Рет қаралды 11,863
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi ni mmoja wa viongozi waliozungumza kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na baada ya hapo tulimtafuta na kuzungumza nae kwa kina baadhi ya mambo yanayohusu siasa, uongozi na usalama.
Tazama mahojiano haya maalum.