RAIS Ibrahim Traore NOMA Akacha Gari la kifahari atembea kwa miguu, Wananchi wapagawa kwa furaha.

  Рет қаралды 51,483

SAUT DIGITAL

SAUT DIGITAL

23 күн бұрын

#SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim

Пікірлер: 86
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 22 күн бұрын
Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 21 күн бұрын
Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 21 күн бұрын
Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 17 күн бұрын
Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk
@MatanoTendegwa
@MatanoTendegwa 12 күн бұрын
Ingekua anapigika fotokopi tungempiga moja kwa ajili ya apa kwetu kenya mungu amlinde inshallah
@rashadally6871
@rashadally6871 22 күн бұрын
Mungu amlinde huyu mwamba
@EmmanuelGabriel-zm6nv
@EmmanuelGabriel-zm6nv 17 күн бұрын
Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore
@mugambifredrick-r9s
@mugambifredrick-r9s 13 күн бұрын
Ata huku kwetu Kenya 🇰🇪 tulikuwa na rais mmoja tu; Emilio Mwai Kibaki. Mungu ailaze roho yake pema peponi.🙏
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 21 күн бұрын
Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi
@issamushi6389
@issamushi6389 17 күн бұрын
May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
@aloycesamba998
@aloycesamba998 20 күн бұрын
Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana
@simontamba1285
@simontamba1285 19 күн бұрын
Ibrahim Traoreeeeee Ubarikiweeee bababbaa
@lucasbatano333
@lucasbatano333 21 күн бұрын
Rais wa afrika
@shabanbisaki
@shabanbisaki 20 күн бұрын
Namukubali sana
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 22 күн бұрын
Huyu mwamba ni kiongozi hasa
@issamushi6389
@issamushi6389 17 күн бұрын
Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza
@issamushi6389
@issamushi6389 17 күн бұрын
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 20 күн бұрын
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff 19 күн бұрын
Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂
@simontamba1285
@simontamba1285 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@gauchogaucho7583
@gauchogaucho7583 22 күн бұрын
Hiii chanelii safii sanaa
@EmanuelNicholaus-of1qg
@EmanuelNicholaus-of1qg 14 күн бұрын
I see Magufuli spirit in this President
@user-og9jt3mg4c
@user-og9jt3mg4c 18 күн бұрын
Nampenda sana huyu Raisi Traole
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 21 күн бұрын
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 21 күн бұрын
Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi
@ameabdalla4697
@ameabdalla4697 14 күн бұрын
Masha allah
@user-ip4zo1mr9z
@user-ip4zo1mr9z 13 күн бұрын
🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉I like this
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij 18 күн бұрын
🎉🎉🎉mungo ❤❤❤inusuru 🎉🎉🎉 África kupitiya viyongzi hawaaa.
@MasanjaLucas-jf9cg
@MasanjaLucas-jf9cg 18 күн бұрын
Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 20 күн бұрын
Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea
@suddytele3692
@suddytele3692 5 күн бұрын
Magufuli freva
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 17 күн бұрын
Yani mpaka laha
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 20 күн бұрын
Mwamba huyo hapo
@seifusengondo9170
@seifusengondo9170 17 күн бұрын
viva afrika
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 21 күн бұрын
Huyu sasa ndo Mwamba
@dismassmaranga8903
@dismassmaranga8903 13 күн бұрын
I salute him from Kenya bravo
@newbornhaule
@newbornhaule 12 күн бұрын
Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana
@AlexNikola-ky2dm
@AlexNikola-ky2dm 16 күн бұрын
Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo
@mamohamed1252
@mamohamed1252 15 күн бұрын
Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida
@basilsimon676
@basilsimon676 11 күн бұрын
Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri
@gonanzaro5580
@gonanzaro5580 22 күн бұрын
Ruto must go
@user-fs3uy2tl6h
@user-fs3uy2tl6h 15 күн бұрын
Shenzi sanaa . He is going no where
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 17 күн бұрын
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
@issamushi6389
@issamushi6389 17 күн бұрын
Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 15 күн бұрын
Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 9 күн бұрын
JPM wetu na alikuwa kama huyu mwamba
@samiramawby1257
@samiramawby1257 19 күн бұрын
What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world
@simontamba1285
@simontamba1285 19 күн бұрын
Fact said madam respect to you Us is shetawn
@user-rc6tc6dp5x
@user-rc6tc6dp5x 18 күн бұрын
You want him to be poisoned through handshek !!??
@josepheriah5977
@josepheriah5977 21 күн бұрын
Chiz
@maase2023
@maase2023 21 күн бұрын
Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 21 күн бұрын
Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 21 күн бұрын
Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono
@maase2023
@maase2023 21 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
@maase2023
@maase2023 21 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote
@nizarrama225
@nizarrama225 21 күн бұрын
umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja
@richardrenatus9582
@richardrenatus9582 13 күн бұрын
SASA ZAMU YA TUNDU LISSU, 2025 UNDER CHADEMA
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 83 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 199 МЛН
Namna Moto Mkubwa uliowaka Marekani Unavyoleta taharuki
1:28
SAUT DIGITAL
Рет қаралды 825
Ip Man 3 | Rescue Scene
9:46
Cinewatch
Рет қаралды 2,2 МЛН
RAIS WA BURKINA FASO TRAORE AFUASTA NYAYO ZA MAGUFULI | MAPAMBANO YAKE
6:35
Dad's disbelief turns to pride as daughter scores as a boy #shorts
0:32
Fabiosa Animated
Рет қаралды 1,1 МЛН
WHY IS THIS SO FUNNY😂
0:15
Noogi
Рет қаралды 2,2 МЛН
😱ОН ПЕРЕГОНИТ MrBEAST по ПОДПИСЧИКАМ😈 #футбол #ronaldo #football #роналду #cr7
0:46
Три футболиста попали за решетку 😓
0:45
КИК Шорт!
Рет қаралды 687 М.
Jump Round kick 🥋 #taekwondo #wushu #karate
0:13
Farakicks
Рет қаралды 3,7 МЛН