Kuna kitu Cha kujifunza kwa wenzetu wa kenya ifeka wakati wa kuondoa woga nchini Tanzania tuseme enough is enough
@rainekisha19 күн бұрын
Mjue kuwa politics it's life
@AhmedHassan-vl5zf19 күн бұрын
NI mjinga wewe hayo maandamano yanayo zaminiwa na kabila la Kikuyu hawakuwa happy nafasi zote wamepewa wakenya
@PabloEscobar-wt1fq19 күн бұрын
Yataka roho mshkaji wangu🔥🔥
@jedidahbintidaudi824119 күн бұрын
haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..niseme tena haasswwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@felixmsale924419 күн бұрын
Tanzania ni nchi ya waoga .Marais wake ni miungu wadogo.kama huyu Mama nae kajitambulisha rasmi yeye ni kiziwi hasikilizi wananchi kabisa.
@leonolinga283419 күн бұрын
Power to the GenZs, Power to the people of the nation 💪🏽🫡🫡🫡
@chancelebishopofficial278519 күн бұрын
Erick omondi ✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
@kassimbayuu521719 күн бұрын
Dj smaa upo sahihi kabisa
@dvoice_ginn19 күн бұрын
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@isabellarkageha770719 күн бұрын
Hoyeee gen z saa hii tutasukumana kwa traffic jam ......na hao 😅
@Brunotarimo1019 күн бұрын
Tanzania inafaa tuwaige Kenya Uwaziri tanzania ni kama ufalme . Ndo maana kila wakati nasema tanzania inaitaji katiba mpya
@omarnimrod136919 күн бұрын
anza wewe.
@tatukingi254319 күн бұрын
😂😂😂tulieni tuwaoneshe mambo yanavyo fanywa mpka tulize hili kazi ndio.mkurupuke n.a. nyinyi
@Elizabeth-gq9kl19 күн бұрын
Mpiganie katibakwanza ndio mutaanzakuandamana kamasisiku kenya
@Brunotarimo1019 күн бұрын
@@Elizabeth-gq9klkatiba mpya itatuondolea utawala wa kifalme . Eti baba yako alikua na cheo fulani kwa serikali na mtoto wake anapewa cheo
@Maishanimaamuzi19 күн бұрын
@@Brunotarimo10mambo ya kijinga wakenya wamekataa kufanyiwa
@halimahassanungura458819 күн бұрын
Hivi sasa ndo amejua kua hana washauri wazuri😊
@mosesg.pendael838119 күн бұрын
Muda ulikuwa hauruhusu. Angeharibikiwa kama angefanya mapema. Usisahau alianza. Lkn hakuendelea. Hakuwa na Back up
@MuniraShughuli-kc7vj19 күн бұрын
Bado hajasema na atasema tu😂Genz hoyeee🎉😂😂
@faiththwagi23819 күн бұрын
Hoyeee
@yussufoptic19 күн бұрын
Mawaziri hawana shida, ajiangalie yeye mwenyewe "chombo cha mabepari"
@yahyamohamed183119 күн бұрын
Nchi ni wananchi
@trendz_254819 күн бұрын
Baaaas tuende kazi
@aliijumanne829319 күн бұрын
We are winning 🥇 this move..... Lakin bado kazi.....
@jeremiahcharles602719 күн бұрын
Wakenya ,kwa sasa inatosha ,, serikari imewasikiliza ,wanapaswa kumpa muda Raisi wao ,,,,na SI kupanga maandamano yasiyo na maana yoyote kwa sasa zaidi ya kuivunja nchi yao wenyew,,wakenya Mh raisi kawasikiliza ,sasa mpeni muda aiendeshe nchi kwa utulivu
@cath-ef7wd19 күн бұрын
Umesema sawa kaka
@cooljay948919 күн бұрын
tulimpa mdaa akatudanganya. alf kuskiza wanachi si favor ni katiba.
@emmanuelmasanja604019 күн бұрын
Kwa kweli wampe muda
@zeinababdi475719 күн бұрын
Power to the people , especially the youth who lost their lives for justice and calling out the leadership
@piusrweyemamu390019 күн бұрын
Umemuona Mh. Rutto anataka kulia😢😢😢
@UmmyZakiah19 күн бұрын
na amekonda wallah nikama hakuli
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Bado tunazidi kumfinya makende zake bila huruma hadi asalimu amrita. Hapa kenya 🇰🇪 hakuna wajinga wa kucheza na ruto. Ataenda nyumbani. Alikuwa ametuzoea sana
@piusrweyemamu390019 күн бұрын
@@ChumanaSusi hongereni wakenya, Mmeamua.
@piusrweyemamu390019 күн бұрын
@@UmmyZakiah 😂😂😂
@UmmyZakiah19 күн бұрын
@@piusrweyemamu3900 🤣😂amekua kama mkufi imediately
@billjames121619 күн бұрын
Huyu Ruto bado haaminiki my friend bado twa tazama tu
@mosesg.pendael838119 күн бұрын
Kwa lipi?
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Tutampeleka nyumbani. Tumemfinya makende hadi amesalimu amrita ya Gen Z
@stejasatv734919 күн бұрын
Kumekucha mkuuu❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@michaeljuma776419 күн бұрын
Ruto knew on Tuesday atapinduliwa serikalini ndo maana anajaribu kubadilisha mwongozo. So I don't understand what will happen on Tuesday kwasababu hashtag imebadilika na kua #RutoMustGo
@Qqambaa19 күн бұрын
😂😂😂
@henryachila544819 күн бұрын
Shida yetu ni ruto as long as bado yuko pale hatuna amani, atashuka
@sarafinawanja854919 күн бұрын
Kenya my nation God bless you
@cath-ef7wd19 күн бұрын
Wewe shida yako ni ubinafsi
@yasminoluoch16919 күн бұрын
Bado Tuesday ataanguka tu
@salimmwakaribu94219 күн бұрын
Huku bdo anauwa vijana wetu Ruto must go
@abassimussa747319 күн бұрын
Bunge livunjwe tafadhali ruto🇸🇸🇸🇸🇸🇸 tupige Kura tena
@malongoisack581119 күн бұрын
Usijali hiyo inakuja soon Na itakuwa solution no 2 Ikishindikana solution no 3 itafanyika ambayo ni Ruto kuresign
@billjames121619 күн бұрын
Ww ni wa nchi gani hii unataka kupiga kura kenya???
@annanzallo115019 күн бұрын
@@billjames1216😂😂😂 sio Kenya
@unjuusalvatory533119 күн бұрын
Nevertheless of its majority setbacks, democracy remains to be the most practical approach of governance for the modern demanding humanity. You got it Mr. President, lead to demonstrate and influence others🇰🇪
@remiomar715419 күн бұрын
Ukisikia hiyo hutuba utasema Ni kweli mtatimiziwa anayoyasema ..... Mm simuamini hata robo
@jumakassim871819 күн бұрын
Hata mimi simuamini muongo sanaa
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Huyu ruto.ni pepo wa urongo. Lakini round hii hana chake. Amekataliwa na nchi nzima hadi watoto
@rajabdibwa641519 күн бұрын
Huyu hata Rachel alimpata kwa kumdanganya😂😂
@fuadbawayo923319 күн бұрын
Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nchi yangu
@FelistersMejumaa-xi2ge19 күн бұрын
Comments zote zilizo comentiwa in English niza Wakenya congratulations my fellow Kenyans l like this 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦 proud of my country people
@KassimAlly-xp4dz19 күн бұрын
U will alwys b slaves kwenye nchi yenu wenyewe
@mwalimunyerere19 күн бұрын
@@KassimAlly-xp4dz Please write without grammatical errors; until then, we can talk about slavery.
@martinmwasubila876219 күн бұрын
Mwafrika jikomboe ktk nyanja zote, hata ktk lugha...ipende lugha yako mama...kutumia lugha ya kikoloni ni sehemu ya utumwa wa kifikra! Kujifunza, kuelewa, kuongea kifasaha na kumudu vizuri lugha za nje ni jambo jema na zuri na linafaa LAKINI zisitufanye watumwa ktk nchi zetu ...lugha zetu za Kiafrika kwanza zipewe kipaumbele cha kwanza. Mfano KISWAHILI ktk nchi za Afrika Mashariki na kati tukipende, tukiongee hata kwenye majukwa rasmi ya shughuli za kiserikali hata kimataifa!
