Jamani huyu mkuu wa mkoa tusipo mpa like zake tutakuwa hatumtendei haki tuanze mimi
@gelsonyusto77725 жыл бұрын
Appreciate saana kiongozi mkuu wa mkoa tabora na pia heshima kwako Millard ayo kwa habari zako naelimika kuptia katka vipind vyako pia na burudika salute saana Millard ayo
@aliarkam14135 жыл бұрын
Huyu ndio kiongoz ambaye mfano kwa wengine , Hongera sana
@amanimnyanga20025 жыл бұрын
Shikaa mooo baba
@mahamudusaidi80705 жыл бұрын
Ali Arkam mambo bambamb
@aginiweyessayakyando98555 жыл бұрын
Mzee nampenda sana, hlf huyu mzee anaupendo wa ukweli juu ya watu anaowaongoza. Mungu akubariki sana.
@doctorjuniour94595 жыл бұрын
YAAN HUYU MKUU UTADHANI NDO MKUU WA MIKOA YOTE. Jamaa anatema facts
@anithermsigwa5 жыл бұрын
Kaongea point sana watoto ndo hazina ya muhimu ni wa Jamhuri kweli ayseee👏👏👏👏👏
@halimamasai22345 жыл бұрын
Huyu ndo kiongozi bora mungu akulinde
@naipendaamaniniliyonayodai63995 жыл бұрын
Nakukubali sana Mzee Mwanri,,endelea kupiga kazi mkuu we admire you sir!!
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Kabla cjafunga hii taarifa nikiangalia kichwa cha habar tu Nacheka, uyu Baba ni jembe 😂😂😂😂 *Hiyo pombe ina darubini??*
@pauloslegray74385 жыл бұрын
Saumu Hassan anaigiza au anachekesha
@mahamudusaidi80705 жыл бұрын
Bam bam tutoo tunatembe tutako
@yunusyusuf46145 жыл бұрын
jembe kama ww huyo
@joelsule41115 жыл бұрын
Nadhani tunaweza kumchukulia kama comedian flani hivi! Yuko siriaz na kazi na anamaanisha anachokifanya tena kwa ujumbe wa kirafiki, lkn ni ujumbe unaowalenga wanyonge ambao hawajitambui! Hii kazi hata ustawi wa jamii baadhi yao hawazi kutupatia japo ndo wajibu wao. Hongera sana Mh. Rc Tabora. Kwa maoni yangu wewe ni kiongozi unajitambua na kujua mahitaji ya jamii unayoisimamia. Mungu akulinde wakati unatimiza majukumu yako!
@omarjumanne44715 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa nakuunga mkono chukua hatua wanaume na wanawake pia hawatunzi watoto ni kweri kabisa
@mathazakayo2885 жыл бұрын
huwa nakukubar sana
@habibalkindy28115 жыл бұрын
nakukubali sana mkuu wangu was mkoa natamani uongoze tabora miaka 800000000000000
@ibrahimkhatibu45615 жыл бұрын
Hiki kipande cha mama unafungua au ni ingie nao nan anipe jamani😂😂😂😂😂😂
@dellasimulizi5 жыл бұрын
Mkuu wa Mkoa kiboko kabisa.
@fadhilynolasco73395 жыл бұрын
Kiboko huyu jamaa
@mohamedsaidmohamed86645 жыл бұрын
Huyu mulimtoa wapi??...tunataka watu kama huyu bwana kila mji
@ablysonco88505 жыл бұрын
Half Dada Adela hv zile simuliz zako ulizokuwa hukzsimulia enz zile za mwaka 2009 in passion fm kila weekend...nmezmis sana hem fanya huz upload in you tube ili tupate mafunzo maana dah nlikuwa nakufatilia sana...
@muhammedyusuph51054 жыл бұрын
Ntumie namba yako au ntafute 0654033141
@faridahhamza87045 жыл бұрын
Dahhh yaan mkuu itabidi nihame tanga nije tabora kuanzisha makazi kwa ajili ya kasi yko ya maendeleo nimeipenda sana
@faridamkesso975 жыл бұрын
Safi sana Mwanri kwa kujali wananchi wako , hongera sana
@godlistenswai89555 жыл бұрын
Anapiga nguchu hahaaa
@faridamkesso975 жыл бұрын
@@godlistenswai8955 yaani huyu Mwanri angekuwa mwalimu wanafunzi wangefaulu sana maana anambinu za hali ya juu kwa kufikisha ujumbe yaani ni kiongozi bora nampa 100 %
@godlistenswai89555 жыл бұрын
@@faridamkesso97 namuelewaga sanaaa
@kizitokasulamo91674 жыл бұрын
Mke wa mganga ni mnene utafikili behewa 😂😂😂😂😂😂
@badmanno.16505 жыл бұрын
Pombe yenye darubini..walevi hawana maana kaabisa..nashangaa serikali zetu zimengangania bangi tu..Mwanri for president
@magynzioka11225 жыл бұрын
😂😂😂wakenya tunakupendanga sana tu una chekesha but ni kweli
@franklusangulo41565 жыл бұрын
yuko poa and real
@magynzioka11225 жыл бұрын
@@franklusangulo4156 like you see😂
@hassanisadiki8245 жыл бұрын
Bx tutaandaa shooo huko Kenya ili mumuone vzr lkn kiingilio ni 2000ksh
@magynzioka11225 жыл бұрын
@@hassanisadiki824 vile tuna mpenda tutaingia hata na zaidi ya izo mahana hakika hatufunza mengi kwanza ukiwa kiongozi unatakiwa uwe mtu tu wakawaida unongea kulingana na hasa matokeo halisi hanamengi mazuri ya kua kiongozi na kuingwa upenda kuva usika wake akiwa kazini kama mwanainji ujisusa thamni na kukaha kama wanaiji wake hakika kukiwa kama hawa kumi tazania itakua ulaya
@kilangodole44255 жыл бұрын
oi natafuta mke mkenya hasa kutoka mombasa nimekuchek upo poa sana
@liobajoseph82555 жыл бұрын
😂😂😂mwanri mbavu zangu, we ni kiongozi safi Sana, maendeleo ya taifa yanaanzia ngazi ya familia
@pauloslegray74385 жыл бұрын
Lioba Joseph mungu amjalie maisha mazur
@shabanrajab3135 жыл бұрын
,
@ernestkaria59385 жыл бұрын
Mzee nakuelewaga sana.... Mlevi n kama mshenzi flanii HV.
@aluteharija94025 жыл бұрын
Yup
@leonardkalage85915 жыл бұрын
zoo
@sylivestercouncellor75115 жыл бұрын
hongera mkuu wa mkoa wa tabora
@Ba638285 жыл бұрын
UNAONGEA BUSARA SANA I LOVE YOUR INTERACTION WITH THE PEOPLE JAMII IKUZDISHIE
@maxmilianjoseph80655 жыл бұрын
Uteuzi wako umetukuka baba...Maneno yako ni hazina kubwa sana kwa atakayeyatafakari na kuyafanyia kazi...Mungu akubariki
@yosiamboya7695 жыл бұрын
Hakuna mkuu mkoa anaefanya kazi bora bila visasi kama huyuuuuu adumu mi aka yote
@filbertchulla98815 жыл бұрын
safi Sana MKUU Mungu akubariki sanAaa
@ufc-ultimatefightingchampi84565 жыл бұрын
God Bless you. you are hero
@margaretwambete12285 жыл бұрын
Kweli kiongozi.Okoa familia jameni.Asante .Mkenya from london.pongezi.
@denismabubu2915 жыл бұрын
Hengera sana MKUU wetu from morogoro tz
@goodlackhabati49385 жыл бұрын
kwel hawasikii wapashe
@m.amanitv85345 жыл бұрын
Duh Tabora mmepata kitu na Box Nawaonea wivu
@madadamadada14025 жыл бұрын
Hahahaba
@freddymello32275 жыл бұрын
Huyu ni Mwalimu wa maisha zaidi ya kuwa mkuu wa mkoa.anachoongea ni zaidi ya elimu kwa familia zetu.ni wengi tunakosea! binafsi nashukuru kwa elimu hii uliyonipa mheshimiwa Mwanri.
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
😅😅😅😅duh lakini huyu baba ni mwema..tutako twa watt inje inje😭😭😭
@marystelaswai51745 жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂
@salomebenson44915 жыл бұрын
Hahahahaaa yan hapo nimeangua kicheko kam kichaa 😂😂😂😂😂😂
@emmanuelmoses83404 жыл бұрын
Nampenda san,mkuu wa mkoa wa TABORA kwa sabau ana wafanya watu kuwa ACTIVE WAKATI WOTE Aa namkubal san piga kaz mzee
@izdoryb.barnabas17945 жыл бұрын
Wewe ndo baba Wa mkoa kweli kweli!
@AbdullaAbdulla-pw5nd4 жыл бұрын
Ww Mzee unayoongea yote mazima halafu ulivokiongozi mzuri 💯💯 huongelei siasa zile zakichama wewe unaonelea siasa ya kuielewesha jamii
❤❤watoto hawawezi kula kipolo😂😂 nakupenda san babaangu naangqlia 2023
@noelbryson78405 жыл бұрын
Walevi ni washenziii ( Hapa nakuunga mkono)..😂😂
@maombimpola53715 жыл бұрын
namkubar xn
@catherineriwa64885 жыл бұрын
hahahhahahahaha🤣🤣🤣🤣aiseenomna Sana mke WA mganga mnene Kama behewa
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Somo linaingia! Mwanri kiongozi safii
@shabanrajab3135 жыл бұрын
Natakapicha
@manenoalex74535 жыл бұрын
sukuma ndani wooote
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Big up Sana unajua kunifanya nicheke niwapo na hasira
@frankfiretz5 жыл бұрын
Mzee wa sukuma ndaniiii,somaa hiyoooooooo Tisha Sana RC
@joachimhancemwakoba82835 жыл бұрын
😂😂😂😂😂oyee baba mkwe Mwanri
@rosekimario82595 жыл бұрын
Daaah kweli huongei uwongo ni kweli kabisa hasa rombo ulevi umekithiri na hakuna kinachoendelea
@annachristopherokeno93875 жыл бұрын
Asante baba pigs kazi shuka nao Moja kwa moja
@phoebemmanga2995 жыл бұрын
Mkuu una Kipaji cha UONGOZI. Hongera sana.
