RAIS WA RWANDA KAGAME AFICHUA MAZITO NYUMA YA PAZIA VITA YA KONGO AWATAJA UN, MAREKANI NA UFARANSA

  Рет қаралды 44,656

MEDA NEWS

MEDA NEWS

Күн бұрын

#paulkagame #rwanda #kongo #congo #un
RAIS WA RWANDA KAGAME AFICHUA MAZITO NYUMA YA PAZIA VITA YA KONGO AWATAJA UN, MAREKANI NA UFARANSA • RAIS WA RWANDA KAGAME ...

Пікірлер: 122
@HassanLwendo
@HassanLwendo 9 күн бұрын
Wana support but wapiganaji Ni wanyarwanda acha kujifanya eti unapotosha watu apa adui anajulikana
@SeanNilla
@SeanNilla Күн бұрын
Anasema kweli kbs
@gisbertsambala4991
@gisbertsambala4991 7 күн бұрын
P kagame ni sahihii
@AbuuAli-nf4fb
@AbuuAli-nf4fb 10 күн бұрын
UN na Marekani na ufaransa ndio chanzo cha matatizo ya Congo waondoke wote Amani itapatikana
@SaidOmary-fd3bj
@SaidOmary-fd3bj 9 күн бұрын
Kweli
@VyizigiroDeo-lu1gv
@VyizigiroDeo-lu1gv 10 күн бұрын
Mungu ameyi kumbuka congo 🇨🇩
@rosinebwira
@rosinebwira Күн бұрын
Un utile Congo
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 8 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ ivo ndo mnajuwa kuongea kuwaamb watu ku like na kususcribe lkn kuleta Aman Aaaaaaaaaaaaaaaaah
@makamejoho
@makamejoho 7 күн бұрын
Haya ni maslahi ya wengi kagame hana hatia
@EagleArchive
@EagleArchive 22 сағат бұрын
Wanatumika pamoja ila nafasi kubwa niya UN
@MuzuziElishachubaka
@MuzuziElishachubaka 3 күн бұрын
Kagame mu uliza anangoja mchahara kwa mungu tu sababu Kila kazi ita lipwa n'a mungu tu kinacho n'a mwanzo chéri kiwe n'a mwisho
@roberomartnez4020
@roberomartnez4020 Күн бұрын
Tatizo ni hao UN watimuliwe hapo congo mambo yatakuwa sawa fanyeni Kila linalowezekana fukuzeni hao UN
@ManaKashindiDaniel
@ManaKashindiDaniel 9 күн бұрын
Naomba Rapatriemeant, kwa UNHCR Likinipa na silaha pamoja na risasi ili nirudiye nyumbani kwakuipiganiya inchi yangu mwenyewe...
@MosesMagwila
@MosesMagwila 10 күн бұрын
Pole krgame nimekuelewa sana wa nakuonea tuu, Un, unesco wote wezi tuu
@ElieNkurunziza-b4j
@ElieNkurunziza-b4j 3 күн бұрын
Kwa nini wa Kongo hawafukuzi UN....!!! MIMI NAONA KUWA NI UJINGA MWINGI KWA VIONGOZI WA KONGO....!
@AmadiAbadi
@AmadiAbadi 4 күн бұрын
Kagame anaona mbali
@PrinceKamateKatembo
@PrinceKamateKatembo 9 күн бұрын
nandiyo maana congo siku ya leo imetangaza vita na rwanda ili iweze kupata amani
@JamesKitenge-z8l
@JamesKitenge-z8l 5 күн бұрын
Un ni waibaji rasilimal za congo africa tuamke
@Amansumila
@Amansumila Күн бұрын
Mzungu ndo tatizo siyo rwanda hapo mwangalie vizuri wazungu kwanini walikuja kutawala hapo un waondeke
@nchilingungu
@nchilingungu 8 күн бұрын
UN wapo kwa kutafta mali za afrika
@KhadijaIddy-s2t
@KhadijaIddy-s2t 6 күн бұрын
Kagame nikuombe kitu kimoja raisi wa rwanda kama kweri uhusiki kwanini majeshi yako yapo congo ivi engekua niwewe sisi watanzania tukufanyie ivyo utajisikaje ebu tukuombe toa majeshi yako ndani ya congo wananchi wanateseka sana
@husseinkassimu2714
@husseinkassimu2714 4 күн бұрын
Wazungu wasenge sana ndio wanaendesha mauwaji ya congo huyu kagame nae anausika kwani hayaanayosema hakusema siku zote dawa Rwanda ipigwe tu wacongo wasikubali
@abdouljabbar9835
@abdouljabbar9835 4 күн бұрын
UN ndio Ina aribu congo kilasiku wanzung
@EssauMahundi
@EssauMahundi 4 күн бұрын
Hao wote wanaiba madini kongo
@sharifnassor4417
@sharifnassor4417 6 күн бұрын
Kagame Ameongea ni sahihi, Waondolewe UN tumtafute adui
@edwinakoyi3125
@edwinakoyi3125 5 күн бұрын
UN ni kupora tu madini ya wa congo tu
@thabitiabdallah5118
@thabitiabdallah5118 5 күн бұрын
Waafrica tuamke kwani ibrahim traore mtoto mdogo amewezaje kuwaondoa haowezi waulaya?
@thabitiabdallah5118
@thabitiabdallah5118 5 күн бұрын
Wazungu ndio wanao sababisha vita drc.watuachie cc wenyewe waafrica Tutamaliza mzozo.umoja wanchi zakiafrica tunaweza.
@magdalenanicholaus5459
@magdalenanicholaus5459 7 күн бұрын
Congo walioba walinda amani waondoke lakini watalinda wenyewe lakini bado wapi? Kuna nini nyuma ya pazia
@makamejoho
@makamejoho 7 күн бұрын
Poul ni mkweli lawama ni kujificha kwa mataifa mengi yasiyo na huruma
@PeterMhoja-m8q
@PeterMhoja-m8q 8 күн бұрын
UN inaundwa na nchi za magharibi ambazo ni kama America na ufaransa hivyo mgogoro huo una manufaaa kwao hivyo never stopped.
@RossignolLotika-ug8ft
@RossignolLotika-ug8ft 3 күн бұрын
Azante tuko pAmoja
@mohdmnemo9281
@mohdmnemo9281 7 күн бұрын
Mwaafirika alecho semaha kagamee nikwele un wanafanya nn. Mpakaha leoo. Usalamaa aupatikani
@mohdmnemo9281
@mohdmnemo9281 7 күн бұрын
Uganda mekuwa washenzi sanaha hataki afarika kuwaa uruu
@mupendwajagarasteve341
@mupendwajagarasteve341 9 күн бұрын
Wanamutumikisha yeye kwaajili yakupora mali zakongo. Yeye ndo kilalo
@JonathanFungo-v6m
@JonathanFungo-v6m 6 күн бұрын
Wanakuonea tu hao un ndo shida
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm 10 күн бұрын
Hao wapo kimasilahi tuu kwajili ya kuvuna madini ya kongo tu
@JaenjeanAmadi
@JaenjeanAmadi 7 күн бұрын
Kagame nawezaka waache kuchocheya muzozo iliwakongomani wasimame kwanza wafukuze monusco inchi itapata Amani
@godfreyfrugence3760
@godfreyfrugence3760 9 күн бұрын
Hapo UN ufaransa na marekan wanatakiwa watoke huyu rais wa congo anatakiwa amlete mrusi tu UN hamna kitu hapo
@PeterMhoja-m8q
@PeterMhoja-m8q 8 күн бұрын
Congo Kuna masilahi gan?
@AbduAmza
@AbduAmza 9 күн бұрын
Magharibi ni wahuni na Kagame wao
@jamaliibra8532
@jamaliibra8532 9 күн бұрын
Mimikwangusiwayikusema kagame etianadagaya niukweli UN ndio wanasapoti m23 niukweli lakinina kagame nayenimumojawao kusapoti m23 hoteniwamoja kuuharibu usalama wa RDC chucrani
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 8 күн бұрын
Anachosema Kagame kina ukweli lakini hata yeye na Rwanda anahusika.
@mweyoms5548
@mweyoms5548 9 күн бұрын
DRC haikaliki kwa sababu ya utitiri wa majambazi wa mataifa mengi hususani Magharibi.
@EzekielMlelwa-x6e
@EzekielMlelwa-x6e 10 күн бұрын
Maberu wanahusika Kagame anahusika Mseveni anahusika Kigali inajegwa namaliya Congo
@YourMoor-px1rd
@YourMoor-px1rd 10 күн бұрын
NCHI NYINGI ZA MAGHARIBI ZINAENDESHWA NA MALI ZA AFRICA
@raymoszakayo2346
@raymoszakayo2346 9 күн бұрын
Kwa hiyo UN na dunia yote wameshindwa kumaliza mgogoro wa Kongo kwa sababu ya wanawaogopa Wanyarwando?
@kazigembeleke5958
@kazigembeleke5958 9 күн бұрын
Laisi Kagame duh!
@ASHAOmally
@ASHAOmally 10 күн бұрын
nikweli wakubwa Wana usika
@YollandeMukantabana
@YollandeMukantabana 10 күн бұрын
Inashangaza sana matatizo ya Congo anabebeswa kagame kiskedi Abebe mini?
@ljmarketlakhshov36
@ljmarketlakhshov36 10 күн бұрын
Huu ndio ukweli kwa wana congo na sisi waafrika
@RoseKimishabhalemi
@RoseKimishabhalemi 7 күн бұрын
Au isimamie
@santennko1195
@santennko1195 9 күн бұрын
Kama M13 ni watu wa congo sasa si waachwe wajiweke sawa wenyewe wanyooshe nchi kama Magufuli alivyojibu mwaandishi "niache ninyooshe nchi kwanza "
@benjaminmfilinge672
@benjaminmfilinge672 8 күн бұрын
Kagame ametawala mda mlefu sasa, itakuwa mabebelu wanataka kumfigisia ili atoke madarakani.
@Muhindolwandaelisha-q1v
@Muhindolwandaelisha-q1v 10 сағат бұрын
Baba huyu kangame amesema Kweli siyokangame ninanga najaa yawa congomani
@peacemwesiga
@peacemwesiga 10 күн бұрын
Mmmmmmh dah!!!!!!!
@JeanBaraka-pu5xo
@JeanBaraka-pu5xo 9 күн бұрын
hakuna un kuleta amani vita waondoke warundi.kwao.hakuna.wanachokifanya
@josephndia8559
@josephndia8559 10 күн бұрын
Kama kweli kwanini Rwanda inasaindia m23
@mwansi
@mwansi 9 күн бұрын
Inzoka inyenzi
@valenakomba7686
@valenakomba7686 10 күн бұрын
Muonyeshe tunsikie. Maana mwanzo mimi nilimsikia anasema wanatoka Uganda.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 9 күн бұрын
Kagame Acha Unafiki. Wachie Ndugu zako Congo Amani yao, Wazungu wanakutumia kutesa kuua na kuiba mali za Congo
@Atsonmasebo-j9i
@Atsonmasebo-j9i 9 күн бұрын
wewe unajua nini kuhusu mugogolo hu.
@MariamSaidy
@MariamSaidy 9 күн бұрын
Nikweli kagame anacho kiongea ni kweli watu wananufaika kutoka congo watu wanaingia kwa ajili ya kuiba tu mali za Congo twanda imejenjwa kwa nali ya Congo 🇨🇩 yani wote majeshi yange tolewa kama vita itakuwaga wajionhoze wenyewe kama wacongomani wenyewe
@anisiamchembe6552
@anisiamchembe6552 10 күн бұрын
Waafrika acheni kutumika na watu wa magharibi😊😊
@raymoszakayo2346
@raymoszakayo2346 9 күн бұрын
UN imeshashindwa kusuluhisha huko Kongo kwa miaka 30, sasa kisingizio ni Rwanda?
