Ni mpumbavuuu sana uyuuu.alianza na mavokaali.sasa iv miso misondo na sasa anazingua
@SALUMUKATANI-u8b8 ай бұрын
Na gibela ya chinno kid umeisahau yaaani sijui kaishiwa
@jumaamohamed28158 ай бұрын
Hiyo nyimbo Akija nayo Wasafi Festival tunamzimia tena mziki kama Arusha maana sisi WcB Hatupendaji nyimbo za kudandia dandia na Atujapenda hiyo kitu"
@DizzoclassicSoundstz8 ай бұрын
Kaishiwa mashaili uyo kwanza hata jina la chui alimfai uyo dogo ajui kuimba
@hamiszali14348 ай бұрын
Nyimbo ni hit sana ,,huyu dogo alipaswa aimbe mwenyewe ili wamfahamu aseee
@yeasrmsafi71528 ай бұрын
Kwa hio dayoo haumfaham
@DavalsonMarlony8 ай бұрын
@@yeasrmsafi7152itakuwa mgeni uyo
@Maishanimaamuzi8 ай бұрын
Mpk kenya tunamfaam bana dayo yuko chonjo
@USDisdoomed8 ай бұрын
Mashabik wa WCB hao washamba sana,,,,msanii anaenuliwa vp sio kma wasanii wengine wanaiba nyimbo zawatu
@keithebest78538 ай бұрын
We ndo mshamba kama anataka kumsapot watoe nyimbo sio remix remix ni kumfanya msanii asikue
@Foundernationtz8 ай бұрын
Dooh rayvanny pia ni taper anajib messej fb. Kwawasanii chipkiz anawatapeli. Broh mungu yupo. Utayumba acha utaper
@user-yd8sp4es9n8 ай бұрын
Chui.🎉🎉
@HalimaJuma-de5gc8 ай бұрын
Mzee hata ya mavokali alipita nayo kweli hbakizi kitu ni zoa zoa 😢😢😢😢
@mrsinia30648 ай бұрын
😂😂😂
@aishabakari80408 ай бұрын
Kwakweli
@msafirisaidiire8 ай бұрын
tusemeukweli ni kwamba vanboi misuli mziki imesharegea awezi kufanya chocote bilia FT kondegang mwaka 2020 2021 alitaka kubadili upepo anachofanya vanboi alishutukia nyimbo zake azisikilizwi mtaani club REMIX
@emmanuelrobina48948 ай бұрын
Hakuna cha ku-support madogo… we fatilia kila ngoma anayoifanyia remix ndo inapotea
@HAFEEZABAKR8 ай бұрын
Chui king 🤴 🙌 💙 🎉🎉🎉🎉
@WilfredMuteti-wl4bp8 ай бұрын
Mm namuomba tu pesa jamani sina bana chui nisaidie ayse
@WilfredMuteti-wl4bp8 ай бұрын
Eti
@nicksonbrown32458 ай бұрын
Kwa sasa hana vibe lolote yupo yupo anapotea mshamba huyo 😅
@hanifamziray2778 ай бұрын
Mwachen alee mimba kwanza ameshuka sn kimziki
@PeterMalima-fc4tf8 ай бұрын
Iyo ngoma ni kali ila ina mapungufu Dayoo kaimbia makundi machache iyo ngoma kasahau makundi mengine kwenye verse zake kakomalia bodaboda na wamama wauza mbogamboga,sikilizeni ngoma kwanza usikute ina burudani ya nyongeza😀😀
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Amejima
@dreampachaofficial8 ай бұрын
Rayvvanny amebooma jamani 😢 heri tu angebaki wasafi masikini ya Mungu
@CHIEF_WA_BUJONDE8 ай бұрын
mimi napenda rayvanny wasani wachini wapo vizuri Mimi napenda dogo arikuwa ajurikani sasa tunapenda vani boy waonge tu watz washamba sana rayvanny wasani wachini yupo vizuri wimbo nimeupata vijijini vizuri
@HassaniHemedy-jf6dv8 ай бұрын
Daah rayvanny hana lolote huyo ani ana penda dezo dezo huyo hana lolo te huyu chui hasaivi amepotea kabis
@bokabecca54738 ай бұрын
Vijana wengi wana vipaji lakini hawajui nini wanafanya kwenye biashara ya muziki. Sidhani hata kama wanajua kwanini nifanye rmx wimbo wangu. Yani yeye ndio ameomba aufanyie wimbo wake rmx. Lakini tusimbeze sana kila moja ana njia yake ya kutafuta jukwaa, Makubaliano. Baadhi ya Wasanii wanaochipukia hutoa muziki mzuri lakini kwa ufahamu, akili zao za kutojiamini kwao hufanya kazi dhidi yao kuwa ngumu kutokana na kutoamini kuwa kitu kizuri kinaweza kutokea kwao. Lazima uamini kuwa wewe ni bora kwa kazi yako na kuvuma kwako kunawezekana.
@jamespilimo89868 ай бұрын
Hamna kitu huyo mzee wa kudandia,tena anaweka kwenye utube yake maana yake nn
@dannymarl20378 ай бұрын
Sipoa kwanini afanye remix upep zote anataka apite nayo 😂😂😂
@NeyoBreezy-ie1by8 ай бұрын
Mi nilikua nampenda rayvanny kutokana n'a alivo kua anaenda international anachapa mangoma Mara ma maruma Mara akafanya ivi Ila naona katudi nyuma kiasi kwamba ata kwenye top 5 yangu hakai ivi ju ya kujishusha vinyimbo tu bikivuma anarukia ata awe Nani Bira kutizama ye ni lever tena ameniangusha huu mwambaa kichizi yani
@Laughter_man8 ай бұрын
Dayoo sio msanii mdogo 😮😮 muheshimu bas
@RobsonWisdom8 ай бұрын
Saiz amekufa kimziki Hana ideas mpya anaenda na trending 😂😂😂😂😂daaa chui anatuangushaaaa
@Mtazyinstrumental8 ай бұрын
Kama dayo karuhusu watanzania bana
@Mtazyinstrumental8 ай бұрын
Kusapot hit ni kaz nyepes
@Mtazyinstrumental8 ай бұрын
Kusapot hit ni kaz nyepes
@juliusmagunila63088 ай бұрын
Kiukweli rayvann anapitaga na upepo
@Rafaeltuli-gw8ii8 ай бұрын
Mzee wa upepo
@nassercurtis95798 ай бұрын
Binadamu hawana wema wakikausha munawaona hawatoi ushirikiano wakitoa ushirikiano munawasema, angalieni tu ana viwers wangapi dayo na vany ana viwers wangapi, na istoshe huwezi kumsaidia mtu asiejitaihidi au kuonesha nia ya kusaidiwa nikimaanisha ushawishi, dunia ya sasa hakuna alietayari kuharikiwa kwa ajili ya mwengine.
@RajabuShaibu-m6d8 ай бұрын
Uko saw ila sio kumsaidia kwa kutoa limix nyimbo yake maan ukitoa limix nyimbo yake kumbuk unasukum guludum lako mbele maan tunaita upepo inakuwaj dayoo katoa hit song ndo utoe limix nae ulikuwepo wapi alipo kuw anaimba nyimbo zingine ukasapot ukiw staa msapoti dayoo kwa kufanya nae ngoma mpya na sio limix
@RajabuShaibu-m6d8 ай бұрын
Mfano uoni mondi akimsapot mtu uwa afanyi limix kaka angalia kafany nyimbo na jux ngoma emeenda maan ya kwamb kamsapot mpak jux mwenyew anasem ajawai kufikish viwazi wengi kweny ile nyimb alio fany na diamond na juz katok kumshukul na kumpa zawad pia j nako pia naw kafany na daimond pia emeenda na aijawah kutokea kwake kuw na hit song ambay mpak wazung wanaimba iyo ndo saport pia na wasanii wengine ambao wameshafany kaz na diamond ila ajawah fany limix nao katoa nao nyimbo mpya
@zenahnyale35518 ай бұрын
Hawa wataka kupoteza wengine
@giddie_barnabas8 ай бұрын
hata harmonize anaitabia
@bigirumanalululouise45408 ай бұрын
Kumekuchaaa😂😂😂😂😂
@deospackle21588 ай бұрын
Wanaocomment negative hawajui music wanadhani rayvanny anategemea tena trending za Tanzania anymore...waangalie interview za vanny boy za nje ya nchi...
@googleus49038 ай бұрын
RAYVANNY KAANZA KUFANYA REMIX YA "HUBA HULU" YA JAY MELODY, COMMANDO YA MAVOKALI, MISO MISONDO, NA HII PIA🤔🙄
@allenkwaya85948 ай бұрын
Rayvan sifa nyingi saana!! Huyo hana ideia yeyote hiyo akili hana
@CharlesLwinga-y5m8 ай бұрын
anafata upepo
@adamkapolo88178 ай бұрын
Hana jipya
@eliusjulius35318 ай бұрын
Hata mimi nimekasilika sana, harmonize na van boy wamekua na hiyo tabia, sijui wamechoka ama shida iko wap
@ilynpayne74918 ай бұрын
hapana harmonize hana hizo pigo mwenye tabia hiyo ni rayvanny
@JbabaMzikimnene8 ай бұрын
Hivi wewe boya unaongelea harmonize yupi funika bakuri lako wewe bwege ..harmo ukifanya ngoma nayy unaenda town sio kama huyu paka anaejiita chui anakuharibia ngoma yako
@HalimaJuma-de5gc8 ай бұрын
Unaota amka ukojoe konde unamjua ww au unawashwa
@doreenmsafari29458 ай бұрын
@@HalimaJuma-de5gc😂😂😂😂😂
@BigZhumbe8 ай бұрын
@@ilynpayne7491 Hujasikia ngoma Remix ya Tabulele aliyopiga Korosho boy?
@Akbar_Rich108 ай бұрын
Mapopo Gibela Misomisondo Huu mwaka 😂😂
@mirroyjunior83488 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwezzireen178 ай бұрын
Chui all the way
@ilynpayne74918 ай бұрын
atunge nyimbo zake tuna mchoka kwa ufala wake
@gaspergasper98308 ай бұрын
Yani ili apone arudi wcb kwamagoti mana anapoye kama rich mavoko sasa itabaki story
@Jaydannychawaboy1.8 ай бұрын
Mih nadhani hajakosea kwa lolote lile maana ye ndo alieombwa remix 😢😢😢😢😢❤❤❤
@salmonmkanula37188 ай бұрын
Anazingua Sana jamaa
@BigZhumbe8 ай бұрын
Vanny Anazingua sana
@FakiBuzwhite-no6re8 ай бұрын
Oi icho kitu kweli uyo ni mzee wa remix
@obizowizzy94328 ай бұрын
Rayvanny hawez tafuta upepo kwa nyimbo kama io na dogo ndo kamcheki broo kwann asi show love kwa mdogo ake,
@alawisaid2808 ай бұрын
hizo ni dalili za kushuka kimziki Hana ubunifu tena
@vincentmushi12478 ай бұрын
Hata nyinyi SnS mna ubaguzi...angekuwa harmonize kafanya...msingeichambua hivi...bali mngemsifia sababu anawapa maokoto...chui akifanya vizuri hamumsifii....kazi kumponda tuuu...hasa ww Chris fevaz una kiherehere sana...ebu badilika uwe na usawa...unaboa sana Hakikisha unaisoma hii comment maana umesema uwa hauruki comment 😊
@jadenmsafi8 ай бұрын
Ni wajinga hawa
@Anthonyzombie-d2s8 ай бұрын
Chui king piga kazi bro
@nicolenabintu25098 ай бұрын
Sofi amelowa 😂😂😂😂
@official_kingnabiryOg8 ай бұрын
Ila Rayvanny katumwa bwana ana kela sana 🙏🙏🙏
@alibachirofficial39398 ай бұрын
Nikweli is killing upcoming artists
@abdulkarimmtumwa30398 ай бұрын
Sio poa kabisa
@SALUMUKATANI-u8b8 ай бұрын
Rayvanny kaishiwa
@juniorchobobachaboba15818 ай бұрын
Another Hit Song
@ilynpayne74918 ай бұрын
atunge nyimbo zake tuna mchoka kwa ufala wake kila msanii afanye nae REMIX
@Oldskulgemini99918 ай бұрын
Ameshaisha huyo
@Ommyson.8 ай бұрын
Anazingua😢
@erickzephania10308 ай бұрын
ASAKE WA TANDARE VP..!? mnamuogopa au.. mbona anakopi kuanzia beats, videos, melody, tone za watu mpaka muonekano mpo kimyaaa... na ndio atakuwa kawafundisha vijana wake kutembea na upepo
@fj83178 ай бұрын
Punguza chuki huyo unayemuongelea ndo msanii mwenye mafanikio zaidi Afrika mashariki