Rais Ruto aagiza makundi mbalimbali kuteua wawakilishi kwenye mazungumzo ya kitaifa

  Рет қаралды 111,265

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Ofisi ya rais imeanzisha mpango wa kuhusisha vijana katika mazungumzo siku mbili baada ya Rais William Ruto kukataa kutia saini mswada wa fedha wa mwaka 2024 kuwa sheria. Barua kutoka kwa mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei imewataka washikadau kutoka sekta mbalimbali kuwasilisha majina ya wawakilishi katika kamati itakayobuniwa ya kutatua maswala yaliyoibuliwa na vijana wakati wa maandamano ya kupinga mswada huo. Na kama vile Emily Chebet anavyoarifu, Rais William Ruto aliendeleza mikutano yake na viongozi wa kidini katika ikulu ya Nairobi, leo akikutana na maaskofu kutoka kanisa la (AIPCA).

Пікірлер: 957
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
GenZ hawana waakilishi,unataka waakilishi ili uwahonge no way just speak na sisi tutakujibu kwa social media .tumesema hatukutaki sasa ,kazi yako kuharibu nchi kuhonga wabunge kupitisha hoja zako kwanini .
@63hdhdbilwo
@63hdhdbilwo 3 ай бұрын
Kabisaaaa hakuna leader,they will be bought up asap
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 3 ай бұрын
There must be leaders ngoja utaona ni nyinyi ni wachache hawakupata kakitu
@davisbett
@davisbett 3 ай бұрын
True hao pia wataturuka atutaki viongozi ,kiongozi ni kila mtu
@chegepatrick2730
@chegepatrick2730 3 ай бұрын
Amewashika mateka
@shabankolia8204
@shabankolia8204 3 ай бұрын
Hatuna haja na kuongea na wewe sai is too late pls Mr zakayo ok
@lakeinrocks
@lakeinrocks 3 ай бұрын
WE WILL STOP GOING TO CHURCH. WE CAN PRAY FOR OURSELVES
@Triplem233
@Triplem233 3 ай бұрын
Religions were created to control masses.
@petronillahosoro4828
@petronillahosoro4828 3 ай бұрын
This are hypocrites be warned
@ViceAdmiralVasilyArkhipov
@ViceAdmiralVasilyArkhipov 3 ай бұрын
Yesss
@Mohalira
@Mohalira 3 ай бұрын
Mnataka wawakilishi ndio muwateke nyara...na wenye mlichukua si mrudishe...shame on this government. Too bad wallah.
@nerryakanda3733
@nerryakanda3733 3 ай бұрын
Nonsense, too late . Let the compromised church meet him. He has no moral authority to continue leading having killed children. His voice nauseates.
@isaiahmuyekho6703
@isaiahmuyekho6703 3 ай бұрын
Can you lead
@ugenyapasi
@ugenyapasi 3 ай бұрын
@@isaiahmuyekho6703keep quiet nonsense!!you sound stupid and dumb in one sentence
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
​@@isaiahmuyekho6703 you can you lead 🚮
@moscowjumah2089
@moscowjumah2089 3 ай бұрын
We don't trust pastors coz the hypocrisy in them its alarming
@whitneyngati4750
@whitneyngati4750 3 ай бұрын
After death fear pastors.
@Patoh254Somie
@Patoh254Somie 3 ай бұрын
​@@whitneyngati4750 pastors there work is to maintain peace to both parties wenye walichoma ni criminals I agree sisi tuliandamana peacefully
@SupremeKimani
@SupremeKimani 3 ай бұрын
Pastor nganga ako na sisi kwani umesahau
@dreadlocks_sisterlocksbahrain
@dreadlocks_sisterlocksbahrain 3 ай бұрын
😢sio baba wetu we don't trust church chat hypocrisy and betrayal 😮😮 narcissistic behaviour
@DorothyRobert-n3f
@DorothyRobert-n3f 3 ай бұрын
Pastors wako side ya Ruto juu wanapewa vibahasha every sunday
@Onguti
@Onguti 3 ай бұрын
We are tribeless We are partyless We are leaderless 🇰🇪🇰🇪❤🇰🇪🇰🇪
@miltonmawewe5248
@miltonmawewe5248 3 ай бұрын
Simple📌
@erickjuma7643
@erickjuma7643 3 ай бұрын
Thank you?