@nishimweissa3125
@nishimweissa3125 9 күн бұрын
Anacho kisema Kagame nikweli, UN nindumia tuwili kule kongo .watu wote watoke Congo,wawaachie wakongo
@Nyamayachumvi
@Nyamayachumvi 8 күн бұрын
Mnamlaumu kagame nawakati hana kiwanda cha silaha wala bandari ya kuweza kuingiza silaha hamjiulizi silahazinaingilia wapi inawezekana kagame kabebeshwa msalaba usio wake nawakati wachonga msalaba wapo wametulia na bandari zao
@danielosango1263
@danielosango1263 9 күн бұрын
Wote hao wanahusika hadi, Museveni
@AnangisyeMbughi-xw4ky
@AnangisyeMbughi-xw4ky 10 күн бұрын
UN iondoke Congo.Na Rwanda nayo iondoke ,wanafanya Nini Congo,Hawa ni wezi tuu.
@TeamKRX
@TeamKRX 9 күн бұрын
Jamani hana huyo UN mtoweni uyo wakongo anamaliza rasilimali zenu mulizeni Bokina faso kawatimua
@KasaKamanga
@KasaKamanga 9 күн бұрын
Kagame anaelekea pabaya. Atapigwa na wanainchiwako.mkewake alikimbia juzi saa8.na familia nzima.
@UwaseGoodluck
@UwaseGoodluck 9 күн бұрын
Richa ya mathilahi kagame kiwa kongo anlinda usalama wa nchi yake chisekedi anwasaidia waasi wa Rwanda
@MutabaiJeanpiere
@MutabaiJeanpiere 9 күн бұрын
Un ilimusadia kagame na akwawuwa wakimbize congo na wakamuficia sili
@yahsavechassala1037
@yahsavechassala1037 9 күн бұрын
HAKUNA VITA KATI YA RWANDA NA CONGO BALI VITA NI VYA WAKULIMA NA DHIDI YA WENYE SHAMBA SIKU ZOTE UN IKO KINYUME NA WAAFRICA KWA SIRI SANA
@evansjohn7766
@evansjohn7766 9 күн бұрын
Mimi naona tatizo kubwa ndi UN,kwanini imeshindwa kumaliza mgogolo wa DRC,inamaslahi nyuma ya m23,ningeomba UN,itoke Congo,and Kagame apewe mda wakutowa m23,ndoo turajuwa kwamba Kagame hana tatitizo na Congo.bila hilo hakuna kitu
@MahmoodAbas-x2y
@MahmoodAbas-x2y 9 күн бұрын
M-23 Wamepata nguvu maana wamepata uwanja wandege nanjia nzuli toka Rwanda na Ug kuingia Goma kilahisi.Burundi iwe makini
@manyusiabubakar4370
@manyusiabubakar4370 8 күн бұрын
Cha kua makini ,sio Burundi pekee yake . Hapa kuna agenda mbili . 1... Wazungu wapate njia ya kuba rasilimali za Congo 2... Kagame ,asaidiwe na wazungu ili apitishe agenda zao na MUSEVEN na RUTO . Ya Hima impire. Chakuzingatia NI kwamba ,MUSEVEN,kagame na RUTO ,wote NI kabila moja ,kutoka uko Ethiopia na Somalia 14 century, walipo vurumushwa na wa Somalia .. Kwa hiyo basi , walengwa NI wa 3 Kwa sasa ivi .DRC , Burundi na Tanzania .Kwa mana .. Uganda ,Sudan kusin , Rwanda na Kenya . NI za kwao ndio wanao ziongoza .
@issadullah2074
@issadullah2074 9 күн бұрын
Uyu kagame niwakupiga ili awe naadabu anayajua yote anafichua nn?
@maryam28-p4j
@maryam28-p4j 9 күн бұрын
Yuen walikuja kuhimbq ni waizi hakuna usalama
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 8 күн бұрын
Un ndo chanzo cha Migogoro kwenye bara la Afrika Mana Kagame amewekwa ndo chambo cha Migogoro ndan ya Afrika lkn nyuma yke kuna nchi kubwa kubwa Nk ila waafrika Simamen Imara kma Traore na Wengn waliosimama kma wao
@MoinamoinaSaid
@MoinamoinaSaid 10 күн бұрын
ndio asema ukweli lakini ? kwa Nini amekubali kutumika kwa wabeberu ???
@ljmarketlakhshov36
@ljmarketlakhshov36 9 күн бұрын
Kwa Maswali ya hovyo kama hayo Juu ya Rwanda ni ukosefu wa wa uzalendo wa panafrika M23 na wa Rwanda ni sawa na wamasai wa Tz na wale wa Kenya
@MudathirJamal
@MudathirJamal 9 күн бұрын
Africa union force wakowapi mbona ni upumbavu mtupu unaoendelea DRC Congo .UN wanafanya nini Congo miaka yote hao M23 mbona sio wa Congo nivibaka wa magharibi tunajua
@ManaKashindiDaniel
@ManaKashindiDaniel 9 күн бұрын
Mutakacho kijuwa congo haipigani tu na M23 wala Rwanda Bali inapigana na Marekani,France, pamoja na union European nzima.
@LabieliMaliko-n5x
@LabieliMaliko-n5x 10 күн бұрын
Kama rwanda hihusiki katikavita kwanni majeshiyake yapohuko kongo mm nisem tu sis waafika wenyew hatupendani nahatuyaki kujua kwamba huyomzungu tunaye msaidia mwishowe akisha patavileanavyovihitaj anarudikwake ulaya sis ndo tunaumia kwasababu tumetengenezewa chukizisiz namsing
@jumamnumbwa9483
@jumamnumbwa9483 9 күн бұрын
Umoja wa mataifa ni wakufukuzwa ndio maana bukina faso ,mali na guinea imewafukuza
@athmanaman4279
@athmanaman4279 9 күн бұрын
UN chanzo cha matatizo na mataifa ya magharibi..itolewe UN ya fatwe makundi moja baada ya kengine na umoja wa AU
@EzekielBisengimana
@EzekielBisengimana 9 күн бұрын
UN , Uganda, na Rwanda,ndio wana tuiba vitu madini Pia nawatu wametufanya biashara Kama wakimbizi YESU atusaidie
@ferdinandkamandi9028
@ferdinandkamandi9028 9 күн бұрын
Wewe Bisengimana upo mnyarwanda pia
@AllyIssa-l1j
@AllyIssa-l1j 9 күн бұрын
Kagame usiwe mbishi zuia m23 kuingia rwanda
@RaymondRaymond-p3e
@RaymondRaymond-p3e 9 күн бұрын
Un wezi
@dennisabuya4511
@dennisabuya4511 9 күн бұрын
I feel sorry for the common people who don't know why all this is happening. Don't ignore the so called mercenaries that were in drc. Those were not mercenaries but agents of different Europe countries including the main criminals in America. KAGAME is completely right this situation has been planned for a long time and everyone knew what was going to unfold. M23 are Congolese being manipulated to unstabalise congo for the looters to come and steal.
@JellyCiza
@JellyCiza 9 күн бұрын
Vita ya Congo nivita ya kihistoriya ndiyomana Tanzania kunawatuwana ongeya kirundi naniwa Tanzania nacongo kunawatu wanaongeya kirundi Nani wa congomani vile vile Congo Kuna watu wanaongeya kinyarwanda.wakatiwawa koloni walipo gawa mipaka makabila fulanifulani walibaki ngamboyapili .ebujiulize kwanini raisi wazamani Mobutu hajawatimuwa? Nikwasababu anaelewa true story
@martinesango9393
@martinesango9393 10 күн бұрын
UN itoke wanafanya kazi gani na Rwanda ndio kitumikisho cenu Kagame unaaribu Afrique yamashaliki
@remybaloji5949
@remybaloji5949 9 күн бұрын
Kagame nous dit que le m23 est une rébellion congolaise , mais lorsque l'armée sud africaine vient combattre cette rébellion congolaise pourquoi kagame pointe du doigt l'Afrique du Sud ??? C'est un menteur et un menupilateur hors norme !!!