@mwalimunyerere19 күн бұрын
@@martinmwasubila8762 kwanza kiswahili si chetu. ni lugha ya pwani. kama wewe si Bajuni, unazungumza lugha ya mtu mwingine. HAHA
@martinmwasubila876219 күн бұрын
@@mwalimunyerere pwani hiyo iko wapi?
@rehemashariff311919 күн бұрын
Lapili tunalo subiri kila police aliye piga risasi mwana nchi maramajo afute kazi kibarua nacho bado hajapona
@olomweneabongela171719 күн бұрын
Huko awezi ndugu yangu kwa salama wa taifa na yeye binafsi.
@laurine789819 күн бұрын
@@olomweneabongela1717 hakuna kisichowezekana, tupe mda tu, kwa wakati wake vitu vitanyooka, wala sio rahisi, ni ngumu tena sana, lakini tunaamini Mungu na pia tunao ujasiri haki zetu tutazilinda. Watch this space.
@erqmusic597319 күн бұрын
Na ivo ndio tuna need bro...coz taifa ni mwananchi na karao KAZI yake ni kulinda mwananchi sio kumuua jo😢d@@olomweneabongela1717
@wambuageorgemutua193019 күн бұрын
My Kenyan people we keep on pushing....#RutoMustGo
@SamuelOuma-uy2ci19 күн бұрын
Mimi ni mkenya ila huwa nawafatilia na kusikiliza habari kutoka kwenu
@laurine789819 күн бұрын
Kazi bado, ndio tumeanza tu, mambo ni mengi mda ndio mchache. Governors na mcas tunawaweka rada hakuna kuchezea jasho letu.
@directortwicep302819 күн бұрын
Huyu jamaa anawakati mgumu sanaa
@dayahkibadeni18519 күн бұрын
my president my hope my happiness
@Elizabeth-gq9kl19 күн бұрын
Kwerakabisa.
@yasminoluoch16919 күн бұрын
Lione hili naye kubwa jinga😂
@mustaphabett561619 күн бұрын
Congratulations 🎊 my president...we kenyan genz we are so grateful now....let the work begin.....we are proud of you baba.....lets end this vice of corruption
@KassimAlly-xp4dz19 күн бұрын
Ur not genz i can see
@hanashhanash53519 күн бұрын
He try to remove are little problem but we can't forget the big problem is You, still we stand Ruto must go
@bakariomari24omar2119 күн бұрын
Bado wakenya tunataka hela walizoiba na wevi wapeana za umma wakamatwe ikiwa mmoja wao Ruto
@lapozzydone520319 күн бұрын
Namna hiyo Anza fresh.. Tunataka mawaziri watenda kazi sio mafisadi.
@zayumar295519 күн бұрын
Duuu makubwa bado yanaendelea ila Jmn ndugu sky tunaomba uwe unatuelezea kwa kiswahili tupate kuelewa kwa uzuri zaidi make wengine tuliishia la 7 B kingereza tunakislilizia Kwa bombaa😅😅😅😅
@rainekisha19 күн бұрын
Ahahaha
@zayumar295519 күн бұрын
@@rainekisha we usicheke acha tu ni mbaya sana kutokujua kinge make unakuta kuna mambo yanakupita 😂😂😂
@boazmisango979719 күн бұрын
Mbona ndio kumekucha Na bado naona ata yeye akienda sugoi
@dvoice_ginn19 күн бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@Chawamsafi119 күн бұрын
Sasa mzee malizia miaka yako kwa amani usijekufia kwa kiti 😂
@ChumanaSusi19 күн бұрын
Hawezi maliza huyu .mKora fisadi mkubwa Wakenya wamemumulika kama tochi
@USDisdoomed19 күн бұрын
Bado tunataka wale polisi wauwaji wakamatwe pia
@3erffeoui8619 күн бұрын
ANGUKA NAYO BADO YEYE PIA AENDE ZAKE
@Alfredo_Kenya19 күн бұрын
Power to all Genz kenya
@jeffchurum143119 күн бұрын
Na wakirudi nyumbani wapitiye barabara kuu tuwazidikishe na tunyoroshe kila mtu viboko tatu moto za hiyo miaka tatu wametupotezea. Hizo whips zipakwe mafuta.
@user-xm9jc4of2e19 күн бұрын
😂😂😂
@Majambo_Duniani_Tv19 күн бұрын
Eric Omond
@leeheyon19 күн бұрын
well said
@sonnyr189919 күн бұрын
Mwigulu za jioni?
@michealouma241019 күн бұрын
Anguka nayoooooooooo😂,,bado sasa IG of police
@sophiekindem907119 күн бұрын
People's Power 💪 🙌 🙌 🙌 Nguvu ya Wananchi Siyo Mchezo..
@MoinaminaAmina-qh1jb19 күн бұрын
Ruto atavunjwa yéyé lazima yaondelewe madarakani hafai kua raisi wa Kenya
@cath-ef7wd19 күн бұрын
Who is fit enough? You foolish
@martinsafaris431419 күн бұрын
Apa ndio napata revelation as to why the major general was eliminated. If only he was there...he would be the one standing like Traore. They saw it coming. I have lived in Kenya for 17 years. Now in Tanzania But Ruto must Go anyway. Gen Z ❤
@halimahassanungura458819 күн бұрын
Bado picha inaendelea
@aaa64sa1319 күн бұрын
❤🇰🇪❤ Gen Z....🤜👍❤❤🎉
@ilovejesus930319 күн бұрын
Nlichojifunza ni kwanza woga ndio adui wa maendeleo. TANZANIA bado sanaaa. Viongozi ni Miungu watu. Tupo katika usingizi mzito, hali za wananchi ni mbaya sana ila hawana wa kuwasemea.😢😢
Honera Raisi ni maamuzi ya busara na yanastahiki pongezi kubwa... Ila waliokufikisha apo ni wabunge ambao mbali na kuwasikia wanaowawakilisha wakisema nou...bado walipitisha zike sheria hao ndio wanastahiki haswa hiyo adhabu...! Wakaombe kura upya kwa wananchi wao! Wao ndio sabbu ya wananchi kukosa trust na wewe....i pray all goes well...Gen Z Asanten.
@mkambotv541819 күн бұрын
Ruto must go.... Bado hajasema yani mpaka aseme. Wakenya hatupendi ujinga.
@elijawakaba19 күн бұрын
Na bado
@waendaotvcom20419 күн бұрын
Miguna miguna nimekuita marambili unge kaa kimya😂😂😂
@NoName-pp4lo19 күн бұрын
Picha ndo linaanza bado ni teller movie haijaanza
@abdullahkazungu402519 күн бұрын
Koome na mudavadi walifaa pia waende kwanza koome aki ..
@ISSACKRICHARD19 күн бұрын
Dj smaaaaa ni atariiiiii😂😂😂😂😂😂
@somoeomar486119 күн бұрын
Basi kazi iendelee sasa
@user-rc2ye4ri6t19 күн бұрын
Ruto must go
@tuwasalimu17 күн бұрын
hongera muheshimiwa ruto kwa maamuzi yako
@samuelmwatsuma446219 күн бұрын
Mpaka kieleweke...
@barazanaphtally19 күн бұрын
Good job Mr. President
@user-ui5zo9re8b19 күн бұрын
Mungu. Wakongo angalihayi
@yasminoluoch16919 күн бұрын
Am proud to be a kenyan..thank you g.zee ..leo wameanguka nayo mawaziri wamekuwa job less kama ss😂😂😂😂😂😂😂..
@emmadora784819 күн бұрын
But they already have life aiseee si sawa na wengine
@midundotechtz684319 күн бұрын
Nasema hivii mh. Ruto anaangaliaga GPS 11:09
@sultanmswahilitv486419 күн бұрын
Kenya ni nchi ya watu wenye akili mingi sana
@messiasulleydidy258519 күн бұрын
Sanaaa...
@cath-ef7wd19 күн бұрын
Hamna kitu ovyo kabisa
@MwemajaphetyZackalia19 күн бұрын
Kuna nchi africa azina serikali ni vikundi vya wahuni angalia vizuri sana akuna rais alikuwa gaddafi wengine wanajua kukopa kulipa wanalipa wanainchi poreni ngozi nyeusi
@swalehemusa454619 күн бұрын
Kweli kbs vikundi va kihuni hakuna tena viongozi labda angalau traore anajitahidi nchini mwake
@emmadora784819 күн бұрын
@@swalehemusa4546kafanya nn huyo Traore huko bukina faso?
@saidyabdalla741019 күн бұрын
Uku tayari
@kemalhussein253219 күн бұрын
Reduce the rent of house, school fees, and food
@user-rc2ye4ri6t19 күн бұрын
Wacha kudanya wakenya wwe
@Chrisscherry19 күн бұрын
Hapo sasa now we are fixing the Nation hta US Embassy tunakuja kusafisha huko
@midundotechtz684319 күн бұрын
Sasa anaanza kuwa na akili
@davidwalalason763019 күн бұрын
Mshenzi kesha-panic huyu.
@thelordsgarden408319 күн бұрын
Si utusiane huko kwenu wachana na huyu wetu..
@user-yp9el7xp8g19 күн бұрын
Inafaa tufanye maandamano Moja ya mwisho so that he can fire himself too.....#RUTO MUST GO🇰🇪
@classicwaisala667719 күн бұрын
Ujinga sasa
@USDisdoomed19 күн бұрын
Wazimu ww😂😂
@zeinababdi475719 күн бұрын
Watanzania waoga sana, Kenyans dont play
@chai_r19 күн бұрын
This was a revelation to this puppet?
@roselynealima361819 күн бұрын
😂😂mnajua nacheka nini? Send a thief to catch a thief #Ruto must go no matter what😆
@barrynzeyimana627019 күн бұрын
Ameanza mapema.
@user-rc2ye4ri6t19 күн бұрын
Maandamano bdo ni yafaniwe hii sio njia ya kuzima maandamano
Sisi watanzania kuliko kuvunjwa miguu bora tukae kimya,Hatuwezi kinukisha kama Wakenya sababu tunalima chakula kwa wingi na tukishiba ugali na wali kisha tusikilize Diamond siku inaenda.Wewe na akafe kwenye maandamo.
@emmanuelmasanja604019 күн бұрын
Wacha nicheke tu😂😂
@Hassan_Mengi19 күн бұрын
GenZ wa Bongo wajifunze kwa wenzao wa Kenya wasikubali huyu “maza” na “sisiemu” yake kuwaonea… naishia hapo.
@Tg.7_719 күн бұрын
Kuongoza Taifa kama Kenya, honestly akili zako lazima ziwe zinakaa kichwani! Maana kuna maraisi akili zinakaa sehemu nyingine kabisa za mwili 😂😂
@nasorsaid537119 күн бұрын
Maraisi wangine akili zao ziko mkunduni😂😂😂😂
@nassoroshakiru709419 күн бұрын
Huu ndo uanaume sasa hapa mzee ndo katumia maamuzi ya Busara kwanza kapunguza hasira za watu kitu ambacho kisingeisha bila kuchukua hatua na ukizingatia jamaa tayar askari wake washaua raia baadhi, so ili kumantain hii hali lazima acheze na akili za raia, sisi raia huwa tunadanganyika kwa vitu vidogotu navo nikama hivo hapo kwa hilotu alilolifanya ni ishara tosha kwamba kakubali kutumia busara zaidi ya nguvu kwani nguvu haijengi! Ni maamuzi ya heshima na busara kwa upande wangu ❤ na hiki kitu GPS walikitabiri saha Smaa na Ally
@geniuskid254419 күн бұрын
Gotha tenaa😂
@DrNdii18 күн бұрын
Katiba ya kenya iko na kitu kinaitwa freedom of speech,unakosoa hata raisi, lakini tanzania ukichoka shati lenye sura ya raisi unafungwa ama upotee mazima,badilisheni katiba
@RoseMary-jw2im19 күн бұрын
Na waende nyumbani ruto afanye kazi yake na amani..