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Yes yes yes 🎉 viva
@MaryDavid-hw2zy
@MaryDavid-hw2zy 3 ай бұрын
Exactly
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 3 ай бұрын
Powerful
@MohamedNoormohamed-lc4rg
@MohamedNoormohamed-lc4rg 3 ай бұрын
😊😊😊😊when he not flying he is lying
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Haha 😄 🤣 😂 umeona now he's lying
@aligedi2869
@aligedi2869 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@flavourboyke
@flavourboyke 3 ай бұрын
Hawa ma bishop ndio wametuharibia kenya yetu wanapokea hongo
@vivianne_sati
@vivianne_sati 3 ай бұрын
Wanafaa kusalimiwa pia
@PaulineMugure
@PaulineMugure 3 ай бұрын
He has not taken responsibility for the killings. He has not mentioned the Githurai massacre by police. This man CANNOT BE TRUSTED!
@jumangala4925
@jumangala4925 3 ай бұрын
Hatukubaliani na ww ata nukta moja💯💯cha msingi uende home ukalime juu hiezi kuendesha KENYA.
@philipchirchir7035
@philipchirchir7035 3 ай бұрын
Do what you want, president have offered himself for dialogue and if you don't want get your ass to street and see if you can get it.😂😂
@IgnatiusSanya
@IgnatiusSanya 3 ай бұрын
​@@philipchirchir7035Acha umama
@KingState-l8z
@KingState-l8z 3 ай бұрын
@@philipchirchir7035you’re a reckless idiot who doesn’t understand anything
@petronasken7504
@petronasken7504 3 ай бұрын
Now, repeat that without exposing your teeth and spitting murski everywhere. Take your nyani with you please!​@@philipchirchir7035
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc 3 ай бұрын
You are very stupid,arm yourself with voter's card and vote him out in 2027, other wise naona mama zenu wakiwazika sana
@agathawanjiku6919
@agathawanjiku6919 3 ай бұрын
Ruto has to go , no negotiations
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti 3 ай бұрын
Sis.. itabaki umezoea Ruto is our President. Ukienda Uganda utapata Museveni. Take your pick.
@lyfondiamond7273
@lyfondiamond7273 3 ай бұрын
​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8tithen Wacha abaki na uinga wake state house na hao mapastor ,,let 2027 come
@susannangurai3348
@susannangurai3348 3 ай бұрын
Why let kenya burn bcs of nonsense
@susannangurai3348
@susannangurai3348 3 ай бұрын
Ilikuwa ni Finance bill...sasa amekubali kusikiza.....sasa ni Ruto must go? Hawa ni watu wanataka inchi ichomeke na hawa ni wakora na idlers...They need to be dealt with
@walteralulu8483
@walteralulu8483 3 ай бұрын
Na mbona aliua vijana githurai​@@susannangurai3348
@johnabuyanyakundinyakundi
@johnabuyanyakundinyakundi 3 ай бұрын
Viongozi ni wale walidedi
@erickjuma7643
@erickjuma7643 3 ай бұрын
Good point. Aende awaamshe aongee nao
@michaelkauku9714
@michaelkauku9714 3 ай бұрын
Who will believe or trust Ruto surely? This man can very compromise even 1000 people. A true sweet talker
@elizabethmbula9388
@elizabethmbula9388 3 ай бұрын
Vasco danganya ni mwongo kuliko shetani
@Berly841
@Berly841 3 ай бұрын
Atawadanganya na 1k pekee akuna mazungumzo
@susannangurai3348
@susannangurai3348 3 ай бұрын
Why let kenya burn bcs of all these? Let him serve his term and leave...Kenyans will regret burning their country
@michaelkauku9714
@michaelkauku9714 3 ай бұрын
@@susannangurai3348 kenya was burnt economically long time ago by the so called leaders
@susannangurai3348
@susannangurai3348 3 ай бұрын
@@michaelkauku9714 well said my brother....it was burnt economically but sio vijana kukufa....pls aki let's just all calm down and wait for 2027 pls
@Freedomfighter-fizz
@Freedomfighter-fizz 3 ай бұрын
He brings all those children he killed back to life kwanza ndio tuongee
@PeterAmollo-pk2lo
@PeterAmollo-pk2lo 3 ай бұрын
Genz hatuna kiongozi🇰🇪🇰🇪 kama anataka tuongee atuite sisi wote kenya nzima kwa kiwanja na akae kati kati kila mtu ajiongelele😂😂😂
@BenardWanjala-cc2cu
@BenardWanjala-cc2cu 3 ай бұрын
Nakuunga mkono
@CalistoLucha
@CalistoLucha 3 ай бұрын
Tuzungumze nn
@lakeinrocks
@lakeinrocks 3 ай бұрын
AONGE NA 56 MILLION KENYANS DIRECTLY. KILA MTU NI LEADER. AKITAKA KUTUHONGA SOTE SAWA. HE CAN START BY SELLING ALL HIS PROPERTIES ALIPE DENI YA KENYA. NEXT, ADISSOLVE PARLIAMENT NA ARESIGN. PERFECT BRIBE FOR ME
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Yes yes yes Aluta continua viva 💪
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 3 ай бұрын
You are a genius!
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
💯💯
@harrisonkimani9921
@harrisonkimani9921 3 ай бұрын
Church inakuja sai after gen z wamekufa...nkt
@DavidNyamongo-un1sc
@DavidNyamongo-un1sc 3 ай бұрын
Kwani Gen z waliendewa makwao?walijitakia kifo,na bado
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Wakwende huko hao wafarisayo na wasadusayo, shikilieni hapo hapo mpaka zakayo aende Hague Kwa kuua watoto wetu
@sheilamwai7546
@sheilamwai7546 3 ай бұрын
​@@DavidNyamongo-un1scwewe ungenyamaza tu. Just sharrap!
@David200dee
@David200dee 3 ай бұрын
Kwani hukuona nn kilifanyika Githurai 45,waliuliwa kwao usiku ​@@DavidNyamongo-un1sc
@obbiemikeke8763
@obbiemikeke8763 3 ай бұрын
Appoint yeyote tumumalize hatutaki ujinga
@rosendunge4217
@rosendunge4217 3 ай бұрын
Ruto enda sugoi hatuna rais. Just go
@wekesageoffrey
@wekesageoffrey 3 ай бұрын
Vijana hawana kiongozi, labda tukutane mtandaoni.God help Kenya, peace, love & harmony, Kenya Moja si Kenya kwisha.
@davisbett
@davisbett 3 ай бұрын
Hautaki kiongozi
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Kabisa
@isaacbulemi1382
@isaacbulemi1382 3 ай бұрын
Criminals tena!!! Kwani si wakenya? You must go.
@vikahmotors
@vikahmotors 3 ай бұрын
GEN-Z Hatuna kiongozi,hawa ma askofu waache ujinga
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Washapewa pesa
@bernardowino8091
@bernardowino8091 3 ай бұрын
Hata izo kanisa tutagoma kuenda,hakuna hata mmoja wa hao ma Bishop wameenda kutembelea waathiriwa
@erickjuma7643
@erickjuma7643 3 ай бұрын
True kabisa. They are quick to visit statehouse but can go to KNH
@bernardowino8091
@bernardowino8091 3 ай бұрын
@@erickjuma7643 tuwaweke kwa group moja na Mps halafu tutaenda kwa salimia one by one ,any body anaji associate na zakayo yenye ni adui
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
For real 😮😮😢
@RuthGathoni-n4y
@RuthGathoni-n4y 3 ай бұрын
Akih😢 so sad
@MULLAMUSICWORLDWIDE
@MULLAMUSICWORLDWIDE 3 ай бұрын
Do this religious leaders really know who Ruto is ?Do They ?
@Smith_Kenya
@Smith_Kenya 3 ай бұрын
Leo nimeskia mtu akisema ati Ruto akiwa news heri stima ipotee😂
@victorotieno65
@victorotieno65 3 ай бұрын
We shall give Zakayo the names of the heroes who were fallen on Tuesday abonge nao
@24.179
@24.179 3 ай бұрын
He's even outlining agenda he wants to be discussed. This guy does not get it and wont get it. He is still overlooking the issues Gen Z has outlined including his resignation😂😂
@NavyBahati
@NavyBahati 3 ай бұрын
Imagine😢
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Shenzi kabisa
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 3 ай бұрын
Point
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
That's what I'm wondering. Yaani he just doesn't get it 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
@msamsa1031
@msamsa1031 3 ай бұрын
Kiongozi wa gen Z ni MUNGU,
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 3 ай бұрын
Kiongozi wa GenZ ni MUNGU kweli bro..
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Na mungu ndio atatutapa nguvu
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@mariaw8442
@mariaw8442 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@cwezymusic
@cwezymusic 3 ай бұрын
True ❤
@Rhodakananu-zo3bm
@Rhodakananu-zo3bm 3 ай бұрын
Anataka kujua waakilishi wa Gen Z ndiyo aweze kuwaua shetani tunakujua, just resign and leave Kenyans with peace
@lydiah-3953
@lydiah-3953 3 ай бұрын
Hatuna viongozi Mungu ndie kiongozi wetu❤
@coinblock-rv1pm
@coinblock-rv1pm 3 ай бұрын
This president ataacha kama tumefirisika.. adding loan interest every month through central bank....worst president ever,Ruto must go##
@SEMSE-FELIX
@SEMSE-FELIX 3 ай бұрын
Leaders ndio he bribe them
@eunicejefwa1935
@eunicejefwa1935 3 ай бұрын
Ubaya akili yako na Gen z ni tofauti. Gen z wamekushinda ujanja kuwapata ni ngumu
@abigelmombasa2323
@abigelmombasa2323 3 ай бұрын
Ruto Must Go Na Wote Walio Vote Yes Watoke Wote .They Must Go Home Na Hawa Mapostor Tuwanyoroshe Pia
@clarekenyani4263
@clarekenyani4263 3 ай бұрын
Hatuna kiongozi sisi
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂nakupenda sana❤
@BenFrontiers
@BenFrontiers 3 ай бұрын
Stop importing problems
@BenFrontiers
@BenFrontiers 3 ай бұрын
Hao maskofu walafi hatuwataki
@BenFrontiers
@BenFrontiers 3 ай бұрын
Ilepesa walikua wanapatiwa imeisha .no more money laundering in churches.
@BenFrontiers
@BenFrontiers 3 ай бұрын
We dont want this meeting at state house .lets do zoom meeting
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
are you our leader...
@clintonpools3595
@clintonpools3595 3 ай бұрын
Divede and rule strategy
@johncylasmwadime6372
@johncylasmwadime6372 3 ай бұрын
Viongozi wa vijana ndio wale uliuwa
@zionwatchman9389
@zionwatchman9389 3 ай бұрын
Tell him bro
@LizKuz-xk3hv
@LizKuz-xk3hv 3 ай бұрын
Exactly
@suzanwang7654
@suzanwang7654 3 ай бұрын
Yes
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
YES 😢😢
@Littlecrafties_
@Littlecrafties_ 3 ай бұрын
We dont have leaders as gen z sawa????
@babuuosama8752
@babuuosama8752 3 ай бұрын
Gen Z's you step in state house NO different to Mpigs 2 million zakayo bribes. Gen Z's remember sons and daughters of mau mau Mungiki there mission was about lands but mzee moi invited them to state house and after cheating them used them and you all know what happened to mungiki . Same to Gen Z's you go to state house ends of Gen Z's used.and DUMPED.
@beatricekarani7675
@beatricekarani7675 3 ай бұрын
Ruto must go Ruto must go
@baloz8974
@baloz8974 3 ай бұрын
Haina mjadala hilo limepita
@vicentepascal6758
@vicentepascal6758 3 ай бұрын
Huyu anajifanya ni kama haelewi chochote. Eti gen z wajipange wafanye mkutano na yeye. ? Hii ujuaji na kiburi ya ichungwa unatumia itamramba tena.
@ArafatJuliusNyerere
@ArafatJuliusNyerere 3 ай бұрын
Ujiuzuru mara Moja burukenge hiiii
@SAUTI_YA_DHAHABU
@SAUTI_YA_DHAHABU 3 ай бұрын
Sisi hatuna kiongozi 😊kila mtu ni kiongozi
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Yes yes yes 💪
@lakeinrocks
@lakeinrocks 3 ай бұрын
Hao viongozi wa dini are the same people that keep receiving briefcases of money. Kenyans, why do we still pay these people sadaka?? Boycott them and pray for yourself. Mungu anasikia believe me.
@SEMSE-FELIX
@SEMSE-FELIX 3 ай бұрын
We will have leaders but now we don't want to talk to a liar .... Heartbreaking of all using church
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
sameway mzungu alitumia church to colonize us
@salomemuimi5156
@salomemuimi5156 3 ай бұрын
Akitaka kuzungumza na Gen Z awaite wote state house, vijana over 2 million wakuje
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
plus wale aliua tubebe miili yao..
@kopiyokratos6759
@kopiyokratos6759 3 ай бұрын
Vijana ni over 20million, hatuezi tosha anywhere maybe tuende huku kwa shetani
@timothykiogora3372
@timothykiogora3372 3 ай бұрын
Hao wenye watachaguliwa si atawaua wote 😢😮
@shadracknyamwange7410
@shadracknyamwange7410 3 ай бұрын
Give him another chance maybe ame reform
@chidebrutechs
@chidebrutechs 3 ай бұрын
Ameagiza nani kama nani??? Hatuna viongozi kama vijana. Ruto must go home now.
@USDisdoomed
@USDisdoomed 3 ай бұрын
Kichwa cha habari,muafaka'Raisi Ruto matatani,huku akihangaika kutafuta suluhu kuwalaghai kimawazo Gen z😂😂
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 ай бұрын
Shida Ruto ni wewe kujiunga na marekani wazee wa ushoga ndio mana vijana wa kenya hawakuelewi.
@sheemainah2989
@sheemainah2989 3 ай бұрын
Baada ya kuua sasa unakimbia kanisani. Shetani!!!! EVIL
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
we all know even the devil goes in the presence of the Most High
@simonjuma6849
@simonjuma6849 3 ай бұрын
Kumbe Ruto hana adabu. He is supposed to be telling us how to compensate for the death caused by him
@salimbilali5174
@salimbilali5174 3 ай бұрын
Kwani kenya iko na wakristo pekee.....tutakuja sote hatuna kiongozi pika mahamri kwa wingi na rooms za wageni
@GladMbori-pf3cx
@GladMbori-pf3cx 3 ай бұрын
😂😂😅Aki kuwa stressed Kenya ni kupenda kwako .
@georgesagwe6703
@georgesagwe6703 3 ай бұрын
These men of the church must stop going to state house and calling the president their Bishop..Let them pray for the government and stick yo their mandate
@NavyBahati
@NavyBahati 3 ай бұрын
Imagine. That he is their Bishop. Disgusting
@azizayassin3623
@azizayassin3623 3 ай бұрын
Watu wanalipwa mshahara tangu enzi za wakoloni sio wewe wakwanza 😂😂😂😂 kulipa watu mshahara tupatane Tuesday na sio tafadhali utatiiii tu
@judithnawire9050
@judithnawire9050 3 ай бұрын
Ukweli anajaribu mbinu zote kuaingiza watu box,anajaribu vile watamwonea huruma
@napleieunice
@napleieunice 3 ай бұрын
NHIF plzz pesa yake itaenda wapi??
@joykhayega6974
@joykhayega6974 3 ай бұрын
My question too
@estherkabiru6457
@estherkabiru6457 3 ай бұрын
Me too asking??
@napleieunice
@napleieunice 3 ай бұрын
@@joykhayega6974 as thus is supposed to be in the list
@danielmiano6315
@danielmiano6315 3 ай бұрын
We no longer trust him especially after killing our comrades let him rest ameshindwa na kazi
@NavyBahati
@NavyBahati 3 ай бұрын
Then the Bishops call him their Bishop. People are sick
@HISEXCELLENCEFAMILY
@HISEXCELLENCEFAMILY 3 ай бұрын
Speak to Kenyans we don't have leaders
@briankwala7923
@briankwala7923 3 ай бұрын
Huyu. zakoyo huwa hasikii maneno, tuondolee uwongo hapa
@richardmugoh6801
@richardmugoh6801 3 ай бұрын
Ukifanya vile ulituahindi tunakulegeza Tena na hakuna Pahari utatupereka 😂😂 tumekunyuria
@NjoleZuma-ue9yo
@NjoleZuma-ue9yo 3 ай бұрын
Hatuna kiongozi. Gen z si chama cha kisiasa. Hatuna ukabila lugha yetu ni mbili tu. Kiswahili na Kiingereza
@gordonobala4999
@gordonobala4999 3 ай бұрын
Yani Rais anabehave nikama alichaguliwa bila plan yoyote, hii mazungumuzo mingi niyanini na alikua na manifesto ya Chama,
@wafulak2
@wafulak2 3 ай бұрын
Before atafute watu na kuuwa please Gen z mtoe aende home please
@danlabsofficial3722
@danlabsofficial3722 3 ай бұрын
To keep things transparent, I think the discussions should be aired live on the internet... Some of the youths who rejected the finance bill might not be economists or well versed with politics so it might be easy for the govt to tune them to their song
@annewanjiru818
@annewanjiru818 3 ай бұрын
Kweli hawa GenZ wako na a leader kweli? 🤔? Again if anyone goes there I think they will be compromised
@joykhayega6974
@joykhayega6974 3 ай бұрын
Yea atawanunua
@franciskienji2691
@franciskienji2691 3 ай бұрын
Point of collection Gen Z hawana kiongozi president akuje kila County atuongereshe lakini huwez sema ati Uite huyu na huyu hiyo zii
@franciskimani9950
@franciskimani9950 3 ай бұрын
Tutaketi chini kwa maobolezi ya waliouawa...tupatane uko pls
@ProfAkili
@ProfAkili 3 ай бұрын
10days to go before the financial bill becomes law...tiktok tiktok, time is ticking Mr Speaker Sir😂
@Hellisreall-g8o
@Hellisreall-g8o 3 ай бұрын
Baada ya kuuwa watu mia tano? Damu imekutosha? Gen Z haina viongozi. Simply do what is right and Kenya will be safe. Bado unajitetea hapa? Mdomo mdomo. Maaskofu mkicheza tutawasalimia. Nyinyi ndio mlikula pesa za ruto za campaign.
@WorldStagee
@WorldStagee 3 ай бұрын
Can someone help me stop seeing ruto as a criminal. 😢😢. When I see him, I just see the blood of hundreds who left us in demos and in the past.😢😢. This man!!😭
@SAUTI_YA_DHAHABU
@SAUTI_YA_DHAHABU 3 ай бұрын
Ruto must go
@kagamedimaria4787
@kagamedimaria4787 3 ай бұрын
Ruto must go
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 3 ай бұрын
Huyu aende tu una ukabila Sana kwani ikulu ni ya wakristo tu🤔
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti 3 ай бұрын
Kwani Wakristo si Wakenya?
@carrasco416
@carrasco416 3 ай бұрын
​@@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti aite Gen Zs hivo pia
@chanceobondo3843
@chanceobondo3843 3 ай бұрын
Hapana, kama watu hawangetokea na kukufa then you wouldn't have done this. This is unexceptable. We have no leaders
@Haron-lk7bn
@Haron-lk7bn 3 ай бұрын
We will never forget
@royaldigest
@royaldigest 3 ай бұрын
Sisi vijana hatutaki kuongea na wewe na hatutaki kuteua viongozi. The strong point of this movement is that it's leaderless. If we choose a leader we'll see what happened between Uhuru and raila in the name of handshake effectively killing opposition which is supposed to be the watchdog of the government. Hatutaki hiyo. You ask your team and the treasury to come up with a reasonable bill tutatosoma alafu tuamue kama tunataka ama bado hatutaki. That's what we pay you for. Kama umeshindwa kazi kenya tuko watu 50,000,000 and thousands of brilliant minds like Jimmy Wanjigi, Okiya Omtata who can do a better job and help get this country out of the mess you and Uhuru put it in. Do a better job or we WILL fire you.
@NavyBahati
@NavyBahati 3 ай бұрын
Well put
@john-m2z
@john-m2z 3 ай бұрын
No hope,on this one
@susannangurai3348
@susannangurai3348 3 ай бұрын
Jiongelele....some of us have Hope in him
@prosperjuma4993
@prosperjuma4993 3 ай бұрын
Kuma la mamaako changudoa mkubwa ww ​@@susannangurai3348
@EverlyneLiavuli
@EverlyneLiavuli 3 ай бұрын
Ruto must goo
@NavyBahati
@NavyBahati 3 ай бұрын
Ameshatenga pesa za kuhonga vijana... that's his lifestyle
@godblessyoumheshikieru6503
@godblessyoumheshikieru6503 3 ай бұрын
Gen z haina wakubwa...hawaite uhuru Park ama nyayo stadium
@susanmugo6570
@susanmugo6570 3 ай бұрын
Keep church men away from this discussion
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
he is seeking legitimacy from the same people he bribed to spread his lies during campaigns...
@kakoxspgnewton
@kakoxspgnewton 3 ай бұрын
Gen Z don't have a leader
@isaacmaskati392
@isaacmaskati392 3 ай бұрын
He is still calling innocent Kenyan criminal
@crescentomenda7626
@crescentomenda7626 3 ай бұрын
huyu hatujui...everytime he speaks nachemka mbaya..
@samkaybeauty2862
@samkaybeauty2862 3 ай бұрын
​@@crescentomenda7626me too 😡😡
@johnonyango6069
@johnonyango6069 3 ай бұрын
Pia hao kujeni muingizwe box kama vile mamaboga na boda boada wali ingizewa😅😅😅😅😅
@mamakedenique
@mamakedenique 3 ай бұрын
Zakayo enda sugoi hatuna rais just goooo period
@alphonceokoth6381
@alphonceokoth6381 3 ай бұрын
Aende Hague
@Kingchima_h
@Kingchima_h 3 ай бұрын
Once a ruler becomes religious, it becomes impossible for you to debate him. Once someone rules in the name of religion, your life becomes hell. Before that start with: -Dropping SHIF and reinstate NHIF -Drop land amendment Act -Stop parenting kenyans by talks from church elders, be a leader. -Give us the audit of the kenyan debt.
@RuthZaviour-yk7os
@RuthZaviour-yk7os 3 ай бұрын
Hawa wanatumiwa kama tissue.Just tell him the truth anaenda nyumbani.
@SSk5k
@SSk5k 3 ай бұрын
The only latter we want see is Ruto's and gachagua"s resignation latters
@ElizabethNafunamakhanu
@ElizabethNafunamakhanu 3 ай бұрын
Hapo hapana
@IvonneQueen
@IvonneQueen 3 ай бұрын
Roto must go 😢😢😢 hatutaki mamba yako tena
@w.s.rchiefhustlernews5727
@w.s.rchiefhustlernews5727 3 ай бұрын
Ruto must go, we
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti
@Afro-Funk-withFroKatai.-ld8ti 3 ай бұрын
You want him to go where. To your home?
@Victor62.
@Victor62. 3 ай бұрын
He ain't going anywhere, ata 2027
@jeremiahotuto6250
@jeremiahotuto6250 3 ай бұрын
He is going nowhere. People with low reasoning capacity like you matter economics are the one shoutig ruto must go day in day out .
@justinebosire9804
@justinebosire9804 3 ай бұрын
wee wacha...no kuongozi..hapa waende wapewe peza waepe .hii n kenya mzima..
@directorme6669
@directorme6669 3 ай бұрын
Hivi ndivyo wataingizwa box.
@RobinOyie
@RobinOyie 3 ай бұрын
Kazi ya mjengo ndio unasema
@FelixOkanga
@FelixOkanga 3 ай бұрын
Hatutaki mazungumzo na ruto no way!
@uniquevicky2284
@uniquevicky2284 3 ай бұрын
We can't listen to a father who called us criminals
@beatriceaber4844
@beatriceaber4844 3 ай бұрын
Na kwanini uliwuua watoto?
@thecommonfox
@thecommonfox 3 ай бұрын
Another Bipartisan Talk... 😂😂 Ile ingine iliisha aje? Hizo agenda ni zako, za maaskofu au za ma Gen-Z? Nkt
Citizen Nipashe 2nd October 2024
21:35
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 39 М.
Detectives discover body of missing Victoria Mumbua
2:06
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 55 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 50 МЛН
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 579 М.
Netanyahu at UN: I have a message to the world - we are winning
34:53
Israel National News - Arutz Sheva
Рет қаралды 1,1 МЛН
Kenya on the Brink | A roundtable interview with President William Ruto {Full}
1:53:10
Famous Historian EXPOSES ISR*EL’S FACTS! | Isr*el’s Future In The Quran!
30:55
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН