Рет қаралды 163
Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza kuangaliwa upya kwa mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kwa maafisa wa serikali ambayo yalijumuishwa katika muswada mpya wa fedha ulioondolewa baada ya kulalamikiwa na wananchi.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi