WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI WA MABILIONI KARIAKOO | ALIYELIPA BIL 2.25 ILI KUZUIA KUNYANG'ANYWA NA..

  Рет қаралды 44,440

RAI TV

RAI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 146
@SalmaSelemani-o9b
@SalmaSelemani-o9b 5 ай бұрын
Siraha wewe mungu akuhifadhi akukinge na shari zote za Dunia warehemu wa zee kwako ayafanye makaburi Yao yawe niviwanja vyapeponi wameacha tunda jema Duniani ameen
@husseinomary4466
@husseinomary4466 3 ай бұрын
Hua nafika mbali sana kwenye kuwaza nadhani mama samia alioteshwa kuhusu waziri huyu kua atamsaidia vema,, Allaha akupe afya njema waziri wangu pendwa
@wilsonsigara2969
@wilsonsigara2969 5 ай бұрын
Big Big up wazili yani wewe ni mfano kwa mawazili wengine yani wewe na makonda na Dotto bite ko, na bishungwa mumetisha sana, my God bless you 🙏
@ip_header
@ip_header 5 ай бұрын
Mh. Waziri Slaa Mwenyezi Mungu amzidishie Hekima na Busara. Anafanyanya kazi kubwa sana, ataweka alama njema katika mioyo ya watu wengi 🎉🎉🎉
@saidramadhan71
@saidramadhan71 5 ай бұрын
Waziri wewe ni mtetezi wa wanyonge mwenyezi mungu akulinde.
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 5 ай бұрын
Kazi nzuri Mh Waziri Ila huyo ni tapeli ameanzia Kariakoo kuuza nyumba ya Waqfu na bado M Mungu anaendelea kumfedhehesha huyu jambazi weka ndani asionekane Kabisa uraiani maana ataendelea kuumiza watu na haki zao, ingekuwa nipo hapo ningempa kofi moja safi sana la pua
@othmanali7408
@othmanali7408 5 ай бұрын
Mzee muogope Mungu kila mgogoro umo dah Rudi kwa Allah .
@makiniautospare2648
@makiniautospare2648 3 ай бұрын
Huyu jamaa anashida kubwa
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 5 ай бұрын
Utashangaa kesho kahamishiwa uvuvi hapo ndo mm nitahamia Burundi 🇧🇮
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@christinasangu8040
@christinasangu8040 5 ай бұрын
😂😂😂
@hatungimanaissa9588
@hatungimanaissa9588 5 ай бұрын
Subhaanallah
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 4 ай бұрын
😅
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 5 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi umeonyesha kwamba wewe unamsaidia raisi wetu kwenye migogoro ya ardhi
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 5 ай бұрын
Hatuna RAISI tunamzululaji tuu shetani msumbufu
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 5 ай бұрын
Silaaa to me you deserve to be president of my country tanzania.i wish all the best.🎉🎉🎉🎉
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 5 ай бұрын
He will be a President soon
@OmarOmar-mu3dk
@OmarOmar-mu3dk 5 ай бұрын
Duh! mh:M/mungu akulinde maana katika iman yangu n kua ww unayoifanya n jihadi.ila nna ombi moja kiukwl na huku Zanzibar sis wanyonge tunadhulumiwa sana n wenye uwezo wa kifedha na uwenyeji kwenye mamlaka tutengezeen mazingira ili na sis tuweze kusklizwa maana dhulma iliyipo huku n kubwa tunadhulumiwa cna ardhi zetu.
@KevinaSamson
@KevinaSamson 4 ай бұрын
Yaani kaka sirahaa mungu akubariki unahakiri. Sanaa
@fahadfahmy
@fahadfahmy 5 ай бұрын
Waziri Muadilifu ambae hakupata kutokea tokea Nchi imepata Uhuru 👋👋
@HasnutMfuruki
@HasnutMfuruki 5 ай бұрын
JAMANI MAWAZIRI WETU.TUNAWATIA MUNGU .TUNAWAOMBA.MFANYE KAZI KAMA WAZIRI SILAA.ANAVYOFANYA KAZI. MAMA SAMIA.TUNAKUOMBA WATANZANI. MAWAZIRI WOTE.WABADILIKE. KUTENDA HAKI. Wajue nassi tunasomesha watoto wetu.watakuja kuwanyanyasa.wao.amma fsmilia zao.❤.smh.silaa.na mma mungu awe nayiii
@badruhote4607
@badruhote4607 5 ай бұрын
Waziri Salaa huu uwaziri,sio tu wakuteuliwa na doctor samia bali ni wito kutoka kwa mungu, mungu akupe afya njema,na akupe umri mrefu uwafikie wote wenye changamoto za ardh.🙏
@Ushauri235
@Ushauri235 5 ай бұрын
Waziri safi sana huyu na wengine wangekuwa hivi tusingekuwa na migogoro
@mehmoodali4509
@mehmoodali4509 5 ай бұрын
We need urgently your help utepli ya familya Dar es salaam properties
@kimandafukitefu2999
@kimandafukitefu2999 5 ай бұрын
Raha sana kuwa na waziri aliyeisha na watu wa aina wote wahuni na wasomi
@HusseinKalamba
@HusseinKalamba 5 ай бұрын
Gonga like 30 kwabwana jerry
@fahadbabuy
@fahadbabuy 5 ай бұрын
Mbona huyo masharubu alikuwepo kesi ile nyengine ya kariakoo😢😢😢nyumba ya wakf😮😮is this real???
@IbrahKhan-h3e
@IbrahKhan-h3e 5 ай бұрын
Unakumbuka eeeh alikuwa mtatamtata hivihivi
@nyiqatonyiqa7114
@nyiqatonyiqa7114 5 ай бұрын
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮
@IbrahKhan-h3e
@IbrahKhan-h3e 5 ай бұрын
Huyu mpuuzi so ndiyo mmoja wa waliotaka kushindwa kutoa nyumba ambayo baba yao alitoa waqfu
@salimalesry428
@salimalesry428 5 ай бұрын
Huyu ni yule yule wa madrasa Yani anacheza kote kote kumbe hili tapeli
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 5 ай бұрын
​@@IbrahKhan-h3endo na mimi namuangalia hapa kumbe tapeli hilii dah
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 5 ай бұрын
Yeah
@omarkhelef7631
@omarkhelef7631 5 ай бұрын
@@IbrahKhan-h3e Laana ya mungu inamuandama
@edithajoseph7675
@edithajoseph7675 5 ай бұрын
Mungu akulinnde waziri
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 5 ай бұрын
Hongera wazuri ungekuwepo kipindi wengine tumezurumika tungepata hakizetu
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 5 ай бұрын
Akimaliza mm mh anafaa sana kuwa rais
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 5 ай бұрын
SANAAAAA HUYU NDIO RAIS TUMTAKAE
@hulukasefu
@hulukasefu 5 ай бұрын
waziri ufike nahuku wilaya ya chalinze kuna madudu mengi
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
Huyu Baba asipozeeka huu mwaka sijuwi tu maana anamajukumu yanaumiza vichwa
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 4 ай бұрын
Huyu na Makonda wa Arusha
@SalumuHassani-y6i
@SalumuHassani-y6i 5 ай бұрын
Hongera mheshimiwa Jerry ama hakika unawatendea haki watanzania wanyonge Allah akuepushe na husuda za maadui
@ahmadseaman3487
@ahmadseaman3487 5 ай бұрын
masha Allah thanks so much
@MohdAli-cx7bc
@MohdAli-cx7bc 5 ай бұрын
Waziri ana moyo kubabake bilioni 4 uyu waziri peponi mana apo anapewa bi moja yake wale bi 2 za mwanzo na bi 1 na kitu 3 izo na mnunuzi wa mwanzo kasharudishiwa chake he 😂
@brayanjames9953
@brayanjames9953 5 ай бұрын
Uyu mzee mwenye mzula i ni mala ya pili ana kutana. Na wazili ana mbaga nyingi. Uyu😅😅😅
@MikidadiMahumbi
@MikidadiMahumbi 5 ай бұрын
Uyu ndio waziri tunao wataka
@OmarOmar-mu3dk
@OmarOmar-mu3dk 5 ай бұрын
Ikiwa mm n mmoja ya walio dhulumiwa nyumba pamoja na kiwanja na bwana mmoja mwenye uwezo hapa dunian
@onesmomassawe6230
@onesmomassawe6230 4 ай бұрын
Huyo Jamaa mwenye rangi nyeusi anabalaaa namuon Kila kesi k koo
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 5 ай бұрын
Safi sana Slaa.
@moseshaji1177
@moseshaji1177 5 ай бұрын
Waziri please ufike na huku kibaha kata ya kidimu kuna utapeli mkubwa wa ardhi
@AshuraNyamnyam
@AshuraNyamnyam 5 ай бұрын
Mwanangu mungu akulinde , na ujilinde walimwengu hawapendi haki ikitendeka , umejitoa kwa hali na mali , wazee wa dili wanaumia
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 5 ай бұрын
Isaidie HAKI itande itapakae kila upande (Quran 4:135)
@issaramadhani9141
@issaramadhani9141 5 ай бұрын
Ukifatilia migogoro mingi anayotatua mh waziri Slaa unagundua kunamahala watu wenye maamuzi hawatendi au hawafanyi maamuzi ktk hizi kesi ingawa wanaujua ukweli wanapindishapindisha sheria ili hizo kesi ziwanufaishe. Sasa kama hii kesi huyu jamaa hata anachokizungumza unaona kabisa alikuwa na nia ovu na hana hata nguvu ya kisheria kumsumbua huyu mnunuzi ila hela ndio olikuwa inatumika kutaka kupora haki ya huyu mzee. Kwa kweli njaa ya pesa itawatesa wengi nchi hii.
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 5 ай бұрын
Hasa upande wa mahakama wanaminya sana wanyonge
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 5 ай бұрын
Angekuwa lukuvi hapo angehamia kwenye 4
@bilid4128
@bilid4128 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 5 ай бұрын
Hata Mimi Nawewe Hilo Sio Jambo Dogo.
@saidnhoathuman1014
@saidnhoathuman1014 5 ай бұрын
😂😂
@kikaalimzigeadvocate408
@kikaalimzigeadvocate408 5 ай бұрын
😂
@maulidzagu-gb3mc
@maulidzagu-gb3mc 5 ай бұрын
Mheshimiwa Jerry slaa unajua ni kwa nini huvaa shati jeupe mara zote ?
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj 5 ай бұрын
Halafu haka kazee,si ndo kale kaliuza nyumba ya wakfu??
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 5 ай бұрын
Huyu ni yule mtt wa sheikh Aladini? Ana misala ya majengo
@nabilsaid8046
@nabilsaid8046 5 ай бұрын
Naona kafanana na yule hii nyumba nyengine au wanazo nyingi 😂
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 4 ай бұрын
😂😂😂ndio yeye
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 5 ай бұрын
Huyu mzee mbona namkumbuka kule ktk lile gogoro la mirathi yenye wasia!?
@hanspop6961
@hanspop6961 5 ай бұрын
😂😂kavalia ujana ili tusimjue
@abuufarha6562
@abuufarha6562 5 ай бұрын
Ndie yule yule
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 5 ай бұрын
Laana ya madrasa
@JacksonSeweji
@JacksonSeweji 5 ай бұрын
Mzee uyo kila mgogoro yupo khaaaa😂
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 5 ай бұрын
Kwa kwell Bunge letu tukufu linahaki ya kukaa kikao cha kupanga hadhabu kali kwa matapeli kama haya
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 5 ай бұрын
Waislam mambo ya wake wengi yatawatupa motoni!Mpe Yesu Kristo maisha yenu upewe uwezo wa kushinda dhambi zenu..bila hivyo jehunum inawangoja..haijalishi sura,cheo nk
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 5 ай бұрын
Sanaa hizii😂fcm hoye😂😂
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 5 ай бұрын
2 kwa mwenyewe 2 nifichie
@silverman6930
@silverman6930 5 ай бұрын
Mara paaaa waziri wa michezo
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 5 ай бұрын
Uyu mzee inaonekana ni mwizi ,kwenye madrasa yumo, kwenye nyumba yumo.
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 5 ай бұрын
Waarabu wakuchovya wengi wao nuxi sana akili zao mirungi tu
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 5 ай бұрын
Huyu mzee wa likofia anaonekana mhuni mzoefu
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 5 ай бұрын
Hahahaha Mh huyu si ndo yule alowepo kwenye jumba la mirasi ama sie huyu alokua anagombania nyumba iloekwa kilemba iwe MADRASA kikofia
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 4 ай бұрын
Ndio yeye
@KALULUALLI
@KALULUALLI 5 ай бұрын
Wazir Jerry rais asikuondowe nafahi hiyo
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 5 ай бұрын
Alafu huyu baba si alikiwepo kwenye ule mzozo wa nyumba yakina she ally huyu anaonekana mjanja mjanja huyu baba
@FreeGod368
@FreeGod368 5 ай бұрын
😂😂😂😂meshangaa
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 5 ай бұрын
Haka kazee kenye tshirt nyeusi kana ujanja wa zamani sanaaaa, si ndio huyu huyu alieuza nyumba ya marehemu kariakoo wakati marehemu aliacha watoto, hii mpya tena hivi haogopi Mungu huyu hajui nyumba ya milele ni kaburi anatamaa sana dah
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 5 ай бұрын
Kila nchi Ina watu ambao wanaweza kurifikisha taifa eneo salama na kwenye uchumi mzuri. Lakini ni wachacge kwenye nchi. Usijinadi kua ummo kwakua haujapimwa. Hata leo hauaminiki kwa watu, ndo utaaminika kwa nchi?
@ahmedseif-cu4ex
@ahmedseif-cu4ex 5 ай бұрын
Huyu c yule wa nyumba ya waqfu
@munjy11tutorials
@munjy11tutorials 5 ай бұрын
Jamani huyu alotaka apewe milioni 300 si ndio yule yule walouza nyumba ya mirathi wakazuia na madrasa kariakoo?
@HamzaMbasha
@HamzaMbasha 5 ай бұрын
Huyu mzee ana mambo mengi si ndoo alikuwa na migogoro mingine hapo hapo kariakoo
@amayamaya2306
@amayamaya2306 4 ай бұрын
Huyu Sindio aliuza numba ya wkfu
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 5 ай бұрын
Mimi nimemjua😂😂😂 kakake sara
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 ай бұрын
Anauza nyumba kariakoo bwege huyu si angekula kodi tuu
@XiuKaratu
@XiuKaratu 5 ай бұрын
Tony Hussein Jerry Msukuma line up 2025 motomoto
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 5 ай бұрын
Huyu mzee hana hata aibu halafu anajiona mjanja. Sijui anajikuta nani kila mgogoro yupo mbele😢😢😢😢😢
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 5 ай бұрын
Yupi sasa hapa anaejiona mjanja waziri au huyo anaetaka kumdhumu mtu? Bado sijakupata nifanunulie
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 5 ай бұрын
😂😂alievaa kofia ya blue huyo mzee tapeli kweli kila mgogoro wa nyumba kuuzwa yupo
@IbrahKhan-h3e
@IbrahKhan-h3e 5 ай бұрын
​@@ashuraomar4935😅😅😅 ndy nakumbuka ile nyumba ya baba yao nae alikuwa kiherehere
@mariamdimosso621
@mariamdimosso621 5 ай бұрын
Dada yao alisema tapeli ana migogoro kibao ndio maana anavyaa kofia kujificha​@@IbrahKhan-h3e
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 5 ай бұрын
🤣🤣🤣 mwizi kweli na slaa kashamjua anachukua pesa za watu cha maana hakuna 😂😂kofia lake kila mgogoro anapenda kuvaa kofia kwenye sakata la baba yao alivaa kofia nyeusi na ni mbishi leo kavaa kofia ya blue mbishi kweli sijui pesa ana peleka wapi kujitafutia laana tu pesa za dhuluma sio nzuri
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 5 ай бұрын
Weka namba simu hapo waziri slaa nikutumie buku ya soda unapiga kazi sana
@Rai_online_tv
@Rai_online_tv 5 ай бұрын
Daaah ha ha
@senseiamani4684
@senseiamani4684 5 ай бұрын
Haaaaaahaaaa
@rockyzacharia6947
@rockyzacharia6947 5 ай бұрын
Hawa wazee wajanjawanja sana si ndo walio uza nyumba ya baba yao
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 4 ай бұрын
Ndio
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 5 ай бұрын
Bora hata slaa angekuwa RAISI kuliko huyu mzanzibari mwanamke shetani
@allyomary2271
@allyomary2271 5 ай бұрын
Huyu jamaa si ndiye alikuwa anasimamia mambo ya waqfu pale kariakoo inaonekana huyu jamaa ni mjanja mjanja
@nehemia397
@nehemia397 5 ай бұрын
huyu mzee janja janja nyingi ....
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 5 ай бұрын
Huyu mzee ndio yule tapeli
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 5 ай бұрын
Huyu sindo Yule jamaa au mtt wa Mzee aldini wa kariakoo,,mwizi mkubwa
@IbrahKhan-h3e
@IbrahKhan-h3e 5 ай бұрын
😂😂😂😂 ndy n yeye
@HalemaSemo
@HalemaSemo 5 ай бұрын
😂😂😂 Wamechanganyikiwa nadeni Nyamika
@syliviakente9460
@syliviakente9460 5 ай бұрын
Kweli
@victoriambonde8061
@victoriambonde8061 5 ай бұрын
uyu sindo yule Alie sema akuna waQfu Kuna sadaka
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 5 ай бұрын
Muongo wewe ulimwacha jamila na kaolewa na raia. Wa dubai ana watoto mume wa dubai
@tobosha3236
@tobosha3236 5 ай бұрын
Huyo jamaaa anaonekana n tapeli yani yeye n migogoro ya nyumba tu
@AbuuFarhaan-ri2yj
@AbuuFarhaan-ri2yj 5 ай бұрын
Kweli asee unamkumbuka ee
@abdulbronzie8609
@abdulbronzie8609 5 ай бұрын
Huyu jamaa sindio wa mali ya waqfu anaongea hatari ni tapeli sio bure
@zuwenaharunali
@zuwenaharunali 5 ай бұрын
Huyu tapel bwna
@dr.abdallahngenya9780
@dr.abdallahngenya9780 5 ай бұрын
Huyu kaka yake sara mbona migogoro mingi yumo 😂
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 4 ай бұрын
😂😂😂
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 5 ай бұрын
Huyu mh silaa lazima atafutiwe zengwe ili wamkwamishe
@fadhilikyandofadhilikyando5666
@fadhilikyandofadhilikyando5666 4 ай бұрын
Waziriii jembeeee huyuuuuu
@thabitally
@thabitally 5 ай бұрын
Huyu si ndiye Aliyeuza nyumba yao ya urithi Kariakoo yenye Wakfu?
@mashejuma2885
@mashejuma2885 5 ай бұрын
Ndio
@thabitally
@thabitally 5 ай бұрын
@@mashejuma2885, Wallahi mtihani hizi mali hata Aibu hana, Ya Allah nakuomba nijaalie subra kama ya huyu mzee aliyetaka kudhulimiwa , Ningekua mimi hapo yaani alivyokubali kweli nimemuuzia, Ningemrukia kichwa cha mdomo . Mheshimiwa Unafanya kazi nzuri sana.Hongera.
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 5 ай бұрын
Mwisho wa uongo,aibu😂
@froma3732
@froma3732 5 ай бұрын
Halafu tunaambiwa Serekali ilopita nilikuwa ya nyonge lkn hawa nilikuwa mpaka watoe mzigo ndio wamune Waziri Samiha 2030
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 5 ай бұрын
Hapa suala serikali ipi tujiulize kwa nini raia tumekuwa mumiani kiasi hiki. Nje tunajionyesha kondoo kumbe mbwa mwitu
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 5 ай бұрын
Huo uso tu inaonyesha ni mwizi
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 5 ай бұрын
Waziri tumepata
@imranijuma6955
@imranijuma6955 5 ай бұрын
Mwamba kila kona uyu mzee yupo sijui dalali😅
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 5 ай бұрын
Huku jimbo lake linazama kwenye maji hajui wakati jimbon madaraja hakuna huyu mbunge 0
@nurdinmfamau3493
@nurdinmfamau3493 5 ай бұрын
Huko Endeleeni Simko Wengine Mko Vizuri Huyu Muheshimiwa Mtuachie Kidogo
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 5 ай бұрын
MBUNGE WENU WA UKONGA MH. WAZIRI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA KWA TAIFA LETU...!
@dr.abdallahngenya9780
@dr.abdallahngenya9780 5 ай бұрын
Huko pambaneni na madiwani.. kwa maslahi mapana ya taifa anahitajika kwengine
@sajdatomar6025
@sajdatomar6025 5 ай бұрын
Aisee tamaa hizi daah😮
@ChrisMeshack
@ChrisMeshack 5 ай бұрын
Elewa frem M2
@ChrisMeshack
@ChrisMeshack 5 ай бұрын
Ila wazil
@DayanaSuphian
@DayanaSuphian 5 ай бұрын
Usitusahau wananchi wako wa Ukonga barabara zetu za ndani ni mbovu sana tena sana na hizi mvua ndo balaa
@elizabethkikoti7265
@elizabethkikoti7265 5 ай бұрын
Kashaenda juzi nakaahid kwamba bara bara watajenga so tumuunge mkono kwa juhudi zake
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 5 ай бұрын
Jamaa anasema waziri mtoto wa mjini hahahahahaha
@agustinoezekiel
@agustinoezekiel 5 ай бұрын
Sio mzee kipara huyu??
@HassanAbdallah-f6o
@HassanAbdallah-f6o 5 ай бұрын
Huyu mzee aende jela ni tapeli sana inaonekana ndio ameuza madrasa
@nyiqatonyiqa7114
@nyiqatonyiqa7114 5 ай бұрын
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,2 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4,1 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
龟兔赛跑:好可爱的小乌龟#short #angel #clown
01:00
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН