Acha uchonganishi rammy galis mstaarabu sana anajielewa wachonganishi sana nyinyi haswa wcb
@maheeraltooby68623 жыл бұрын
Huyu kaka namkubali xnaa mm nipo Omani muscat
@bonnysureolkokolaboy43424 жыл бұрын
Wew Dada mtangazaji jaribu kufunika hizo vipaja kaa za kuku
@gullaalex65904 жыл бұрын
😂😂Jaman
@adsonjoseph89334 жыл бұрын
Mapaja kama miwa ya kilombero
@musichealsTz4 жыл бұрын
Mtangazaji mwenyewe amevaa nguo kinyume na maadili yetu.
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Rami unapendeza usipo suka ukiduka unakuwa mbaya
@healer42824 жыл бұрын
Weee nae vaa nguo nzuri viguu kama miwa vipaja viko wazi kama njiwa huini kama wajidhalilisha ama wataka diamond apite na ww nn wamvalia vituko?
@munaahmed84994 жыл бұрын
Yaan ana jina zur lkn vazi lake subhannallah mtihan kweli sijawah ona akivaa vzr kwakweli
@MohammedAli-vq2dk4 жыл бұрын
@@munaahmed8499 mpk Ramadhan ndo anavaa vzr
@munaahmed84994 жыл бұрын
@@MohammedAli-vq2dk sasa ndugu yangu Ramadan had Ramadan si kumchezea mungu ? Ni sawa na wale wanaoswali mwez wa Ramadan na ukiisha na swala zao zimeisha astaghafirullah mtihan kweli
@MohammedAli-vq2dk4 жыл бұрын
@@munaahmed8499 ndo hv watu tunaendekeza Dunia hatufikirii kesho yetu
@munaahmed84994 жыл бұрын
@@MohammedAli-vq2dk kweli kabisa
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Kwan leo umevaa nn jaman naona vinguu tu mm atasivielewi
@yudatadeshayo44344 жыл бұрын
Yaniii aliyaaa hivii unajiangaliaga kwenye kioo una miguu kama banio la ugali
@rehemahamisi99714 жыл бұрын
usimfokee 😁😁😁😁😁
@happyjohn58824 жыл бұрын
@@rehemahamisi9971 hahaaaaa kweli watu wana jock's mbaya za ngumi kabisaa hahaaaa eti banio la kupikia ugali tena lilee la mtiii hahaaaaa
@christophadismas89804 жыл бұрын
Wewe mtangazaji unawaziz kweli au Yatima unataka simba akuone hatununui kama matete
@hamisikalulumbe68574 жыл бұрын
Kwani we umevaaa sahihi apo
@innocentandrew4014 жыл бұрын
Hiyo rammy
@vicentbrown45034 жыл бұрын
mmmh tatizo iloo.....!!!
@delsonandrew93304 жыл бұрын
We ni Kioo cha Jamii wadogo zak unawafundisha nn?
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Dahaa unaongeaga vixur devi beby wako akikusikia anajivunia kuwa na wewe
@delsonandrew93304 жыл бұрын
We mtangazaji umevaa kinguo gan hayo ndo maadili
@kenybenjiz78504 жыл бұрын
Mnawatafutia watu kik naona
@SIMULIZIZONE4 жыл бұрын
Mjue "Dada wa Kim Jong-un, Mastermind mkuu wa utawala Korea Kaskazini, kzbin.info/www/bejne/j3fIqqN-ms2Dhtk kzbin.info/www/bejne/j3fIqqN-ms2Dhtk
@kombomwazini77484 жыл бұрын
Hjhhhjh eti muguu ya kuku
@oscarx59164 жыл бұрын
BMW ina kilometer 350,000😁
@dellamurphy74004 жыл бұрын
Anaazima magari ku show off kwa fans wake, nina ushahidi nae, nilicheka sana
@jessicabrown58854 жыл бұрын
@@dellamurphy7400 ushaidi kaa nao mwenyewe
@dellamurphy74004 жыл бұрын
@@jessicabrown5885 acheni shobo
@jessicabrown58854 жыл бұрын
@@dellamurphy7400 fala nn we si ndo mwenye shobo kufwatilia maisha ya watu
@professerayyub48254 жыл бұрын
@@jessicabrown5885 kbsa dadangu wajipe kazi wasio na kazi
@elvistv76014 жыл бұрын
Bongo movie ndo nn
@linuskide95494 жыл бұрын
Bongo movie ni aina ya chupi isiyovutika
@elvistv76014 жыл бұрын
@@linuskide9549 🤣🤣 we muhuni punguza bangi aseee
@linuskide95494 жыл бұрын
Kumbe unajua alaf unatuchoraaaaaa hahahahahhahaha
@ziadamkinga52544 жыл бұрын
Wa kwanza leo
@zawardrugemalira95174 жыл бұрын
Hv hyu dada kavaa nn hapo,kanaboa😏😏😏
@mkamemgesi17784 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@happyjohn58824 жыл бұрын
Hahaaaaa
@eliarichard92184 жыл бұрын
Ako kanguo na wewe vimiguu kama kuku.
@dellamurphy74004 жыл бұрын
Anaazima magari huyo kujionyesha kwa watu kama ana uwezo, stupid sana huyo
@ahmednoor14124 жыл бұрын
Nawewe kaazime..wivu tu unakusumbua na chuki za kijinga
@linuskide95494 жыл бұрын
Hapo nadhani ujawahi kalia hata sit ya gar unaishia za daladala kaaazime na ww kama unaaaona nikujionesha huna hela ni saawa unapig kelele
@dellamurphy74004 жыл бұрын
@@linuskide9549 kumbe na wewe mpumbavu kama huyo mwenzako, nina gari mzee, sina maisha ya kimasikini kama wewe, utakufa kufirwa, muache tamaa, kutetea upumbavu kama huko, fanya kazi umiliko gari lako
@linuskide95494 жыл бұрын
Mzeeeee huna maisha mzeeee waaandika comment wote hawanaga maisha
@linuskide95494 жыл бұрын
Na wish nikupe no uwone wa2 2navyotembelea maisha panya road ww
@AhmedSalah-ri3es4 жыл бұрын
Acha uchonganishi rammy galis mstaarabu sana anajielewa wachonganishi sana nyinyi haswa wcb