SAKATA LA MIKOPO YA 'KAUSHA DAMU', WAZIRI MWIGULU, NAPE WABANANISHWA VIKALI BUNGENI

  Рет қаралды 12,363

Wasafi Media

Wasafi Media

3 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 75
@shawwalsharif9579
@shawwalsharif9579 2 ай бұрын
Hapa waziri wa fedha hamna kitu dah nchi ngumu sana
@lovsply
@lovsply 3 ай бұрын
MWIGULU ANAONGEA KITU TOFAUTI KABISA…. NADHANI HAJUI HALI HALISI… NA HALI NI MBAYA… KAUSHA DAMU WANAZO LESENI ZA MICROFINANCE
@smyahtv2781
@smyahtv2781 Ай бұрын
We kwenu wapi??
@AbdilahiMriri
@AbdilahiMriri 3 ай бұрын
Hongera sana Mhe Waziri kwa maelekezo mazuri. Lakini kubwa zaidi ili kusaidiwa upanukaji wa mikopo hakuna haja ya kuhangaika na Leseni kwa wakopeshaji.
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 3 ай бұрын
Ooooh allah jaalia kila jambo kuwa wepesi kwa uwezo na utukufu wako yaaaaah rasullillah
@user-mm7vj3zw9l
@user-mm7vj3zw9l 2 ай бұрын
Motivator of mine👆
@costamasuba1099
@costamasuba1099 3 ай бұрын
Kausha damu,imeshindikana kuzibitiwa kisheria ,hivi hakuna sera zenye unafuu ,kwenye ujasiria Mali kama nchi nyingine.
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 2 ай бұрын
Kwan kausha damu hawapo kisheria
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 2 ай бұрын
@@ramsomaro9130 nashangaa naakati unakuta wana lesen inamaan wameluhusiwa kisheria, n kila ofic inariba yake
@omary_maige5022
@omary_maige5022 2 ай бұрын
Je mikopo ya kwenya app yenyewe wanaleseni?
@lillianflowergal4833
@lillianflowergal4833 2 ай бұрын
Swali zuri hiliii! Napenda kujua jibu lake maana wanakeraaaa
@omary_maige5022
@omary_maige5022 2 ай бұрын
@@lillianflowergal4833 unafikilia wanamajibu awa
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 2 ай бұрын
Wakati mkopaji anapikua na shida mtoto kafukuzwa chuo au anatakiwa alipe Hela ya mtihani ndipo anaenda kukupa mitaani anafanikisha mamba yake anapotakiwa kulipa anaanza kulalamika kausha damu kwnn asiende serikalin kukopa!!!t
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 ай бұрын
Mbn wanzunguka wakati micro finance ndio tatizo..iv ni kwel hawajui jmn
@elicktilia4430
@elicktilia4430 3 ай бұрын
Very simple but hard
@JohnSamwelsilungwe
@JohnSamwelsilungwe 2 ай бұрын
Napenda sana spika anavyombanaga nchemba😂😂😂😂😂
@claudiussilas
@claudiussilas 2 ай бұрын
Mikopo kupitia sm haiumizi sana,shida kubwa iko kwenye microfinance za mtaani zina riba kubwa wekeni utaratibu ili kuepuka adha hii kwa wananchi kwa kutoa mwongozo wa riba nafuu,kumbuka si wote wana vigezo vya kukopa benki
@nazarethally9509
@nazarethally9509 3 ай бұрын
Mheshimiwa spika upo vizuri sana umejua namna ya kui handle hii ishu
@richzebest2029
@richzebest2029 2 ай бұрын
Wabunge wetu wanatupenda sana,hakika wanatutetea kwa uchungu mno..uchaguzi umekaribia
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 ай бұрын
Hivi Tanzania hii kweli unakuwa na waziri ambaye hamsaidii mwananchi nakuambie spika jamaa wanahusika na hizo Kaushal damu
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 2 ай бұрын
Hao kausha damu ndo nn kampuni za mikopo zote zina reseni mzee
@omarisaid7318
@omarisaid7318 2 ай бұрын
10:08
@ZakariaChacha-ze4mt
@ZakariaChacha-ze4mt 2 ай бұрын
Mikopo sio mibaya watu ndo hawasimami Kurdisha mikopo
@hamishassan6784
@hamishassan6784 3 ай бұрын
Mikopo ya Riba ni tatizo sana na Tatizo kuu lipo kwenye hizi taasisi zilizosajiliwa kabisa kisheria wala sio hao wanaokopesha kimahusiano kupindisha ni kwa kuwa wanufaika ni hao hao ila inaumiza sana
@chechekagire404
@chechekagire404 2 ай бұрын
Kwann tatizo lisiwe Kwa Wakopaji, na je unadhan hizi taasisi zinapoteza pesa kiasi gani?, dah! Judgement with low brain n shida sana
@hamishassan6784
@hamishassan6784 2 ай бұрын
@@chechekagire404 huwenda ukawa na Brain kubwa lakini ukawa na uwelewa mdogo, na hii inaoesha hata ujui tatizo nini hasa, nakuombea kwa kuwa tayari imeshakuwa na big brain ujaaliwe uwe na uwelewa mpana usikurupuke kijana elewa kilichozungumzwa weka mihemko yako nyuma. Ndiye Binadamu wakwanza kutoona tatizo lililopo kwenye mikopo na uwendeshaji wake. "Salama"!!!!!!!
@zephaniachibaya2894
@zephaniachibaya2894 2 ай бұрын
Wewe mnunge uki vizuri sana
@alexenock7882
@alexenock7882 2 ай бұрын
Shida ya hawa wanaojadili sio wakopaji wa mikopo hiyo ndio amaana wanaona mambo rahisi rahisi, ila kiukweli wananchi wanaumia na hii mikopo inayotokana na kampuni za simu.
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 3 ай бұрын
Hoja mzuri but very unfortunately wqbunge hawaja jiandaa kutoa michango inayofaa
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 2 ай бұрын
Mikopo ya Mpesa haiwekwi na Banki ni hao Mpesa wenyewe
@LoseSanga
@LoseSanga 2 ай бұрын
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanapita nyumba kwa nyumba au nyie ndomnafata maofisini kwao
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 2 ай бұрын
Wala hela za Mpesa hazitoki kwenye bank yoyote
@deusmauka8270
@deusmauka8270 2 ай бұрын
Kausha damu zipo, simu ya laki 3 unalipa laki 6 ndani ya miezi 6 si uligaji huo, kausha damu zipo kwenye mikopo mpaka kwenye makampuni.
@zakariamponzi-rm9kc
@zakariamponzi-rm9kc 2 ай бұрын
Jamani huyu waziri mbona simuelewi anautani na watanzania hii hali ni mbaya
@masaluwashima6887
@masaluwashima6887 2 ай бұрын
Mh tulia umeupiga mwingi wana haya ni majambazi hata Kodi hayalipi kwa serikali 💯 riba
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 2 ай бұрын
Toene leseni na maelezo ya riba,mbona ikiingia hotelin Kuna bei ya vyakula,nyinyi mkisha toa leseni mnasinzia maofisini mnasubiria Kodi yunu tu,hamjui wapiga kura wetu wanaumia, 2025 mnaomba kura,mnakichafua chama chetu,hebu mhe wazir we ni jembe nakujua vizur sana fuatia hili,
@EliaHiluka-uz3ty
@EliaHiluka-uz3ty 3 ай бұрын
Huyo wakala wa ofisi ya mikopo
@LoseSanga
@LoseSanga 2 ай бұрын
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanawafata nyumbani au nyie ndo mnawafata maofisini kwao
@EdenAChoir
@EdenAChoir 3 ай бұрын
maana yake uchumi wa wananchi wetu hauko sawa .muheshimiwa waziri mambo haya ambayo unaona ni madogo ndio matatizo yetu hasa.
@EdenAChoir
@EdenAChoir 3 ай бұрын
hayo ndio matatizo ya wananchi wetu na tunatakiwa kuyafanyia kazi .tunatakiwa kujua kwa nini kunakausha damu maana yake kunatatizo kubwa
@user-vv1yh6lo3l
@user-vv1yh6lo3l 2 ай бұрын
Kuna Tulia trust , Mo Dewji, Jokate nk hizi ni zenye leseni ya BOT?
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 3 ай бұрын
Hapo kuna cheni ya wizi ya kuwaibia wananchi hayo mmabank
@eliaskangabo779
@eliaskangabo779 3 ай бұрын
Wamesajiliwa na ofisi zipo
@ahmedkasuku4394
@ahmedkasuku4394 2 ай бұрын
Huyu kisasi financing ana leseni?
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 ай бұрын
Wahusika ni mawaziri wanapata faida haramu
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 2 ай бұрын
Hivi jamani mpaka mhe tulia awaeleweshe,ni kweli taasisi za mikopo riba kubwa,watu wanajinyonga jamani,sijawai ona ety mtu anakopa laki Moja anarudisha Kwa siku elfu 4,BOT wajua Hilo,jamani futilien,au mnajuana?
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 2 ай бұрын
Mbn naona hiy kama gharam y riba yake inakuwa sio kubwa mn ukipiga kwa mwez n 120 saa laki kwa 120 hiyo ofic wapo vizuri,huku kwetu 100 kwa 150 hutak unaacha
@jamaa2760
@jamaa2760 3 ай бұрын
Kuna mikopo ya mitandaoni
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE 3 ай бұрын
What is wrong with mwigulu??
@PauloMosha
@PauloMosha 2 ай бұрын
Mh sikuelewi kabisa
@EliaHiluka-uz3ty
@EliaHiluka-uz3ty 3 ай бұрын
Hayo ni maelezo ya kihuni harafu unqjibu waziri
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Daaaah mwigulu maswali magumu unajibu kihuni kihuni tuuu hivi hamzioni barabarani humu microfinance duuuuh
@lucasandrew1112
@lucasandrew1112 2 ай бұрын
Nimependa maelezo yao yamenyooka
@lusekelonelson7256
@lusekelonelson7256 2 ай бұрын
Nape una babaisha tu.
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 2 ай бұрын
Laki mh wazir wa fedha,mbona we ni mchapa Kaz mzur sana,wapiga kura wetu wanaumia sana,hasa wamama wakaanga mihogo,anapewa laki Moja Kila siku alipe elfu 4,Kwa mwez laki na 20,mtaji alo nao haufiki hiyo elfu 4,kumbe laki alikopa Kwa kulipa Kodi ya nyumba,
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 2 ай бұрын
Hiyo mikopo navyoona kama mtu atakopa kwaajil y kulipia kodi radhim ataiona n michungu ila kwaatakae chukua hiyo pesa n kuongezea kweny mtaji wa biashara yk hatoshindwa rudia hiyo sijui elf3 kwa siku
@SadicMgimba-ww8ib
@SadicMgimba-ww8ib 2 ай бұрын
Hata angekopa kwingine kwa staili ya hiyo rejea angelica shida ya kufilisiwa tu
@omarisaid7318
@omarisaid7318 2 ай бұрын
Punguzeni ribs ndokaushadamu mara sm benk
@deogratiashaule8958
@deogratiashaule8958 3 ай бұрын
Mikopo hii ni mauaji ,watu mpaka wanakimbia majumbani.
@ramsomaro9130
@ramsomaro9130 2 ай бұрын
Aliitwa kwenda kukopa
@wilfredlucas-nf6yo
@wilfredlucas-nf6yo 2 ай бұрын
Wanakimbia Sababu ya matatizo yao tu because mtu mwenye akili timamu huwezi kukimbia na hela Za watu
@BornfaceFumpa
@BornfaceFumpa 3 ай бұрын
Spika unaongea Sana... Wape wabunge nafasi
@SamwelMakambuya
@SamwelMakambuya 2 ай бұрын
Kauxadamu nibalaa
@AshuraSaid-ep2sx
@AshuraSaid-ep2sx 2 ай бұрын
Ety mikopo ya makampuni ya simu inawekwa na benk,msiwadanganye watu, BOT wanajua Leo mi saidi nimekopa mda wa maongez wa elfu 2,riba yake mia 3,acheni kuwafanya wa tz wajinga,
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 2 ай бұрын
Mkuu kama kachochorq vile
@wilfredlucas-nf6yo
@wilfredlucas-nf6yo 2 ай бұрын
Mikopo ni mizuri ila wakopaji ndo tatizo hawarejeshi kwa wakati
@dicksonelisa867
@dicksonelisa867 2 ай бұрын
50000 riba ni 10000 Kwa mwezi
@dickngimba4333
@dickngimba4333 3 ай бұрын
mm sijaelewa kabsa
@LoseSanga
@LoseSanga 2 ай бұрын
Hivi najiuliza hao nyonya damu wanapita nyumba kwa nyumba au nyie ndomnafata maofisini kwao
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 3 ай бұрын
Mikopo yote ya Mabenki, riba zake ziko juu sana. Serikali imeshindwa ku-regulate hizi riba, wanakimbilia tu market forces. ni kukwepa wajibu. Riba ni za juu sana kuliko hata huko Ulaya. Kausha damu ipigwe malufuku- period. Mambo ya kisheria, wanaojibu ni mawaziri wasio na utaalamu wa sheria. Tuna safari ndefu bado.
@mlangakiaratu9292
@mlangakiaratu9292 3 ай бұрын
So kausha damu ni interest ipi
@KudratyRamadhan-cm3xh
@KudratyRamadhan-cm3xh 2 ай бұрын
Hizo ofic kupigwa marufuk sio sawa mn kuna watu wananufaika kupitia hizo kweny serilak hakuna sehem mwananch anawez kukopa kwa haraka, kwawalio n lesen hao wamtaani seriakl iweke kiwang cha riba iwe nafuu w mwananch wa chn
@samsonpaschal5044
@samsonpaschal5044 2 ай бұрын
@@mlangakiaratu9292 Kuanzia 50 + na kuendelea, rejea maswali ya speaker kwa Nchemba kule Bungeni
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
TAHADHARI YA MIKOPO INAYOTOLEWA MITANDAONI
6:32
USALAMA TV
Рет қаралды 4,3 М.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu addresses US Congress
1:26:16
Yahoo Finance
Рет қаралды 3,4 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН