Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
@mcnyota6 ай бұрын
God*
@maufijose22946 ай бұрын
Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
@Gabonfreeman6 ай бұрын
Chid Benz Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
@fatumamfumia45076 ай бұрын
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
@ngellamickyofficial6 ай бұрын
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
@venasalbert39306 ай бұрын
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
@user-wt9nd8bh2h6 ай бұрын
President of Dar City
@Whoisthismantalking6 ай бұрын
broken watch tells right time twice a day.
@user-qs8td6yt4x6 ай бұрын
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
@jdanny4976 ай бұрын
Well said
@uwezokinahi78706 ай бұрын
This dude is smart
@user-hb7mq8lg9e6 ай бұрын
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
@thadeusmahendeka44666 ай бұрын
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
@modelka2226 ай бұрын
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
@user-jc8el6je5e6 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
@dj_jmoon_tz6 ай бұрын
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
@whiteAfrican835 ай бұрын
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu Respect bro
@muzafarsharif94656 ай бұрын
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
@boscokikoti6 ай бұрын
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
@sydneympiluka79596 ай бұрын
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
@user-vo7zt3ph2g6 ай бұрын
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
@nabbeely52955 ай бұрын
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
@goldenjunior_tz6 ай бұрын
This guy ni genius
@levygasper74386 ай бұрын
M Ayo Tv Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
@alimatambwe34026 ай бұрын
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
@aishamohamedi3626 ай бұрын
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
@erickdioniz82776 ай бұрын
Chid safi hiyo nimeikubali sana
@devidjav35836 ай бұрын
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
@stephenmwanzake6 ай бұрын
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
@Sebastian-ul7wg6 ай бұрын
Legendary welcome back brother
@issasaad34036 ай бұрын
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
@Pathro_Cavosia6 ай бұрын
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
@hari_meshi6 ай бұрын
Drugs are a bad thing to human
@MulababazOG6 ай бұрын
Chidi benz noma sanaa Bonge la genius
@Mwenyekiti11186 ай бұрын
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
@merrynancesimon15626 ай бұрын
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
@ZabourahIthnain-cz5vm5 ай бұрын
Chidi for life
@user-hj6yd6jb6x6 ай бұрын
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
@agustinealberty6 ай бұрын
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
@MichaelJames-tp6co6 ай бұрын
P1 sana chidi, big up sana mzee
@waelewaclassic18246 ай бұрын
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
@zenawahindi24256 ай бұрын
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
@Immahjr6 ай бұрын
Chid Benz mtu poa sana
@walinaziontime73006 ай бұрын
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
@Daladalamedia6 ай бұрын
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
@irenematari62186 ай бұрын
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
@butondodavid21056 ай бұрын
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
@richie_Jk6 ай бұрын
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
@koalaness89215 ай бұрын
Nipe top 2 yako walobakia
@richie_Jk5 ай бұрын
Unju na Fidii
@Chrisblaze-beats6 ай бұрын
Bro we Roll❤❤
@JonathanNsweve6 ай бұрын
Chini ni noma
@ezekiambise25956 ай бұрын
Mungu amsaidie.
@MakalaSimulizi6 ай бұрын
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
@user-kx1ou3ez7q6 ай бұрын
Jomba ni noma sana Benz
@kalmaarufuofficial746 ай бұрын
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
@emmanueljackson54456 ай бұрын
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
@mikasiadventures67095 ай бұрын
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
@Gabonfreeman6 ай бұрын
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
@damianjeremia38216 ай бұрын
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
@michaelvincentmhagama3375 ай бұрын
Upholding humanity
@officialchidibenz6 ай бұрын
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
@alexwatae31656 ай бұрын
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
@ericmuthiani16766 ай бұрын
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
@Whoisthismantalking6 ай бұрын
I love this 😅
@mfalmekaitaba24256 ай бұрын
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
@roberttaigo92166 ай бұрын
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
@user-qn1yq1pi7p5 ай бұрын
Nice chidbenze👍
@dullahzebuffa6 ай бұрын
Safi sana aiseh
@VicentMillanzi-tw9qe6 ай бұрын
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
@kinotasontravel20936 ай бұрын
Chiz Benz big up bro
@user-fc3og1eo3x6 ай бұрын
Salute bro
@fischerkashaija32146 ай бұрын
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
@catewahu68605 ай бұрын
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
@noelkibere82086 ай бұрын
Ushakuwa wenge BCBG aisee
@d-manb-free34786 ай бұрын
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
@saidilome-ue2df6 ай бұрын
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
@kinotasontravel20936 ай бұрын
Chiz sio mbinafsi 100 💯
@nyamweririchard59456 ай бұрын
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
@ramadhanomar83466 ай бұрын
It is about love
@linusjoseph84546 ай бұрын
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
@onesmolwambano93496 ай бұрын
Fact
@RabiaIddi-ci2uz6 ай бұрын
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
@malikzafarani1726 ай бұрын
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
@chiefshonelyzbeth58446 ай бұрын
Safi sana
@Heal-with-Dodo6 ай бұрын
Nyie chid hayupo sawa😕
@hancykajanjathelimitmusic4276 ай бұрын
Hakika bro chidy
@AmaniMcharo-wn3ul6 ай бұрын
REspeCt chid benz 😂😂😂
@MalickMazikublood-gq2fs6 ай бұрын
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
@salimaziz98586 ай бұрын
Kuna kipande kimekatwa 16:58
@bittersweet16836 ай бұрын
I like this
@minhokid6 ай бұрын
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
@mackhanssa24846 ай бұрын
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
@demask34236 ай бұрын
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
@amrozwhite10736 ай бұрын
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
@pajokakasasa6 ай бұрын
Chidy akili nyingi sana
@ibrahimaziz71586 ай бұрын
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
@bedastusmichael78116 ай бұрын
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
@officialmanji44386 ай бұрын
King Kong 😮
@chiefkissensi6 ай бұрын
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa. ChidKing🇹🇿
@DanielMarwa-ep8qr6 ай бұрын
King kong❤
@hclever77316 ай бұрын
Et pipa na mfuniko😂😂😂 Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
@newforcejv97216 ай бұрын
Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka
@neviyuzzle39056 ай бұрын
Nice
@ringicnation37226 ай бұрын
King chidi
@user-kd6qq3fh7w6 ай бұрын
Bado ngoma imewaka
@smilereigner6 ай бұрын
Pipe na Mfuniko😅😅😅
@mdumashop74236 ай бұрын
Mtu anaakil sana huyu
@cobrachristian36856 ай бұрын
Jama ni philosopher wanaoelewa anacho zungumza wachache sana
@HusnaSimbila6 ай бұрын
Kabisaaa anaongea mambo mazur
@williamkeita15196 ай бұрын
Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂
@frankmichael19686 ай бұрын
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu
@isalohsk47626 ай бұрын
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact