Aende ccm wamejaa wala rushwa , wanaiba mpaka makaratasi.
@neliusgosbertbaguma86932 ай бұрын
Unasema itaendelea kuwepo?
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Nyorobi anzia ofisi ya CAG akupe ripoti ya wala rushwa, wezi na wabadhirifu tuone uthubutu wako kuwasaili!
@fredrickmwakalinga63902 ай бұрын
Hamna kazi zakufanya kuna tuhuma kibao kwenye halimashauri kibao
@hamisimuhunzi79162 ай бұрын
Nyarobi kwanini usiende kwy ripoti ya CAG ukaona mabilioni yaliyoibiwa badala ya kupoteza muda kwy madai ya kisiasa ambayo hakuna mlalamikaji aliyefungua lalamiko takukuru.
@abdalahgunda13192 ай бұрын
Nchi za kiafrica ni shida tupu tuangelea rushwa toka kwa masikini sio viongozi wa serekali na taasisi kubwa kubwa Sasa hii takukuru inakazi gani wakati nchi cig report rushwa ni balaa tupu Hawa waba kazi gani ktk taifa pesa za serekali zinaliwa bure mgogo wa takukuru watuambie kwana cig report nihatari tupu
@zebedayokatamaduni96762 ай бұрын
CAG ripoti nayo uifanyie kazi wahusika wote wa wizi wapeleke mahakamani