Hamna kila ki2.nataman sana kushuhudia mwisho wa dunia..eee Mungu tuokoe waja wako
@Omosak11 ай бұрын
Watanzania shida yenu muko wanafiki sana kusema ukweli
@jacobmenganyi7830 Жыл бұрын
Kujipendekeza huku Hadi boss anajua unamnafikia
@WilbertMalula-vv7ml7 ай бұрын
BAHATI NZURI MAMA ANAWAJUA KUWA MNAMSIFU TU
@seifmbembe95 Жыл бұрын
Hawana ndio kazi Yao wewe hata uongee vp utabakia hivyo hivyo
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Inaumaaaa saaaana pesa zinaishia kwenye sherehe warsha makongamano
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Facts!!
@valentinoswenya748 Жыл бұрын
Njaa mbaya sana watu tunashida adi tunahisi mwisho wa dunia unachelewa kutimia lakini leo watu tuliowapa dhaman wanatuletea maigizo mikoani uku wakiwa na tabasam lote
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
Pambana njaa itakuondoka
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
wakati we unasema njaa mbaya pole sana kwa kuteseka
@kakamollel3121 Жыл бұрын
Ĝvvvmvbbv.v Bb
@edesaron9070 Жыл бұрын
Wakati mataifa mengine vijana wao wanaonyesha ubunifu kwa kazi za kulijenga TAIFA lao vijana wetu wanashindana mbele ya rais kwa vitu vya hovyo
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
Pole kwa kuteseka 😂
@Gody360 Жыл бұрын
🎉
@imanimbwaga7005 Жыл бұрын
Upumbavu ukizidi watu wanaleta ujinga kwenye mambo serious
@devisshirima6780 Жыл бұрын
Mdomo hauwezi kuusemea moyo 😂😂
@colenaswile5846 Жыл бұрын
Acheni kumpambia maskini uku tunaumia vitu kila siku vinapanda bei
Yani huyu malaya mtupu...Badala apambne kusaidia wagonjwa,wajane,wakimbiz na wasikuwa na uwezo ako kufanya ujinga....wakusifie hao wajinga tuu....Rais alikuwa baba wa Taifa na maguful....ww ni mtalii wa nchi....Ila ndo madhara ya kuongozwa na mtu ambae akiki ziko matakon,nakuchukia