Asante ndugu Hamis pamoja na Fao pia wakulima wote wa shadidi kwa ufafanuz na hamasa, nimekpenda kilimo hiki cha tija.je faida hiyo inatokana na mauzo ya sh. ngapi kw gunia? salaam toka Mwanza.
@ICGLRGERARD6 жыл бұрын
Kipindi mhimu sana. Na mimi kama mkulima wa mpunga, nitaanza ukulima wa Shadidi. Wenye Imana ya kishirikina ni pingamizi kwa maendeleo ya Afrika. Wengi wakiendelea wauawa et wanaiba bahati ya wengine.
@nathanielsteven21866 жыл бұрын
Mimi mkulima ninayejitegemea kilombero,Naomba kuuliza kidogo,Mbegu bora za mpunga ni zipi kwa upande wa umwagiliaji
@mwinjumathomas51326 жыл бұрын
Naomba zako kaka
@MohamedAkida-c9u3 ай бұрын
mm naitaji kujifunza
@Elikiyosaki_2 ай бұрын
Hongera unaweza ukaaongeza ujuzi wako kutoka kwangu @Kilimo uwekezaji channel buree kabisa nitakufundisha maeneo gani ya kuwekeza na kupata faida nzuri
@luvandaisrael67066 жыл бұрын
iv iki kili mo kina fanyika mdaa wote wa miaka alafu matumiz ya mboleo n lazima kama lazm mboleo gan zuri
@issaferuz89354 жыл бұрын
Fundisheni wakulima wengine I'll wajikwamue ktk kilimo hicho. Sio kuleta Sera za kisiasa
@Elikiyosaki_2 ай бұрын
Kupitia kilimo uwekezaji channel pale You tube nitakufundisha uwekezaji kulima tu haitoshi lazima ufahamu maeneo gani utawekeza fedha baada ya mauzo ili kuwa na vipato endelevu
@gosaizaka14956 жыл бұрын
jamani naitaji kuja kujifunzaa mafunzo yanaanza liniii hapo
@donaldakilimtundu46395 жыл бұрын
Mimi napenda kufaha jinsi ya kuweka mbolea ya madukani baada ya kupanda
@lennyally55265 жыл бұрын
imenitia hamasa ya kujifunza zaid.
@venancesichula10025 жыл бұрын
Duu kilimo na ufugaji raha xna.
@melinasimon20495 жыл бұрын
Nataka kujifuza nawapataje
@kilimobiashara93615 жыл бұрын
Kuna namba za simu katika kila makala jaribu kupiga
@kinglance98166 жыл бұрын
kilimo biashara nisaidieni kunionganisha na hao wanavikundi
@jennycharles70646 жыл бұрын
Kilimo biashara nisaidieh naitaji kujiunga nakufanya kilimo cha mpunga naanzia wapi plz niunganishen na wahusika
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
Swali lako ni gumu mno, piga namba iliyo Kwenye kipindi utahudumiwa
@abdallahdataguy6 жыл бұрын
Aisee hii inatia moyo sana kwa kweli.
@furahamwakitalu23255 жыл бұрын
Abdallah Ally .
@kinglance98166 жыл бұрын
kilimo biashara nipo Serious nisaidieni
@kamanda80665 жыл бұрын
Nimependezwa sana naitaji kujiunga ili nipate elimu hiyo 0656727535
@nathanielsteven21866 жыл бұрын
Kutoka kilombero,niulize kuhusu mbegu za mpunga,nisaidieni kama kuna uwesekano mnipe namba za simu kwaajili ya mawasiliano ili niwafuate kwa habari ya mbegu,namba zangu in 0764874041.nitawashukuru sana kama mtanisaidia mkulima mwaenzenu ili tujikwamue vijana
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
kama umeangalia kipindi namba za simu zinapita mara nyingi sana kwenye hii video zinakili upige simu utahudumiwa na muhusika
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
sawa utatumiwa mawasiliao ya muhusika wa FAO akusaidie
@kinglance98166 жыл бұрын
jamani na mimi niongezeni kwenye kikundi hicho nipo Dodoma 0789006670
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
samahani hivyo vikundi ni nya watu wanao ishi maeneo hayo wewe upo Dodoma wao wako Morogoro
@gosaizaka14956 жыл бұрын
mafunzo yanaanza lini hapo mkindo naitaji kuja kussoma no 0768770367
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
tuma ujumbe mfupi kwenye namba iliyopo kwenye video utasaidiwa
@kinglance98166 жыл бұрын
na mimi niongeze kwenye kikundi nipo Dodoma no 0789006670
@nelsonmaro40456 жыл бұрын
nimewaelwa sana nahitaji nimpe mtu nguvu anifundishe namba0628138780
@mosesyohana29566 жыл бұрын
0755562992 niunganishe
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
wasiliana na DIOMEDES KALISA Mratibu wa mradi shirika la chakula 0658 660 507
@kinglance98166 жыл бұрын
kilimo biashara nisaidieni kunionganisha na hao wanavikundi
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
tuma message kwenye namba iliyo kwenye kipindi
@mnbvcmnbv97244 жыл бұрын
Mm ni mtu wa shinyanga vijijin naomba kujiunga kupata mafunzo zaid no +968 94240693
@mnbvcmnbv97244 жыл бұрын
Asteria joseph naomba kujiunga na mafunzo mm mtu shinyanga vijijin nipo nje kidogo mwezi wa kumi nitakuwa nipo huko no yangu +968 94240693