zakkaumeme9829 4 жыл бұрын
magufuli we noma walah
@hamidjuma6109
@hamidjuma6109 4 жыл бұрын
Huyu rais ningekua nauwezo ningempa hata mkono kwajinsi ninavompenda
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 8 ай бұрын
Rais wa moyo wangu,kama kuna aliyehusika na kifo chako! Laana iwe juu yake na vizazi vyake vyote,pumzika kwa amani,Ameni.
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 7 ай бұрын
Sana mungu atalipa
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud rais wangu jpm. We we rais Wa wanyonge
@niokoemahenge4312
@niokoemahenge4312 4 жыл бұрын
Magu uiongoze Tanzania kwa miaka ishirini nasio kumi tena
@ommyakili552
@ommyakili552 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 dah Huyu Raisi hapana mm ningependa aongoze miaka mpaka Allah amchukue lazima ujichanganye
@selemaniathumani9855
@selemaniathumani9855 Жыл бұрын
Mungu akuweke mahali pema pepon amen
@DamianNdege-gh3tj
@DamianNdege-gh3tj 8 ай бұрын
Mungu akupumzishe mahari pema peponi
@evelyinipaja1202
@evelyinipaja1202 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ,mambo ya ardhi kuna uonevu sana.
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 жыл бұрын
Hapo tu ndio unapokua rais wa miaka 20 yaan unajua kuwasaidia wanyonge president JPM
@ZediKangulumira-pk2uu
@ZediKangulumira-pk2uu Жыл бұрын
We will miss a straight forward prezido who used to work for the tanzanian not his self
@gracebruno2644
@gracebruno2644 4 жыл бұрын
Nakupenda mnoo baba wa haki
@maikopaulmaiko1900
@maikopaulmaiko1900 4 жыл бұрын
Ila wasaidiz wa mh wanaonekana wamechokaaa
@raphaellyela2910
@raphaellyela2910 4 жыл бұрын
AGAIN AND AGAIN, A MAN OF SEASON A PRESIDENT OF TIME
@hermankinyaiya9256
@hermankinyaiya9256 Жыл бұрын
Yaaah
@peternjoroge9209
@peternjoroge9209 7 ай бұрын
Pombe is the best president in the world.
@eliudkimari-wt5cl
@eliudkimari-wt5cl 7 ай бұрын
I lyk how prez magfuri how he was doing his things in kiswahili kasoma jambo kwa umakini kwa uadilifu na undani na kumweka Mungu mbele kati na mwisho
@fredkyara3278
@fredkyara3278 4 жыл бұрын
Hapanaaa. Huyu ni Mfalme. Wa Jamhur ya Muungano wa Tanzania. Jaman wa Tanzania. Tumpeni Mfalme. John. Josef. Pombe. Magufuli nchi. Kama Jamhur ya watu wa China. Magufuli ni chaguo la Mungu. Ni msaada wa nchi ya Tanzania. Na bars nzima la Afrika na Dunia nzima. Magufuli. Big up. Sana Rais wangu. Kipenzi. Mwenyezi Mungu. Akujalie Maisha marefu. Na Afyanjema. Na Familia yako.
@user-sp4jr4vw6t
@user-sp4jr4vw6t 2 ай бұрын
Mungu wetu tunakuomba pitisha moto wako kwa wale wote waliohusika na kumuondoa huyu kiongozi wetu alietupenda.
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 4 жыл бұрын
Reaching to the poor good. God bless you.
@christophermganga5216
@christophermganga5216 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu atakulinda popote utakapo kwenda wewe ni kiongozi wa wawanyonge utashinda ushindi mkubwa sana
@johnsentamu4353
@johnsentamu4353 8 ай бұрын
NO WHERE TO GO AND NO WHERE TO HID. (TIME ) MATH and l0ve.
@natashamwikali3413
@natashamwikali3413 Жыл бұрын
Continue resting well Rais magufuli
@KabazoMumba
@KabazoMumba 8 ай бұрын
Magufuli was a great leader for the people of Tanzanian majority and All intaia continatal may he also ready in peace
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 жыл бұрын
Duh huyu rais mbinguni moja kwa moja
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 4 жыл бұрын
Magufuli ana kazi
@joearm5551
@joearm5551 4 жыл бұрын
Kweli kabisaa sina hamu huu ni wito kama huna huwezi!
@joharikhatibu27
@joharikhatibu27 Жыл бұрын
Thanks God for Magufuli time.R.I.P MAGU always I remember you
@josephmbugua2580
@josephmbugua2580 Жыл бұрын
We lost great leader😭😭😭😭
@emmanuelturuka8528
@emmanuelturuka8528 4 жыл бұрын
Maendeleo yanahitaji kujipanga vizuri na kupunguza kubembelezana Hongera JPM kwa kujitaidi kumaliza baadhi ya matatizo papo kwa papo 👍
@emmanuelmashishanga5057
@emmanuelmashishanga5057 Жыл бұрын
Pumzika Kwa amani mzee magufuli hakika ulipigana sana.......
@mkemiamagege8477
@mkemiamagege8477 4 жыл бұрын
Wewe DC acha kuongea sana wakati Mhe Rais anaongea na wewe unaongea ongea tu.
@raymondmsuya7127
@raymondmsuya7127 4 жыл бұрын
Huyo DC Ni mtu mmoja makini Sana na mfuatiliaji sema tu mkuranga majanga mengi Sana kule na rais anatambua Hilo
@athumanidona4944
@athumanidona4944 Жыл бұрын
Mungu akulaze pema pepon,Ila speech yako hii imeniingia moyoni.Mimi binadamu tu
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 7 ай бұрын
Your man power are coming back. R.I.P
@sweetbertmalimi1567
@sweetbertmalimi1567 4 жыл бұрын
MZEE JPM NI MTU WA WATU..
@amosidaniel1830
@amosidaniel1830 Жыл бұрын
Pumzika Kwa Mani baba yetu magufuli
@JumanneSalisali
@JumanneSalisali 9 ай бұрын
Huyu ndo rais
@Vincentsyona-bj6qj
@Vincentsyona-bj6qj 5 ай бұрын
True & real thinker Magufuri RIP MJOMBA MAGUFURI..
@karimmveyange280
@karimmveyange280 Жыл бұрын
Tutakukumbuka sana,saa hii ni wananchi wanakaliwa na viongozi kichwani-HAKUNA HAKI
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 4 жыл бұрын
God is able ..grow Tanzania.
@yassinmmone6806
@yassinmmone6806 Жыл бұрын
A
@benjaminonpiano304
@benjaminonpiano304 4 жыл бұрын
Amina
@Dennis-qg3qr
@Dennis-qg3qr Жыл бұрын
Alikuwa kiboko yao Hayati JPM
@ziadasalim1459
@ziadasalim1459 4 жыл бұрын
Mh raisi ebu nenda kapunzike kidogo hata ulale jamani wiki nzima umeshughulika na msiba una usingizi umechoka ebu nenda kapetiwe na mamaaa
@ommyakili552
@ommyakili552 4 жыл бұрын
Ile ipo haiondoki ataikuta tu😂😂😂😂😂😂😂 tamu ile yake bhana
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 7 ай бұрын
Mungu akulaze mahala pema. Uliyafanya makubwa.
@saidaamir4462
@saidaamir4462 Жыл бұрын
Mungu akupumzishe Kwa aman,baba,,ulikuwa mzalendo hass
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 4 жыл бұрын
Good job.
@gbbuku4714
@gbbuku4714 4 жыл бұрын
ninachokiona magufuli ni mwanaume mmoja tanzania ambae hata usiposaidia kupiga kampeni mwanaume anamaliza peke yake
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
R.I.P Mr president .We miss u
@odaxkasita8264
@odaxkasita8264 4 жыл бұрын
president of the all time...!! katiba hakika ni lazima ibadilishe utawale milele, Mwenye kupinga afanye kama anajikuna hivi..
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 7 ай бұрын
Aksante baba, RIP
@allyhamisi2639
@allyhamisi2639 Жыл бұрын
Huyu ndio rais Allah amuhifadhi
@emmanuelturuka8528
@emmanuelturuka8528 4 жыл бұрын
👌
@castokasekenya467
@castokasekenya467 4 жыл бұрын
Magufuli baba lao
@polycapnyongesa2466
@polycapnyongesa2466 Жыл бұрын
Continue resting in power Magufuli
@selinaabwenje1729
@selinaabwenje1729 Жыл бұрын
Yyyuh ZZQ
@EnockSimiyu-rk2iq
@EnockSimiyu-rk2iq Жыл бұрын
Citizen
@EnockSimiyu-rk2iq
@EnockSimiyu-rk2iq Жыл бұрын
Citizen
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 Жыл бұрын
Tume ikosa sana sauti yako Baba.Baba lala kwa buriani. Bado kivuli chako hadi sasa kitawatesa sana Mbowe na Rissu usiku wakiilala wanaweweseka vitandani mwao na kupiga mayowe.!!!!!!
@samsonmakombe9636
@samsonmakombe9636 7 ай бұрын
Sawa kabisa.
@ZawadiSamy
@ZawadiSamy 4 ай бұрын
Roho yako ipumzike katika amani
@abangaabanga4677
@abangaabanga4677 Жыл бұрын
This was a real leader MYSRIP sir 🫡❤️🙏🏿
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 4 жыл бұрын
Mr. President chapa kazi...
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 4 жыл бұрын
Wangapi wamesikia rais anaulizwa umenielewa vizuri nae kasema naelewa nipe comment
@J4UPro
@J4UPro 4 жыл бұрын
Hahahahaha
@raymondmsuya7127
@raymondmsuya7127 4 жыл бұрын
😂😂😂 hao ndio wazaramu wa mkuranga
@ibel4lf
@ibel4lf 3 жыл бұрын
Nimecheka sana wazaramo hawa 🤣🤣🤣
@OnesmoKapinga-yi3lv
@OnesmoKapinga-yi3lv 10 ай бұрын
Wana jua wao
@castrodaniel1412
@castrodaniel1412 4 жыл бұрын
Sasa si wamekusaidia mama na ww wangekubaka 😂😂😂
@janiterndalila2375
@janiterndalila2375 4 жыл бұрын
Et akajibu eee baba😄😄😃😃
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
RAIS DKT. SAMIA AKIWAAPISHA VIONGOZI WATEULE IKULU DAR ES SALAAM
59:08
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 151 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 79 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 105 МЛН
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 22 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
BREAKING: JPM Awasweka Wenyeviti Ndani Hadharani!
17:33
Global TV Online
Рет қаралды 108 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 151 МЛН