Hahaha maharago uyu sheikh ananichekeshaga sana na kiswahili yake kiswahili chake sijuwi cha wapi ila mansha allah anajuwa kiswahili njoo kinamsumbuwa kidogo
@leilahassan67314 ай бұрын
MashaAllah nim funny.shekhe wetu ni mkenya, anaishi mombasa but from lamu ndio unamsikia na hyo accent
@gangstabiraza6 жыл бұрын
Jazakallahu kheyran ya ustadh Izudin. Naomba kuuliza suala: je, ni nini hukmu ya kununua nyumba kwa njia ya ‘mortgage’, yani unalipia kwa kila mwezi kwa maengezo (interest)? Pia, bank za kiislamu wananunua nyumba au kukujengea halafu wanakuuzia kwa maengezo-faida (profit)? Kisha unalipa kidogo kidogo? Shukran
@ishakibrahim49047 ай бұрын
Jii kukopa credit ipo katika riba
@kibibimwanamvuamohammadmoh98236 жыл бұрын
SubhaanAllah
@raidenkillian71693 жыл бұрын
you prolly dont care but does anyone know a method to log back into an Instagram account?? I was stupid forgot the login password. I appreciate any tips you can give me.
@khalidflynn55483 жыл бұрын
@Raiden Killian Instablaster :)
@raidenkillian71693 жыл бұрын
@Khalid Flynn thanks so much for your reply. I found the site on google and I'm in the hacking process now. Looks like it's gonna take quite some time so I will get back to you later when my account password hopefully is recovered.
@raidenkillian71693 жыл бұрын
@Khalid Flynn it did the trick and I finally got access to my account again. I'm so happy! Thank you so much, you saved my ass :D
@khalidflynn55483 жыл бұрын
@Raiden Killian No problem xD
@jamaljengo12316 жыл бұрын
Jazakallah khair
@habbaytmazrouy9703 жыл бұрын
A.alaykm.. uatadh.. jee kuwekeza pesa kwenye campuni inayofanya kaz ya kuzibadilisha pesa kwenye bitcoin na kuziuza.. ile faida inayopatikana hugawanywa kwa 1.5% ya ile pesa iliyoekezwa.. pesa hzo huekezwa kwa muda wa miezi 6 tu.. jee ni sawa??
@habbaytmazrouy9703 жыл бұрын
Jee ni halal??
@ashuahmed86256 жыл бұрын
As.alkm.Ustadh .je kukopesha crdt ya simu .yafaa ama haifai? ?naomba majibu tafadhal
@omarshaban86926 жыл бұрын
Baraka Allahu fik
@muhammadyassin94065 жыл бұрын
Asalam alaikum. Mimi mamangu Hana akili tangu nina miaka 7years hadi sahi 28years yuwanikataa mimi si mtoto wake na mimi si kufaulu katika school na sahi sijapata kibarua je naweza kucheza kamari ili nipate pesa nyingi ni mfuraishe mamangu pengine roho yake itarudi nyuma na kunikubali Kama mimi ni mtoto wake.?
@zouzou28494 жыл бұрын
Kwani kazi ni kamari tuuu fanya kazi iliyo kuwa halali udifanye kazi hakumuhuzunisha Allah
@KessyMkali5 жыл бұрын
Nina 32 days Account napata riba kila month,swali langu je naweza kuichuwa hile pesa ya kwenye mshahara wangu ili nitoe wanapowezeka kupewa hiyo pesa ya riba?
@alwyalsaggaf82604 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qoe7kmtof8uVbZI
@alwyalsaggaf82604 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jmbQnaaGg9aNqa8
@saidasaleh63766 жыл бұрын
Aslm aleykum sheikh mimi Nina mtihani huo je nafanyaje mpaka nipate msamaha wa Allah mana sina utulivu wa nafsi kila kitu changu kimeharibika
@IzudinAlwyDin6 жыл бұрын
Saida Saleh ww uko sehem gani tumia no hii ya whtsapp +254772611120
@zeinabalimcheni166811 ай бұрын
@@IzudinAlwyDin nimerudi hapa kusikiliza wasia wako. Nauliza jee ni sawa muislamu kufanya kazi kwa hizi micro finances zenye kukopesha watu?