@itumaelvis911
@itumaelvis911 9 күн бұрын
Kiekiekiekiekie 😂🤣 bado
@RaphaelKamau-h6p
@RaphaelKamau-h6p 10 күн бұрын
Kagame anaongea ukweli,UN mbona hawajapata suluhisho.
@malkiawagiza1327
@malkiawagiza1327 10 күн бұрын
Sasa jambo hilo ni wazi kama mchana UN ipo Kongo kwa lengo la kuchochoea mgogoro.
@AllyKategile
@AllyKategile 9 күн бұрын
Shida ni kagame haaminiki yeye alitokea msituni na kukaa madarani hivyo analipa fadhila Kwa walio muweka hapo Kwa kuwa sehemu ya mkakati wakufanikisha mambo yao wazungu. Na chisekedi asipokuwa makini watamuondoa madarakani
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 10 күн бұрын
VITA VYA CONGO DRC. UN,MAREKANI. UFARANSA NA RUWANDA WOTE WANAFANYA WIZI WA. MADINI. NDANI. YA. CONGO. WOTE. HAO WAONDOKE CONGO. KAGAME. NI MWAVULI UNAOTUMIKA NA MATAIIFA HAYO YANAO SABABISHSA VITA HUKO CONGO.
@EmmanuelKamaka
@EmmanuelKamaka 10 күн бұрын
Kagame kaamuakusema ukweli
@joharifarahani2739
@joharifarahani2739 10 күн бұрын
Anajikosha tu kwanini watu wakiwashambulia m 23 anaumia yeye ..yeye ndio kibaraka wa hayo mataifa ndio maana anawaumiza congo Ili aibe mali
@IsmailMaberi
@IsmailMaberi 10 күн бұрын
YANI AFRIKA TUTAKUWA NI WAJINGA SANA KUPIGANISHWA NA MATAIFA YA WAZUNGU
@asumanikabika850
@asumanikabika850 10 күн бұрын
Tatuzo kubwa hapo ni Rwanda. Waswahili wanasema jerani nindugu, na mahandikopia inakazia mpende jerani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Tatizo la Kagame anasau kuwa mzungu nikigeu-geu anasaidiana na wazungu kupora mali zawafrika wenzake kwa maslai ya muda mfupi. Ukweli nikeamba Rwanda wamesaini mikataba na mchi za magaripi yani Europian Union zakuwauzia madini wasiokuwa nayo ichini kwao.
@BarakaGodfrey-p9j
@BarakaGodfrey-p9j 8 күн бұрын
Hahaha Paul Kagame Who died four years ago, was replaced by someone in a mask made by his western Bosses. This toy did not show up in very critical situations of Rwanda, but now his strings are being pulled by his Bosses, to address English speeches to the entire world conveying his Bosses message. For the issue of eastern Congo, the so called Kagame, is playing his last Role before this name is omitted forever. What is happening now in Congo, is a tangible proof of the western hand in all kinds of impunity that we experienced in all these 35 years, where none could withstand their killing machines of Kigali. The truth shall win and our region shall be free of evel soon.
@LoistaSteven
@LoistaSteven 10 күн бұрын
Point yako ina mashiko. Ila Mzee wetu tunaomba ondoa jeshi lako pale Congo jitenge mbali na hii bita hapo huo ukweli wako mimi ninsona wazi upo sahihi. Wazungu hawakupendi Mzee wanakutumia kukuchsfua ili wavune hapo Congo. Leo wazungu wamekatwa wengi humo M23
@JedyKandul
@JedyKandul 10 күн бұрын
Kagame waliacha mkatabawa kumuingiza madarakani kabila unaoitwa makubalianoya ya lemela ndoo yanatesa wakongomani
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
Who is More Stupid? #tiktok #sigmagirl #funny
0:27
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН
MWACHENI TRAORE KAGAME AMEWALIPUA MANYANG'AU VIBAYA
10:24
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Рет қаралды 92 М.
KAGAME NI MBABE ILA IVI NDIVYO ALIVYO NYOSHWA NA KIKWETE TUJIKUMBUSHE
8:50
번쩍번쩍 거리는 입
0:32
승비니 Seungbini
Рет қаралды 182 МЛН