Eti shee mke uchi athubillah minashetwani rajim sheikh gani mnatukanisha najina la sheikh
@SamiraMakame-h6e2 сағат бұрын
Au'dhubillah minashaitwani rrajiim
@sofitanzanian955Күн бұрын
Waislamu mmeiga wapi hizi habar zakishetani
@nunuuali5316Күн бұрын
Hii nimeifunguwa kwa heshima ya Rick media ila hii familia mm siikubali kabisa
@salimakuyela7813Күн бұрын
Yaani huyu Binti nyoko kabisa😏😏😏
@Mikeys-m9wКүн бұрын
@salimakuyela7813 😅😅😅 Anankera 😂
@furahalita-zk2yi2 күн бұрын
Ila sarafina is a very good interviewer 🎉🎉🎉❤ shout-out to you sarafina❤❤❤@sarafina
@castermsweswe5781Күн бұрын
Yupo vizuri sana ila apunguze tu vingereza tusitoeleweka!( I have to take my shoe) shoes
@benignajosephwatendewao2065Күн бұрын
😂😂😂@@castermsweswe5781
@SalhamohamedimwampagatwaКүн бұрын
Uyo mwanamke anaoneka nikibuli sana tena sana ila ukimuangalia kwahalaka halaka bila kutuliza akili unaweza ukasema nimpole sana ila siyo mpole uyu myo mwanamke nikibuli tena sana zaidi yasana yani
@pulikisia7963Күн бұрын
Unamjua??
@AyishaEidiКүн бұрын
Anakibur cha kutosha
@Muna-en4yqКүн бұрын
Analewa sifa tu
@Tupena-ov7xqКүн бұрын
Daa binadamu wa ajabu hata kumjua humjui, ulimi wako una sumu
@Brunn-mh2bqКүн бұрын
Ati ni " kibuli" "halaka halaka" ? Lugha gani hii kama mtoto mdogo wa chekechea.? Watanzania vipi jamani mnajitoa hadharani kuonesha ujinga? Kiingereza shida, Kiswahili shida tuwaeleweje sasa 😢😢
@sofitanzanian955Күн бұрын
Wazee njaaa zitawaponza kuwaozesha watoto kila mwanamme mhh
@tanzaniawomenyouthempowerm2672 күн бұрын
Pozi kama anapandisha.majin
@AfricaQueenКүн бұрын
😂😭😂🤔ukute jini🫣🤣😂🤣Na hayo vimacho🤣😂🫣🤣😂
@gloryemmanuel165Күн бұрын
😅😅
@Kalssambabo-gv6uhКүн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 haa jamani waja mnamaneno
@Mikeys-m9wКүн бұрын
😂😂😂
@MwanaHussein-s2nКүн бұрын
😂😂😂
@firdaussheikh4817Күн бұрын
Huyu msichana anakaa km mfanyi kazi wa sheikh. Maskini ankemtafuta sezi yake. Huyu sheikh malaya sezi yake ni diva akimpiga alete wasafi😂😂
@AsahSalahКүн бұрын
Shekhe ubwabwa tu juyo mwanke yupo uchi kbs shekhe atakua yeye
@JAZILAMOHAMEDI10 сағат бұрын
Kiburi sana
@zabubamudy126Күн бұрын
Inaalilah wainaillah rajiun 😢
@khalsasalim79302 күн бұрын
Kwan hadi mjifanye hamna taarifa 😂😂😂
@hamidamadaya724Күн бұрын
Ndio kinanichoshaga hpo tu
@sistersade9039Күн бұрын
Kaamua sh. Aoe mtoto mdogo atomuogopa na atakubali upuuzi huu wa mume. Ndo maana hakuwezana na Diva, maana diva hakuwezana na hii tabia alokua nayo. Lakini mtoto huyu atabigwa matukio mpaka awe anasema. Ndo ushekhe huu? 😮 kazi kunyanyasa wanawake tu.
@Sam_me01Күн бұрын
Matukio tayari anapigwa kila siku ni vile mbele ya camera hayaongelewagi. Huyo binti ndo alifikisha miaka 16 mwaka jana siku ya birthday yake ndio siku huyo shehe alimtangaza kama mkewe na kudanganya kuwa ana miaka 22 sjui kumbe miaka 16
@swalharajab8365Күн бұрын
Ety ma dr 108😂😂😂 halafu hili jina la shekhe mlitoe ....ikiwa mke wake amemwachia kavaa hivo mbele za camera
@zaitunisagwa2082Күн бұрын
Huyu anapigwa, tena vizuri tu. Hii kutingisha kichwa ni uoga wa kuongea.
@صالحالصوافي-غ5وКүн бұрын
😂😂😂😂😂
@christinenere46962 күн бұрын
Anakatazwa usiseme chochote asije akatoa siri huyu bwana ni mshenzi sana anamuonea sana huyu binti
@VeloVelo-n6uКүн бұрын
Ana mtoto uyo mwingin
@HusnaMuhammed-yx8nlКүн бұрын
Mmh huyo mwanamke anakiburi hatari afadhali diva dishi na ana moyo
@StrongbowArrow20042 күн бұрын
Ninachokiona kiburi kama cha Mrs bugatti 😂😂😂😂 Tarehe nane mtoto huyo tushajuwa😂😂😂
@zulfahaji91Күн бұрын
Yaani jeuri. Sana
@josephineosen7337Күн бұрын
SiO jeuri anaogopa kuongea
@StrongbowArrow20042 күн бұрын
Ninachokiona kiburi kama cha Mrs bugatti 😂😂😂😂
@hamidamadaya724Күн бұрын
Maringo saba
@ShemsaKiobya-x8hКүн бұрын
Diva ndio kiboko yake huyu bwana
@ShemsaKiobya-x8hКүн бұрын
Mmh yupo uchi jaamani,
@bibiejuma50942 күн бұрын
Shehe gan mkeo yupo uchi apo
@Tupena-ov7xqКүн бұрын
Mbona amevaa nguo uchi wewe unaujua
@rayahamisi118Күн бұрын
Shemeji sio shee😊
@moddysunshine6618Күн бұрын
Hakuna Sheikh hapo huyu anasafiria nyota ya Baba Yake (Allah Amrehemu Sheikh Mti Mkavu)
@MwanapiliCharo-s2nКүн бұрын
Mmmmmh eti Sheikh. Bibi yake yuko uchi
@MwanaHussein-s2nКүн бұрын
Akuna shee apo 😂😂ni shehena
@sarahmcharo1548Күн бұрын
mmmmh mbona wifi kama anapandisha maruanii
@mwanas2Күн бұрын
😂😂
@SashaRamadhani-uu1wvКүн бұрын
😅😅😅
@HanifaOman-oo4plКүн бұрын
😂😂😂
@khadijaabdulaziz8297Күн бұрын
Aka mche Allah mke yuko uchi umemuweka kwenye midia Subhana Allah tumuogope Allah mtowe haraka plz
@HadijaOmanКүн бұрын
Yani ww Abdul hayo ndiyo uliyo yaahidi kwa baba yako wakati uliyo kuwa unamzika mke hana hata stara kweli na ww ni mtu wa kiislam yani hii Dunia mmmh mtihani
@happynesssamwel4249Күн бұрын
Ata siyo mjeur sema2 anaonekana anamuogopa sana mumewe
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Huyu dada anaogopa amepewa mikwala asisubutu kuongea ole wake ila ana mambo mengiiiii anawaza na kuumia ila hawezi kusema ameambiwa akae kimyaa
@narutonaruto4303Сағат бұрын
Dah kwa yan huyu dad anakera kichwa nd kinajibu
@FahadiDuranКүн бұрын
Mmmh kwa jeuri kanaonekana hakajambo kiukweli
@kaderbakshamin23459 сағат бұрын
Sheikh kweli mke ndo mavazi unayoyaruhusu hivi subhaanah allah au ni jina tu?
@Baddie-p3b2 күн бұрын
Diva bado anakusumbua sana akilini mwako ! Move on unajidhalilisha mzee
@dn.n4983Күн бұрын
Huyu mke anaonekana ana uchungu sana hana raha hata ila hana lakufanya kwa kweli yaani huko kifungoni ana jinsi bado mdogo mpe miaka tatu uniambia kazi hipo
@Somoo22011 сағат бұрын
Mnaosena huyu mwanamke ana kiburi hapana hana kiburi huyu dada ukimuangalia vizuri utajua kuwa moyo wake unavuja damu kuna vitu vigumu anapitia kwenye ndoa yake so analazimisha awe na furaha lakini hawezi kwa maumivu anayopitia
@SamiraMakame-h6e2 сағат бұрын
Kweli,pia hana uhuru wa Kila kitu humu ndani.😊
@ChikuRashid-yg3jp15 сағат бұрын
Ila kuna siri hapo
@sofitanzanian955Күн бұрын
Huyu kaka anasifa sana dahh
@irenembura8045Күн бұрын
Huyu mke maringo mpaka yanaudhi!!!
@cadoritosoccoКүн бұрын
Shekh anaitwa Davis
@zainabufeka87Күн бұрын
Kina maringo😅😅😅😅😅
@SharifaSideКүн бұрын
Kapewa onyo zito usiongee chochote wenye D mbili tumeelewa
@Shaniatwain06Күн бұрын
Intervew inaboa hd kero kusikiliza hebu nihadithieni mwisho kasema nn nimeishia kwenye kiss za jua kali😂
@mamaikram7573Күн бұрын
hata mimi sijui
@AshuraMohammed-p2qКүн бұрын
Huyu mke wa sehe cjui shekh mbona Kila kitu anaitikia na kichwa,mbona haeleweki
@NechLoveКүн бұрын
Mbona mke kama ameshikwa na degedege
@rehemajuma4915Күн бұрын
Mke wa Sheikh kavaa kimini mmmhhh????
@rayahamisi118Күн бұрын
Uyo mke wa shemeji sio shee😊😊😊
@SaadiyaMohammad-og5bg22 сағат бұрын
Ww dada omba tu mungu uwea niww tu bat usijimakinia kwa mwanaumia mungu ajalia uwea ww tu
@rachelndaki5642Күн бұрын
Kwan huyo bint kama kapewa onyo zito kuhus kusema chochot yani kapoooza mpak anaboa sn af mwisilam gani huyo kaavaa uchi tena mbele ya cammela sema devs uswahili mwing sana huyo mbna mkabanwa tu 😅😅
@rukiyamohammed2945Күн бұрын
Huyo c shekhe kabisaa. Acheni kutumia majina msokuwa na hadhi nayo.
@JokhaSaid-e1c2 күн бұрын
Mbona ananyoonsha mikono ametoka kijijini maskini
@Sam_me01Күн бұрын
Jamani tuweni wakweli katika haya maisha fake life imetutawala mnooo apo kwenye media watu wanafanya show off na kuongea vitu vingii na sifa kibao lakini ukienda kwenye real life kuna mengi makubwa. Nimependa mtangazaji alipomuliza kuhusu kazi zake za kidini japo kalipotezea kinamna hilo swali ila jibu liko hiviii kwasasa dini hakuna kwa huyu jamaa tayari kasha zama kwenye bongo movie ishu za dini sahauni kabisaaa
@RitbayRitbayКүн бұрын
Hyu si mtu wa dini ni mganga njaaa wale
@irenembura8045Күн бұрын
Anaonyesha mjeuri saana!
@gloryemmanuel165Күн бұрын
Kwan dada huyo bubu mbona kichwa ndo kinajbu sana
@AshuraMohammed-p2qКүн бұрын
Mm mke wa shehe ananikera anavyoutikia na kichwa
@mwanaidikhamis54304 сағат бұрын
Mke wa shekhe mbona yupo uchi ivo mbele ya media!!!!!
