Nampenda biteko......Hapendi kiki.....ila kazi zake zinaonekana
@johnjulius6986 Жыл бұрын
Daa...NAIBU WAZIRI na WAZIRI kwa pamoja....., Heri tu niteseke kwa maisha ya dunia, nikikamwilishwa katika haki nitalipokea taji langu mbinguni.... Acha tulie maana kesho tutacheka.... Poleni vijana wenzangu msio na ajira ya kueleweka mpaka leo...
@@jumamrisho8840 ndio hapo...., wapo wazee wengi tu...heli angechagua hata wastaafu. Ila sio mtu mmoja kulipwa mishahara ya watu wawili.....na bungeni yupo. Kwanza WAZIRI mkuu haitaji NAIBU.... Maana mawaziri wote wanamuwakirisha WAZIRI. ndio maana miaka ya Nyuma halikuwekwa kwenye katiba
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Umenikumbisha mbali sana ndugunyangu
@MiriamAbdallah Жыл бұрын
Inauma
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
Hutatoa siri mna siri gani za kutotuambia sisi wananchi wenu
@lameckkamugisha8887 Жыл бұрын
Uyu si alikua waziri wa MADINI saizi kashushwa cheo amekua NAIBU WAZIRI?
@marcokanyama4533 Жыл бұрын
Baba ni mahovyo hovyo TU Kawa Naibu waziri Mkuuu cheo kipya na chapili ni Wazri wa nishati kwahiyo yeye anaongoza mawazi na uwaziri wake
@mungunimwemakilawakati1299 Жыл бұрын
HATA MKIPANGA NA KUPANGUA KILA SIKU, TUNATAKA BANDARI ZETU!