Рет қаралды 59
Imeelezwa kuwa sababu kubwa ya mashirika ya umma kuendelea kupata hasara ya mabilioni ya shillingi kila mwaka katika Ripoti ya Mkaguzi na Mshibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali ni kutokufanyika kwa uchunguzi wa kina wa matatizo yaliyopo katika mashirika yao ili kubaini chanzo kinachosababisha kushindwa kushindana na mashirika mengine.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi