Saa moja la Dk Kijaji, ataja vipaumbele wizara ya viwanda na biashara, aomba Sh110.8 bilioni

  Рет қаралды 406

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji ameliomba bunge lipitishe bajeti ya wizara hiyo kiasi cha Sh110.8 bilioni yenye vipaumbele vikuu sita ambavyo ni kuendelea na utekelezaji wa miradi ya kielelezo na kimkakati
.
Kijaji wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo, Mei 21, 2024 amevitaja vipaumbele vinginine ni kuimarisha uwezo wa uzalishaji viwandani na utoaji huduma kwa kuimarisha miundombinu na mazingira wezeshi, kuboresha mazingira ya uwekezaji viwandani na ufanyaji biashara, kuchochea maendeleo ya watu kwa kuboresha miradi na programu katika sekta za kiuchumi na kijamii inayohusisha elimu na mafunzo ya ujuzi.
Pia kufanya intelijensia ya masoko ya bidhaa na huduma zinazozalishwa nchini kwenye masoko ya kimkakati na ya kimataifa na kuchochea ukuaji wa Sekta binafsi nchini.

Пікірлер
[FULL] KICK ANDY - PROF STELLA: OTAK VS AI
1:08:39
METRO TV
Рет қаралды 843 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
COP29: Climate Finance at Scale for Global Decarbonization
1:23:54
E-axes Forum on Climate Change, Macro and, Finance
Рет қаралды 11 М.
كيف تنجح العلاقات مع ياسر الحزيمي | بودكاست فنجان
3:03:09
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 221 М.
Dk Kimei ang’aka bungeni akidai TRA kukaidi maagizo ya Rais Samia
9:13
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН