Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji azungumza na Abdushakur Aboud

  Рет қаралды 26,571

VOA Swahili

VOA Swahili

7 жыл бұрын

Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji akiwa katika ziara ya kikazi Marekani alitembelea Sauti ya Amerika na kuzungumza na Abdushakur Aboud juu ya mazungumzo take na wake wa Marekani.
Originally published at - www.voaswahili.com/a/3512467.html

Пікірлер: 32
@guebene
@guebene 6 жыл бұрын
My president speaking in Kiswahili! i loved to hear.
@dennismukoyatv
@dennismukoyatv 4 жыл бұрын
Interresante que Presidente de Moçambique fala lingua Swahili muito fluente...
@sasyasalum4036
@sasyasalum4036 3 жыл бұрын
Hongera raisi wa ndugu zetu wa msumbiji hakika ww ni mswahili tosha bila tone la shaka
@nixonmakyao4881
@nixonmakyao4881 6 жыл бұрын
anaongea kiswahili kizuri sana good
@gabrielmashauri8236
@gabrielmashauri8236 6 жыл бұрын
Mh.Rais tunafurahia kiswahili chako
@dennismukoyatv
@dennismukoyatv 4 жыл бұрын
Yapendeza kumsikia kiongozi wa nchi ya Msumbiji akikiongea Kiswahili kwa uweledi na ufasaha wa hali ya juu. Hili ni jambo la kutia moyo na litarahisisha uhusiano Kati ya nchi za Afrika ya Mashariki na Msumbiji.
@profkrayshelu5379
@profkrayshelu5379 5 жыл бұрын
Kiswahili kinakua kwa kasi sana. Mheshimiwa Raisi anaongea Kiswahili kizuri sana.
@allystanlee7144
@allystanlee7144 5 жыл бұрын
prof krayshelu amekualia mtwara amesomwa mtwara atashindwa kuongea kiswahili
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Huyu atakuwa mnyakyusa 😄😄😄
@munyororo
@munyororo 3 жыл бұрын
Huyu ni mswahili aliyedimu katika lugha ya Kiswahili. Hongera Raisi...!
@ibrahimkassim1664
@ibrahimkassim1664 5 жыл бұрын
Huyu nyusi kasoma Sana Tanzania Ndo maana kiswahili chake kizuri ni mmakonde wa kabrigado
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 5 жыл бұрын
Hawana shukrani miaka miiiingi wameishi Tanzania toka enzi z ukoloni wa Portugal hata chama chao Frelimo walisaidiwa saaana n serekali ya Tanzania
@fadhilisilwimba523
@fadhilisilwimba523 6 жыл бұрын
saf sana kiswahili kizur
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 жыл бұрын
Aise kiswahili ni lugha kubwa sana
@mishaelmgendi8274
@mishaelmgendi8274 5 жыл бұрын
Abdushakur nimefurahi kukuona kwa mara ya kwanza, maana nimekuwa shabiki wako wa kipindi cha maswali na majibu kwa muda mrefu sasa.
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 жыл бұрын
kasoma ndada boys
@hemedmasoud9306
@hemedmasoud9306 4 жыл бұрын
Nimefurai San kumuona Abdushakulu Abud kwamala ya kwanza.ila uyu raisi nchi yke wapo wanajihad cabodelgado
@mrcapybara3579
@mrcapybara3579 2 жыл бұрын
Kiswahili chake ni kizuri kuliko ya wakenya. No offense 😄😉
@anthonyndungu5431
@anthonyndungu5431 2 жыл бұрын
None taken we have various variants of languages the Swahili spoken in lamu island in Kenya is different from that in mombasa or even in eastern congo.if you go to south America the Spanish spoken between the latin countries is different,just as it is different from what is spoken in spain.the English language spoken in West Africa is different from what is spoken in east Africa or in South Africa due to dialects and adapting the language to fit the local customs of the speakers Great Britain the English spoken in London is different from what is spoken in Manchester, Liverpool or even in Scotland due to the different dialects.
@lemumsesa5039
@lemumsesa5039 5 жыл бұрын
uyo mbongo
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 жыл бұрын
kweli jamaa anabusara ataitoa nchi yake kwenye vita za kijinga
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Nikweli kabisa maan huku kujazan jazan ktk nch za watu bila vibali napo mtihani
@mosessiame924
@mosessiame924 11 ай бұрын
Ukovizuri muheshiwa
@uledimtumwa3045
@uledimtumwa3045 6 жыл бұрын
Huyu rais inawezekana ni mtanzania kanisa. Anaongea kiswahili fasaha Sana.
@allystanlee7144
@allystanlee7144 5 жыл бұрын
Uledi Mtumwa si inawezekana kasoma bongo mtwara
@fransiscomyoka4022
@fransiscomyoka4022 6 жыл бұрын
kiswahili kizuri anaoongea
@allystanlee7144
@allystanlee7144 5 жыл бұрын
Fransisco Myoka amesoma Tanzania atashindwa kuongea kiswahili
@tundulimungameti2165
@tundulimungameti2165 3 жыл бұрын
Kiswahili kizuri sana
@mauridejuma9997
@mauridejuma9997 Жыл бұрын
Anazingua uyu jamaa
@Mfh650
@Mfh650 4 жыл бұрын
Pongezi rais kwa kuongea kiswahili sanifu na yenye ufasaha na nasaha ya busara.
@anthonyndungu5431
@anthonyndungu5431 2 жыл бұрын
Pia raisi wa Malawi Lazarus chakwera alipoalikwa kama mgeni wa heshima katika sherehe za mashujaa nchini Kenya alitoa hotuba yake kwa lugha ya kiswahili.kiswahili ni lugha yatushikanisha afrika mashariki na kati.
Mawaziri waliotemwa na Rais Ruto
2:46
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 55 М.
EXCLUSIVE: Mahojiano na Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
4:59
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 23 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 39 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 17 МЛН
Wamakonde kususia uchaguzi wa Msumbiji
2:51
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,7 М.
Maandalizi ya Uchaguzi
2:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,7 М.
ANGRY GEN Z SENDS A STERN WARNING TO RAILA ODINGA AND WILLIAM RUTO
8:46
TAZAMA RAIS WA MSUMBIJI AKIPIGA KISWAHILI FASAHA MBELE YA RAIS SAMIA
3:56
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,4 М.
KIJIWENI: The Plight of Swahilis of Northern Mozambique
48:18
Gumzo la Ghassani
Рет қаралды 1,3 М.
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 23 МЛН