Siraha wewe mungu akuhifadhi akukinge na shari zote za Dunia warehemu wa zee kwako ayafanye makaburi Yao yawe niviwanja vyapeponi wameacha tunda jema Duniani ameen
@husseinomary44663 ай бұрын
Hua nafika mbali sana kwenye kuwaza nadhani mama samia alioteshwa kuhusu waziri huyu kua atamsaidia vema,, Allaha akupe afya njema waziri wangu pendwa
@wilsonsigara29695 ай бұрын
Big Big up wazili yani wewe ni mfano kwa mawazili wengine yani wewe na makonda na Dotto bite ko, na bishungwa mumetisha sana, my God bless you 🙏
@ip_header5 ай бұрын
Mh. Waziri Slaa Mwenyezi Mungu amzidishie Hekima na Busara. Anafanyanya kazi kubwa sana, ataweka alama njema katika mioyo ya watu wengi 🎉🎉🎉
@saidramadhan715 ай бұрын
Waziri wewe ni mtetezi wa wanyonge mwenyezi mungu akulinde.
@alhabibsudi79975 ай бұрын
Kazi nzuri Mh Waziri Ila huyo ni tapeli ameanzia Kariakoo kuuza nyumba ya Waqfu na bado M Mungu anaendelea kumfedhehesha huyu jambazi weka ndani asionekane Kabisa uraiani maana ataendelea kuumiza watu na haki zao, ingekuwa nipo hapo ningempa kofi moja safi sana la pua
@othmanali74085 ай бұрын
Mzee muogope Mungu kila mgogoro umo dah Rudi kwa Allah .
@makiniautospare26483 ай бұрын
Huyu jamaa anashida kubwa
@selemanimasatu24215 ай бұрын
Utashangaa kesho kahamishiwa uvuvi hapo ndo mm nitahamia Burundi 🇧🇮
@xxxl-jf2ji5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@christinasangu80405 ай бұрын
😂😂😂
@hatungimanaissa95885 ай бұрын
Subhaanallah
@christinewomanoffaith54794 ай бұрын
😅
@chrispinrafael38315 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi umeonyesha kwamba wewe unamsaidia raisi wetu kwenye migogoro ya ardhi
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Hatuna RAISI tunamzululaji tuu shetani msumbufu
@frankmlinda11815 ай бұрын
Silaaa to me you deserve to be president of my country tanzania.i wish all the best.🎉🎉🎉🎉
@ashuraomar49355 ай бұрын
He will be a President soon
@OmarOmar-mu3dk5 ай бұрын
Duh! mh:M/mungu akulinde maana katika iman yangu n kua ww unayoifanya n jihadi.ila nna ombi moja kiukwl na huku Zanzibar sis wanyonge tunadhulumiwa sana n wenye uwezo wa kifedha na uwenyeji kwenye mamlaka tutengezeen mazingira ili na sis tuweze kusklizwa maana dhulma iliyipo huku n kubwa tunadhulumiwa cna ardhi zetu.
@KevinaSamson4 ай бұрын
Yaani kaka sirahaa mungu akubariki unahakiri. Sanaa
@fahadfahmy5 ай бұрын
Waziri Muadilifu ambae hakupata kutokea tokea Nchi imepata Uhuru 👋👋
@HasnutMfuruki5 ай бұрын
JAMANI MAWAZIRI WETU.TUNAWATIA MUNGU .TUNAWAOMBA.MFANYE KAZI KAMA WAZIRI SILAA.ANAVYOFANYA KAZI. MAMA SAMIA.TUNAKUOMBA WATANZANI. MAWAZIRI WOTE.WABADILIKE. KUTENDA HAKI. Wajue nassi tunasomesha watoto wetu.watakuja kuwanyanyasa.wao.amma fsmilia zao.❤.smh.silaa.na mma mungu awe nayiii
@badruhote46075 ай бұрын
Waziri Salaa huu uwaziri,sio tu wakuteuliwa na doctor samia bali ni wito kutoka kwa mungu, mungu akupe afya njema,na akupe umri mrefu uwafikie wote wenye changamoto za ardh.🙏
@Ushauri2355 ай бұрын
Waziri safi sana huyu na wengine wangekuwa hivi tusingekuwa na migogoro
@mehmoodali45095 ай бұрын
We need urgently your help utepli ya familya Dar es salaam properties
@kimandafukitefu29995 ай бұрын
Raha sana kuwa na waziri aliyeisha na watu wa aina wote wahuni na wasomi
@HusseinKalamba5 ай бұрын
Gonga like 30 kwabwana jerry
@fahadbabuy5 ай бұрын
Mbona huyo masharubu alikuwepo kesi ile nyengine ya kariakoo😢😢😢nyumba ya wakf😮😮is this real???
@IbrahKhan-h3e5 ай бұрын
Unakumbuka eeeh alikuwa mtatamtata hivihivi
@nyiqatonyiqa71145 ай бұрын
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮
@IbrahKhan-h3e5 ай бұрын
Huyu mpuuzi so ndiyo mmoja wa waliotaka kushindwa kutoa nyumba ambayo baba yao alitoa waqfu
@salimalesry4285 ай бұрын
Huyu ni yule yule wa madrasa Yani anacheza kote kote kumbe hili tapeli
@magrethmbangama11995 ай бұрын
@@IbrahKhan-h3endo na mimi namuangalia hapa kumbe tapeli hilii dah
@abdulsataribashiri83005 ай бұрын
Yeah
@omarkhelef76315 ай бұрын
@@IbrahKhan-h3e Laana ya mungu inamuandama
@edithajoseph76755 ай бұрын
Mungu akulinnde waziri
@Esterkomba-ef7eb5 ай бұрын
Hongera wazuri ungekuwepo kipindi wengine tumezurumika tungepata hakizetu
@msafirimaulidi50545 ай бұрын
Akimaliza mm mh anafaa sana kuwa rais
@ashuraomar49355 ай бұрын
SANAAAAA HUYU NDIO RAIS TUMTAKAE
@hulukasefu5 ай бұрын
waziri ufike nahuku wilaya ya chalinze kuna madudu mengi
@annamussa1855 ай бұрын
Huyu Baba asipozeeka huu mwaka sijuwi tu maana anamajukumu yanaumiza vichwa
@GibsonNtamamilo4 ай бұрын
Huyu na Makonda wa Arusha
@SalumuHassani-y6i5 ай бұрын
Hongera mheshimiwa Jerry ama hakika unawatendea haki watanzania wanyonge Allah akuepushe na husuda za maadui
@ahmadseaman34875 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@MohdAli-cx7bc5 ай бұрын
Waziri ana moyo kubabake bilioni 4 uyu waziri peponi mana apo anapewa bi moja yake wale bi 2 za mwanzo na bi 1 na kitu 3 izo na mnunuzi wa mwanzo kasharudishiwa chake he 😂
@brayanjames99535 ай бұрын
Uyu mzee mwenye mzula i ni mala ya pili ana kutana. Na wazili ana mbaga nyingi. Uyu😅😅😅
@MikidadiMahumbi5 ай бұрын
Uyu ndio waziri tunao wataka
@OmarOmar-mu3dk5 ай бұрын
Ikiwa mm n mmoja ya walio dhulumiwa nyumba pamoja na kiwanja na bwana mmoja mwenye uwezo hapa dunian
@onesmomassawe62304 ай бұрын
Huyo Jamaa mwenye rangi nyeusi anabalaaa namuon Kila kesi k koo
@tumainimwaifunga38845 ай бұрын
Safi sana Slaa.
@moseshaji11775 ай бұрын
Waziri please ufike na huku kibaha kata ya kidimu kuna utapeli mkubwa wa ardhi
@AshuraNyamnyam5 ай бұрын
Mwanangu mungu akulinde , na ujilinde walimwengu hawapendi haki ikitendeka , umejitoa kwa hali na mali , wazee wa dili wanaumia
@PaulRPaul-z1q5 ай бұрын
Isaidie HAKI itande itapakae kila upande (Quran 4:135)
@issaramadhani91415 ай бұрын
Ukifatilia migogoro mingi anayotatua mh waziri Slaa unagundua kunamahala watu wenye maamuzi hawatendi au hawafanyi maamuzi ktk hizi kesi ingawa wanaujua ukweli wanapindishapindisha sheria ili hizo kesi ziwanufaishe. Sasa kama hii kesi huyu jamaa hata anachokizungumza unaona kabisa alikuwa na nia ovu na hana hata nguvu ya kisheria kumsumbua huyu mnunuzi ila hela ndio olikuwa inatumika kutaka kupora haki ya huyu mzee. Kwa kweli njaa ya pesa itawatesa wengi nchi hii.
@geraldlyimo28595 ай бұрын
Hasa upande wa mahakama wanaminya sana wanyonge
@NardhisMhagama-sy3eq5 ай бұрын
Angekuwa lukuvi hapo angehamia kwenye 4
@bilid41285 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nurdinmfamau34935 ай бұрын
Hata Mimi Nawewe Hilo Sio Jambo Dogo.
@saidnhoathuman10145 ай бұрын
😂😂
@kikaalimzigeadvocate4085 ай бұрын
😂
@maulidzagu-gb3mc5 ай бұрын
Mheshimiwa Jerry slaa unajua ni kwa nini huvaa shati jeupe mara zote ?
@AbuuFarhaan-ri2yj5 ай бұрын
Halafu haka kazee,si ndo kale kaliuza nyumba ya wakfu??
@Josephineexsuper5 ай бұрын
Huyu ni yule mtt wa sheikh Aladini? Ana misala ya majengo
@nabilsaid80465 ай бұрын
Naona kafanana na yule hii nyumba nyengine au wanazo nyingi 😂
@elizabethkikoti72654 ай бұрын
😂😂😂ndio yeye
@ALIMOHD-bk9lr5 ай бұрын
Huyu mzee mbona namkumbuka kule ktk lile gogoro la mirathi yenye wasia!?
@hanspop69615 ай бұрын
😂😂kavalia ujana ili tusimjue
@abuufarha65625 ай бұрын
Ndie yule yule
@Mwanamkesahihi015 ай бұрын
Laana ya madrasa
@JacksonSeweji5 ай бұрын
Mzee uyo kila mgogoro yupo khaaaa😂
@aliabdallah84565 ай бұрын
Kwa kwell Bunge letu tukufu linahaki ya kukaa kikao cha kupanga hadhabu kali kwa matapeli kama haya
@jacobmakono43995 ай бұрын
Waislam mambo ya wake wengi yatawatupa motoni!Mpe Yesu Kristo maisha yenu upewe uwezo wa kushinda dhambi zenu..bila hivyo jehunum inawangoja..haijalishi sura,cheo nk
@pancrasluoga45845 ай бұрын
Sanaa hizii😂fcm hoye😂😂
@abumuhammad96155 ай бұрын
2 kwa mwenyewe 2 nifichie
@silverman69305 ай бұрын
Mara paaaa waziri wa michezo
@abubakarsuleman19835 ай бұрын
Uyu mzee inaonekana ni mwizi ,kwenye madrasa yumo, kwenye nyumba yumo.
@mamlomamlo90645 ай бұрын
Waarabu wakuchovya wengi wao nuxi sana akili zao mirungi tu
@polycarpykavishe90015 ай бұрын
Huyu mzee wa likofia anaonekana mhuni mzoefu
@feisalmwinyi24295 ай бұрын
Hahahaha Mh huyu si ndo yule alowepo kwenye jumba la mirasi ama sie huyu alokua anagombania nyumba iloekwa kilemba iwe MADRASA kikofia
@elizabethkikoti72654 ай бұрын
Ndio yeye
@KALULUALLI5 ай бұрын
Wazir Jerry rais asikuondowe nafahi hiyo
@dotnatajoseph26205 ай бұрын
Alafu huyu baba si alikiwepo kwenye ule mzozo wa nyumba yakina she ally huyu anaonekana mjanja mjanja huyu baba
@FreeGod3685 ай бұрын
😂😂😂😂meshangaa
@nassercurtis95795 ай бұрын
Haka kazee kenye tshirt nyeusi kana ujanja wa zamani sanaaaa, si ndio huyu huyu alieuza nyumba ya marehemu kariakoo wakati marehemu aliacha watoto, hii mpya tena hivi haogopi Mungu huyu hajui nyumba ya milele ni kaburi anatamaa sana dah
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Kila nchi Ina watu ambao wanaweza kurifikisha taifa eneo salama na kwenye uchumi mzuri. Lakini ni wachacge kwenye nchi. Usijinadi kua ummo kwakua haujapimwa. Hata leo hauaminiki kwa watu, ndo utaaminika kwa nchi?
@ahmedseif-cu4ex5 ай бұрын
Huyu c yule wa nyumba ya waqfu
@munjy11tutorials5 ай бұрын
Jamani huyu alotaka apewe milioni 300 si ndio yule yule walouza nyumba ya mirathi wakazuia na madrasa kariakoo?
@HamzaMbasha5 ай бұрын
Huyu mzee ana mambo mengi si ndoo alikuwa na migogoro mingine hapo hapo kariakoo
@amayamaya23064 ай бұрын
Huyu Sindio aliuza numba ya wkfu
@Mwanamkesahihi015 ай бұрын
Mimi nimemjua😂😂😂 kakake sara
@khalsasalim79305 ай бұрын
Anauza nyumba kariakoo bwege huyu si angekula kodi tuu
@XiuKaratu5 ай бұрын
Tony Hussein Jerry Msukuma line up 2025 motomoto
@ALIMOHD-bk9lr5 ай бұрын
Huyu mzee hana hata aibu halafu anajiona mjanja. Sijui anajikuta nani kila mgogoro yupo mbele😢😢😢😢😢
@ashuraomar49355 ай бұрын
Yupi sasa hapa anaejiona mjanja waziri au huyo anaetaka kumdhumu mtu? Bado sijakupata nifanunulie
@elizabethkikoti72655 ай бұрын
😂😂alievaa kofia ya blue huyo mzee tapeli kweli kila mgogoro wa nyumba kuuzwa yupo
@IbrahKhan-h3e5 ай бұрын
@@ashuraomar4935😅😅😅 ndy nakumbuka ile nyumba ya baba yao nae alikuwa kiherehere
@mariamdimosso6215 ай бұрын
Dada yao alisema tapeli ana migogoro kibao ndio maana anavyaa kofia kujificha@@IbrahKhan-h3e
@elizabethkikoti72655 ай бұрын
🤣🤣🤣 mwizi kweli na slaa kashamjua anachukua pesa za watu cha maana hakuna 😂😂kofia lake kila mgogoro anapenda kuvaa kofia kwenye sakata la baba yao alivaa kofia nyeusi na ni mbishi leo kavaa kofia ya blue mbishi kweli sijui pesa ana peleka wapi kujitafutia laana tu pesa za dhuluma sio nzuri
@FredMwamgogwa-td6ni5 ай бұрын
Weka namba simu hapo waziri slaa nikutumie buku ya soda unapiga kazi sana
@Rai_online_tv5 ай бұрын
Daaah ha ha
@senseiamani46845 ай бұрын
Haaaaaahaaaa
@rockyzacharia69475 ай бұрын
Hawa wazee wajanjawanja sana si ndo walio uza nyumba ya baba yao
@elizabethkikoti72654 ай бұрын
Ndio
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Bora hata slaa angekuwa RAISI kuliko huyu mzanzibari mwanamke shetani
@allyomary22715 ай бұрын
Huyu jamaa si ndiye alikuwa anasimamia mambo ya waqfu pale kariakoo inaonekana huyu jamaa ni mjanja mjanja
@nehemia3975 ай бұрын
huyu mzee janja janja nyingi ....
@Lundege_Hips5 ай бұрын
Huyu mzee ndio yule tapeli
@abdillahchikota43035 ай бұрын
Huyu sindo Yule jamaa au mtt wa Mzee aldini wa kariakoo,,mwizi mkubwa
@IbrahKhan-h3e5 ай бұрын
😂😂😂😂 ndy n yeye
@HalemaSemo5 ай бұрын
😂😂😂 Wamechanganyikiwa nadeni Nyamika
@syliviakente94605 ай бұрын
Kweli
@victoriambonde80615 ай бұрын
uyu sindo yule Alie sema akuna waQfu Kuna sadaka
@reynaaalrawahi41375 ай бұрын
Muongo wewe ulimwacha jamila na kaolewa na raia. Wa dubai ana watoto mume wa dubai
@tobosha32365 ай бұрын
Huyo jamaaa anaonekana n tapeli yani yeye n migogoro ya nyumba tu
@AbuuFarhaan-ri2yj5 ай бұрын
Kweli asee unamkumbuka ee
@abdulbronzie86095 ай бұрын
Huyu jamaa sindio wa mali ya waqfu anaongea hatari ni tapeli sio bure
@zuwenaharunali5 ай бұрын
Huyu tapel bwna
@dr.abdallahngenya97805 ай бұрын
Huyu kaka yake sara mbona migogoro mingi yumo 😂
@elizabethkikoti72654 ай бұрын
😂😂😂
@fredysiwale54135 ай бұрын
Huyu mh silaa lazima atafutiwe zengwe ili wamkwamishe
@fadhilikyandofadhilikyando56664 ай бұрын
Waziriii jembeeee huyuuuuu
@thabitally5 ай бұрын
Huyu si ndiye Aliyeuza nyumba yao ya urithi Kariakoo yenye Wakfu?
@mashejuma28855 ай бұрын
Ndio
@thabitally5 ай бұрын
@@mashejuma2885, Wallahi mtihani hizi mali hata Aibu hana, Ya Allah nakuomba nijaalie subra kama ya huyu mzee aliyetaka kudhulimiwa , Ningekua mimi hapo yaani alivyokubali kweli nimemuuzia, Ningemrukia kichwa cha mdomo . Mheshimiwa Unafanya kazi nzuri sana.Hongera.
@FatumaSaid-t4r5 ай бұрын
Mwisho wa uongo,aibu😂
@froma37325 ай бұрын
Halafu tunaambiwa Serekali ilopita nilikuwa ya nyonge lkn hawa nilikuwa mpaka watoe mzigo ndio wamune Waziri Samiha 2030
@GodfreyOsward5 ай бұрын
Hapa suala serikali ipi tujiulize kwa nini raia tumekuwa mumiani kiasi hiki. Nje tunajionyesha kondoo kumbe mbwa mwitu
@BIGBOSS-hl3bu5 ай бұрын
Huo uso tu inaonyesha ni mwizi
@iddihamisi63205 ай бұрын
Waziri tumepata
@imranijuma69555 ай бұрын
Mwamba kila kona uyu mzee yupo sijui dalali😅
@lusajomwaipopo50425 ай бұрын
Huku jimbo lake linazama kwenye maji hajui wakati jimbon madaraja hakuna huyu mbunge 0
@nurdinmfamau34935 ай бұрын
Huko Endeleeni Simko Wengine Mko Vizuri Huyu Muheshimiwa Mtuachie Kidogo
@MiriamAziz-z5t5 ай бұрын
MBUNGE WENU WA UKONGA MH. WAZIRI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA KWA TAIFA LETU...!
@dr.abdallahngenya97805 ай бұрын
Huko pambaneni na madiwani.. kwa maslahi mapana ya taifa anahitajika kwengine
@sajdatomar60255 ай бұрын
Aisee tamaa hizi daah😮
@ChrisMeshack5 ай бұрын
Elewa frem M2
@ChrisMeshack5 ай бұрын
Ila wazil
@DayanaSuphian5 ай бұрын
Usitusahau wananchi wako wa Ukonga barabara zetu za ndani ni mbovu sana tena sana na hizi mvua ndo balaa
@elizabethkikoti72655 ай бұрын
Kashaenda juzi nakaahid kwamba bara bara watajenga so tumuunge mkono kwa juhudi zake
@chesterbrand67235 ай бұрын
Jamaa anasema waziri mtoto wa mjini hahahahahaha
@agustinoezekiel5 ай бұрын
Sio mzee kipara huyu??
@HassanAbdallah-f6o5 ай бұрын
Huyu mzee aende jela ni tapeli sana inaonekana ndio ameuza madrasa
@nyiqatonyiqa71145 ай бұрын
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