@ibrahimfarha3853Күн бұрын
Hujapewa karibu umesha ikaaa
@eshialabonita77369 сағат бұрын
Mbona anaramba midomo
@gracekahundaКүн бұрын
Hayo macho vile unavyoyafanya binti unajiharibu
@suhaylaabdullah4261Күн бұрын
Huyo amejifunguwa hiyo trh 8 mtoto anatoka arubaini sherehe ya mtoto
@SaadiyaMohammad-og5bg23 сағат бұрын
Huyo dada sio ana kibure hako free ya kuongia sijui bwanake hakumpatea uhuru na pia kakangu avayea nguo zaheshima aonia kania mke washihe kikweli mm sijapenda mavazia hao watu wote wamuona
@sofitanzanian955Күн бұрын
Mtangazaji unashobo kujifanya unahoji kwafosi
@roqayaro9439Күн бұрын
Mashallah
@tanzaniawomenyouthempowerm2672 күн бұрын
Anaboa
@JeniferNgataКүн бұрын
Yaani huyo ndo make kwanza hana mambo mengi
@souvenirweber7169Күн бұрын
Mke macho juu kama ana dege dege maringo yanazidi dose ya matukio ndio yatayashusha macho na kuingiza ulimi ndani .kavaa kama hahaba eti mke wa shekhe
@aminakipande5645Күн бұрын
😂😂😂
@sofitanzanian955Күн бұрын
Ukiwa naheshima nastara hasa muislam ukisikia hodi tu unajitanda mtandio hata kama upo ndani mwako acheni ushenzi
@zabubamudy126Күн бұрын
@@sofitanzanian955 alipangwa huyu.Huu ni msiba
@tanzaniawomenyouthempowerm2672 күн бұрын
Dada kiburi hatari
@Kisambwite11 сағат бұрын
Hizi Dini aiseee yani watu wameona mikono wanasema yupo uchi kwa hy mmedindisha kw ajili ya mikono au visimi vinawacheza maana kama nywele kaficha na ukiaaangalia hater wengi hapa wanawake wenzake.
@MwanaHussein-s2nКүн бұрын
Diva mzuri kuliko iko kitoto 😂
@braquinhoMarióКүн бұрын
Wote malaya
@willz10172 күн бұрын
Huyu dada ni muoga😢?! Mpole?!😢😮 kiburi au vipi jaman😮😢😢
@SabihaibrahimRajabu2 күн бұрын
Anaogopa talaka
@ElizabethWamchaКүн бұрын
Kiburi malingo
@Muna-en4yqКүн бұрын
Hajui kuongea huyu si mtu wa mitandao alazimishwa tu
@MariamOmary-c7bКүн бұрын
Mmh kama anaugua akili ndo nn kuweka hivyo kichwa
@zulfahaji91Күн бұрын
Sasa hata km kavamia alikua na uwezo wa juvuta hata kitenge
@Gloria-vh5bzКүн бұрын
Ila ukiwa muongo uwe na kumbukumbu huyu bwana on previous interview alisema amempa mkewe mil 70 afanye biashara ya nguo Leo kaisahau ,NYIE
@MariamShaban-n6o2 күн бұрын
Chefu sura yenyewe sasa 😂
@ElizabethWamchaКүн бұрын
Na vishavu vyake ss😅
@happynesssamwel4249Күн бұрын
😂 Bora ata diva japo n mshangaz😂
@Tupena-ov7xqКүн бұрын
Wewe ni diva, umajificha, unaonekana una wivu
@ShufaaabubakariOmary12 сағат бұрын
Kwan huy bint ni bubu au😅😅
@Sam_me01Күн бұрын
Mbona kama mtu na mkewe wanafanana au ndo mahaba yamezidi mpaka wanafanana😂😂😂
@castermsweswe5781Күн бұрын
Mpunguze vingereza aaa visivyo na maaana
@Agath4523 сағат бұрын
Anaonekana hana furaha kabisa
@jojoshama24942 күн бұрын
Anasumbuliwa na wivu wa diva bado😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@joycemachibya4380Күн бұрын
Anaangaliaje kama anataka kulala jmn mmh Kumbe ni mke uyu tena na hao anawapost nao ni akina nani 😂