Рет қаралды 91,077
Hii ni interview inayoelezea mambo mengi ya ndani kuhusiana na Saida Karoli, kutokujua kusoma na kuandika kulivyoathiri maisha yake, ndugu zake walivyochinjwa na kuuawa kikatili, sababu za kuzaa na wanaume watano tofauti, mziki wake, haki zake, kuzaa kaaika umri mdogo wa miaka 13 na mengi ambayo hakuwahi kuyaongea
Produced by Zamaradi Mketema
Host: Zamaradi Mketema