#SAUTDIGITAL l #HABARI l #RadioSAUTFm l #sautdigitalupdates#ibrahim
Пікірлер: 86
@samwelshepa844322 күн бұрын
Kwa kweli Hawa wamepata Thomas Sankara! MUNGU ajalie nasi Tukipata Magufuli mwingine na sisi tutang'ara kama wao!
@abubakarimussa913121 күн бұрын
Magufuri nipigo kubwa sana kwetu Mimi kwasasa hakuna ninae muamini
@user-fl3fb5gh6b21 күн бұрын
Tulikuwa na moja tu Tanzania,Dr john magufuli
@leahmgunda415417 күн бұрын
Huyu ni zaidi ya Magufuli.Hataki magari ya Kalahari, anasisitiza upatikanaji chakula kwa kuwawezesha wananchi nk
@MatanoTendegwa12 күн бұрын
Ingekua anapigika fotokopi tungempiga moja kwa ajili ya apa kwetu kenya mungu amlinde inshallah
@rashadally687122 күн бұрын
Mungu amlinde huyu mwamba
@EmmanuelGabriel-zm6nv17 күн бұрын
Africa inahitaji viongozi aina ya Ibrahim traore
@mugambifredrick-r9s13 күн бұрын
Ata huku kwetu Kenya 🇰🇪 tulikuwa na rais mmoja tu; Emilio Mwai Kibaki. Mungu ailaze roho yake pema peponi.🙏
@user-bx3kl4hn6j21 күн бұрын
Baada ya Gaddafi Africa ndio kapatikana uyu mwamba hapa anamambo mengi
@issamushi638917 күн бұрын
May God bless him,am Writing in english this to show the these evils of western country that we bless Ibrahim because we want Africa to be free and they have to leave us and our resorces,enough is enough
@aloycesamba99820 күн бұрын
Huyu mwamba Mimi huwa namwelewa sana
@simontamba128519 күн бұрын
Ibrahim Traoreeeeee Ubarikiweeee bababbaa
@lucasbatano33321 күн бұрын
Rais wa afrika
@shabanbisaki20 күн бұрын
Namukubali sana
@aboudasilver654122 күн бұрын
Huyu mwamba ni kiongozi hasa
@issamushi638917 күн бұрын
Ingekuwa bongo hyu cjui kma angweza
@issamushi638917 күн бұрын
Amewekeza dola milioni 8 kwenye kilomètres sisi dola millions 20 naa,kwenye vx na hku watu maji umeme shida,anachukua asilimia 30 kutoka kwenye uwekezaji wa dhahabu sisi ni asilimia 16 zisizojulikana zinafnya nn maana dawa shida maji sida umeme shida kila kitu shida😢
@damaspmtz101820 күн бұрын
Mwamba wa tunakukubari sisi waafrika ambao tunaona nchi zetu zilivyo na unyanyasaji wa rasilimari zetu za Kitaifa ambanzo Mwenyezi Mungu wew JPM. Nakuombea Brother Ibrahim Thraole utupe nafasi sisi vijana wa Afrika tufike uko kwako
@DansonMtambi-fq2ff19 күн бұрын
Huku kwetu tuna mama anaoupiga mwingi😂😂😂😂😂
@simontamba128519 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@gauchogaucho758322 күн бұрын
Hiii chanelii safii sanaa
@EmanuelNicholaus-of1qg14 күн бұрын
I see Magufuli spirit in this President
@user-og9jt3mg4c18 күн бұрын
Nampenda sana huyu Raisi Traole
@Shehasweet-hy6xn21 күн бұрын
Rais anaependwa na watu kwa mioyo yaooo..kama alivyopendwa Magufuri na wanainchi....sio Rais anaefatwa na watu kwa upambeee kama huyu tulienae sasa....hatuna hamuuu kabisaaa
@abubakarimussa913121 күн бұрын
Weacha tu tunaumia ila sasa wapi tutasemeea tuvumilie tu ila tumemchoka wengi
Watu weusi wanakoswa tu kiongozi mwenye kuwa upande wao,,lkn wapo tayar kutawaliwa na mtu mzalendo 1 tu Africa
@salehkhalfan734520 күн бұрын
Kwa mbaali nimeona na Bendera ya Urusi ikipepea
@suddytele36925 күн бұрын
Magufuli freva
@davidmalogo710017 күн бұрын
Yani mpaka laha
@athumaniamani990520 күн бұрын
Mwamba huyo hapo
@seifusengondo917017 күн бұрын
viva afrika
@lucasngalawa882621 күн бұрын
Huyu sasa ndo Mwamba
@dismassmaranga890313 күн бұрын
I salute him from Kenya bravo
@newbornhaule12 күн бұрын
Hakika magari mazuri Ac,mziki mzuri viyoyozi lakini RAIA hawana huduma nzuri za afya ,chakula na nk inaleta Raha gani? Kizazi cha Afrika kinaanza kuuona sasa uzalendo tuliosimuliwa na kuuona kwa uchache sana
@AlexNikola-ky2dm16 күн бұрын
Wewe rais na kukubari sana endelea na mwendo huohuo
@mamohamed125215 күн бұрын
Samahani jitahidi matamshi sahihi na majina. Kwa kweli unashida
@basilsimon67611 күн бұрын
Tatizo bongo tunayumba sana Mangu alivoanza tukarefusha midomo na alisema tutamkumbuka ngoja kwanza akili itusogee vizuri ndo tuwe na heshima apa mji bado hatujasema vizuri
@gonanzaro558022 күн бұрын
Ruto must go
@user-fs3uy2tl6h15 күн бұрын
Shenzi sanaa . He is going no where
@davidmalogo710017 күн бұрын
Yani nikiskia au kumwona iblahim taole nikama namuona jpm mana nasisi watanganyika tulitamba sana tulijiona tuna laisi gaflatu jamaa wakafanya Yao tukaingia au tukaludi msoga , Leo nizam ya BURKINAFASO nao wamepata jpm wao naomba mungu alinde huyu jpm wabukinafaso ipo siku ataludi wakwetu
@issamushi638917 күн бұрын
Wee Acha tu mungu amlaze pema leo tunachukua asilimia 16 kwenye dhahabu Ibrahim wa juzi t anachukua asilimia 30,sijui ss mwisho wetu nn
@NicoleMakaveli-wr6mm15 күн бұрын
Raisi akitembea kwa mguu ni inakuwa ni tarifa??
@pacomezouzoua91759 күн бұрын
JPM wetu na alikuwa kama huyu mwamba
@samiramawby125719 күн бұрын
What i like about Traore he is so BISHOO,,he cant shake hands he only give 5,,,No corona hahahaa young presidents suits the world
@simontamba128519 күн бұрын
Fact said madam respect to you Us is shetawn
@user-rc6tc6dp5x18 күн бұрын
You want him to be poisoned through handshek !!??
@josepheriah597721 күн бұрын
Chiz
@maase202321 күн бұрын
Utawala wa mabavu umepitwa na wakati na hautakiwi hivo lazima aondolewe traore na nchi ufanyike uchaguzi mpya wa kihalali
@abubakarimussa913121 күн бұрын
Tulia huwenda wewe ni ccm maana ndio mawazoyenu mgando
@abubakarimussa913121 күн бұрын
Uliwahi kuona wanannchi wakiandamana kiongozi abaki madarakani ama unaropoka jifunze siasa wala ajalazimisha kubaki wanannchi wote hawataki aondoke hata ingelikua ni tz yangu Mimi ngemuunga mkono
@maase202321 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 ufanye maandamano burkina faso hujui kufa nn? Yule ni muuaji ww sio kama ruto msomi na mpole wa tabia! Traore anatembea na bastola 4 sasa ww huoni kama ni muuaji huyo
@maase202321 күн бұрын
@@abubakarimussa9131 huyu traore hamna kitu ataondolewa muda wowote
@nizarrama22521 күн бұрын
umekula kande uende ukanye sasa huna akili hata moja