Sikia Maneno ya busara ya Naibu Waziri Mkuu DOTTO BITEKO mbele ya WAZIRI MKUU

  Рет қаралды 33,436

Habari Digital

Habari Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 58
@designdesign4426
@designdesign4426 Жыл бұрын
Yangu macho😮maneno na body language vitu tofauti
@ip_header
@ip_header Жыл бұрын
Mh. Dotto Mungu akuongoze katika majukumu Mapya, piga kazi uweke alama
@lameckbalekere1962
@lameckbalekere1962 Жыл бұрын
Jihuzulu majaliwa ubaki na heshima yako tunakupenda
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Nashangaa sana, umoja wa Afrika kukaa kimya nakuiacha ecowas iungane na Ufaransa kuzihujum nchi za Afrika kama Niger ziendelee kutawaliwa, kukaliwa kimabavu na kunyonywa na mataifa ya kigeni kama Ufaransa. Nauliza hivi, Ecowas na umoja Wa afrika ni nani mkubwa??. Viongozi wa umoja Wa afrika wamelala sana . Naomba umoja wa Afrika waamke wapambane na Rais wa Nigeria Tinubu anaisaliti Afrika na Waafrika.
@RehaniKharidi-st4oe
@RehaniKharidi-st4oe Жыл бұрын
Yeye ni raisi ajae kasimu majaliwa
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 Жыл бұрын
Kuletewa msaidizi ni vibaya?Kumbuka hicho cheo kilikuwepo tangu enzi za Nyerere.Hayo ni mawazo ya wavivu wa kufikiri
@alicempuya5238
@alicempuya5238 Жыл бұрын
​@@RehaniKharidi-st4oeitapendeza
@edibiniStephano
@edibiniStephano 12 күн бұрын
Mh.doto biteko hekima iwenawe tunaona majukum uliyo nayo na utendaji wako . Hakika unaweza the best government leader.
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Жыл бұрын
Mh..Biteko piga kazi kaka macho yangu🙄 Hongera kwa mtanguliza mwenyezi Mungu 🙏🏼💪🏽✌️👊
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 Жыл бұрын
Mhe Waziri Mkuu ni safi ume pata Naibu ata ku saidia. Sisi Becco Ltd tume omba mara nyingi Malipo Yetu kutoka JV Arabs toka 2020. , Naomba ufuatilie. Pesa ni 11B.
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 Жыл бұрын
Majaliwa hakikisha unachukua fomu ya urais 2025 tukupe urais
@selisilaurenti2463
@selisilaurenti2463 Жыл бұрын
Mungu akutanguli doto
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 Жыл бұрын
Hongera sana mungu akusimamie kaka
@abrahambukuku3828
@abrahambukuku3828 Жыл бұрын
Hongela mheshimiwa mungu akuongoze
@gaomariwa7637
@gaomariwa7637 Жыл бұрын
Mh doto atatusaidia sana upande wa nishati namuamini❤❤❤
@legynsio
@legynsio Жыл бұрын
Nilikutabiria makubwa na utafika pakubwa 2030 inshaallah tutakuhtaji ikulu
@robertwarkoi7353
@robertwarkoi7353 Жыл бұрын
Kwel mama, mh rais wetu safar imenoga, Mungu akulinde na akuinue Mara 1000, kaz lazima iendelee, mh Biteko naomba niuone sasa utendaji wako ukimsaidia mh waziri mkuu Kassim majaliwa
@SilvanusMbata-zu6cg
@SilvanusMbata-zu6cg Жыл бұрын
Nilijiuliza sana kwamba kassim akistaaf tutampata wapi mwingine jaman kumbe Biteko yup Mungu akulinde kaka unaujali wa Mungu
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Жыл бұрын
SAFI SANA HUYU ANAANDALIWA KUWA WAZIR MKUU PALE MAJALIWA ATAKAPO KUWA RAIS HIO TIAR IMEISHA CHADEMA KAEN KWA KUTULIA
@adolfmjunguz9794
@adolfmjunguz9794 Жыл бұрын
Maneno mazuri sana
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Hi Natalie angepewa chalamila
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
CCM sionagi wa kusifiwa maana wote ni walewale tu
@mussasagala5382
@mussasagala5382 Жыл бұрын
Muda wa vijana huu sasa
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Whoever looks on this can define through K face
@legynsio
@legynsio Жыл бұрын
CCM ni kiwanda nimenukuu maneno ya jpm
@juliannjunwa7857
@juliannjunwa7857 Жыл бұрын
Mimi nampongeza Mhs.Rais,kwa uteuzi wa kijana ,ili kumsaidia waziri mkuu,naye spate mwanya wa kupumua.Nina Imani naye sana tena sana atamfaa bila wasiwasi.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 Жыл бұрын
Kama Rais yupo tayari kumlinda atakapobana mianya ya watafuna nchi kuiba pesa labda vinginevyo nikukumbushe tu Magufuli alipokuwa waziri kwa sababu ya uchapa kazi aliwekewa sumu CCM hawapo tayari kwa watz wazalendo Doto Ana kazi kuongoza mapapa vinginevyo awe kama wao kuvunja sheria na kuiba pesa ya umma 😢 na kuwa msema uongo kwa wananchi 😅
@GulamaliJohn-qn8tq
@GulamaliJohn-qn8tq Жыл бұрын
Hakuna jipya maana kila leo tunajaza vyeo badala ya kuboresha maisha ya watanzania
@joharimapunda7678
@joharimapunda7678 Жыл бұрын
Kutuongezea tu mizigo walipa kodi sasa cheo gani hiki no mining
@swelehemkumba5007
@swelehemkumba5007 Жыл бұрын
Mzee majaliwa. Tunakutegemea kwenye mbio za urais. Japo tunajua utasumbuliwa sana ili usigombee.
@florachogo243
@florachogo243 Жыл бұрын
Mh majaliwa raisi mtarajiwa tunakuombea
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 Жыл бұрын
Punguzeni Bei ya mafuta , 10,000/= Kupata Lita 2.99 wananchi inatuongezea ukali wa maisha!!!boda boda hawapati faida kama zamani...
@kunyaobelela4062
@kunyaobelela4062 Жыл бұрын
Dotto sina shaka na ww, ila usipokuwa makini kupitia dp world hadhi yako itashuka na haitainuka tena. Kaoneshe uzalendo ktk majukumu yako ya naibu waziri mkuu
@zachariathomas9980
@zachariathomas9980 Жыл бұрын
Kama madini ameshindwa kulipa fidia Hii ndo ataweza
@OdenBidili-lj5qi
@OdenBidili-lj5qi Жыл бұрын
Asa we mh majaliwa unacheka na viongozi wa chini huna maamuzi magumu wazembe tumbua
@masungajp1
@masungajp1 Жыл бұрын
Anyways anatayarishwa Kuwa Waziri Mkuu ajaye.
@juniorleonard9140
@juniorleonard9140 Жыл бұрын
K majaliwa😅😅😅 Taa nyekundu
@yakobokuzenza6837
@yakobokuzenza6837 Жыл бұрын
Hizo ni fikra za wanaoshinda kwenye vijiwe vya kahawa.
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 Жыл бұрын
Huenda Majaliwa Ndo Ka shauri na Kumuomba Mh Rais Ampe msaidizi.#Think Positively
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 Жыл бұрын
Mm nalia na waliobadirishiwa vitengo wakati wangefukuzwa wakaangalia wengine
@adelphinekaganda2572
@adelphinekaganda2572 Жыл бұрын
Hajafunga kishikizo
@alistachiusleo2506
@alistachiusleo2506 Жыл бұрын
Mh Khasim najua una act, ila uhalisia wako hauko hivo,ukisimama kwenye uhalisia wako jamii kubwa inakupenda na pengne miaka ijayo waweza kuwa Rais
@jenifhysajiro5782
@jenifhysajiro5782 Жыл бұрын
Majaliwa ilotatizo katiba ailusu nafasi ya naibu aipo kikatiba
@AmiriJuma-h1d
@AmiriJuma-h1d Жыл бұрын
Body language can tell but anyway you are the big hearted politician that side battery will not be a challenge to you
@JosephSaidJikolo
@JosephSaidJikolo Жыл бұрын
Nilimshauri waziri mkuu ajiuzulu kulinda heshima yake sasa yamemkuta kwa kupuuza ushauri
@PhilemonPaulo
@PhilemonPaulo Жыл бұрын
Bado tunampenda mwombeeni ktk mapito
@HusseinRj
@HusseinRj Жыл бұрын
Kila la kheri Viongozi wetu
@mathewsaitoti4250
@mathewsaitoti4250 Жыл бұрын
Kufanya nini ofisini kwako?
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 Жыл бұрын
Mbona unaongea ka unalia majaalowa
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Жыл бұрын
*hivi hii nchi kulikuwaga na nafasi ya naibu waziri mkuu ndio naamka jaman susingizini*
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Pendelea kujisomea itakusaidia
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Жыл бұрын
miongoni mwa vitu ambavyo watanzania wengi hatuvijui ni historia ya nchi yetu, Mrema amewahi kuwa naibu waziri mkuu Dk salim na wengine
@mathewsaitoti4250
@mathewsaitoti4250 Жыл бұрын
Nafasi hii haiko kikatiba.
@saidimpako5186
@saidimpako5186 Жыл бұрын
Katiba haijataja naibu waziri mkuu lakini katiba hii tulionayo inampa mamlaka raisi kuanzisha cheo au kuanzisha wizara au kufuta wizara na pia kuziunganisha wizara
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 Жыл бұрын
FutuRe PRESIDENT and his PM
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 51 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
didn't manage to catch the ball #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 33 МЛН
India Canada Crisis: Top Moments When EAM Jaishankar Countered Justin Trudeau
10:17
Loh!! Alichozungumza Biteko mbele ya aliyepambana na pacha wake
9:49
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 51 МЛН