Love u queen from kenya.....alafu mtangazi umenichekesha eti aunt unadeka siku hizi
@habibakhalfan10654 жыл бұрын
Kuolewa Raha jamani Mungu waso Ndoa waoe Yaaa Allah hakuna Raha kama Ndoa
@samniza17634 жыл бұрын
Good family bond, unlike some families!
@anisa3834 жыл бұрын
Usipoteze nuru yako umeolewa umekuwa malikiya endeleya kutunza hishima yako litunze pendo Hilo la almasi mungu Kubariki
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
Kama mimi ndo mke mwenzangu walanisingeshughulika kwa mke mwenza uyu nilijua akiolewa atabadilika atasuka kama mkwe watu leo hii amesuka kama jini Medusa sjiui luck dube ata sielewi,,wanawke tunaambiwa mwalimu wetu kipofu ila na wanaue nahisi mwalimu ni chizi ivi kweli mwanamme unaejielewa halaf unajita Muislam unaweza kumruhusu mkeo avae kama ivo..
@missjasmine44474 жыл бұрын
Mbon wake Zawatu wengi wapo hivyo uswahilin kwetu
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
jasmine haipendez Wallah mke wa mtu ni kujihifadh na kujielewa pia ukijihifadh unazidi kuchunga heshma yako
@missjasmine44474 жыл бұрын
@@khadijaahmada2544 kwani kunyoa nikuvunja eshima mume kampata akiwa ivyo sasa ww hayo nimaono yako ila nikawaida sana naanaeshimika ndomana kaolewa pili yupo job mwanamke akinyoa hivyo eti vibaya Ila mwanaume kawaida lol
@Noah-se3ni4 жыл бұрын
Queen Darren dada yake simba madame Isaka ongera sana umehongeya vizuri sana
@hawamashaka72354 жыл бұрын
Saf sana wajina wangu
@zaiiomary89704 жыл бұрын
Leo umevaa nguo ya heshim nimependa hiyo tujuan lik
@tatuyussuf75744 жыл бұрын
Zaii Qatar kiba music nahic atavaa😆😆 vzr sasahiv kwa hatua aliyofikia..
@zaiiomary89704 жыл бұрын
@@tatuyussuf7574 chezea ndoa wew ten pemba
@careenmassawe534 жыл бұрын
Safi queen kwanza umependez knom we ndio chaguo Lang Kweny music
@neyvatally80084 жыл бұрын
Umeongea point
@tatuyussuf75744 жыл бұрын
Nimecheka tu
@TanzaniOman4 жыл бұрын
Sasa io miaka kumi yakuzaliwa au 😅
@aminamkamba54064 жыл бұрын
😂😂😂😂😃😃😂
@agnesj.h97894 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣ya mziki
@aminajuma56644 жыл бұрын
Ndio ya kuzaliwa
@agnesj.h97894 жыл бұрын
Mm nikafikilia ya mziki jaman
@najmasaidi14124 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndiyo
@ummuadam24234 жыл бұрын
Jamani queen kaenda na mumewe wengine washa Anza kutokwa na povu, mke mkubwa yupo kwa mapumziko kiduchu😂😂
@lisaliza97884 жыл бұрын
Waongo nyinyi wambea viwembe
@jamesmdimu37304 жыл бұрын
Uyo mke mkubwa sizani km hatoomba talaka mwenyewe
@ummysaid56004 жыл бұрын
Hahahaha nimefurahi maana uko happy
@sarahmohamed3374 жыл бұрын
Langu jicho mm.
@isherrashidimkindi39304 жыл бұрын
Asalam alykum naomba msubscibe Chanel yang ya mapishi
@hadijakabona9554 жыл бұрын
Ndoa Tama nyie najikuta natamani mie Darin sio kwa kupendeza uko mweeee
@dazuujuma12114 жыл бұрын
Ingia ukaone utamu wake kashakujibu apo
@hadijakabona9554 жыл бұрын
@@dazuujuma1211 najipanga Kwanzaa
@mwanahawasaid15614 жыл бұрын
Kabisa wajina wakina mwanahawa ni wastaharab,tunajiheshimu ,ni wakimya hatunaga makuu wenyewe
@mwanajuma47434 жыл бұрын
Na wakina mwanahamisi pia wastaharabu sana bebe😘
@mwanahawasaid15614 жыл бұрын
@@mwanajuma4743 eeeh kipenz nawajua sana kina mwanahamis pia wako vzr kwakwel mashallah
@catherinehaule80304 жыл бұрын
Pua chanu kama sketi ya solo
@sarahmohamed3374 жыл бұрын
😂😂😂😂
@videlialabeka48994 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@babchidy88364 жыл бұрын
Makubwa milasta na mukofia mke wa MTU aiiiiiiiii
@ummuadam24234 жыл бұрын
Hyu bi harusi mchanga nae asotulia na mumewe au ndo hzo cku yuko kwa mke mkubwa 🙄
@rizikihamisi89544 жыл бұрын
ummu adam hhhh
@allyzicko81494 жыл бұрын
Umbea c kaz
@veileronesmo92194 жыл бұрын
Atulie nini akati kuna kazi za kufanya za pesa nyie watoto wa kiswahil mnawaza mapenzi tu watu wanawaza pesa bwana
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Akitulia utampelekea wewe matumiz?? Au unabwabwaja tu bila kufikiria.?!
@aminajuma56644 жыл бұрын
Mna kalili maisha
@samanthaali8734 жыл бұрын
Ungetulia tu dada
@hamzamoshi82754 жыл бұрын
Iyo dislike moja hapo juu kama sio yamke mkubwa mmmmmhhhh sijuiiiii😂😂😂😂😂
@alipqasse99674 жыл бұрын
😂😂😂😂jamani
@mayahhajih26364 жыл бұрын
😁 😁
@bintykigan62364 жыл бұрын
Hahaaaa
@yasodishonest97924 жыл бұрын
Wema unawapa sepetu🤣🤣🤣🤣
@asiamwarabu75104 жыл бұрын
Umesharudi kunyoa hivyo ndo Mana sura inakuwa ngumu kima wewe kusuka suka kichwa kizima nyoa nyoa kichw kizima
@khadijaahmada25444 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@raxhidymono92584 жыл бұрын
Biharusi wetu umedamshi
@maspro62944 жыл бұрын
Hili demu bovu Sana na Linaonekana linanuka papa kishenzi huyo jamaa alie mchukua anapata shida Sana kwa harufu ya papa yake
@khadijaabdallah3664 жыл бұрын
Wacha hizo hujamalizika kuumwa Kuna Leo na Kesho hujui Ww utakuwa Vp dharau hizo
@veileronesmo92194 жыл бұрын
Wew ni huna akili
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Kuwa na hofu ya Mungu wewe! Usimuharibie dada wa watu brand yk.
@tynnahpaul86394 жыл бұрын
Mungu anakuonaaa jaman usipende kutia kasoro kwa watu watu wengne jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@edinasamwel14174 жыл бұрын
Ulisha wahi muonjaa,hebu acha kumsema vibaya mtoto wa mwanaume mwenzio