@banshbansh23295 жыл бұрын
kweli kabisa tabora na mwanza waongoza kwa ulevi hawajali familia zao alafu wakorofi sana
@njeerysalum58625 жыл бұрын
jamanii naomba awe mkuu wamkoa arusha
@emanuelf.mwakimbu30485 жыл бұрын
Uyu anafaa mikowa yote
@asueddy14655 жыл бұрын
Weeeeeee aje Mbeya huyu
@calvinmaimu29555 жыл бұрын
Njeery Salum aliwahi kuwa DC hapo arusha 1995 na baadae alienda kuwa mbunge wa hai ndipo alifanya juhudi za kupata wilaya ya siha akawa wa siha mungu amjalie akaifufue tabora iliokuwa imeanza kufa
@dorinmboya37705 жыл бұрын
Me pia natamani ingependeza
@kakazikwe22715 жыл бұрын
Njeery Salum we toka hapa, nyie c mnae mrixho gambo sjui?
@jumanguya91164 жыл бұрын
Weee weeee Weee Nyamaza kabisa hahahahaaaaaaaa watoto wajamhur
@iddirashid80385 жыл бұрын
hahhahaha et mlango utafungua au niingie nao😃😃😃😃😃😃
@saumuhassan63655 жыл бұрын
😂😂😂
@mahamudusaidi80705 жыл бұрын
Iddi Rashid napiga guchu
@oscarleizer4045 жыл бұрын
Nakubana kama clamp taaap 😂😂😂
@janethjustin52565 жыл бұрын
Your My Best RC for sure 😘😘😘
@ronniebertin35632 жыл бұрын
Mzee una point
@luindamchwakanigee48115 жыл бұрын
Mkuu Saluti Kwako
@samsonjoseph73205 жыл бұрын
Tabia ya pombe ni kuahirisha matatizo yako Kwa muda. Mlevi ni mshenzi na mshenzi ni mtu yeyote ambae si msitaarabu.
@briannyiti2085 жыл бұрын
Hiyo pombe ina darubini😆😆😆😆
@muammarghadaffi35545 жыл бұрын
No.1 on trending RC.......
@estamelejomah5725 жыл бұрын
tabora oyeeeeee wakileta mchezo swekelea mbali
@Crownvalz5 жыл бұрын
Kama naiona nyimbo itakayotoka kwenye hii video...😂😂😂
@neema.shaoshao13615 жыл бұрын
Unanifuraisha sana maana unaweka msisitizo asiye kuelewa sukuma ndani
@Ambweneonlinetv5 жыл бұрын
*_somaaaaaaa hiyoooooo_* 😂😂😂😂😂
@saumuhassan63655 жыл бұрын
*JIfanye kama unakuna kichwa* 😂😂😂
@Ambweneonlinetv5 жыл бұрын
Saumu Hassan 😂😂😂😂😂😂😂
@Ambweneonlinetv5 жыл бұрын
Pemba Tv injinia 😂😂😂😂
@nbfchisotta37495 жыл бұрын
Unafungua au niingie nao?!!😂😂
@adamalibhai49215 жыл бұрын
Aggrey ameongea ukweli halisi kabisa wa tanzania
@josephmakyao10955 жыл бұрын
Mkuu unanipa matumaini ya uongozi bora ktk nchi hii mm naomba mkuu wa nchi akupeleke tamisemi ili hzo juhud uzifanye nchi nzima mungu akubariki sana
@erastojacob174 жыл бұрын
Wewe ni kiongozi wa kweli.
@kimbokageorge26465 жыл бұрын
Wachagga wajanja Tanzania 1.Rc Aggrey mwanri 2.George mushi kimboka
@officialjclever98795 жыл бұрын
Kama umesikia bam bam gonga like
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Urevi ni adui wa maendeleo,jamani shenzi kabisa walevi
@amosamos60785 жыл бұрын
Salute kwako mkuuuuuuuu
@popperkuch6695 жыл бұрын
Mh salute kwako
@felixkamkala33035 жыл бұрын
Ninakukubari sana mzee kwakweli Ongera ninatamani na mimi niwe kama Kiongozi kama wew aisee safi sana