#millardayoGeita Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Musukuma amesema hajaridhishwa na manunuzi ya gari la Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita aina ya V8 lenye thamani ya mil.400
Пікірлер: 750
@UpeoMinistryofMedia3 жыл бұрын
Tuliorudi kuhakiki hii baada ya kauli ya mheshimiwa kumtumbua mkurugenzi like hapa tujuane😂😂
@philliposylvester25833 жыл бұрын
😂😂😂
@chrisssalmon31753 жыл бұрын
😅😅😅tupoooo
@stephenmwaisela2633 жыл бұрын
Big up msukuma,wakurugenz wapuuz km hawa ni kutolea uvivu,like mingi kwa msukuma
@masongaofficial3 жыл бұрын
We ndo limbukeni kweli Sikiliza hapa kzbin.info/www/bejne/sKazq6VrjL16a6M
@josephatmnongone61433 жыл бұрын
Msukuma ni mchochezi tu,yeye anatumia gari gani?
@pascaldogan18683 жыл бұрын
Huyu jamaa ni kichwa sana basi tu tunaitaji watu kama hawa wanaoweza kusema ukweli hii haingii akilini kabisa
@masongaofficial3 жыл бұрын
Ni kweli sikiliza hapa utaelewa kzbin.info/www/bejne/sKazq6VrjL16a6M
@mchumiajuani19933 жыл бұрын
Aiseeee kuna upumbavu wa hali ya juu, yaan gari ya kutembelea waziri ambaye anazunguka nchi nzima, kweli mkurugenzi aisee kuna vitu vinakera saana zaid ya sana.....dah
@simonnzumi35753 жыл бұрын
Unahesabu m1 mpaka m460 huna hata haya kweli?
@kalebuwilliam10143 жыл бұрын
Ngoja mzee asikie
@emmanuelsanga99053 жыл бұрын
Kalebu upooo
@emmanuelsanga99053 жыл бұрын
Mzee kashasikia bwana
@yhasintakalenyula9703 жыл бұрын
Kasikia,na maamuzi ametoa
@kalebuwilliam10143 жыл бұрын
@@emmanuelsanga9905 nipo mzee za siku
@kaguoblake52653 жыл бұрын
Keshaa sikia...
@francismlembwa27333 жыл бұрын
Hapana hizo pesa Ni nyingi mno jamani duh gari moja tu 400M
@godiuskahyarara93773 жыл бұрын
Hii Msukuka nakuunga mkono. Haya magari ni ghali sana
@kenybenjiz78503 жыл бұрын
Mbn mkuu wetu msafara wake hzo zipo nyingi
@davidelliot32673 жыл бұрын
@@kenybenjiz7850 JPM ni rais wa Tanzania anastahili kutembelea yale unayoyaona na kwa taarifa yako JPN ni mmoja wa marais wanaotumia magari ya kawaydah kwa rais kutumia sasa uyo mkurugenz kwa umaarufu gani atumie 460m kununua gari moja badala ya kumalizia kituo ya afya then kama hana gari achukue ata la m60
@kenybenjiz78503 жыл бұрын
@@davidelliot3267 serikali ina hela acha wayatumie tu
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@kenybenjiz7850 hahahaaa kweli kaka kuna wengine wanatumia Audi mpya ya Ml600 au porches ya milioni 900
@kipesekiaruwamallya30983 жыл бұрын
waliokuja uku baada ya jpm kutumbua tujuane hapa
@c759233 жыл бұрын
Engineer hongera sana kwa utendaji mzuri Geita kwa tunaofika mara kwa mara inakua sana! Ila sasa Bro Engineer 400Mln ni nyingi sana kununua gari moja!! Msijisahau sana jamani hatujafika huko!
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Unaumwa Sana pesa za Uma
@c759233 жыл бұрын
@@ashamwandu6572 Umma ni mimi na wewe! Kama haikuumi basi kutakuwa na tatizo
@onesmojustice23483 жыл бұрын
@@ashamwandu6572 wewe hujui kitu kuhusu maendeleo ya nchi nyamaza
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Nisijuwe kwavile mimjinga?Najuwa nandio maana inauma pesa za wanaichi kuchezewa ivo.magali mbona yapo mengi tu?yabei poa.atuoishe wasimi wengi tu wenye uwezo mkubwa Watatuchelewesha watu wanamna hii pumbafu
@onesmojustice23483 жыл бұрын
@@ashamwandu6572 hahaaaa yaani acha tu
@James00Bong0073 жыл бұрын
Mkurugenzi boya kweli...
@SYLMASVISIONFORSCIENCE3 жыл бұрын
Mhuu hii haijakaa sawa , haiwezekani kununua gari la Mil 400 ingali bado tunamahitaji mengi ya wananchi
@muzneali3873 жыл бұрын
Injinia Kwa serikali hii umetumbuliwa
@sophiazacharia95643 жыл бұрын
Nabii , leo yametimia maandiko yako.
@renatusmatungwa68003 жыл бұрын
Tayari
@yhasintakalenyula9703 жыл бұрын
Ulitabiri,na yametimia.
@happykimaya27623 жыл бұрын
Tayariii
@donaldkawacha98753 жыл бұрын
Ulisema imekuwa
@charotelimo50263 жыл бұрын
Namashaka na vyeti vya huyu babu aliyevaa miwani....takukuru waingilie kati
@geraldabel87843 жыл бұрын
Aisee huyu jamaa yuko vizuri sana ila bado kuna taasisi bado zinanunua ma V8 ambayo hayana kazi ni watu wanatafuta sehemu ya kupiga hela tu.
@evaristmbuya62203 жыл бұрын
Msukuma ana akali sana huyu jamaa nampongeza sana
@shauliniabeid45433 жыл бұрын
Standard 7 purity
@veronicakanyengele11113 жыл бұрын
Huyu ndo mbuge sasa naomba uje kuwa wa Geita mjini
@shomarywawa62273 жыл бұрын
Eng. AMESHA KUWA JOBLESS TAYARI.🤣🤣🤣🤣🤣 SOMA IYOOOOOO
@daudirajabu67983 жыл бұрын
Leo ndio nimekuelewa msukuma safi sana hongera ukweli mtupu tunaitaji viongoz wa namna hii
@errydeo88653 жыл бұрын
mkurugenzi hafaii,msukuma POINT yake ni BEI ya gari,sio ununuzi wa gari..piga chini huyu mkurugenz
@farajastudioandstationery57983 жыл бұрын
MSOMI ANAZIDIWA POINT NA DARASA LA SABA NDO SHIDA HII, MTU BADALA YA KWENDA KUSOMA UJAZIE ULIPOPUNGUKIWA LAKINI KUMBE UNADIDIMIZA AKILI ZAKO.... BADALA UKOMALIE MASWALA NYETI UNANUNUA GARI LA MKURUGENZI, NDO MAANA MHE. RAIS UWA ANAWATUMBUA
@obadiamduda103 жыл бұрын
Fagio la chuma linakuja nyuma yako
@titodaudi89493 жыл бұрын
Pumbavu sana na miwani yako Hata aibu huna ndiyo mnunue v8 kwani hakuna gari za bei ya chini na zinazomudu mizunguko ya halmashauri? Kama unataka raha nunua kwa pesa zako
@mwandegeplaza65043 жыл бұрын
Msukuma katika ubora wake
@ezekieljacob57953 жыл бұрын
Ha ha ha...tumepata tabu sana kwenye uchaguzi wa 2020....ukweli unabaki pale pale hadi kaburini ( mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.....iko siku msukuma ulimi utateleza na kusema ...( tulishinda kwa .......)
@frankmare17083 жыл бұрын
@@ezekieljacob5795 sasa mbona haihusiani na uchaguzi hii
@anuaryally61773 жыл бұрын
Kama unaendelea kununua magari basi nunua magari ya kubebea wagonjwa yawe mengi
@nestanesta57043 жыл бұрын
Duhhh!!! Magu hawezi kuwaacha salama kwa hili
@yhasintakalenyula9703 жыл бұрын
Yaani na hajaachwa mtu salama.
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG3 жыл бұрын
Imekua kweli 😀😀😀🤣
@DietVader3 жыл бұрын
the b roll showing the cars reminds me of inversion in tenet. great job editor.
@samwelkyando34143 жыл бұрын
Tenet no moto
@tammymhina54543 жыл бұрын
La nini gari hilo la pesa nyingi kiasi hicho mmeanzaee kula bata hayeni tunawasubiri 2025
@salummasoud57783 жыл бұрын
Hakuna sababu yoyote inayoweza kuhalalisha manunuzi ya gari la 400M kwa ajiri ya kutembelea. Bado matatizo yetu ni mengi mno, kwa kweli hayo ni matumizi mabaya ya fedha. Tunajua jinsi gani Wakurugenzi mnavyo wacorner Madiwani kwenye kufanya maamuzi mnayoyataka. Sasa kwa kuanzia tunakula hicho kichwa ili nawengine wajifunze.
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@kingwatabata42303 жыл бұрын
Mzee kalimalza kwa haraka sana. Safi musukuma👏👏
@kessynurutajiri49403 жыл бұрын
Mkurugenzi huo utetezi dhaifu. Gari ni la gharama sana. Subiri Panga la Shaba likushukie. Pole Kiongozi, kazi unayo. Awamu ya Tano si mchezo mchezo.
@TamuzaKale3 жыл бұрын
Mkurugenzi uone haya basi. Gari 400M kweli? Gari zote za 30/60 hujaziona hata ukataka 400M? Duh!
@khamisjuma50463 жыл бұрын
Hahahaha ccm oyee
@fanuelgwimo39773 жыл бұрын
Oyeee Mitano Tena 😂😂😂
@noelbryson78403 жыл бұрын
Sasa kama polepole mwenyewe alishasema ndinga zote za chama tawala ni kali kinoma mnataka mkurugenzi anunue ndinga ya kishamba?? Big up mkurugenzi 🤪..
@ramsikhamis70833 жыл бұрын
Kwa kwelii Mkurugenz kayumba saanaa,,, ngoja asikie mzee wa kazii
@dicksonkilupa22583 жыл бұрын
Hai make sense? Mpumbavu kweli hivi hiyo Gari itaweza kuwasaidia wanyonge? Na hizo ambulance umenunua Kwa bei gani? Hata kama sikusoma nakuona unalo la kuwajibu watanzania huna msaada kwetu njoo mitaani tuchape kazi na uzeeke bila Gari ya ghari kiasi hicho.MSUKUMA HOYEEE
@amrimzeru29133 жыл бұрын
Kwani waziri mkuu,na ujenzi wao ni nani,? Tumieni magari ya bei ya kawaida,hayo ya milioni mia nne ni ghari sana
@hallin95613 жыл бұрын
Serikali zetu izi,,, mamae gari la ngedere mmoja tu million 400,,, hii ndio Tanzania kama ya mobutu kule Zaire
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Ngoja magu asiki huo uozoo
@vitusmdegela53563 жыл бұрын
Wandugu mil 400 nyingi sana hapo service ya c chini ya million 5 hakuna tija hapo wangenunu hilux, 4 ila wao wanawaza starehe wakati Wananch Hawana maji, umeme, Barbara. Shit
@vitusmdegela53563 жыл бұрын
Wandugu mil 400 nyingi sana hapo service ya c chini ya million 5 hakuna tija hapo wangenunu hilux, 4 ila wao wanawaza starehe wakati Wananch Hawana maji, umeme, Barbara. Shit
@presseg.63623 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha, eti ngedere
@texastexas25453 жыл бұрын
Mkulugenzi acha dharau, kuanzia mda huu napoandika comment hii huna kazi.
@saidihussein28653 жыл бұрын
Ukosahihi jrmen gar kerere msukuma acha zalau
@mhojajohn33323 жыл бұрын
Msukuma uko vizuri sana uyu ni jipu sana hakutakiwa kutoka na kujibu utumbo
@wilbrodwemaonlinetv83793 жыл бұрын
Jamani natafuta gari aina ya Noah (used) kwa milioni 6
@careemissa25023 жыл бұрын
Ninayo ya m8 km uko tyr nitfte inbox
@badenbensoni75163 жыл бұрын
Du hizo vx ni ghali sana. Nchi yetu bado ni changa tuangalie angalau Plado kama kenya
@happyjohn58823 жыл бұрын
Kwani hata hyo Tx Prado mbona ni bei ghali piaa almost Milioni mia na zaidi na ya 2014 sasa ya mwaka huu wadhani pesa ngapii,lakini kwani msukuma yeye anatumia ya pesa ngapii?anatumia hyo hyo V8 na mpya kabsa maana kila baada ya miaka mitano wanapewa gari mpyaa, Bado mafuta anajaziwa ,kwahyo atulie tuu kikubwa mkurugenzi afnye kazi kwa nguvu zote.
@agentespionage4193 жыл бұрын
@@happyjohn5882 kwani uliambiwa wanapewa ilo V8 bure?wanachopewa bure ni mafuta,acha uvivu WA kufikiri jifunze kufuatilia mambo
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@agentespionage419 acha kukurupuka wewe soma sms yangu vizri na kuelewaa,wake up and smell the coffee au utbki kuwa akili rake thaaa,mimi sijajsikia vibaya na sitojisikia vibaya maana hata baba angu yupo serikalin na kapewa gari pia anatumia kwahyo sioni wivu wowote.
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@agentespionage419 au wadhani mimi napgawa na V8 au Prado Tx tena ya serikali thaa nitakuwa mpuuzi mkubwa, na hayo magari yenyewe wanapewa free kwa matumiz ya serikali ndiyo maana hawa park nyumbani kwaoo,
@tibiliuslubida3233 жыл бұрын
Ni kwelikabisa ni ghali saaana!!! VX-R
@rahimuhabibu21293 жыл бұрын
Asante Mbunge wa kanda ya Ziwa tunakupe sana waambie ao
@mohamedkhamisali65353 жыл бұрын
Kwani lazima mununue magari ya kifahari mbona wafujaji nyinyi, miaka 20 nyuma watu walikua wakitembelea ravafoo au skudo
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Nimefurahi mkurugenzi wageita kupugwa,Ayaone maisha ya uraiyani yalivyo magumu,Kweli pesa za walipa Kodi unnunua gari la vioo vyeusi?chizy baba zima halijitambui,watu madawati hayatoshi,madalasa pia kaa kweli pepo
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Tatizo siyo kununua gari, tatizo ni thamani ya magari husika. Huyu mkurugenzi tutamuona mtaani siku si nyingi.
@zuberyaunda52633 жыл бұрын
Ni shida
@anethshio4973 жыл бұрын
Ishu ni Vipaumbele Kwenye Mipango na Matumizi na si kupewa ruhusa na Waziri Mkuu wala vikao vyenu vya wavaa suti...
@Pelegrinoemanuel3 жыл бұрын
Huyu mkurugenzi ana kiburi sana
@jacobletema36813 жыл бұрын
Tena ni kiburi haswa huyu jamaa!!!! Yeye na wote walioidhinisha manunuzi hayo wote "mantanyanga"
Mkurugenzi umezingua m460 kweli, haya ndo aliyakataa magufuli, halafu pamoja na elimu yake ndogo raisi anajua kuwa msukuma ana akili nyingi, jiandae kung'oka hauna muda mrefu kwenye hicho kiti
@sarllemmtunze4053 жыл бұрын
Lakini mnanunua magari ya thamani halafu mnaenda kuyapaki kwenye mavumbi? Hamnashindwa hata kutengeneza maegesho ya magari kuwa bora yenye mazingira mazuri zaidi.
@didimhutila89853 жыл бұрын
Mpuuzi huyu, utanunuaje v8? Kwa nini asinunue Gari ya m50 nane? 🤔
@gracechalagwa97453 жыл бұрын
Mzee baba Magu ingilia hapo wewe na Msukuma mpo vizuri Mkurugenzi hafai.
@stanleymwakifumbwa72863 жыл бұрын
Hata aibu huna, Msukuma usinyamaze, hapa mkurugenzi umezingua
@lucasrichard16823 жыл бұрын
Ni jambo jema tunapoamua kukosoana pale tunapoona mambo hayako sahihi. Lakini tusikosoane kwa sababu ya chuki,tuongozwe na kweli pamoja na haki. i) Hivi wabunge mnatumia magari gani? ii) Mnalipwa posho sh ngapi kwa siku? iii) Mnalipwa kiinua mgongo sh ngapi baada ya miaka 5? -Je, nyie hamna shida katika majimbo yenu mpaka mnapokea posho mnazopokea,viinua mgongo hivyo na magari mnayotembelea? -kwa nn wabunge msiwe wazalendo kwa kutumia gar za bei nafuu,posho kidogo,kiinua mgongo kipungue ili fedha hiyo nyingine ikatatue matatizo ya wananchi? " Tutoe kwanza boliti katika macho yetu kabla ya kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio"
@franklutindi41673 жыл бұрын
Wew msukuma bila hao wew ungerudi chunga mdomo wako kaz walioifanya kubwa sana wacha watembelee magar mazur pumbavu wew
@mligogodfrey88823 жыл бұрын
Kuna passo inauzwa mil 2.5 km mkurugenzi ukiitaji nijulishe,halafu hela nyingine twende bar.
@josephizengo59123 жыл бұрын
ahhahahahaaaa
@evansm88023 жыл бұрын
You deserve excellence my man
@tabiafataki89173 жыл бұрын
Wakati milion 400 wangepata gari nyingi angenunua kwa pesa yke sio izo Magu tumbua uyooo afai kbs
@gidionseleman73183 жыл бұрын
Tayari alishapata alichokuwa anakitafuta. Raisi kashamtumbua, safi sana.
@emmanuelbuganga73253 жыл бұрын
Safi sana, Mimi naona tuandamane.
@chamwilambomusa44473 жыл бұрын
Hamkuona hata landcruiser za m150-2000
@musason16803 жыл бұрын
Jamaa alikua anajitapa Sana Sasa ona tz hakna uhalali umeenda Sasa pole sana
@mcpambe80633 жыл бұрын
Kata 19 kuzifikia mara kwa mara hata Passo yenye matunzo mazuri inaweza sana. Tufanye basi Passo itawahi kuchoka; tunakupa RAV4. Kama nayo sio, kwa kiwango cha juu sana, Mkurugenzi ungetulia injini zilizopendekezwa kutumika serikalini ambapo Toyota GX ndio ilionekana kizio tosha kwa wakurugenzi. Prado haikutoshi? Hardbody je? Kama Ofisi ya Waziri Mkuu ilipitisha dokezo la ununuzi wa VX kwa mkurugenzi; basi dalili zote mnakwenda kuuporomosha uchumi kizembe sana kwa tamaa zenu za maisha ya kifahari kupitia kodi za wananchi.
@jacksonluwumba203 жыл бұрын
Bro unazingua gari 4 Tena kod zawanaich
@dickngimba43333 жыл бұрын
Huyu mkulugez hajui kuwa tanzania wananchi wengi wanakufa hata panado hawana uwezo wa kunnu musukuma uko vzur sana mku mungu atakulipa mm huwa naona unahakil sana kwann waskupe uwazili wa fedha maana maskin tunakosa hatamiko serikali inasema mbaka uwe na mali isyo hamishika kwel huyu anajisifia kununuagar kwel ya kupanda yeye kwel dunia inamambo
@jumamaswe49633 жыл бұрын
Huyo mkurugenzi atimke tu kazi, amekosa gari ya milioni hata Mia? Kama anapenda gari nzuri anunue yake kwa pesa yake na sio pesa za walala hoi. Hawa ndo wana tuchelewesha.
@shauliniabeid45433 жыл бұрын
Million Mia yote hiyo ya nn wakat Kuna gal za milion7 znazo endana na kaz yake
@emilyibraimo50323 жыл бұрын
Huyu alikua anunue japo pikipiki tu ainde nayo job halafu hawa ndo wanaoshindwa kuapa
@josephndali95843 жыл бұрын
Wenye mji tumerudi, uko sawa mh, king msukuma
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Kumbe hata kituo cha Afya hamna halafu mnajisifia mmejenga Vituo vya Afya vingi awamu hii ya Jiwe
@majutomlaganile74203 жыл бұрын
Mmmmm!!!gari mlioni Mia 4,mkuu?je shuka,net nk zipo za kutosha?na wasiojiweza hawapo?mkuu unahitaji kujiongeza bhana sio poa mkuu.noma sana mkuu!ni ufujaji wa wazi kabisa.
@teychriss32483 жыл бұрын
Taifisha gari, fukuza kazi!, weka ndani! Pumbavu zake! Gari la M 460 ndiyo Lina make sense?
@rajabuhamisi29403 жыл бұрын
Kweli m 60 unapata pickup nzuli m 400 unajenda hata kituo cha afya dah sawa bna.
@jumakassim53513 жыл бұрын
Gari sio lake namba si umeona SM
@noelbryson78403 жыл бұрын
Alafu we msukuma uache tabia ya kummaind mkurugenzi wetu wa kishua!! Wakina polepole wenyewe nanakwambia chama tawala kinamiliki mandinga makali halafu wewe msukuma unakurupuka unammaind mshikaji?? Kwanza mandinga ya bei rahisi hayakimbii. So big up MKURUGENZI..
@softrock71553 жыл бұрын
Toyota Land Cruiser LX ni gari nzr, lina comfortability, affordable, durable, bei 160m wakurugenzi wengi wanaojielewa na kuwathamini wananchi wanyonge wamenunua hayo na wanayatumia. Kumbe hapo amekwenda kula raha tuu.
@mohamedbinfadhil13963 жыл бұрын
Oya unaongea kibabe halafu unatumia pesa zetu ovyo v8 ww la nini na halmashauri haina zahanati au ukiumwa ww inatosha wenzio hawaumwi???
@blandinamwarabu50253 жыл бұрын
We Mkurugenzi humjui Msukuma we ongea kwa kujimwambafai tu
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Msukuma nakupenda Sana
@jamessilwamba28623 жыл бұрын
ungepinga kule kwenye kikao lisinunuliwe maana na wewe ni member mule kwenye council hizo specificatios zinatolewaga na mamlaka husika na kibali kutolewa cha kununua sasa baada ya wewe kupinga kwenye vikao husika unapinga kwenye press hiyo sio sahihi unaweza ukawa na hoja lkn sio sahihi ulipotolea una room nzuri km member kupinga kabla halijanunuliwa unavyolileta kwenye press kwa namna hiyo ni kuleta taharuki kwa watu wasiofahamu utaratibu kama mkurugenzi kajiamulia tu kununua isije ikawa hiyo V8 imekuuma wewe binafsi maana mpo eneo moja unasingizia uchungu kwa wananchi
@a.katunzi58153 жыл бұрын
Serikali inatumia magari ya namna hii. Ndiyo utaratibu. Gari kubwa, imara, ina uwezo wa kwenda popte, guarantee ya km 100,000 hivi nk. Hata hao wabunge waliwahi kukopa, walingane na Serikali!!
@marcokanyama45333 жыл бұрын
Nipo nawewe Msukuma hilo gari linafaida gani kwa wananchi mkurugenzi wafaidishe wananchi sio V8 ni kuumiza wananchi
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Saana tu Yani inauma mno.hadi nimelia
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@ashamwandu6572 inauma sana ila naomba nikuulze unadhani Msukuma anatumia gari ya pesa ngapii? Yeye kapewa land cruiser V8 mpya ya 2020,kila baada ya miaka mitano wabunge wanapewa gari mpya,ila kingine serikalini kuna utaratbu wa kuwa na gari ya aina fulani, kwa mfno kuna watu wanatumia porches mpya ya milioni mia saba au Audi ya milioni mia tatuu, mpya ya 2020 na ni bei ghali mnoo,ila je, hyo MTU anaingizia serikali shingapii ? Au fursa zipi hana tengenezaa hakiwa kazini?kwahyo wala msiumie maana yupo kwenye system
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@ashamwandu6572 mbona magu kuna siku alitembea na V8 mia mbili na Prado Tx 150 lakini amkuongea chochotee,na zinatumia mafuta mengii sana sanaa,
@Kivuruge2553 жыл бұрын
@@happyjohn5882 v8 mia mbili!😳 alipita nazo wapi? Ukiona msafala wa rais una magari mengi bas jua hayuko peke ake, apo anakuwa ameandamana na baadhi ya watendaji wake ikiwemo mawaziri na sio kama unavo zani wewe.
@zuberigwakula85313 жыл бұрын
Huyu mkurugenzi anafaa kuwa kwenye Serikali ya KAZI NA BATA
@modestapeter29973 жыл бұрын
😃😃
@mamahustru3 жыл бұрын
Huyu mkurugenzi ni wakutumbuliwa.
@yhasintakalenyula9703 жыл бұрын
Na ametumbuliwa kweli
@mamahustru3 жыл бұрын
@@yhasintakalenyula970 Alikuwa anaonekana hajaelewa Msukuma alichokuwa anaongea. Ndo ile kuna watu wanaishi maisha ambayo yako nje ya uhalisia ya wananchi wanaotakiwa kuwa wanawatumikia, kiasi kwamba kiukweli haelewi hasa wajibu wake ni nini kwa huyu mwananchi. NA ni wanasiasa wote tu. Ukimsikiliza majibu ya huyu mkurugenzi, ni sawa na mama Tibaijuka na bilioni zake za mboga tu.
@kyambarungwematv68283 жыл бұрын
King msukuma umetishaaaa San
@afropatriot77693 жыл бұрын
Alafu Kuna maalimu analipwa laki tatu kwa mwezi anategemewa na ukoo mzima,akiskia hii atatumia Sana,mil 400 kwa nchi maskini Kama Tanzania na kwa mahitaji ya mtu mmoja ni pesa nyingi Sana aisee
@jumamakaja88023 жыл бұрын
Mbona ata gari ya m 80 ingefaa tu. TATIZO tz ulimbukeni Sana lazima ujue chenye bei kubwa pia matumizi yake ni ghali kuanzia mafuta spea na matengenezo mkurugenzi unataka kufa na ofisi ya waziri mkuu kwa ubishoo wako.
@josephmkongwi23233 жыл бұрын
Zamani nilijua mpinzani kumbe ni chama tawala
@kassimomar75893 жыл бұрын
Sasa gar lote hlo Lina Mana gan jamn
@dottontumba73513 жыл бұрын
This is too much,,, mkurugenzi si bora ungekata 200m ukanunua vitanda vya wagonjwa,,, 460m kwa v8????
@reubenpaulomabula60983 жыл бұрын
Mkurugezi jihuzuru kabla mzee baba hayajamfikia
@jamess.gazigile59163 жыл бұрын
Ni dhahiri kabisa ukiacha gharama ya manunuzi ya gari hizi, maintenance yake ni ghari pia hata madereva wa serikali wengi wanayatumia vibaya kwa maana ya uendeshaji barabarani hata inaumiza afu wajeuri wanatusumbua nafikiri ifike kipindi wawekewe Sheria ili nao wawe makini kuyatunza, Mtu akiendesha stk, dfp,Stl, su na yenye special no wanajihisi wako juu ya Sheria.
@evansm88023 жыл бұрын
I love the confidence,
@amiryhamza19843 жыл бұрын
msukuma hongera sana kaka tuipende tanzanian yetu jpm oyeeeee
@hassanturky75113 жыл бұрын
Ana jauri kumbe . Atolewe kazini huyu
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
MSUKUMA ONGEA BABA ..HUJAWAHI ACHA ....MTU SALAMA NAKUKUBALI SANA MSUKUMA Huyu baba na miwani yake yaani hata hawazi duh....
@joachimhenjewele3673 жыл бұрын
Kununua V8 Kama council Ina uwezo so issue kwani mkurugenzi aunt mayor wanahitaji usalama na comfortability Katika kazi Zao za kufuatlia na safari za Mara kea Mara za uwajibikaji wa majukumu yao. Na so geita tu. Council nyingi wanayo Mbona. Nimepata faraja kusikia wenye maamuzi walikaa na kuamua. Sasa mh Msukuma inaonekana haudhurii vikao ikiwemo finance, hayo ndo matokeo....... Wasela wanaita kubweka🤣🤣🤣🤣🤣
@charleskaozya99243 жыл бұрын
Kashamanuliwaa tyr😂😂
@zenj19863 жыл бұрын
Kwani kama mungenunua landcruiser wanazotumia misitu inatosha. V8 kwani inatumia maji??? Maana 400 kwa gari moja ni ubaridhirifu wa mali ya ummah.
@BenWerner25303 жыл бұрын
Swala sio kutokununua gari. Bali kutumia hiyo amount of money 400m ni hela nyingi sana, ukizigatia wilaya yenyewe bado inamahitaji muhimu mengi zaidi. Hivi kweli hakuna magari ya bei rahisi? Acheni ubinafsi. Hata office ya Waziri Mkuu na wenyewe Wamekosea kutoa kibali. Very sad kuona Viongozi kama hawa.
@wadeelegbogun30153 жыл бұрын
Safi sana msukuma,huyo mkurugenzi atumbuliwe hafai kabisa halafu anazalau sana
@emmanuelnzaligo62623 жыл бұрын
Duuuuu 400ml mkurugenzi kweli tutaenda kweli.
@saidsalum61013 жыл бұрын
Ila msukuma kunawakati huwa unatulia kweli unasema vitu vyamaana gar la milioni mianne na stini kweli v8 nahiyo basi yakubebea wagonjwa iwe v8 nayo sasa
@benedictsanga61493 жыл бұрын
Milioni 450 ni pesa nyingi kwa wananchi wanyonge ambao wanahitaji huduma Bora hawana hata ambulance
@paulopaulo65773 жыл бұрын
Chama cha upinzani haipo hpo
@awadhabdulkadiry45393 жыл бұрын
Na mimi nakuunga mkono mtani wangu
@shukranitv29713 жыл бұрын
Hapo Kaka huna chako ww umeishaaa
@micamathew25953 жыл бұрын
Yaan ungejua mkurugenzi umeniudhi dahhh yaan hesabu huna kazi... Ww ni msomi bure... Aise hata mtoto wa darasa za awali anakuzidi. Dahhh hii imeniuma!!!