Karibu Sana katika GACHI TV Online tafadhari usisahau ku bonyeza neno Subscribe ili kuwa wanafamilia wetu.
Пікірлер: 37
@wadeelegbogun30159 сағат бұрын
Jeshi halitakusaidia chochote, watanganyika hatukutaki hata tone rais feki wa mchongo samia
@RaibebeBebe10 сағат бұрын
Serikali kufanya vitisho sikumaliza tatizo raia siku wakichoka Amani itapotea jeshi Kwa sababu linapewa mishahara minono isiwe chombo chakuwadhalilisha wengine na kuwalinda wengi hii sio democr
@daudimchileg3074 сағат бұрын
Nasi tujuage mnazungumza nini?
@NancyMatuli-fb5jp2 сағат бұрын
Mama mama hakuna mwanamke anayekutaka uendelee kuwa Rais Labda wale wana ccm wanaokula na wewe ndo wanakutaka kwa hiyo ulikuwa unawaelekeza namna kuendelea kuuwa watu na kuwateka Mungu anakuona
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv9 сағат бұрын
Hili ni taifa letu hatutishiki kama kutu ua watuue wote ili aongoze ardhi tupu tumechoka kua mbuzi wa kafara
@salwasarai453210 сағат бұрын
Anatisha nani
@ImaculathaMasuka3 сағат бұрын
Ni rais uyo.sio mtu mdogo.
@georgempogomi73294 сағат бұрын
Mipango ya kuteka na kuua
@NorbertKagali10 сағат бұрын
Chadema waliitaka serikali iwatoe vijana waliopotea ambao hawajulikani walipo wakiwa hai au wamekufa, na endapo haitakuwa hivyo watafanya maandamano ya amani kupaza sauti. Kwa bahati mbaya watuhumiwa naomba moja wameibuka na vitisho na kutangaza kuwa maandamano ni batili. Naomba busara itumike kwani hakuna mahali popote duniani mtutu uliwahi nyamazisha watu wanaodai haki. Haki huinua taifa,anguko lake ni aibu kwa watawala.
@HuseinMwakindole6 сағат бұрын
Haiki ya rain ni sawa lakini siki maandamano yakikolea vizuri haki ukiiona utaifahamu kwa sura au utakimbirua kwa jilani yako ukaione inavyofanana
@AyubuChacha-u6u18 минут бұрын
Polis hawa ipo siku Mungu atakuja kuwahukumu hukumu mbaya sana maana kuna watu kutekwa na kuwawa bila hatiya.
@NancyMatuli-fb5jp2 сағат бұрын
Kwenu hakuna hata mmoja aliyetekwa wala kuuliwa Inaumiza sana
@JoyceKabula-in1sh8 сағат бұрын
Punguza kuongea unaongea sana
@SalumMohammed-r8nСағат бұрын
Halafu hikichama viongozi wake karibu woote wachungaji lkn wakipanda majukwaa ya siasa utasikia salam aleikm😂😂😂😂😂
@charleslukumai78756 минут бұрын
Mwandishi acha longolongo. Aliyekuruhusu kuingia ndani ya hicho na kujua kilichozungumziwa ni maandamano?
@SalumMohammed-r8nСағат бұрын
Mama umewapa domo hawa walikua kimya hapa wengi walikimbia
@HuseinMwakindole6 сағат бұрын
Watanzania nazani kunasiku hii siku uliyonavyo itapita itakuwa siku nyingine tena lakini naimani tutaikumbuka siku hii tulionayo ikipita
@BbyBoy-j9u10 сағат бұрын
Mbona mama Ajiamin jaman
@MaryMwamwezi-xm3iz3 сағат бұрын
Kama hajiamini andamana uone
@ImaculathaMasuka3 сағат бұрын
Rais samia.mama yetu uko vizur wew chapa kazi tu.
@seiftaji78382 сағат бұрын
mapichapicha tu. najionea mazonge tu.
@hajjisanga789Сағат бұрын
Serekali chukua hatua kama serekali ikiwa mtu anajisikia kusema anavyo taka haheshim watu basi jukumu lenu kama serekali kuchukuwa nafasi ili hivi viashiria tuvingo'e ili iwe fundisho
@FadhilyOthman5 сағат бұрын
Samia hao machogo wote hawakutaki hata hao police pia nguja wauwe na ww uteseke duniani na akheira
@sajurumassawe7431Сағат бұрын
hii sio serekali bali gegnge LA wa wauwaji na hii laana itawatafuna mpaka visasi vyao
@SalumMohammed-r8nСағат бұрын
Chukizenu hizo
@johnmoi743Сағат бұрын
Uandishi wako wa chekechea
@SalumMohammed-r8nСағат бұрын
Mavundo hawaa
@SalumMohammed-r8nСағат бұрын
😂😂😂😂😂 vundo tu
@jumamwita8180Сағат бұрын
Nyoko
@RichardMgweno5 сағат бұрын
Watuambie watu wetu wapo wapi
@Zuwenamachela4 сағат бұрын
We chiz nn kwahyo kila alokufa unamdai rais huna akili hata kdgo kamdai na magu bc
@abdulkarimabdallah953618 минут бұрын
.
@OmmyJames-xn7ji2 сағат бұрын
POLISI FANYENI KAZI YENU TUNATAKA VIWETE WAZIDI TUWAFANYIE MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@SmartOfficial-u5j2 сағат бұрын
Kiwete wa kwanza utakuwa wewe bodaboda itakigonga leo
@OmmyJames-xn7ji2 сағат бұрын
@@SmartOfficial-u5j USIJALI nitaenda kwa WACHUNGAJI nifanyiwe miujiza 🤧
@BarakaGabriel-f1bСағат бұрын
Ommy James sijawahi kuona umecoment coment yenye maana naona unamihemuko ya kisiasa kama siyo hivyo unainamishwa wewe maana coment zako za maajabu ajabu sana kwenye chanel mbalimbali na mitandao ya kijamii vitoto vya mwaka 2000 bwana basi tuu namuomba MUNGU uwe kiwete kweli wewe