Рет қаралды 53
Tunaipongeza Serikali kushirikisha watanzania kutoa maoni ya Mpango wa Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii. Zamani ilikuwa kampuni kubwa tu lakini leo unaona uwakilishi mkubwa wa wachimbaji Wadogo. Ili mchimbaji Mdogo akue anahitaji kujifunza kwa wakubwa. Tunataka kuhakikisha Jamii inakuwa na amani kutokana na shughuli za Madini. Amani ni kipato, ajira nk. Itakuwa ajabu kuacha jamii iwe maskini. Niwahamasishe wachimbaji wahakikishe watu wanabaki na vitu vinavyoshikika. Wanabaki na shule, hospitali, ajira nk