NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UCHAWI BILA KUPATA MADHARA (III) - PASTOR SUNBELLA KYANDO

  Рет қаралды 20,560

Reality of Christ Church

Reality of Christ Church

Күн бұрын

UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our KZbin: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando KZbin
/ @pastorsunbellakyando

Пікірлер: 31
@mosesfrancis3946
@mosesfrancis3946 2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi kupitia somo hili.
@Esther-gy6gl
@Esther-gy6gl 2 жыл бұрын
Amen. 26/12/2021 09:25HRS
@bettyjohn8933
@bettyjohn8933 8 ай бұрын
Ameen pastor somo nimelielewa yaani nahisi kama hili somo ni langu Mungu akubariki Pastor
@beastforever734
@beastforever734 Жыл бұрын
Kanisa lake liko sehemu gan na mkoa gan msaada jamani
@romanus6219
@romanus6219 Жыл бұрын
Ni kweli mtumishi watu tunaonewa na wachawi lakini kimwilj hatuwaonikwa macho
@jacklinemashenene5976
@jacklinemashenene5976 Жыл бұрын
Mtumishi hiyo siku ya kuonana na mtu mmjammoja nisiku ipi niko shinyanga
@mthiaspaul
@mthiaspaul 9 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati.
@lindahkeverenge8496
@lindahkeverenge8496 2 жыл бұрын
Amen GOD bless you Man of GOD 🙏l salute you 🙏 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dorothyezzie2136
@dorothyezzie2136 2 жыл бұрын
Mimi ni mjane naishi Nairobi Kenya na wanangu nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa Mungu naweza kuwasiliana vipi nawe mtumishi?
@barmedastv
@barmedastv 2 жыл бұрын
ASANTE BALIKIWA
@victoriamaige2862
@victoriamaige2862 Жыл бұрын
Mch unaongea na maisha yangu lakini nikupateje huo mfano wa mtumishi ni mimi kabisa ht mimi imeshindikana kbsaaa kuishi na mume wangu ni mkali balaa huduma imekataatumetengana ni wewe wa kunisaidia mtumishi sipo Tanzania nisaidieni
@gloriachalle4532
@gloriachalle4532 Жыл бұрын
Amen
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 жыл бұрын
Mhh asanteh najifunza hapa namimi ndio wale wa kutafuta pesa mahusiano nimeyaweka pembeni,nilifungiwa lango la biashara nikaamua mpk kuondoka Tanzania,nilipokuja nilipo ninaona Mungu ananitengeneza sasa kufunga na kuomba kumekua ni kawaida tofauti na mwanzo kifupi nahisi nimeletwa patimo. Najifunza hapa Pastor najidisconect ktk miungu na roho za kichawi.
@omantel4680
@omantel4680 2 жыл бұрын
Kweri
@bethmbwilo3092
@bethmbwilo3092 2 жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Bwana,nabarikiwa sana
@annemusau6734
@annemusau6734 2 жыл бұрын
Lango langu please naliona
@bennymisheto1655
@bennymisheto1655 Жыл бұрын
😊
@neemasaidisaid1791
@neemasaidisaid1791 2 жыл бұрын
Amen amen amen amen amen amen amen asante yesu kwa ujumbeee huuu
@sifasylvie3941
@sifasylvie3941 2 жыл бұрын
glory be to the almighty god amen
@reeneyfredy2569
@reeneyfredy2569 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 жыл бұрын
tumbo kumbwaa... wizi wa sadaka tuu
@celinamutta5058
@celinamutta5058 2 жыл бұрын
Lazima u-comment? Kwani wanaoibiwa wamekulalamikia? Waache watu na imani zao na wewe baki na yako. Ikikupendeza basi usifungue chanel yake. Kuwa na staha!!
@Jastus100
@Jastus100 2 жыл бұрын
Bwana akukemee
@Jastus100
@Jastus100 2 жыл бұрын
utakuwa mchawi wewe anatoa Siri zako 🤣🤣 Pole sana
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 жыл бұрын
Asanteh pastor,kupingwa sio sababu ya kudhani unachofanya sio cha kimungu,nilivunjika moyo nilipopingwa na mbaya zaidi hata niliokua naamini wako upande wangu walinipinga.
@damiandaniel6468
@damiandaniel6468 2 жыл бұрын
AMEN AMEN
@musungumakabwa743
@musungumakabwa743 2 жыл бұрын
Amen
@Esther-gy6gl
@Esther-gy6gl 2 жыл бұрын
Yesu Kristo naomba break through Leo uchawi wowote unaofanya kazi kwenye maisha yangu baada ya Maombi haya Yesu unifungue kwa gharama yoyote Ile, katika Jina lako Yesu Takatifu. HAZINA ZANGU ZOTE nazipokea sasa katika ulimwengu wa Damu na Nyama.
@jackiemaggy2484
@jackiemaggy2484 2 жыл бұрын
Ameeeen man of God
@happinessmtani7621
@happinessmtani7621 2 жыл бұрын
Nikiwa binti mdogo nilikua naota naendesha gari na nimebeba familia yangu yote lakini mpk sasa sijawahi kununua gari,mwaka jana ndoto hizo zikaanza tena na nikaona nikwa na kijana wangu hapo ndipo nilipoanza kumtafuta Mungu na kumuomba hazina zangu zilizofichw,Pastor naamini unachozungumza.
@christermlewa8471
@christermlewa8471 11 ай бұрын
Amen
Ukweli wa tatizo ulilonalo- Min Sunbella Kyando
1:15:48
Reality of Christ Church
Рет қаралды 19 М.
JIFUNZE KUELEWA UKIMYA WA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:10:34
Reality of Christ Church
Рет қаралды 155 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
Which One Is The Best - From Small To Giant #katebrush #shorts
00:17
OYUNCAK MİKROFON İLE TRAFİK LAMBASINI DEĞİŞTİRDİ 😱
00:17
Melih Taşçı
Рет қаралды 12 МЛН
NAMNA YA KUEPUKA MIGOGORO 2023
42:49
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 14 М.
MWISHO WA UCHAWI BY PASTOR SUNBELLA KYANDO
56:45
Reality of Christ Mwanza
Рет қаралды 10 М.
HII NDIYO SIRI ILIYOPO KATIKA ARDHI AJABU SANA!!!!
1:07:09
NABII JOE (PROPHET DR. L.A JOE)
Рет қаралды 566
MIPAKA YA KIJAMII
1:09:10
Living Word
Рет қаралды 75 М.
NAFASI YA VAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
17:14
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 8 М.
MITEGO YA ADUI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO (NYAVU) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:28:49
Reality of Christ Church
Рет қаралды 57 М.
MATESO YA FAMILIA (SEHEMU YA PILI) - PASTOR SUNBELLA KYANDO
1:03:02
Reality of Christ Church
Рет қаралды 36 М.
MWISHO WA UCHAWI SEHEMU YA PILI - PASTOR SUNBELLA KYANDO (MWANZA)
1:35:44
Reality of Christ Mwanza
Рет қаралды 1,7 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН